slot siteleri

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

deneme bonusu veren siteler

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

holiganbet giriş

NervEase

https://r10.net/

hardcore porn

https://r10.net

pusulabet

grandpashabet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

casinoroyal

betasus

sekabet

jojobet

film izle

1xbet giriş

1xbet

jojobet

marsbahis

marsbahis

artemisbet giriş

imajbet giriş

goldenbahis

goldenbahis giriş

perabet giriş

klasbahis

goldenbahis

holiganbet

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

betgar, betgar giriş

betgar, betgar giriş

matbet, matbet giriş

holiganbet

restbet

casibom

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

royalbet

trimology review

jojobet

jojobet

jojobet güncel

jojobet

holiganbet

jojobet adres

jojobet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet güncel giriş

flower disease

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

norabahis

madridbet

grandpashabet giriş

Jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

betturkey giriş

betturkey

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

betpark giriş

trendbet

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

bets10

bets10 giriş

bets10

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

İkimisli

onwin

superbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10 giriş

bets10

holiganbet giriş

kavbet

kavbet giriş

artemisbet

lunabet giriş

artemisbet

kavbet

kavbet

imajbet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

betpark

betwoon giriş

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

superbetin

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

page

Hacklink Panel

holiganbet

vdcasino giriş

bets10 giriş

artemisbet

goldenbahis giriş

imajbet

artemisbet

kavbet giriş

imajbet

Meritking

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

royalbet giriş

jojobet

bets10

bets10

trust score weak 3

jojobet giriş

bets10 giriş

tipobet

lunabet

kavbet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet

jojobet giriş

dinamobet giriş

netbahis

sapanca bungalov

marsbahis giriş

deneme bonusu 2026

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

grandpashabet

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet

casibom giriş

deneme bonusu

dinamobet giriş

hackhaber

casibom

deneme bonusu veren siteler

casibom

bahiscasino, bahiscaasino giriş

marsbahis, marsbahis giriş

kulisbet, kulisbet giriş

bets10

bets10

ilbet

ilbet giriş

jojobet giriş

onwin

royalbet

marsbahis

tipobet giriş

bets10 güncel giriş adresi

betsat

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

sweet bonanza

jojobet giriş

holiganbet giriş

Ankara escort

marsbahis

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino giriş

lunabet

galabet, galabet giriş

grandpashabet

lunabet

lunabet

betasus

dental implants turkey

where to buy fentanyl canada

meritking

deneme bonusu 2026

casibom

holiganbet

holiganbet

holiganbet giriş

holiganbet giriş

holiganbet

deneme bonusu

grandpashabet

jojobet

matbet

marsbahis

pusulabet

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet giriş

meritking

meritking giriş

marsbahis

marsbahis giriş

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

holiganbet

Hacklink panel

Casibom

madridbet

matbet

madridbet

Featured Kitaifa

PPRA YAOKOA SH. BILIONI 16.27 

Written by mzalendo

 

Mkurugenzi wa Huduma za Ushauri na kujenga uwezo kutoka Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma (PPRA) Mhandisi Amini Mcharo,akizungumza na waandishi wa habari leo Aprili 9,2024 jijini Dodoma wakati akitoa taarifa za mafanikio ya miaka mitatu ya Rais Samia na Mageuzi Makubwa katika ununuzi wa Umma nchini.

Na.Alex Sonna-DODOMA

KATIKA kipindi cha Miaka mitatu ya Rais Samia ,Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma (PPRA) imefanikiwa kuokoa shilingi Bilioni 16.27  baada ya kufanya uchunguzi kwenye zabuni zilizotekelezwa katika mwaka wa fedha 2021/22 na 2022/23.

Hayo yamesemwa leo Aprili 9,2024 jijini Dodoma na Mkurugenzi wa Huduma za Ushauri na kujenga uwezo kutoka Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma (PPRA) Mhandisi Amini Mcharo wakati akitoa taarifa za mafanikio ya miaka mitatu ya Rais Samia na Mageuzi Makubwa katika ununuzi wa Umma nchini.

Mhandisi Mcharo amesema kuwa Kati ya fedha hizo, Shilingi Bilioni 13.83 ilitokana na kuingilia kati kwa Mamlaka kwenye mikataba ambayo ilitolewa kwa wazabuni wenye bei ya juu wakati wenye bei ya chini wakitolewa kwenye mchakato.

“Kiasi cha shilingi Bilioni 2.44  ni kiasi kilichorudishwa na wasambazaji wa bidhaa na wakandarasi kwa malipo ya ziada yaliyofanywa na Taasisi Nunuzi”amesema Mhandisi Mcharo

Amesema kuwa PPRA imekuwa ikifanya Kaguzi na uchunguzi mbalimbali na mapambano dhidi ya rushwa kwenye taasisi nunuzi.

“Lengo ni kubaini kuwepo kwa ubadhirifu wa fedha za umma, matumizi mabaya ya madaraka na viashiria vya rushwa.Mara baada ya uchunguzi kukamilika, Mamlaka hutoa taarifa zake kwa taasisi nunuzi na kutoa mapendekezo ya hatua za kuchukuliwa.”amesema

Aidha amesema Mamlaka imewezeshwa kutekeleza vipaumbele mbalimbali katika kusimamia ununuzi wa umma nchini, ambapo imejikita katika maeneo mbalimbali yakiwemo ya ujenzi wa mfumo wa kielektroniki wa ununuzi wa umma na  kuimarisha ufuatiliaji na udhibiti wa ununuzi wa umma.
“Imejikita katika kuwajengea uwezo wadau wa ununuzi wa umma, kutungwa upya kwa Sheria ya Ununuzi wa Umma Na. 10 ya Mwaka 2023, kujenga jengo la ofisi ya makao makuu mkoani Dodoma na kuanzishwa kwa ofisi tano za kanda.”Mhandisi Mcharo
Amesema kuwa Serikali kupitia PPRA, ilianzisha mfumo wa NeST  ili kuwezesha michakato yote ya ununuzi wa umma kufanyika kwa njia ya kielektroniki kwa lengo la kuongeza tija, ufanisi, uwajibikaji na uwazi  kwenye utekelezaji wa michakato hiyo.
Hata hivyo amesema kuwa “Mfumo wa NeST umeunganishwa na mifumo 17 ya serikali kwa lengo la kuongeza ufanisi, kupunguza muda na gharama za michakato ya ununuzi, kudhibiti vitendo vya udanganyifu, rushwa na kuzuia ukosefu wa maadili.”amesema Mhandisi Mcharo
Amesema kuwa Zaidi ya shilingi trilioni 29 zimewekwa kwenye mfumo wa NeST kwa ajili ya kufanya ununuzi wa bidhaa, huduma na kazi za ujenzi. Hadi kufikia Aprili 09, 2024, mikataba ya zaidi ya shilingi trilioni 5.14 imetolewa kwa wazabuni kupitia mfumo wa NeST, ambapo wazabuni 18,101 wamejisajili kwenye mfumo huo.
Mhandisi Mcharo amesema PPRA imewajengea uwezo makundi maalum na imekamilisha tafsiri ya miongozo miwili inayotumika katika ununuzi wa umma, ambayo ni mwongozo wa ushiriki wa makundi maalum katika ununuzi wa umma na mwongozo wa ushirikishwaji wa jamii katika ununuzi wa umma.
Pia, imetafsiri  nyaraka sanifu tatu za zabuni za ushiriki wa makundi maalum katika ununuzi wa umma, nyaraka sanifu ni moja ya zabuni za ushiriki wa jamii katika ununuzi wa umma.
“Hadi kufikia Februari 2024, jumla ya tuzo za mikataba zenye thamani ya shilingi bilioni 1.95 zimetolewa kwa makundi maalum kupitia zabuni za umma zilizotangazwa na taasisi nunuzi kupitia mfumo wa NeST ambapo kundi la vijana wamepata tuzo za mikataba zenye thamani ya shilingi milioni 709, wanawake shilingi bilioni 1.2 na wazee shilingi milioni 78.3.”
Aidha Mamlaka imeandaa sera ya tafiti na agenda iliyoainisha maeneo muhimu ya kufanya utafiti katika ununuzi wa umma. Tafiti zilizokamilika ni kuhusu changamoto na fursa katika ununuzi wa umma na ushiriki wa kampuni za biashara zinazoongozwa na wanawake katika zabuni za umma.
“Mamlaka imekamilisha tafiti ndogondogo katika matumizi ya taratibu ya ununuzi kwa njia ya Force Account ambapo ilibainika kuwa kuna matumizi ya njia hii yasiyoendana na sheria na kanuni inavyoelekeza. Sheria mpya ya ununuzi ya mwaka 2023 imeboresha matumizi ya utaratibu huu.”amesema
Pia ameeleza kuwa Mamlaka ilifanikiwa kusaini hati ya makubaliano na NEEC kwa lengo la kutoa kipaumbele kwa makundi maalumu katika kushiriki fursa zinazotokana na ununuzi wa umma.
Aidha, mamlaka na PCCB zilisaini hati ya makubaliano kwa lengo la kuongeza ushirikiano katika kupambana na rushwa kwenye ununuzi wa umma.
Amesema kuwa Serikali ya Awamu ya Sita imeiwezesha Mamlaka kujenga jengo la ofisi za Makao Makuu jijini Dodoma pamoja na uanzishwaji wa ofisi mpya za kanda tano na hivyo kufanya mamlaka kuwa na ofisi sita za kanda.

About the author

mzalendo