marsbahis giriş

marsbahis giriş telegram

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Postegro

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

หวยออนไลน์

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

bets10

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

jojobet giriş

NervEase

escort sakarya

sakarya escort

izmit escort

nesinecasino

tambet

meritking giriş

ganobet

bets10 giriş

padişahbet

holiganbet

grandpashabet

jojobet

dizipal

1xbet

1xbet

palacebet

marsbahis giriş

royalbet

artemisbet

kavbet

parmabet

mislibet

imajbet giriş

artemisbet

imajbet

interbahis

kulisbet giriş

pusulabet giriş

betparibu, betparibu giriş

kulisbet, kulisbet giriş

bahiscasino, bahiscaasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

betebet

restbet

jojobet giriş

pokerklas

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

jojobet

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

holiganbet

holiganbet

pusulabet

holiganbet giriş

Nitric Boost

tarafbet giriş

betebet

gonebet, gonebet giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet giriş

dinamobet

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

netbahis

netbahis giriş

netbahis

netbahis giriş

sahabet

madridbet giriş

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

netbahis

netbahis giriş

betsat

betsat giriş

pokerklas

pokerklas giriş

holiganbet

kingroyal giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

kıbrıs escort

jojobet

jojobet güncel giriş

xslot

xslot giriş

xslot

xslot giriş

bets10

bets10

bets10 giriş

Tipobet

jojobet

Grandpashabet

türk ifşa

İkimisli

casinofast

bets10

bahibom

marsbahis

betsin

celtabet

casino zonder cruks

Uncategorized

MAKAMU WA RAIS AFUNGUA MAADHIMISHO YA MIAKA 50 YA TAASISI YA AFYA YA KANDA YA AFRIKA MASHARIKI , KATI NA KUSINI

Written by mzalendo

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango amesema ni muhimu kuimarisha mifumo ya Afya katika ngazi zote hususani huduma za afya ya msingi ili kudhibiti hatari za kiafya katika jamii.

Makamu wa Rais amesema hayo wakati wa Maadhimisho ya Miaka 50 ya Taasisi ya Afya Kanda ya Afrika Mashariki, Kati na Kusini mwa Afrika (ECSA-HC) yaliyofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Gran Melia Jijini Arusha. Amesema katika ukanda unaohudumiwa na Taasisi hiyo, ipo haja zaidi ya kuimarisha utayari wa kukabiliana na dharura za kiafya, namna ya kukabiliana, uhimilivu na urejeshaji hali ya kawaida baada ya changamoto ili kupunguza athari za dharura ya afya kwa umma na majanga ya kiafya katika ukanda huo.

Makamu wa Rais amesisitiza hitaji la kuongeza tafiti za kina za afya ambazo zitaweza kupelekea utambuzi bora wa magonjwa, chaguzi bora zaidi za matibabu na uimarishaji wa jumla wa mifumo ya afya. Amehimiza Katika miaka 50 ijayo, Nchi Wanachama wa ECSA–HC kuwekeza kwa kiasi kikubwa katika tafiti za matibabu ya kibaiolojia, kliniki, utafiti wa kijamii, kitamaduni, mazingira na tafiti za kiafya za ongezeko la idadi ya watu.

Aidha Makamu wa Rais ametoa wito kwa nchi wanachama wa Taasisi ya Afya Kanda ya Afrika Mashariki, Kati na Kusini mwa Afrika (ECSA-HC) kutafsiri kwa vitendo ahadi za kuongeza bajeti za sekta ya afya hususani bidhaa muhimu za matibabu, teknolojia pamoja na mifumo ya taarifa za afya ili kufikia viwango vya juu zaidi vya ustawi wa kimwili, kiakili na kijamii wa wananchi.

Amesema pamoja na kufikisha miaka 50 ya Taasisi hiyo, ni muhimu kushughulikia kwa pamoja changamoto na mapungufu yaliojitokeza ikiwemo ongezeko la magonjwa yasiyoambukiza kama vile kisukari na shinikizo la damu. Ameongeza kwamba katika kukabiliana na changamoto hizo ni muhimu kuhusisha sekta zote muhimu na sio sekta ya afya pekee ikiwemo kusisitiza lishe bora pamoja na ufanyaji wa mazoezi.

Halikadhalika Makamu wa Rais amesema kuwa Serikali ya Tanzania itaendelea kuwa imara katika kutekeleza majukumu yake kwa Taasisi ya Afya Kanda ya Afrika Mashariki, Kati na Kusini mwa Afrika na kuwasihi washirika wote wa maendeleo kuendelea kuunga mkono ajenda za kipaumbele za Taasisi hiyo.

Kwa upande wake Waziri wa Afya Ummy Mwalimu amezishukuru serikali za nchi wanachama kwa kuendelea kuipa kipaumbele sekta ya afya licha ya uwepo wa vipaumbele vingi katika mataifa hayo. Amesema kwa miaka mingi mapendekezo mbalimbali yamepitishwa kwa lengo la kuimarisha sekta ya afya na ustawi wa watu.

Maadhimisho hayo yamehudhuriwa na Mawaziri wa Afya, wadau wa sekta ya Afya na Wataalam mbalimbali kutoka Mataifa ya Afrika.

Taasisi ya Afya Kanda ya Afrika Mashariki, Kati na Kusini mwa Afrika (ECSA-HC) ilianzishwa mwaka 1974 kwa lengo la kukabiliana na changamoto za Afya kwa pamoja.

About the author

mzalendo