Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

mavibet

setrabet

betebet

betebet

gonebet

piabet

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

istanbul escort

bets10

bets10 giriş

vdcasino giriş

millibahis

vipslot

festwin

parmabet

celtabet

kulisbet giriş

mavibet

holiganbet güncel giriş

mavibet giriş

piabellacasino giriş

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

mavibet giriş

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino

deneme bonusları veren siteler

doeda

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

bets10

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

sahabet

betsat

dinamobet giriş

casibom

jojobet

casibom

jojobet

jojobet

ultrabet

fixbet

fixbet

casibom

fixbet

Hacklink panel

betturkey

betnano

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

capitolbet güncel giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

kralbet giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

doeda

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa haber

jojobet güncel giriş

İmajbet

royalbet

imajbet

betgross

biabet

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

casibom güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

grandpashabet

pokerklas

grandpashabet

bets10

vdcasino

jojobet

Jojobet

matbet

redwin

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

holiganbet giriş

holiganbet

betsat güncel giriş

girne escort

magusa escort

bahibom

jojobet

tubidy

kralbet

Girne Escort

deneme bonusu

taraftarium

taraftarium

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

fixbet

casibom

Featured Michezo

BONANZA LA PASAKA LA WIZARA YA FEDHA LANOGA

Written by mzalendo
Mkurugenzi wa Idara ya Utawala na Rasilimali Watu wa Wizara ya Fedha, Bw. Lusius Mwenda (wapili kulia), akizungumza katika Bonanza la Pasaka lililofanyika katika viwanja vya Kilimani Jijini Dodoma, lililoandaliwa na Wizara ya Fedha kwa kushirikiana na Ofisi ya Rais Fedha na Mipango Zanzibar, lengo likiwa ni kuimarisha uhusiano kati ya Wizara ya Fedha Tanzania Bara na Ofisi ya Rais Fedha na Mipango Zanzibar pamoja na Taasisi zake, Bonanza hilo linaambatana na matendo ya huruma yatakayofanyika tarehe 31/03/2024.
Mkurugenzi wa Idara ya Utawala na Rasilimali Watu wa Wizara ya Fedha, Bw. Lusius Mwenda, akikagua timu za mpira wa miguu zikihusisha wachezaji kutoka Wizara ya Fedha-Bara na wachezaji kutoka Ofisi ya Rais Fedha na Mipango Zanzibar, kabla ya kuanza kwa mchezo huo katika uwanja wa Kilimani Jijini Dodoma, lengo likiwa ni kuimarisha uhusiano kati ya Wizara ya Fedha-Bara na Ofisi ya Rais Fedha na Mipango Zanzibar pamoja na Taasisi zake.
Afisa Uendeshaji, Ofisi ya Rais Fedha na Mipango Zanzibar, Bw. Rajab Uweje, akizungumza, kwa niaba ya Mkurugenzi, Utumishi na Uendeshaji Ofisi ya Rais Fedha na Mipango Zanzibar Bw. Suleiman Mohammed Rashid, wakati wa kufungua Bonanza la Pasaka kwa niaba ya Mkurugenzi wa Utumishi, na Uendeshaji Ofisi ya Rais Fedha na Mipango Zanzibar, Bw. Suleiman Mohamed Rashid, lililofanyika katika viwanja vya Kilimani Jijini Dodoma, lengo likiwa ni kuimarisha uhusiano kati ya Wizara ya Fedha Tanzania Bara, Ofisi ya Rais Fedha na Mipango Zanzibar pamoja na Taasisi zake.
Afisa Uendeshaji, Ofisi ya Rais Fedha na Mipango Zanzibar, Bw. Rajab Uweje, akizungumza, na Afisa Usimamizi wa Fedha Mwandamizi, Wizara ya Fedha, Bw. Mgusi Musifa ambaye pia ni Mwenyekiti wa Bonanza la Pasaka, mara baada ya mapumziko mafupi ya mchezo wa mpira wa miguu uliofanyika katika Uwanja wa Kilimani kati ya Wizara ya Fedha-Bara na Ofisi ya Rais Fedha na Mipango Zanzibar, katika mchezo huo timu hizo zimetoka suluhu.
Washiriki wa Mchezo wa Kuvuta Kamba wa Wizara ya Fedha kutoka Tanzania Bara, wakichuana kuvuta kamba dhidi ya washiriki kutoka Ofisi ya Rais Fedha na Mipango Zanzibar, (hawapo pichani), katika Bonanza la Pasaka lilofanyika katika viwanja vya Kilimani Jijini Dodoma huku Wizara ya Fedha Tanzania Bara ikiibuka mshindi wa shindano hilo, Lengo la Bonanza hilo ni kuimarisha uhusiano kati ya Wizara ya Fedha, Ofisi ya Rais Fedha na Mipango Zanzibar pamoja na Taasisi zake.
Baadhi ya washiriki waliohudhuria katika Bonanza la Pasaka liliofanyika katika Uwanja wa Kilimani, wakifuatilia michezo mbalimbali iliyokuwa inaendelea katika uwanja huo baina ya Wizara ya Fedha -Bara na Ofisi ya Rais Fedha na Mipango Zanzibar, ambapo michezo mbalimbali imechezwa ikiwemo, kuvuta kamba, mpira wa miguu na mpira wa kikapu.
Picha za matukio mbalimbali ya watumishi kutoka Wizara ya Fedha, Tanzania Bara na Ofisi ya Rais Fedha na Mipango Zanzibar, wakishiriki michezo ya kuvuta kamba na mpira wa miguu kwa wanaume, lengo likiwa ni kuimarisha uhusiano kati ya Wizara ya Fedha Tanzania Bara, Ofisi ya Rais Fedha na Mipango Zanzibar, pamoja na Taasisi zake, michezo hiyo imefanyika katika viwanja vya Kilimani jijini Dodoma.
 
(Picha na Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali, WF, Dodoma)
Na Chedaiwe Msuya na Asia Singano- WF- Dodoma
 
Wizara ya Fedha pamoja na Taasisi zake, Tanzania Bara na Ofisi ya Rais Fedha na Mipango zanzibar zimeendelea kuimarisha ushirikano wake kupitia njia mbalimbali ikiwemo michezo.
 
Akizungumza katika Bonanza la Pasaka lililofanyika katika Uwanja wa Kilimani jijini Dodoma, Mkurugenzi wa Idara ya Utawala na Rasilimali Watu wa Wizara ya Fedha, Bw. Lusius Mwenda, amesema michezo hiyo ni moja kati ya njia moja wapo ya kudumisha muungano kati ya Tanzania Bara na Zanzibar.
 
“Tupo hapa Kilimani kama wanamichezo kwa maana ya Ofisi ya Wizara ya Fedha, Tanzania Bara na wenzetu Ofisi ya Rais, wizara ya fedha kule Zanzibar, kila mwaka wakati wa Pasaka huwa tunakutana kama watumishi na kama wanamichezo kwa ajili ya kufanya Tamasha la Pasaka ambapo tunakuwa na michezo mbalimbali ikiwa ni pamoja na mpira wa miguu, kuvuta kamba, netiboli pia, kubwa sana katika mashindano haya ni ushirikiano kati ya sisi tuliopo Tanzania Bara na wenzetu walioko Tanzania Zanzibar’’ Alisema Bw. Mwenda.
 
Akizungumza kwa niaba ya Mkurugenzi, Utumishi na Uendeshaji Ofisi ya Rais Fedha na Mipango Zanzibar, Bw. Suleiman Mohammed Rashid, mara baada ya kufungua Bonanza hilo, Afisa Uendeshaji, Ofisi ya Rais Fedha na Mipango Zanzibar, Bw. Rajab Uweje, ameshukuru Uongozi wa Wizara ya Fedha Tanzania Bara kwa kuendelea kushirikiana na Ofisi ya Rais Fedha na Mipango Zanzibar kuimarisha uhusiano kupitia Tamasha la Pasaka linalofanyika kila mwaka.
 
‘’Tunashirikiana katika masuala ya michezo kama haya kwa ajili ya kuimarisha udugu wetu na kuzidi kufahamiana katika masuala ya kazi, kwahiyo ni kitu kizuri ambacho tunakiendeleza tumekirithi kutoka kwa watangulizi wetu na kina manufaa makubwa sana kwetu sisi tunawashukuru viongozi wetu wa Wizara zetu hizi mbili kwa kuendelea kuimarisha mahusiano haya na yanatusaidia kwa kiasi kikubwa’’ alisema Bw. Uweje.
 
Kwa upande wa Mwenyekiti wa Bonanza la Pasaka ambaye pia ni Afisa Usimamizi wa Fedha Mwandamizi, Wizara ya Fedha, Bw. Mgusi Musifa, alisema kwa mwaka huu Kamati ya Maandalizi ya Tamasha hilo   imefanya maboresho katika Bonanza ikilinganishwa na miaka ya nyuma hususani katika mchezo wa mpira wa miguu kutokana na kuweka timu mbalimbali za nje mbali na timu ya Wizara ya Fedha, Tanzania Bara na Ofisi ya Rais Fedha na Mipango Zanzibar.
 
“Tukiongelea histori ya nyuma wakati huu tumeboresha kidogo, kwa sababu kawaida tulikuwa tukicheza sisi Hazina Bara na Hazina visiwani lakini leo tumekuwa na timu sita’’ aliongeza Bw. musifa.
 
Tamasha hili la Pasaka limekuwa likifanyika kwa zaidi ya miaka ishirini sasa na limekuwa likifanyika kwa kuunganisha pande zote mbili za Muungano kwa miaka yote hiyo. Na timu zilizoshiriki ni pamoja na timu ya Maveterani kutoka Bara na visiwani,Police FC, Hazina Sports club, GPSA, PSPTB, Area C na nyingine zao.

About the author

mzalendo