Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

retro bowl

retro bowl unblocked 76

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

vdcasino

lordcasino

marsbahis

vipslot

celtabet

kingroyal

jojobet giriş

jojobet

vipslot

betlivo

eyfelcasino

marsbahis

marsbahis

marsbahis giriş

meritking

meritking giriş

mavibet güncel giriş

meritking telegram

meritking giriş

realbahis

vipslot giriş

casival

luxbet

betnis

parmabet

betvoy

jojobet

Hacklink panel

norabahis

kingroyal

Google

holiganbet

marsbahis

armabahis

mislibet giriş

kareasbet giriş

vipslot

betlivo

hazbet

netbahis

betra

primebahis

betturkey

betturkey giriş

otobet

otobet giriş

onwin

meritking giriş

meritking güncel giriş

kalebet güncel giriş

realbahis

sonbahis

cratosslot

1xBet Giriş

otobet

otobet giriş

roketbet 2026

deneme bonusu

mavibet giriş

robinbet

robinbet giriş

betpark giriş

holiganbet

betpark

uyuşturucu satın al

porno izle

runtobet

runtobet giriş

1xbet

aresbet, aresbet giriş

betewin

jojobet

betmarino

avrupabet

lordcasino giriş

dengebet

celtabet

betcool

kareasbet

betcool

millibahis

betnis giriş

casival

betvoy

hazbet

betnef

avrupabet

betmarino giriş

betmani

betvakti

marsbahis

prensbet

betmani

millibahis

eyfelcasino

meybet

millibahis giriş

marsbahis giriş

gobahis

betnef

perabet giriş

mislibet giriş

vipslot giriş

meybet giriş

armabahis

meritking giriş

meritking

alobet, alobet giriş

alobet, alobet giriş

deneme bonusu

casibom giriş

cratosroyalbet

pasacasino

kingroyal

https://sjconsultors.com/

mislibet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

mariobet

madridbet

betbox

casibom

mavibet giriş

meritking

dedektör

vdcasino giriş

jojobet

grandpashabet giriş

holiganbet

jojobet güncel giriş

jojobet

betsat

bets10 sorunsuz giriş

jojobet

marsbahis

sweet bonanza

mavibet

jojobet giriş

setrabet

jojobet

anadoluslot

timebet

jojobet giriş

goldenbahis

meritking giriş

meritking güncel giriş

meritking güncel giriş

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino

elitbahis

betvakti

parmabet

gobahis

elitbahis

parmabet giriş

mavibet giriş

jojobet

coinbar

mislibet giriş

mavibet

mislibet güncel giriş

parmabet

jojobet güncel giriş

mavibet

mavibet giriş

coinbar giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

romabet

meritking

deneme bonusu

av ซับไทย

vdcasino

vdcasino

xxxเย็ดยับ

madridbet

madridbet

casibom güncel giriş

jojobet

meritking

betsat giriş

aresbet, aresbet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

bets10

betsat

sekabet güncel giriş

jojobet

grandpashabet

jojobet

casibom

jojobet

jojobet

grandpashabet

casibom

casibom

grandpashabet

Hacklink panel

betturkey

safirbet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

trendbet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

marsbahis

marsbahis

betturkey giriş

Featured Kitaifa

VITA YA URAIS KATI YA LISSU NA MBOWE YAIPASUA CHADEMA

Written by Alex Sonna

*Vita ya urais kati ya Lissu na Mbowe yaipasua CHADEMA

* Mgogoro mkubwa wa madaraka waibuka kuwania ugombea urais 2025

* Lissu akianika chama chake hadharani, asema CHADEMA imekithiri rushwa

* Ashutumu uongozi wa chama kumnyima pesa za maandamano na mikutano ya hadhara

Mei 3, 2024

Na Mwandishi Wetu _ Iringa

 

Vita kubwa ya madaraka kati ya Tundu Lissu na Freeman Mbowe imeibuka ndani ya CHADEMA na kukipasua chama hicho kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka huu na uchaguzi mkuu mwakani.

 

Chimbuko la mgogoro huo wa maslahi ni nani ateuliwe na CHADEMA kuwania urais mwaka 2025 kati ya Lissu na Mbowe.

 

Mgogoro huo kati ya Mbowe na Lissu umekuwa ukifukuta chini kwa chini ndani ya chama kwa takribani miaka minne, kabla ya kuibuka rasmi hadharani.

 

Hii ni baada ya Lissu kutangaza jukwaani jana mkoani Iringa kuwa rushwa imekithiri kwenye uchaguzi wa ndani wa CHADEMA, ikiashiria kuwa yeye na Mbowe wanapambana kupanga safu zao za viongozi kwenye chama hicho nchi nzima ili wawasaidie kuupata ugombea urais.

 

“Kuna mtafaruku mkubwa sana wa uchaguzi ndani ya chama chetu,” Lissu alisema jana mwenye mkutano wa hadhara Iringa.

 

“Kuna pesa nyingi ajabu kwenye uchaguzi huu (ndani ya CHADEMA).”

 

Lissu alilalamika kuwa amekuwa akiambiwa na uongozi wa chama chake kuwa hakuna pesa za kulipia mikutano yake ya hadhara, lakini anashangaa kuona kuna pesa za rushwa kwenye uchaguzi wa ndani.

 

Maandamano na mikutano ya Lissu mikoani yanaonekana kukosa mvuto na kupata watu wachache kulinganisha na mikutano ambayo imekuwa inafanywa na Mbowe.

 

Kitendo cha Lissu kulalamika hadharani kuhusu rushwa ndani ya chama na kunyimwa pesa za maandamano na mikutano ya hadhara, kimetafsiriwa na baadhi ya Wanachadema kama utovu wa nidhamu na kukidhalilisha chama.

 

Utaratibu wa CHADEMA ni kuwa kiongozi huyo alitakiwa kuwasilisha malalamiko yake kwenye vikao rasmi vya ndani vya chama, ikiwemo Kamati Kuu, siyo jukwaani.

 

 *MAFAHALI WAWILI, ZIZI MOJA* 

 

Kambi ya Lissu inadai kuwa Lissu ananyimwa pesa za mikutano na chama kwa makusudi na nguvu zote zinapelekwa kwa Mbowe ili ionekane kuwa Mbowe anakubalika zaidi na wananchi kwani mikutano yake hujaza watu zaidi ya Lissu.

 

Mbowe na Lissu wote wamewahi kugombea urais mara moja na kushindwa na mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM).

 

Taarifa kutoka ndani ya CHADEMA zinasema kuwa Mbowe na Lissu wote wanataka kugombea urais kupitia chama hicho mwaka 2025 na hiyo ndiyo sababu kuu ya mtafaruku ndani ya chama hicho.

 

Hali hii imesababisha CHADEMA kumeguka katikati kwenye kambi mbili.

 

Kambi moja ina viongozi na wanachama ambao wanamuunga mkono Mwenyekiti Mbowe na wanamuona yeye ndiyo mtu sahihi wa kuivusha CHADEMA kama mgombea urais mwakani.

 

Kambi ya pili iko na Lissu na inamtaka Makamu Mwenyekiti huyo wa CHADEMA awe mgombea urais.

 

Lissu anaonekana kumuunga mkono Mwenyekiti wa CHADEMA wa Kanda ya Nyasa, Peter Msigwa, dhidi ya Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ ambaye anawania nafasi hiyo kwenye uchaguzi wa ndani wa chama hicho.

 

Licha ya uongozi wa CHADEMA kumkataza Lissu asifanye mkutano Iringa, asubiri hadi uchaguzi wa ndani upite, Lissu alikaidi maagizo ya chama na kufanya mkutano na kutangaza hadharani kuwa kuna mtafaruku mkubwa na rushwa ndani ya chama.

 

Lissu aliwataka wanachama wa CHADEMA nchi nzima kutochagua viongozi wanaotumia pesa kwenye uchaguzi, ikiwa anaonekana kurusha tuhuma kwa Sugu ambaye anasemekana kuwa karibu na Mbowe.

 

Wachambuzi wa masuala ya kisiasa nchini wanasema kuwa vita ya Mbowe na Lissu inatarajiwa kupamba moto zaidi siku zijazo, kwani mafahali hao wawili hawawezi kuishi kwenye zizi moja.

 

Mgogoro wa madaraka na tuhuma za rushwa ndani ya CHADEMA zinaibua maswali kuwa chama hiki kinachojipambanua kama mbadala wa CCM, iwapo kweli kiko tayari kuongoza nchi.

About the author

Alex Sonna