marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

holiganbet giriş

NervEase

mersin escort

telegram @seo_anomaly - seo backlinks, black-links, traffic boost, link indexing hacking

telegram @seo_anomaly - seo backlinks, black-links, traffic boost, link indexing hacking

imajbet

sekabet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

pashagaming

şğp

grandpashabet

grandpashabet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

sonbahis

sonbahis

marsbahis

perabet giriş

imajbet

klasbahis

savoybetting giriş

goldenbahis

savoybetting

klasbahis giriş

jojobet

kulisbet giriş

pusulabet giriş

pusulabet, pusulabet giriş

matbet, matbet giriş

betcio, betcio giriş

alobet, alobet giriş

kingroyal

restbet

bets10

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

celtabet

deneme bonusu

deneme bonusu

holiganbet

holiganbet

jojobet

holiganbet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet

casibom giriş

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

ligobet

Madridbet

grandpashabet giriş

jojobet

casibom

marsbahis

jojobet giriş

jojobet

alobet

alobet giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

deneme bonusu veren siteler

trendbet

jojobet güncel giriş

betsat

betsat giriş

xslot

xslot giriş

bets10

bets10 giriş

zirvebet

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu

deneme bonusu veren siteler

İkimisli

onwin

superbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10

jojobet

perabet

perabet giriş

perabet

imajbet giriş

perabet

imajbet

perabet

perabet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

türkçe altyazılı porno izle

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

superbetin

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

grandpashabet

vdcasino

bets10 giriş

imajbet giriş

milanobet

imajbet

perabet giriş

perabet

ngsbahis

kralbet giriş

milanobet giriş

สล็อตเว็บตรง

bets10

casibom giriş

jojobet

deneme bonusu

kingroyal

trust score weak 3

jojobet

slot siteler

casino siteleri

imajbet

imajbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

casibom

netbahis

1xbet giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

avşa kiralık daire

betturkey giriş

betturkey

betsat

betsat giriş

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu veren siteler

sekabet giriş

hackhaber

grandpashabet

deneme bonusu veren siteler

primebahis

marsbahis, marsbahis giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

superbetin

madridbet

ilbet

ilbet giriş

deneme bonusu veren siteler

tipobet giriş

romabet

madritbet

güvenli casino siteleri

bets10 güncel giriş adresi

bets10

jojobet

jojobet giriş

ilbet

deneme bonusu

deneme bonusu

holiganbet

Ankara escort

Marsbahis - Marsbahis Giriş

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino

marsbahis

matbet

sekabet

vdcasino

betsalvador

casinoroyal

Featured Kitaifa

MTOA HUDUMA ZA AFYA ATAKAYESABABISHA KIFO CHA MGONJWA KWA UZEMBE NITAMTENGUA – MHE. MCHENGERWA

Written by mzalendo

NA MWANDISHI WETU, PWANI.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI),Mhe. Mohamed Mchengerwa amesema, yeyote atakayeshiriki kufanya uzembe katika vituo vya afya, zahanati na hospitali nchini atachukuliwa hatua kali.

Ameyasema hayo Septemba 7,2024 katika Hospitali ya Wilaya ya Rufiji mkoani Pwani wakati wa hafla ya kukabidhi vifaa na vifaa tiba kwa ajili ya huduma kwa watoto waliozaliwa kabla ya wakati (watoto njiti) na watoto wachanga wagonjwa na wenye uzito pungufu.

Vifaa na vifaa tiba hivyo vimefadhiliwa na Taasisi ya Dorice Mollel Foundation.

“Kila anayekwenda kupata huduma za afya kama ni kituo cha afya kama ni zahanati na kama ni hospitali za halmashauri, kila mtoa huduma aende akatoe huduma hii kwa kila Mtanzania kwa wema akimkaribisha vizuri, akimskiliza kero yake vizuri na kumuhudumia mara moja.

“Haya tumekwisha kubaliana na tumepeana mipaka kwamba yeyote atakayeshiriki kufanya uzembe, mwananchi asipate huduma vizuri ikapelekea uzembe wa kifo cha Mtanzania yeyote hospitali yoyote maana yake mganga mkuu wa wilaya, mganga mkuu wa mkoa ninawatengua kesho yake.

“Na hii tumeshakubaliana, sitarudi nyuma kwa hili, ninadhani umenisikia Dkt.Mfaume nikisikia popote Mtanzania amekwenda kupata huduma hajapata huduma vizuri nitachukua hatua.

“Nikisikia popote Mtanzania au mama mjamzito amefariki kwa uzembe au mtoto amefariki kwa uzembe kwa sababu hakuhudumiwa au hakupewa rushwa mtoa huduma kama ilivyotokea kule Kahama na maeneo mengine maana yake wahusika wote pale watakuwa hawana kazi tena, mganga mkuu wa wilaya, mganga mkuu wa mkoa ninawatengua mara moja wala sitanii.

“Na wale waliohusika katika eneo hilo tutachukua taratibu za kinidhamu, sisi kwa kushirikiana na Wizara ya Afya ili kuhakikisha yeyote aliyefanya uzembe mtoto akafariki, mama mjamzito akafariki awe ni daktari awe na degree moja au mbili au tatu tutakamata cheti chake.

“Hatafanya kazi tena katika nchi hii au hata akitoka nje ya mipaka ya mipaka hii hataruhusiwa kufanya kazi ya uganga au kutoa huduma katika Sekta ya Afya maana yake cheti chake kitakuwa kama pambo anaweza kupamba nyumba yake wala hatuna tabu.

“Lakini hataruhusiwa kutoa tiba ndani ya nchi hii na nje ya mipaka ya nchi hii, tutasitisha kila kitu ndiyo utaratibu na wao wanajua, wana viapo.

“Mtanzania anapokwenda kupata huduma lazima asikilizwe na lazima ahudumiwe vizuri, kwa sababu hawa ndiyo wanatufanya tuendelelee kufanya kazi bila wao wannchi hakuna nchi, bila wananchi hakuna Serikali.

“Kwa hiyo huo ndiyo ukweli kwa hiyo kila mtumishi lazima tujishushe na sitanii kwa hili, sitanii hata kidogo atakayejiingiza kwenye mtego huu kesho yake hana kazi wala sitanii.

“Kama ni mganga mkuu wa wilaya tumewapa magari, tutawany’ang’anya magari na tutawarudisha kwenye nafasi zenu za kuwa daktari wa kawaida, wala sina mchezo kwa hili awe mganga mkuu wa mkoa nitafanya hivyo hivyo.

“Na kwa sababu ni mamlaka yangu nitatengua siku inayofuata ninaweka pembeni,tunateua mtu mwingine kufanya kazi katika eneo hili kuwahudumia Watanzania hili sitanii.

“Tumeshakubaliana na Mkurugenzi wa Afya na Naibu Katibu Mkuu Afya muende mkalisimamie, kaeni na wataalamu zungumzeni nao na wale wenye changamoto kaeni mzitatue,”amefafanua Waziri Mchengerwa.

About the author

mzalendo