Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

retro bowl

retro bowl unblocked 76

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

casibom

betgar giriş

bets10 güncel giriş adresi

bets10 giriş

betebet

jojobet giriş

ilbet

hilbet

casibom giriş

holiganbet güncel giriş

Ankara escort

casibom

güvenilir bahis siteleri

film izle

vdcasino giriş

betasus

marsbahis, marsbahis giriş

Google

bahiscasino

ultrabet

marsbahis güncel giriş

holiganbet giriş

Greece Fentanyl Buy

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

casibom

holiganbet

holiganbet

casibom giriş

matbet giriş

matbet

deneme bonusu

esbet

nesinecasino

holiganbet

bahiscasino

betgit

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

limanbet

marsbahis

betnano

parmabet

kingroyal

jojobet giriş

jojobet

aresbet giriş

aresbet

mislibet

meritking

marsbahis

mavibet

meritking

meritking giriş

mavibet güncel giriş

marsbahis güncel giriş

marsbahis güncel giriş

limanbet

bahiscasino giriş

royalbet

mislibet

aresbet

royalbet

parmabet

romabet

Hacklink panel

betpas

jojobet

Google

jojobet

holiganbet

bahiscasino giriş

mislibet giriş

royalbet giriş

royalbet giriş

marsbahis giriş

perabet

betpark

parmabet

primebahis

tümbet

tümbet giriş

otobet

otobet giriş

sahabet

meritking giriş

meritking güncel giriş

padişahbet

realbahis

sonbahis

cratosslot

1xBet Giriş

otobet

otobet giriş

roketbet 2026

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

mavibet giriş

timebet

timebet

casibom giriş

meritbet

casibom

uyuşturucu satın al

matbet

runtobet

runtobet giriş

1xbet

pokerklas, pokerklas giriş

galabet

jojobet

perabet giriş

perabet

betnano giriş

betpark giriş

gobahis giriş

betnano

betnano giriş

bahiscasino

gobahis

limanbet giriş

betnano giriş

parmabet giriş

betnano

betkolik giriş

perabet giriş

gobahis giriş

royalbet giriş

aresbet giriş

marsbahis

betkolik

bahiscasino

gobahis giriş

bahiscasino giriş

bahiscasino

aresbet giriş

marsbahis giriş

parmabet giriş

betpark

perabet giriş

mislibet giriş

perabet

limanbet giriş

limanbet giriş

grandbetting

parmabet

matbet, matbet giriş

betcio, betcio giriş

deneme bonusu

casibom giriş

Betsin

enjoybet

kingroyal

https://sjconsultors.com/

ikimisli

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

Mariobet

Mariobet

betbox

casibom

mavibet giriş

meritking

dedektör

vdcasino giriş

marsbahis

casibom

Betsin Güncel Giriş

holiganbet giriş

casibom güncel giriş

holiganbet

betsat

bets10 sorunsuz giriş

jojobet

sonbahis

turkey dental implants

mavibet

mavibet giriş

setrabet

jojobet

anadoluslot

süratbet

jojobet giriş

betvoy

meritking

meritking giriş

meritking güncel giriş

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino

aresbet

mislibet giriş

gobahis

limanbet

mislibet

mavibet

mavibet giriş

mavibet

aresbet giriş

kavbet

kavbet giriş

ikimisli giriş

ikimisli

ikimisli giriş

ultrabet

ultrabet giriş

mavibet

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

romabet

meritking

deneme bonusu veren siteler

av ซับไทย

vdcasino

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Jojobet

Jojobet

casibom güncel giriş

casibom giriş

meritking

bahisvebahis

Featured Kitaifa

ANDAENI MPANGO WA UFADHILI WATAALAMU WA KISWAHILI-MAJALIWA

Written by mzalendo

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameiagiza Wizara ya Elimu, Sayansi, na Teknolojia, iandae mpango maalum wa ufadhili wa wataalam wa lugha ya Kiswahili kwenye ngazi ya shahada ya uzamivu ili kukidhi mahitaji sambamba na kuimarisha mafunzo ya lugha kwa ajili ya kuzalisha wataalam na wakalimani wa kiswahili wenye viwango vya kimataifa.

Waziri Mkuu ametoa maagizo hayo leo (Jumatatu, Machi 18, 2024) wakati alipomwakilisha Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika ufunguzi wa Kongamano la Nne la Idhaa za Kiswahili Duniani linalofanyika katika Hoteli ya Eden Highlands jijini Mbeya.

Amesema Serikali imeendelea kuchukua hatua kadhaa ili kukibidhaisha Kiswahili na moja ya hatua hizo ni kuandaa Mkakati wa Taifa wa kubidhaisha Kiswahili ambao una lengo la kuifanya lugha hiyo kuwa bidhaa kwa kutoa fursa za kujikwamua kiuchumi kwa rasilimaliwatu wanaojihusisha nayo pamoja na watoa huduma za kiswahili.

Amesema Serikali imeendelea kuhakikisha balozi zetu zinakuwa kitovu cha kueneza Kiswahili katika nchi za ughaibuni, ili kufanikisha azma hiyo, Serikali imeratibu ufunguzi wa vituo vipya vya kufundisha Kiswahili katika balozi mbalimbali za Tanzania ughaibuni. Miongoni mwa nchi hizo ni Uholanzi, Falme za Kiarabu za Kiarabu na Dubai, Ujerumani, Italia, Zimbabwe, Nigeria, Comoro, Ufaransa, Korea na Uturuki.

Aidha, Mheshimiwa Majaliwa ameelekeza kuwa nyaraka za mawasiliano za wizara, idara na taasisi zake ziandikwe kwa Kiswahili sanifu, vilevile, mikutano, warsha, dhifa, semina na mijadala ya umma iendeshwe kwa lugha ya Kiswahili.

“Sheria, kanuni, miongozo na mipango mkakati ambayo bado haijatafsiriwa kwa Kiswahili, itafsiriwe kwa kushirikiana na Mabaraza ya Kiswahili (BAKITA na BAKIZA) na watalaamu wengine wa Kiswahili.”alieleza

Pia ameielekeza BAKITA na BAKIZA waandae na kutekeleza mpango wa mafunzo kwa makundi mbalimbali kama vile wahariri, wafasiri, wakalimani, waandishi wa vitabu, walimu, makatibu muhtasi, washereheshaji na makundi mengine mengi yanayotumia na kukieneza Kiswahili.

“…Shirika la Viwango Tanzania, Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba shirikianeni na BAKITA, BAKIZA pamoja na wataalamu wengine wa Kiswahili kutafsiri kwa Kiswahili maelekezo ya bidhaa na huduma zinazotolewa na wadau mbalimbali.”

Akizungumzia kuhusu lengo la kongamano hilo pamoja na mambo mengine amesema linalenga kujadiliana kuhusu maudhui ya utangazaji kwa kutumia lugha ya kiswahili na kutambua jitihada za vyombo vya habari katika kukifanya kiswahili kuwa bidhaa.

“Kiswahili ni utambulisho wa taifa letu na wote tunatambua mchango mkubwa wa Kiswahili katika uhuru wa Tanganyika, Mapinduzi ya Zanzibar na harakati za ukombozi katika bara letu la Afrika.”

Waziri Mkuu amesema kaulimbiu ya kongamano hilo inasema “Tasnia ya Habari na Fursa za Ubidhaishaji wa Kiswahili Duniani”, ambayo kimsingi inaweka msisitizo kuhusu nafasi ya tasnia ya habari katika kukinadi na kukieneza kiswahili duniani. “Kwa upande mwingine, inaweka msisitizo katika nafasi kubwa waliyonayo wanahabari kwa maendeleo ya lugha ya Kiswahili.”alisema

Amesema kaulimbiu hiyo ni utekelezaji wa vitendo wa Ilani ya uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi ya Mwaka 2020/2025, Mpango wa Maendeleo wa Miaka Mitano Awamu ya Tatu, Dira ya Maendeleo ya Taifa Mwaka 2025, Dira ya Maendeleo ya Zanzibar Mwaka 2050 pamoja na Mpango wa Maendeleo ya Zanzibar Mwaka 2021-2026.

Kadhalika, Waziri Mkuu amesema Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan (wakati akiwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania) kwenye ufunguzi wa Maadhimisho ya Siku ya Kiswahili yaliyofanyika Jijini Dodoma, mwezi Januari, 2021 alielekeza Wizara zinazohusika na utamaduni nchini, zibaini maeneo ambayo bado Kiswahili hakitumiki ipasavyo ili hatua zaidi ziweze kuchukuliwa.

Waziri Mkuu amesema Mheshimiwa Rais, alitoa maelekezo kwa mabaraza ya Kiswahili yaandae mikakati mahususi ya kukikuza na kukiendeleza Kiswahili ili Serikali iyawezeshe kwa kuyapatia wataalamu na itenge fedha katika bajeti kwa ajili ya miradi ya Kiswahili ya mabaraza haya.

Kwa upande wake, Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Tabia Maulid amesema kwa kushirikiana na Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo wa Tanzania Bara, Dkt. Damas Ndumbaro watahakikisha lugha ya kiswahili inaendelea kukua kimataifa na kuwa bidhaa muhimu katika kukuza uchumi na kuvutia utalii nchini.

Naye, Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Ndumbaro ametumia fursa hiyo kumpongeza Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa maboresho makubwa aliyoyafanya katika wizara yao katika kipindi cha miaka mitatu tangu Serikali ya awamu ya sita ilipoingia madarakani.

“…Katika kipindi cha miaka mitatu ya uongozi wa Mheshimiwa Rais Dkt. Samia ametuwezesha kufungua vituo 44 vya kufundisha kiswahili na tumeona faida yake. Vyombo vya habari 44 vinatangaza kwa kiswahili duniani na hivyo kukiwezesha kiswahili kuzidi kukua na kupendwa duniani na kuongeza fursa za ajira kwa wahariri, walimu na wakalimani.”

Akizungumzia kuhusu kongamano hilo, Dkt. Ndumbaro amesema lugha ya kiswahili kwa sasa imekuwa bidhaa inayouzika kwa kasi kubwa duniani na Tanzania imeendelea kukuza lugha hiyo kupitia utamaduni, sanaa na michezo kupitia nyimbo na shughuli mbalimbali za kimichezo na utamaduni.

Awali, Katibu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili Tanzania (BAKITA), Consolata Mushi alitumia fursa hiyo kuipongeza Serikali kwa jitihada za kukibidhaisha Kiswahili na kuziagiza balozi za Tanzania katika Mataifa mbalimbali kufungua madarasa ya kufundisha lugha hiyo ambapo hadi sasa vituo 16 vimefunguliwa nje ya nchi na 28 vimefunguliwa nchini.

Mapema, Waziri Mkuu alikabidhi tuzo ya heshima kwa aliyekuwa Rais wa awamu ya Pili, Hayati Ali Hassan Mwinyi ambaye alitoa mchango mkubwa katika kukuza kiswahili kwa kuhamasisha matumizi ya kiswahili sanifu, kukosoa na kuelekeza matumizi sahihi ya maneno ya kiswahili. Pia alikuwa mwenyekiti wa BAKITA (1968-1978).
Tuzo hiyo iliyoandaliwa na Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo kupitia BAKITA kwa kushirikiana na Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari kupitia Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) na kupokelewa na mtoto wa marehemu Abdulla Ali Mwinyi.

About the author

mzalendo