marsbahis giriş

marsbahis giriş telegram

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Postegro

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

หวยออนไลน์

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

bets10

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

jojobet giriş

NervEase

escort sakarya

sakarya escort

izmit escort

betbey

imajbet

meritking giriş

ganobet

bets10 giriş

padişahbet

holiganbet

grandpashabet

jojobet

dizipal

1xbet

1xbet

romabet

marsbahis

royalbet

artemisbet

kavbet

parmabet

mislibet

imajbet giriş

artemisbet

imajbet

interbahis

kulisbet giriş

pusulabet giriş

betparibu, betparibu giriş

kulisbet, kulisbet giriş

bahiscasino, bahiscaasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

betebet

restbet

jojobet giriş

pokerklas

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

jojobet

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

holiganbet

holiganbet

pusulabet

holiganbet giriş

Nitric Boost

markajbet güncel giriş

betebet

gonebet, gonebet giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet giriş

dinamobet

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

netbahis

netbahis giriş

netbahis

netbahis giriş

sahabet

madridbet giriş

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

netbahis

netbahis giriş

betsat

betsat giriş

pokerklas

pokerklas giriş

holiganbet

kingroyal giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

kıbrıs escort

taksimbet

jojobet güncel giriş

xslot

xslot giriş

xslot

xslot giriş

bets10

bets10

bets10 giriş

Fixbet

jojobet

meritking

vdcasino

Featured Kitaifa

WAZIRI JAFO AWAPONGEZA WATENDAJI OFISI YA MAKAMU WA RAIS 

Written by mzalendo

……

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Selemani Jafo amewapongeza watendaji wa Ofisi ya Makamu wa Rais kwa kufanya kazi kwa bidii na kudumisha Muungano.

Amewapongeza watendaji hao kwa kujituma katika kuwezesha kufanyika kwa vikao vya Masuala ya Muungano ambavyo vina kazi ya kujadili masuala ya Muungano.

Akifungua Mkutano wa Nne wa Baraza la Wafanyakazi wa Ofisi ya Makamu wa Rais Machi 26, 2024 jijini Dodoma, Dkt. Jafo amesema mafanikio ya utekelezaji wa majukumu hayo ni matunda ya ushirikiano baina ya watumishi katika Ofisi hiyo.

Amesema katika kuelekea miaka 60 ya Muungano yapo mengi ya kujivunia yakiwemo utatuzo wa chanamoto za Muungano kutokana na maelekezo ya viongozi wa kitaifa, ambayo kwa kiasi kikubwa ni matunda ya utendaji wa watumishi wa Ofisi ya Makamu wa Rais

Pia, Waziri Jafo amewapongeza watendaji hao kwa kusimamia vyema miradi ya mazingira ambayo imewajengea wananchi uwezo wa kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi.

Sanjari na hilo amewaasa kuendelea kushikamana na kufanya kazi kwa kujituma ili mafanikio makubwa yanayopatikana kupitia miradi hiyo yaendelee kuwanufaisha wananchi.

Amesema kuwa kila mmoja ana mchango katika mafanikio yanayopatikana katika Ofisi na kwamba anapaswa kuwa mfano wa kuigwa kwa jamii na taifa kwa ujumla hivyo anapaswa kuacha alama.

“Mnakumbuka katika moja vikao vya wafanyakazi wa Ofisi ya Makamu wa Rais niliwahi kusema kwamba kufanya kazi ni moja ya ibada, hivyo kila mmoja wetu anapaswa kuitendea haki nafasi aliyonayo ili mchango wake uendelee kuwa mfano wa kuigwa na matokeo ya Ofisi hii yaendelee kuwa mfano wa kuigwa,” amesema.

Kadhalika, Dkt. Jafo amesisitiza jukumu lililopo mbele ni kuhakikisha maono ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Sukuhu Hassan kuhusu matumizi ya nishati safi ya kupikia ili kupunguza athari za afya na mazingira yanafikiwa.

.

Kwa upande mwingine amewapongeza wataalamu kutoka Ofisi ya Makamu wa Rais walioshiriki Mbio za Mwenge wa Uhuru 2024 ambao ulikuwa na kaulimbiu ‚Tunza Mazingira Okoa vyanzo vya Maji, kwa Ustawi wa Viumbe Hai na Uchumi wa Taifa” kwa lengo la kutoa elimu kwa umma kuhusu uhifadhi na usimamizi wa mazingira.

Amesema elimu ya mazingira inayotolewa imesaidia kukuza uelewa wananchi katika zoezi la upandaji wa miti hususan katika kila halmashauri ambapo katika kipindi cha mwaka huu tayari miti zaidi ya milioni 270 imeshapandwa katika halmashauri zote nchi.

  

“Ni matumaini yangu kuwa ushiriki wetu mwaka huu utakuwa umeboreshwa zaidi ili kupata muda wa kutosha kukutana na wananchi na kutoa elimu ya mazingira kwa umma wa watanzania wenzetu kote nchini,” amesema.

 

Awali, Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais ambaye pia ni Mwenyekiti wa Baraza la Wafanyakazi Bi. Mary Maganga amesema ushirikiano baina ya wafanyakazi, upendo na kujituma katika kazi itasaidia kuleta matunda mazuri.

Kwa upande wake, Mwakilishi wa Mwenyekiti wa Chama cha Wafanyakazi wa Serikali na Afya Tanzania (TUGHE) Bw. Jonas Rwegoshora ameipongeza Ofisi ya Makamu wa Rais namna watumishi wake wanavyofanya kazi kwa ushirikiano.

Amesema huo ni mfano wa kuigwa na taasisi nyingine ambazo katika mikutano kumekuwa na migogoro tofauti alivyoshuhudia kwenye mkutano huo.

 

About the author

mzalendo