Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

retro bowl

retro bowl unblocked 76

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

avrupabet

vipslot

betcool

betlivo

kingroyal

jojobet giriş

jojobet

kareasbet

hazbet

betra

meritking giriş

marsbahis

meritking

meritking

meritking giriş

mavibet güncel giriş

meritking telegram

meritking giriş

betra

gobahis

casival

casival

betcool

avrupabet

celtabet

jojobet

Hacklink panel

norabahis

kingroyal

Google

holiganbet

marsbahis

luxbet

hepbet

millibahis giriş

gobahis

vipslot

betface

elitbahis giriş

betcool

primebahis

betturkey

betturkey giriş

otobet

otobet giriş

onwin

meritking giriş

meritking güncel giriş

kalebet güncel giriş

realbahis

sonbahis

cratosslot

1xBet Giriş

otobet

otobet giriş

roketbet 2026

deneme bonusu

betlike

piabellacasino

timebet

betpark giriş

holiganbet

betpark

uyuşturucu satın al

porno izle

runtobet

runtobet giriş

1xbet

aresbet, aresbet giriş

betewin

jojobet

vipslot

betnis

betmarino giriş

aresbet

aresbet

avrupabet giriş

betface

luxbet

betmarino

casival giriş

betlivo giriş

realbahis

gallerbahis

gallerbahis

aresbet giriş

parmabet

betnis

elitbahis

marsbahis

betra giriş

celtabet giriş

parmabet giriş

vipslot giriş

hazbet giriş

elitbahis

luxbet giriş

hepbet

lordcasino

parmabet

lordcasino

kareasbet

betcool giriş

realbahis

meritking giriş

meritking

alobet, alobet giriş

alobet, alobet giriş

deneme bonusu

casibom giriş

cratosroyalbet

pasacasino

kingroyal

https://sjconsultors.com/

parmabet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

mariobet

madridbet

betbox

casibom

mavibet giriş

meritking

dedektör

vdcasino giriş

jojobet

grandpashabet giriş

holiganbet

jojobet güncel giriş

jojobet

betsat

bets10 sorunsuz giriş

jojobet giriş

marsbahis

sweet bonanza

realko

coinbar giriş

setrabet

jojobet

anadoluslot

timebet

jojobet giriş

goldenbahis

meritking giriş

meritking güncel giriş

meritking güncel giriş

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino

betlivo

millibahis

millibahis

celtabet

millibahis

parmabet giriş

mavibet giriş

coinbar

coinbar

mislibet giriş

mavibet

parmabet giriş

parmabet

bahiscasino

mavibet

mavibet giriş

coinbar giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

romabet

meritking

deneme bonusu

av ซับไทย

vdcasino

vdcasino

xxxเย็ดยับ

madridbet

madridbet

casibom güncel giriş

jojobet

marsbahis

betsat giriş

aresbet, aresbet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

bets10

betsat

sekabet güncel giriş

jojobet

grandpashabet

jojobet

casibom

jojobet

jojobet

betcio

casibom

casibom

grandpashabet

Hacklink panel

betturkey

safirbet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

trendbet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

marsbahis

marsbahis

betturkey giriş

Featured Kitaifa

JKT MKOMBOZI WA WANANCHI MBEGU ZA KISASA ZA MCHIKICHI MKOANI KIGOMA

Written by mzalendo
Mwenyekiti  wa Kamati ya Kimkakati ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Brigedia Jenerali Hassan Mabena,akizungumza   wakati wa ziara yake ya kukagua mradi wa kilimo cha mchikichi katika  Kikosi cha 821 KJ Bulombora mkoani Kigoma.
Na.Alex Sonna-KIGOMA
JESHI la Kujenga Taifa (JKT) katika Kikosi cha 821 Bulombora kwa kushirikiana na Taasisi ya Utafiti wa Kilimo(TARI-Kigoma) wamezalisha miche takribani 300,000 imezalishwa na kuigawa bure kwa wakulima wakubwa, wa kati na mmoja mmoja na kupitia vyama vya ushirika kwa halmashauri zote za Mkoa wa Kigoma.
Hayo yamesemwa na Mwenyekiti  wa Kamati ya Kimkakati ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Brigedia Jenerali Hassan Mabena,wakati wa ziara yake ya kukagua mradi wa kilimo cha mchikichi katika  Kikosi cha 821 KJ Bulombora mkoani Kigoma.
Amesema baada ya maagizo kutoka Serikalini walishirikiana na taasisi ya tari katika kuandaa vitalu ambavyo viliwasaidia kuandaa miche iliyokwenda kutumika katika kwa wakulima mbalimbali.
“Zoezi hili limekwenda vyema na miche zaidi ya 300,000 imegawiwa kwa wakulima bure na maofisa ugani katika kata walisimamia kuhakikisha kuwa inapandwa kitaalamu kwenye mashamba ya wakulima,”amesema Brigedia Jenerali Mabena
Brigedia Jenerali Mabena ambaye Mkuu wa Tawi la Utawala la JKT,  amesema wamejiwekea malengo ya kuhakikisha kuwa wanafikia ekari 2000 hadi kufikia mwaka 2024/25 na kwamba hadi sasa wameandaa na kupanda ekari 1100.
“Wenzetu wa TARI (Taasisi ya Utafiti wa Kilimo)  Mkoa wa  Kigoma wapo hapa kuhakikisha kuwa wanashirikiana na kikosi kuhakikisha kuwa miche hii inakua na kama kuna changamoto zozote zile basi tuweze kuchukua hatua ili kufikia malengo tuliojipangia,”amesema.
Akizungumza kuhusu unufaika wa vijana wakujitolea na wale wa kwa mujibu wa sheria , Brigedia Jenerali Mabena amesema vijana wanaolelewa na JKT, mbali ya kufundishwa mafunzo ya uzalendo, ukakamavu wanafundishwa shughuli za kilimo, stadi za maisha pamoja na ujasiriamali.
Amesema katika mafunzo ya kilimo, vijana hao wamehusika katika hatua zote za kilimo cha chikichi ikiwemo  kuandaa miche hadi kupanda.
Akielezea kuongeza thamani kwa mazao yanayozalishwa, Brigedia Jenerali Mabena amesema kupitia shamba darasa na mashine ndogo zilizopo katika kikosi hicho, vijana hao wameelekezwa namna ya kuchakata mafuta ya kula.
Amesema pia wameongezewa maarifa na kufundishwa jinsi ya  kuongeza thamani mbegu pia zinazobakia kwa kutengeneza sabuni ambazo hutumika katika shughuli mbalimbali za usafi.
Aidha,  Brigedia Jenerali Mabena amesema mpango wa kuongeza thamani kwa mazao yanayozalishwa kwenye vikosi na baadhi yake vimeshafungua viwanda vidogo vya kuchakata mafuta ya alizeti kwa ajili ya matumizi ya vikosi na majirani wanaowazunguka.
“Lakini pia mashudu kwa maana ya mabaki yanayotokana na alizeti yamekuwa yakichanganywa na virutubisho vingine kwa ajili ya kupata chakula cha mifugo. Sote tunafahamu mbali na kilimo Jeshi la Kujenga Taifa linajishughulisha na ufugaji wa ng’ombe, mbuzi, kondoo, kuku,”amesema.
Amesema tathimini imeshafanyika na maeneo yameshafanyiwa tathimini ( survey) kwa ajili ya ujenzi wa viwanda vikubwa vya kuongeza thamani na kuwa wakipata fedha watakwenda kujenga.
Ametoa mfano wa maeneo waliyokwenda kuyatazama kuwa ni Kikosi cha JKT Chita,mkoani Morogoro ambapo wanalima mpunga kwa kutumia teknolojia ya kisasa na kuwa wakiweza kulima ekari zote 12,000, watahitaji kuwa na viwanda.
“Eneo lile limeshatengwa pale na tiyari hata ule mchakato wa kufuatilia katika baadhi ya nchi kuona kuwa kiwanda amcaho wakiweza umeshafanyika na pia hata katika vikosi ambavyo vinalima mazao mbalimbali kuweza kuongeza thamani. Kwa mfano hapa kwenye mchikichi kuweza kuwa na kiwanda kikubwa kitakacvhoweza kuchakata mafuta na mabaki kwenda kutumika kuzalisha,”amesema.
Kuhusu gharama, amesema zinatofautiana kati ya kiwanda na kiwanda ambapo kiwanda wanachotarajia kukijenga Chita mkoani Morogoro kinatarajiwa kugharimu Sh3 bilioni.
Amesema kiwanda hicho kitakuwa na sehemu ya kutengeneza chakula cha kuku.
Kwa upande wake Kamanda Kikosi cha 821 KJ Bulombora, Luteni Kanali Juma Hongo,amesema wamekuwa wakipokea maombi ya miche ya michikichi kutoka maeneo mbalimbali na hadi kufikia jana walikuwa wamegawa miche zaidi 300,000.
“Kama SUA (Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine), kimechukua miche na wametueleza maendeleo ni mazuri sana lakini kuna mabalozi ambao wako nje ya nchi wametuletea mrejesho mambo ni mazuri, kumekuwa na mahitaji makubwa. Hii inaonyesha kuwa JKT imetekeleza vyema maagizo ya Serikali,”amesema.
Mwenyekiti  wa Kamati ya Kimkakati ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Brigedia Jenerali Hassan Mabena,akizungumza   wakati wa ziara yake ya kukagua mradi wa kilimo cha mchikichi katika  Kikosi cha 821 KJ Bulombora mkoani Kigoma.
Kamanda Kikosi cha 821 KJ Bulombora, Luteni Kanali Juma Hongo,akielezea jinsi walivyojipanga kuzalisha miche ya michikichi kwa ajili ya kuwagawia wananchi miche hiyo.
Mwenyekiti  wa Kamati ya Kimkakati ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Brigedia Jenerali Hassan Mabena,akikagua mradi  wa kilimo cha mchikichi katika  Kikosi cha 821 KJ Bulombora mkoani Kigoma mara baada ya kufanya ziara yake ya kukagua mradi huo.
Muonekano wa  mbegu za kisasa za mchikichi zinazozalishwa na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) katika Kikosi cha 821 Bulombora mkoani Kigoma.

About the author

mzalendo