marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

holiganbet giriş

NervEase

mersin escort

telegram @seo_anomaly - seo backlinks, black-links, traffic boost, link indexing hacking

telegram @seo_anomaly - seo backlinks, black-links, traffic boost, link indexing hacking

imajbet

sekabet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

pashagaming

şğp

grandpashabet

grandpashabet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

sonbahis

sonbahis

marsbahis

perabet giriş

imajbet

klasbahis

savoybetting giriş

goldenbahis

savoybetting

klasbahis giriş

jojobet

kulisbet giriş

pusulabet giriş

pusulabet, pusulabet giriş

matbet, matbet giriş

betcio, betcio giriş

alobet, alobet giriş

kingroyal

restbet

bets10

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

celtabet

deneme bonusu

deneme bonusu

holiganbet

holiganbet

jojobet

holiganbet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet

casibom giriş

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

ligobet

Madridbet

grandpashabet giriş

jojobet

casibom

marsbahis

jojobet giriş

jojobet

alobet

alobet giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

deneme bonusu veren siteler

trendbet

jojobet güncel giriş

betsat

betsat giriş

xslot

xslot giriş

bets10

bets10 giriş

zirvebet

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu

deneme bonusu veren siteler

İkimisli

onwin

superbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10

jojobet

perabet

perabet giriş

perabet

imajbet giriş

perabet

imajbet

perabet

perabet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

türkçe altyazılı porno izle

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

superbetin

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

grandpashabet

vdcasino

bets10 giriş

imajbet giriş

milanobet

imajbet

perabet giriş

perabet

ngsbahis

kralbet giriş

milanobet giriş

สล็อตเว็บตรง

bets10

casibom giriş

jojobet

deneme bonusu

kingroyal

trust score weak 3

jojobet

slot siteler

casino siteleri

imajbet

imajbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

casibom

netbahis

1xbet giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

avşa kiralık daire

betturkey giriş

betturkey

betsat

betsat giriş

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu veren siteler

sekabet giriş

hackhaber

grandpashabet

deneme bonusu veren siteler

primebahis

marsbahis, marsbahis giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

bets10

madridbet

ilbet

ilbet giriş

deneme bonusu veren siteler

tipobet giriş

romabet

madritbet

güvenli casino siteleri

bets10 güncel giriş adresi

bets10

jojobet

jojobet giriş

ilbet

deneme bonusu

deneme bonusu

holiganbet

Ankara escort

Marsbahis - Marsbahis Giriş

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino

marsbahis

matbet

sekabet

vdcasino

betsalvador

casinoroyal

casinoroyal

Featured Kitaifa

JIUNGE NA JKT UKIOMBWA FEDHA TOA TAARIFA KWA MAMLAKA HUSIKA-MEJA JENERALI MABELE

Written by mzalendo

Mkuu  wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Meja Jenerali Rajabu Mabele,akizungumza na  waandishi wa habari katika Kikosi cha Jeshi 822 KJ Rwamkoma wilayani Butiama Mkoani Mara.

Mkuu wa Tawi la Mafunzo na Operesheni JKT Kanali Aisha Matanza,akizungumza na  waandishi wa habari katika Kikosi cha Jeshi 822 KJ Rwamkoma wilayani Butiama Mkoani Mara.

Kamanda wa Kikosi cha 822 KJ  Rwamkoma,Luteni Kanali Gaudencia Mapunda,akiwahimiza wazazi kuwaleta watoto wao kujiunga na mafunzo ya JKT.

Na Alex Sonna-BUTIAMA
JESHI la Kujenga Taifa ( JKT) limesema hakuna mateso katika mafunzo ambayo limekuwa likiyatoa kwani kijana anaandaliwa kuwa mtiifu,mwaminifu na anaependa kazi huku likisisitiza hakuna fedha yoyote inayohitajika ili mtoto aweze kujiunga na Jeshi hilo.
Kauli hiyo imetolewa na Mkuu wa wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Meja Jenerali Rajabu Mabele,wakati akizungumza na waandishi wa habari katika Kikosi cha Jeshi 822 KJ Rwamkoma wilayani Butiama Mkoani Mara.
Meja Jenerali Mabele amesema vijana wanaojiunga  na  JKT wapo salama na wanawalea  vizuri kwa mujibu wa maadili ya kitanzania.
Amesema hakuna manyanyaso yoyote kwani kila wanachofanya kipo kwa mujibu wa mafunzo na hawapo kwa ajili ya kuwatesa vijana.
Amesema kijana anayetoka JKT atakuwa na sifa tatu ambazo ni mwaminifu,mtiifu na anaependa kazi.
“Hakuna mateso ni mambo mazuri kabisa ambayo kijana akiyafuatilia tunapata kijana mzuri ambaye atalisaidia  Taifa lake,”amesema Meja Jenerali Mabele
Amesema mafunzo hayo ni gharama hivyo mzazi anaweza kumchangia kijana wake lakini watakuwa wameonesha katika tovuti ya Jeshi hilo kipi anatakiwa kuchangia.
“Hakuna pesa yoyote itakayokuwa ikihitajika pesa atakayokuja nayo ni ya matumizi ya kwake yeye mwenyewe kama mzazi atampa ni ya kuja kutumia yeye  akiwa ndani ya JKT kwa matumizi yake lakini akiwa ndani kuna posho kidogo huwa tunatoa kwa ajili ya sabuni na vitu vingine,”amesema Meja Jenerali Mabele
Kutokana na hali hiyo limewataka wazazi ama walezi wakiombwa fedha kutoa taarifa katika Mamlaka husika.
Pia Jeshi hilo,limesema wakati wowote kuanzia sasa litatangaza nafasi za kujiunga na Jeshi hilo kwa wanafunzi wanaomaliza kidato cha sita hivi karibuni hivyo kuwaomba waliomaliza kuchangamkia fursa hiyo hasa wanawake.
Aidha  amesema kuna mafunzo ya aina mbili ya kujitolea ambayo ni  miaka miwili na vijana kwa mujibu wa sheria wanaofanya kwa miezi mitatu.
 Meja Jenerali Mabele amesema JKT tayari wamejitayarisha kuwahudumia wanafunzi wa kidato cha sita wanaotarajia kumaliza mtihani hivi karibuni na kutakiwa kujiunga kwa mujibu wa sheria.
“Kwahiyo wakati wowote kuanzia sasa tutatangaza kwamba waje kujiunga na Jeshi.Naomba niwatoe wasiwasi kumekuwepo na mambo mengi watu wakiwatisha kwenye mitandao niwahakikishie mafunzo haya ni salama kwa watoto wote wa jinsi ya kiume na kike,”amesisitiza Meja Jenerali Mabele
Amesema hivi karibuni watatangaza na  wataonesha vitu ambavyo vijana wanatakiwa kwenda navyo.
Amesema pia kwenye mafunzo ya kujitolea watu wamekuwa wakidanganyika kwa kutoa fedha ili mtoto wake aweze  kusaidiwa amedai hakuna fedha bali mhusika akipita katika michakato na ukakubalika hakuna pa kutoa fedha hivyo atakaombwa atoe   taarifa kwa Mamlaka husika.
Kwa upande wake,Mkuu wa Tawi la Mafunzo na Operesheni JKT Kanali Aisha Matanza,amesema kuwa  mafunzo yote  yanayotolewa na JKT amesema kwa upande wa mafunzo ya vijana silabi na miongozo yote  imetengenezwa kwa kufuata maelekezo ya Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa Meja Jenerali Mabele.
Kanali Matanza amesema jukumu lake ni kuhakikisha yale yote silabi na masomo yanatakiwa kutekelezwa kwa  vijana kwa mujibu wa sheria yanatekelezwa.
Amesema ofisi yake ndio inaratibu na kusimamia kwa kufuata maelekezo kupitia mafunzo hayo wanaowafundisha huwa wanapata semina elekezi yapi wafanye na yapi hawatakiwi kufanya.
“Kwa maana hiyo hatutegemei kwamba haya mafunzo wakufunzu wataenda kinyume.Niwatoe hofu vijana hususani Wanawake JKT ni salama anachofundishwa mwanaume ndicho anachofundishwa mwanamke hakuna vitisho manyanyaso mazoezi yameratibiwa,”amesema Kanali Matanza.
Naye, Kamanda wa Kikosi cha 822 KJ  Rwamkoma,Luteni Kanali Gaudencia Mapunda amewahimiza wazazi na walezi kutumia fursa ya mafunzo ya JKT kwani yana faida kubwa
Amezitaja  faida hizo  ni uzalendo,ujasiri na kupenda  kazi kwani kila mmoja ni shuhuda kijana anaemaliza mafunzo huwa amekamilika.
“Nitumie nafasi hii kuwaasa wazazi na walezi waleteni  wahudhurie mafunzo hasa wale wa kike mimi mwenyewe ni Kamanda wa kikosi na nilianza huko,”amesema Luteni Kanali Mapunda.

About the author

mzalendo