Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

kulisbet giriş

mavibet

piabellacasino

mavibet giriş

mavibet

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

piabellacasino

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino giriş

deneme bonusları veren siteler

doeda

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

meritking

gobahis, gobahis giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

jojobet

betsat

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

safirbet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

medusabahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

doeda

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

İmajbet

grandpashabet

imajbet

betlivo

betra

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

grandpashabet

meritbet

tümbet güncel giriş

betsat

vdcasino giriş

jojobet

Jojobet

betsat

meritbet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

betpark

girne escort

magusa escort

bahibom

jojobet

tubidy

medusabahis

Girne Escort

deneme bonusu

taraftarium

taraftarium

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

fixbet

casibom

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

holiganbet

grandpashabet

vidobet

vdcasino giriş

Featured Kitaifa

MBUNGE KEYSHA AGAWA MITUNGI 200 YA GESI KWA WATU WENYE ULEMAVU MKOA WA DODOMA

Written by mzalendo

 

Mbunge wa Viti maalum Mhe Khadija Shabani Taya (Keysha) akiwa na Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Kazi, Ajira, Vijana na watu wenye Ulemavu Mhe. Patrobas Katambi wakikabidhi mitungi 200 kwa watu wenye ulemavu mkoa wa Dodoma .

Na Mathias Canal, Dodoma

Mbunge wa Viti maalum Mhe Khadija Shabani Taya amempa tano Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kuhimiza Nishati safi ya kupikia ikiwa ni agenda ya kumtua Mama kuni kichwani.

Hiyo ni miongoni mwa mkakati jumuishi wa kuhakikisha matumizi ya nishati safi ya kupikia ili mpaka kufikia 2033 wananchi zaidi ya 80% wawe wanatumia nishati safi ya kupikia ikiwemo gesi na mkaa ulioboreshwa.

Akizungumza wakati wa hafla ya kukabidhi mitungi 200 kwa watu wenye ulemavu mkoa wa Dodoma iliyofanyika jana tarehe 7 Aprili 2024, Mbunge Keysha amesema kilichofanyika ni mwendelezo wa kile ambacho amekuwa akikifanya kwa watu wenye Ulemavu ikiwemo kusikiliza na kuzitafutia ufumbuzi Changamoto mbalimbali zinazowakabili.

Mbunge Keysha amemshukuru Rais Samia kwa kuwajali watanzania hususani watu wenye ulemavu nchini.

“Na Mimi ninapoendelea kusema pale Bungeni haina maana kwamba sifurahishwi na mambo ambayo yamefanywa lakini jinsi ambavyo changamoto zinapozidi kutatuliwa ndivyo ambavyo changamoto zingine zinaendelea kuonekana, hatuna nia mbaya, nia yetu ni kujenga” amekaririwa Mhe Khadija

Katika hafla hiyo iliyoambatana na chakula cha jioni ikiwa ni sehemu ya iftar iliyofanyika katika viwanja vya CCM Mkoa wa Dodoma Mbunge Khadija ameiomba Serikali kurejesha asilimia mbili ambayo anaamini kuwa ni ukombozi kwa watu wenye ulemavu katika kujikwamua kimaisha na kiuchumi.

“Uzuri Naibu Waziri wa Tamisemi yupo hapa, naomba katika Halmashauri zetu Asilimia mbili peke yake zitawasaidia wajasiriamali, lakini kuna masuala ya mafuta ya watu wenye ualbino, kuna Vifaa kama (wheelchair), fimbo za watu wasioona n.k, tunaomba Ofisi yenu kupitia Halmashauri zenu ziendelee kutoa Vifaa ili maisha yetu yawe rahisi”

Mhegi rasmi katika hafla hiyo-Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Kazi, Ajira, Vijana na watu wenye Ulemavu Mhe. Patrobas Katambi amesema Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan imefanya jitihada mbalimbali katika kuwahudumia watu wenye ulemavu na wao kama Wizara wataendelea kufanya jitihada mbalimbali kuwazingatia watu wa Kundi hilo.

“tumefungua mfuko maalum kwaajili ya watu wenye ulemavu, Khadija Taya amefanya kazi hiyo na Fedha tayari tuna Shilingi Bilioni Moja kwa ajili ya watu wenye Ulemavu”

Mhe. Katambi amempongeza Mbunge Keisha kwa Jambo hilo la kufuturisha alilolifanya ambalo linatokana na upendo mkubwa alionao kwa wananchi.

“Alichokitoa hapa sio futari wala sio maji au soda, ametoa upendo wa dhati na moyo wa kujitoa tumekula upendo wake, tumekula matumaini yake, tumekula imani kubwa aliyonayo kwenu tumlipe hiyo kwa kuendelea kumfanya kuwa Kiongozi wetu, imani huzaa imani” Amesema Naibu Waziri Katambi

Kwa Upande wake mwakilishi wa Mufti Shekh Harith Nkussa amewasisitiza watanzania na hususani Waislamu kutoa mahitaji mbalimbali kwa watu wenye mahitaji maalumu kama alivyofanya Mbunge Keisha.

Mbali na Viongozi hao wa Serikali ibada hiyo imehudhuriwa pia na Wabunge mbalimbali wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

About the author

mzalendo