slot siteleri

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

deneme bonusu veren siteler

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

marsbahis giriş

NervEase

sapanca escort

sapanca escort

escort sapanca

imajbet

holiganbet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

betnano

pusulabet giriş

grandpashabet

grandpashabet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

teosbet

madridbet

marsbahis

imajbet giriş

interbahis

klasbahis

piabellacasino

interbahis

klasbahis

goldenbahis

jojobet

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

pusulabet, pusulabet giriş

betgar, betgar giriş

kulisbet, kulisbet giriş

alobet, alobet giriş

holiganbet

restbet

bets10

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

timebet

trimology review

holiganbet

deneme bonusu

deneme bonusu

jojobet

holiganbet

jojobet

holiganbet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

kingroyal

dinamobet giriş

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

tipobet

Pusulabet

grandpashabet giriş

Jojobet

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet

ilbet giriş

ilbet

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

deneme bonusu veren siteler

superbetin

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

bets10

bets10 giriş

zirvebet

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

İkimisli

onwin

süperbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10

casibom giriş

jokerbet

jokerbet giriş

imajbet

imajbet giriş

interbahis giriş

imajbet

matbet

savoybetting

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

istanbul escort

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

betsat

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

porno izle

Hacklink Panel

palacebet

vdcasino giriş

bets10 giriş

interbahis

goldenbahis

imajbet

interbahis giriş

klasbahis

interbahis giriş

kralbet giriş

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

timebet giriş

jojobet

jojobet

bets10

trust score weak 3

holiganbet

slot siteler

deneme bonusu 2026

imajbet

imajbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

casibom

netbahis

1xbet giriş

marsbahis giriş

deneme bonusu

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu veren siteler

ilbet

ilbet giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

grandpashabet

deneme bonusu veren siteler

primebahis

alobet, alobet giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

madridbet

bets10

ilbet

ilbet giriş

deneme bonusu veren siteler

meritking

timebet

meritking

casino siteleri

bets10 güncel giriş adresi

betsat

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

deneme bonusu

jojobet giriş

padişahbet

Ankara escort

Marsbahis - Marsbahis Giriş

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino giriş

mavibet

kulisbet, kulisbet giriş

grandpashabet

betoffice

norabahis

betasus

padişahbet

Google Search Console giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

casibom

holiganbet

dental implants turkey

holiganbet giriş

dental implants turkey

full mouth dental implants turkey

casibom

marsbahis

matbet

sekabet giriş

imajbet

pusulabet

betist

betist

Featured Kitaifa

DC KONGWA: MAHINDI NA KARANGA MWOKOZI KWA WATOTO WADOGO KONGWA

Written by mzalendo

 

MKUU wa Wilaya ya Kongwa Mayeka Simon,akizungumza  wakati wa hafla ya kufungua kikao cha mrejesho wa matokeo ya utafiti na mafunzo ya kupunguza sumukuvu katika mazao baada ya kuvuna kilichofanyika wilayani humo.

MAKAMU  Mkuu wa Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela,Arusha Prof.Maulilio Kipanyula,akizungumza  wakati wa hafla ya kufungua kikao cha mrejesho wa matokeo ya utafiti na mafunzo ya kupunguza sumukuvu katika mazao baada ya kuvuna kilichofanyika wilayani Kongwa.

MKURUGENZI Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa Dkt.Omary Nkullo,akizungumza  wakati wa hafla ya kufungua kikao cha mrejesho wa matokeo ya utafiti na mafunzo ya kupunguza sumukuvu katika mazao baada ya kuvuna kilichofanyika wilayani Kongwa.

BAADHI ya washiriki wakimsikiliza Mkuu wa Wilaya ya Kongwa Mayeka Simon (hayupo pichani),akizungumza  wakati wa hafla ya kufungua kikao cha mrejesho wa matokeo ya utafiti na mafunzo ya kupunguza sumukuvu katika mazao baada ya kuvuna.

 

MKUU wa Wilaya ya Kongwa Mayeka Simon,akiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kufungua kikao cha mrejesho wa matokeo ya utafiti na mafunzo ya kupunguza sumukuvu katika mazao baada ya kuvuna.

Na.Alex Sonna-KONGWA

MKUU wa Wilaya ya Kongwa Mayeka Simon ametoa  wito kwa wadau kutumia njia mbalimbali kusambaza elimu kuhusu sumukuvu kwa wakulima, walaji na wadau wengine katika sekta ya chakula na lishe.

Kauli hiyo ameitoa wilayani Kongwa wakati wa hafla ya kufungua kikao cha mrejesho wa matokeo ya utafiti na mafunzo ya kupunguza sumukuvu katika mazao baada ya kuvuna.

Amesema inaweza kujumuisha uandishi wa machapisho, semina, mikutano ya kikanda, na hata matumizi ya teknolojia kama vile simu za mkononi na mitandao ya kijamii na vyombo mbalimbali vya habari zikiwemo runinga, radio na magazeti ili kufikisha ujumbe kwa haraka na kwa ufanisi zaidi.

kwa upande wa Halmashauri na Wizara ya Kilimo ,amesema uandaliwe mkakati wa maksudi wa kuhakikisha kuwa mapendekezo yote yaliyotokana na tafiti yanafanyiwa kazi kwa ukamilifu.

“Hii inaweza kujumuisha kufanya mabadiliko katika kanuni za kilimo, kuwekeza zaidi katika miundombinu ya kuhifadhi mazao, kuandaa vyakula ili kupunguza hatari ya sumukuvu, na hata kuimarisha mifumo ya udhibiti na ukaguzi ili kuhakikisha viwango vya usalama wa chakula vinazingatiwa,”amesema Mhe.Simon

Hata hivyo amesema  kupitia utafiti  wa Sumukuvu  wameweza  kubaini kaya nyingi katika Wilaya ya Kongwa na kwingineko zinategemea nafaka aina ya mahindi na karanga kama sehemu kuu ya uji wa watoto wadogo na ugali ambao ni chakula kikuu cha familia.

Mhe.Simon amesema amefarijika  kuona matokeo ya tafiti zilizofanywa katika kipindi cha miaka michache zililenga kuelewa vizuri zaidi madhara ya sumukuvu.
Amesema kupitia tafiti hizo, wameweza  kubaini kuwa, kaya nyingi katika Wilaya ya Kongwa na kwingineko zinategemea nafaka aina ya mahindi na karanga kama sehemu kuu ya uji wa watoto wadogo na ugali ambao ni chakula kikuu cha familia.
” Kwa bahati mbaya mazao haya yanashambuliwa zaidi na kuvu wazalishao sumukuvu endapo mbinu bora za kilimo, uhifadhi na uandaaji wa chakula zisipozingatiwa kikamilifu,”amesema
Hata hivyo amesema pamoja na changamoto ya mazao kushambuliwa na kuvu, kupitia tafiti hizo watafiti wameainisha kwamba, athari zinazoweza kusababishwa na sumukuvu zinaweza kupunguzwa kwa kuzingatia mbinu bora za kilimo na uhifadhi mazao baada ya kuvuna.
Vile vile mbinu bora za kuandaa nafaka hizi kabla ya kupika zinaweza kupunguza sumukuvu endapo zitafanywa kwa ufanisi.
Kwa upande wake Makamu Mkuu wa Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela,Arusha Prof.Maulilio Kipanyula, amesema kuwa uchambuzi   wa matokeo ya utafiti kuhusu sumukuvu  umebaini mambo manne.
Prof.Kipanyula ameyataja mambo hayo ni  kaya nyingi kutegemea mahindi na karanga kama chakula
kikuu cha watoto wadogo na familia ikifuatiwa na mtama, ulezi na uwele.
Pia,Vyakula hivyo vina kiwango cha virutubisho vinavyohitajika kuupa mwili nguvu (energy), proteini na mafuta (lipid); vina nusu ya kiwango kinachohitajika cha madini ya calcium na Vitamini A, na upungufu mkubwa wa madini chuma (iron) na zinc.
Amesema pia matokeo hayo  yamebaini   mahindi na karanga zinashambuliwa na sumukuvu zaidi kuliko nafaka nyingine.
” Viashiria vya uwepo wa sumukuvu kwenye sampuli za kibaolojia kama vile damu na mkojo, hali hii anaashiria uwezekano wa watoto na jamii kuwa katika hatari ya kupata madhara yanayosababishwanasumukuvu,”amesema Prof Kipanyula.
Amesema maandalizi ya awali ya mradi yalianza mwaka 2015 na kufuatiwa na awamu ya utekelezaji mwaka 2017.
“Mradi huu ulifanikiwa kufikia  kaya zipatazo 2,874 katika Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa;watoa huduma ya afya ya Baba, Mama na Mtoto wapatao 52 kutoka katika vituo vyote vya kutolea huduma za afya ndani ya Wilaya ya Kongwa,”amesema
Pia umewafikia watoa  wahudumu wa Afya ngazi ya jamii  104,ambapo jumla ya kaya zilizofikiwa moja kwa moja na mradi huo kuwa 3,030 sawa na idadi ya watu 14,370.
Amesema  Matokeo ya utafiti uliofanywa na mradi MMT  yanaendana kwa kiasi kikubwa na yale ya tafiti nyingine zilizofanywa na wanazuoni wengine ambazo pia zilibaini uwepo wa tatizo la sumukuvu kwenye mazao katika maeneo ya Wilaya ya Kongwa.
“Na  hivyo kuathiri ubora wake kwa matumizi ya chakula cha binadamu na mifugo. Kama nilivyoanza kusema lengo la mkutano huu ni kuleta mrejesho wa matokeo ya utafiti wetu.
“Sambamba na hilo tumeona ni vyema kuandaa mafunzo ya namna ya kudhibiti kuvu kushambulia nafaka baada ya kuvuna, na jinsi ya kupunguza sumukuvu kwenye nafaka ambazo tayari zimeshaathiriwa.
“Ni matumaini yetu kuwa kupitia mafunzo yatakayotolewa, jamii  itapata uelewa wa namna ya kupambana na sumukuvu katika mazao ya chakula na hivyo kupunguza athari zake,”amesema Prof Kipanyula
Naye Msimamizi wa Mradi Prof.Neema Kassim amesema kuwa mradi huo umewafikia watu 3,000 tatu sababu ya washiriki wa mradi wapo 2874 ukijumlisha na wahudumu wa afya wanafikia hiyo idadi ya watu 3000 hawa ndo tulifawakia moja kwa moja kwa kuwafundisha na kuwapa kitendea kazi

About the author

mzalendo