Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

retro bowl

retro bowl unblocked 76

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

luxbet

betmarino giriş

kareasbet

gobahis giriş

betcool giriş

betnis giriş

elitbahis giriş

luxbet

primebahis

betturkey

betturkey giriş

betturkey

betturkey giriş

onwin

meritking giriş

meritking güncel giriş

kalebet güncel giriş

realbahis

sonbahis

cratosslot

1xBet Giriş

betturkey

betturkey giriş

roketbet 2026

deneme bonusu

mavibet giriş

robinbet

timebet

porno izle

porno izle

türk ifşa izle

evcil hayvan satış

uyuşturucu satın al

runtobet

runtobet giriş

1xbet

avrupabet, avrupabet giriş

gameofbet

jojobet

hepbet giriş

betmarino

parmabet

avrupabet giriş

hepbet

hazbet giriş

gobahis

betnis

parmabet

realbahis

luxbet giriş

hazbet

aresbet giriş

betlivo

betface

betlivo giriş

betra giriş

gallerbahis

matbet

parmabet giriş

kareasbet

casival giriş

celtabet

celtabet giriş

vipslot giriş

lordcasino

realbahis giriş

betface giriş

millibahis

lordcasino giriş

aresbet

vipslot

elitbahis

bungalov kiralama

kiralık bungalov

alobet, alobet giriş

aresbet, aresbet giriş

deneme bonusu

casibom giriş

deneme bonusu

nerobet

betcup

casinofast giris

matbet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

jojobet

jojobet giriş

betbox

casibom

mavibet

meritking

dedektör

vdcasino giriş

meritbet giriş

tarafbet

meritbet

jojobet güncel giriş

marsbahis

bets10

betsat

jojobet

marsbahis

ultrabet

mavibet

mavibet

setrabet

betpas

perabet

ibizabet

deneme bonusu veren siteler

sapanca bungalov kiralama

holiganbet

mavibet

marsbahis

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino

elitbahis

celtabet

millibahis

lordcasino

casival

matbet giriş

betlike giriş

mavibet giriş

matbet güncel giriş

mavibet

mavibet

matbet giriş

matbet

mavibet giriş

betlike

mavibet giriş

mavibet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

marsbahis giriş

festwin

deneme bonusu

av ซับไทย

vdcasino

vdcasino

xxxเย็ดยับ

madridbet

madridbet

casibom güncel giriş

casibom giriş

meritking

betsat

pokerklas, pokerklas giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betpark

betsat giriş

dinamobet

betpas

grandpashabet

casibom

grandpashabet

casibom

jojobet

jojobet

betpas

casibom

grandpashabet

Hacklink panel

betturkey

betmarino

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

casibom giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

Casibom

marsbahis

betturkey giriş

casibom

casibom

deneme bonusu veren siteler

grandpashabet

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

meritking

meritking

meritking

madridbet

meritking

deneme bonusu

spyhackerz

jojobet

uyuşturucu satın al

jojobet giriş

İmajbet

royalbet

imajbet

Featured Kitaifa

WATOA HUDUMA ZA FEDHA WAONYWA UVUNJAJI SHERIA

Written by mzalendo
Mkuu wa Mkoa wa Manyara Bi. Queen Sendiga, akipokea nyenzo za kufundishia   elimu ya fedha na majarida mbalimbali ikiwemo jarida lenye elimu ya uwekezaji kutoka kwa Afisa Mkuu Usimamizi wa Fedha kutoka Wizara ya Fedha, Idara ya Uendelezaji Sekta ya Fedha, Bw. Salim Kimaro, baada ya kufika Ofisini kwake kabla ya kuingia kwenye kikao cha Baraza la Biashara la Mkoa kutoa elimu ya fedha kwa wajumbe wa kikao hicho wakiwemo Wakuu wa Wilaya takribani zote za Mkoa huo kujadili masuala mbalimbali ya kiutendaji.
Na Asia Singano, WF, Manyara.
 
Watoa huduma za fedha mkoani Manyara wametakiwa kufuata sheria na taratibu za Benki Kuu ya Tanzania (BoT), ikiwemo kujisajili, kutoza viwango sahihi vya riba na kuwapa nakala za mikataba wakopaji baada ya wao kuelewa mkataba wa makubaliano ya kukopa na kusaini ili kuepuka adhabu mbalimbali zitakazotolewa kwa wanaokiuka sheria za huduma za fedha.
 
Agizo hilo limetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Bi. Queen Sendiga, ofisini kwake alipokutana na baadhi ya watumishi wa Wizara ya Fedha kabla hawajaingia kwenye kikao cha Baraza la Biashara lililofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Manyara, kutoa elimu ya fedha kwa wajumbe wa kikao hicho.
 
Alisema kuwa Serikali inaendelea kufanya uchunguzi kuwabaini wanaofanya biashara ya kutoa huduma za fedha bila leseni, ambapo baadhi yao wamekuwa wakikamatwa na kuadhibiwa huku akiwaonya wafanyabiashara wasiofuata kanuni, taratibu na sheria ya huduma za fedha kusajili biashara zao kupitia Benki Kuu ya Tanzania (BoT).
 
‘’Wafanyabiashara wanaofanya biashara zao bila kujisajili, bila kufuata sheria, waache na Serikali ipo kazini tumekuwa tukiwakamata na tutaendelea kuwakamata na sheria itachukua mkondo wake’’ Alisema Bi. Sendiga.
 
Aliipongeza Wizara ya Fedha kwa kutoa elimu ya fedha katika mkoa wake kutokana na mkoa huo kuwa na uhitaji mkubwa wa elimu ya fedha, kwakuwa wananchi wengi wamekuwa wakijiingiza kwenye mikopo kwa wafanyabiashara wasio waaminifu na baadae kusababisha umasikini.
 
‘’Kwanza nichukue fursa hii kuwashukuru sana Wizara ya Fedha, kupitia Hazina kwa kuja na mpango huu mzuri wa kutoa elimu ya fedha, maeneo makubwa ambayo wanaathirika ni pamoja na watumishi wa Umma na wafanyabiashara wadogowadogo, sisi kama Mkoa tuna changamoto hiyo pia kwa baadhi ya wananchi wetu’’ Alisisitiza Bi. Sendiga.
 
Kwa upande wake Mwl.  Hamisi  Maginga mmoja wa washiriki wa mafunzo hayo, alisema kuwa kukosa elimu ya fedha kumechangia baadhi ya walimu kujiingiza kwenye mikopo mingi iliyosababisha baadhi yao kupata msongo wa mawazo kutokana na kuwa na mikopo iliyokithiri kutoka kwenye taasisi zenye riba kubwa.
 
“Tumekuwa na tatizo kubwa sana hasa kwenye sekta yetu ya elimu, walimu wamekuwa na tabia ya kuwa na mikopo mingi, mpaka inafikia hatua hawawezi kuhimili mahitaji ya familia zao, na wengine imefikia hatua mpaka  kadi zao za benki zinabaki huko kwa taasisi za fedha’’ Alisema Mwl. Maginga.
 
Naye Afisa Mkuu wa Usimamizi wa Fedha, kutoka Wizara ya Fedha, Idara ya Uendelezaji Sekta ya Fedha, Bw. Salim Kimaro, alisema kuwa Wizara ya Fedha itahakikisha kuwa elimu ya fedha inawafikia wananchi wote kutokana na umuhimu wa elimu hiyo.
 
“Lengo la program hii ni kuhakikisha kwamba wananchi wote wanafikiwa na kupewa elimu ya fedha, na chimbuko lake ni baada ya utafiti mdogo kufanyika na kubaini kwamba wananchi hawana uelewa mkubwa na wa kutosha wa elimu ya fedha na hivyo wanaendelea kusaidiwa kwa kila hali, kupewa mikopo na hawajikwamui kumbe wanachokosa ni elimu ya fedha’’ Alisema Bw. Kimaro.
 
Wizara ya Fedha ilianza kutoa elimu ya fedha katika maeneo ya Mijini kupitia Maadhimisho ya Wiki ya Huduma za Fedha kwa Mikoa ya Dar Es Salaam, Mwanza na Arusha, ambapo kwa sasa programu hiyo imejikita kuwafikia wananchi walioko Vijijini kwa lengo la kuwaongezea uelewa wa masuala ya fedha ili waweze kufanya maamuzi sahihi katika mahitaji na matumizi ya Huduma za Fedha.
Mkuu wa Mkoa wa Manyara Bi. Queen Sendiga, akisalimiana na Afisa Mkuu usimamizi wa Fedha kutoka Wizara ya Fedha, Idara ya Uendelezaji Sekta ya Fedha, Bw. Salim Kimaro, baada ya watumishi wa Wizara ya Fedha kufika Ofisini kwake na kufanya naye mazungumzo kuhusu malengo la kufika katika Mkoa huo kabla ya kuingia kwenye kikao cha Baraza la Biashara kutoa elimu ya fedha.
Mkuu wa Mkoa wa Manyara Bi. Queen Sendiga, akipokea nyenzo za kufundishia   elimu ya fedha na majarida mbalimbali ikiwemo jarida lenye elimu ya uwekezaji kutoka kwa Afisa Mkuu Usimamizi wa Fedha kutoka Wizara ya Fedha, Idara ya Uendelezaji Sekta ya Fedha, Bw. Salim Kimaro, baada ya kufika Ofisini kwake kabla ya kuingia kwenye kikao cha Baraza la Biashara la Mkoa kutoa elimu ya fedha kwa wajumbe wa kikao hicho wakiwemo Wakuu wa Wilaya takribani zote za Mkoa huo kujadili masuala mbalimbali ya kiutendaji.
Afisa Maendeleo ya Jamii kutoka Ofisi ya Rais – TAMISEMI, Bi. Avelina Kapologwe, akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Manyara Bi. Queen Sendiga, mara baada ya Timu ya kutoa elimu ya fedha kuwasili katika Ofisi ya Mkuu huyo wa Mkoa kabla ya kuingia kwenye kikao cha Baraza la Biashara la Mkoa kutoa elimu ya fedha kilichofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Manyara.
Wajasiriamali, wafanyabiashara na wananchi wa Kata ya Magugu Wilaya ya Babati Vijijini Mkoani Manyara wakifuatilia filamu ya mafunzo ya elimu ya fedha, yenye maudhui mbalimbali ikiwemo madhara ya kukopa bila malengo, madhara ya kukopa sehemu ambazo hazijasajiliwa, kuweka fedha kwenye vikundi ambavyo havijasajiliwa, matumizi mabaya ya fedha binafsi na mambo ya kuzingatia kabla ya kukopa fedha, mafunzo hayo yameandaliwa na Wizara ya Fedha, walipotembelewa na  baadhi ya watumishi wa Wizara ya Fedha kupewa elimu ya fedha.
Timu ya wataalamu wa kutoa mafunzo ya elimu ya fedha kutoka Wizara ya Fedha kwa kushirikiana na Ofisi ya Rais -TAMISEMI, wakiwa katika kikao na Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Bi. Queen Sendiga (katikati) Ofisini kwake, mjini Babati, ambapo moja ya mazungumzo yao ni pamoja na kutambulishana na kumweleza lengo la kufika Mkoa wa Manyara na kutaja baadhi ya maeneo waliyotoa elimu ya fedha na maeneo wanayoelekea kutoa elimu hiyo katika Mkoa huo baada ya kumaliza kutoa elimu hiyo kwa wajumbe wa kikao cha Baraza la Biashara.
Washiriki wa kikao cha Baraza la Biashara la Mkoa, wakiongozwa na Mwenyekiti wa Kikao hicho, Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Bi. Queen Sendiga, pamoja na Wakuu wa Wilaya mbalimbali za Mkoa wa Manyara na viongozi wengine wa Serikali, wakipata elimu ya fedha kutoka kwa Afisa Mkuu wa Usimamizi wa Fedha kutoka Wizara ya Fedha Idara ya Uendelezaji Sekta ya Fedha, Bw. Salim Kimaro (hayupo pichani) ambao licha ya agenda mbalimbali za kikao cha Baraza walipata fursa ya kupata elimu ya fedha.
 
(Picha na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, Wizara ya Fedha-Manyara)

About the author

mzalendo