marsbahis giriş

marsbahis giriş telegram

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

meritking

Hacklink panel

Postegro

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

หวยออนไลน์

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas

casibom

Brain Savior Review

artemisbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

jojobet giriş

NervEase

izmit escort

izmit escort

izmit escort

pusulabet

matbet

meritking giriş

kavbet

bets10 giriş

ultrabet

holiganbet

grandpashabet

jojobet

dizipal

1xbet

1xbet

tambet

ngsbahis

betlike

parmabet

mislibet

mislibet

jojobet giriş

nitrobahis

jojobet

jojobet

kulisbet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

vdcasino, vdcasino giriş

vdcasino, vdcasino giriş

kralbet

jojobet

restbet

jojobet

pokerklas

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

betcio

trimology review

jojobet

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

holiganbet

holiganbet

pusulabet

holiganbet giriş

Nitric Boost

enjoybet giriş

betebet

betgar, betgar giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet

imajbet

vdcasino

dinamobet

holiganbet

holiganbet giriş

Featured Kitaifa

DKT. NDUGULILE KUWANIA UKURUGENZI MKUU WHO KANDA YA AFRIKA

Written by Alex Sonna

Na. WAF – Dar Es Salaam

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amemchagua na kumpendekeza Dkt. Faustine Ndugulile kugombea nafasi ya Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani Kanda ya Afrika ambapo ni kwa mara ya kwanza Tanzania inatoa mgombea wa nafasi hiyo.

Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu amesema hayo leo Mei 8, 2024 wakati wa uzinduzi wa kampeni za kugombea nafasi hiyo aliyopendekezwa Dkt. Faustine Ndugulile mwenye uzoefu na ujuzi mkubwa katika masuala ya Afya duniani ambae pia ni Daktari wa Taaluma hiyo.

“Tanzania ni miongoni mwa nchi ambazo zinafanya vizuri sana duniani katika mapambano dhidi ya magonjwa ya kuambukiza, magonjwa yasiyoambukiza pamoja na kuimarisha huduma za afya ya uzazi mama na mtoto, Tanzania tumefanikiwa kupunguza vifo vya wanawake wajawazito kwa zaidi ya asilimia 80″. Amesema Waziri Ummy.

Amesema, Tanzania ina mfumo mzuri sana wa kuimarisha huduma za Afya ngazi ya msingi kuanzia Zahanati, Vituo vya Afya pamoja na Hospitali za Halmashauri, hivyo itakwenda kubadilishana uzoefu huo na nchi nyingine za Afrika.

“Mkurugenzi wa Shirika la Afya Duniani Kanda ya Afrika ambae anamaliza muda wake wa miaka 10 anatokea nchini Botswana ukanda wa SADC, kwa Tanzania ni Mara ya kwanza tunagombea nafasi hiyo na tunaamini kabisa tutashinda nafasi hiyo kutokana na aina ya mgombea ambae tumemuweka.” Amesema Waziri Ummy.

Kwa upande wake Dkt. Faustine Ndugulile ambae ndio mgombea wa nafasi hiyo amemshukuru Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kupendekeza jina lake na kuridhia kugombea katika nafasi hiyo.

“Nafasi hii inasimamia nchi 47 katika Bara la Afrika, Tanzania tunafanya vizuri sana katika Sekta ya Afya na tuna mafanikio makubwa ya kuigwa, tunataka na sisi tuende tukayaeneze yale mazuri yetu kwa wengine ili kuweza kusimama pamoja”. Amesema Dkt. Ndugulile.

Dkt. Ndugulile amebainisha vipaumbele vya nchi ambavyo ni pamoja na kuendelea kuboresha huduma za Afya katika kupunguza vifo vya mama na mtoto ambalo ni eneo Tanzania tumefanya vizuri, nchi nyingi za Afrika bado wana changamoto hiyo.

Pia, amesema Tanzania inataka ikasimamie kujenga mifumo imara ambayo itaweza kuhimili athari za magonjwa ya milipuko pamoja na majanga mengine ambapo kwa Bara la Afrika limeathirika sana na magonjwa hayo. ‎

About the author

Alex Sonna