slot siteleri

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

deneme bonusu veren siteler

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

marsbahis

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

matbet

NervEase

https://r10.net/

https://blog.r10.net

https://r10.net

jojobet

holiganbet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

betasus

pusulabet giriş

matbet

grandpashabet

film izle

1xbet giriş

1xbet

holiganbet

holiganbet

marsbahis

artemisbet giriş

imajbet giriş

klasbahis

mavibet giriş

mavibet

klasbahis

goldenbahis

marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

gobahis, gobahis giriş

betgar, betgar giriş

kulisbet, kulisbet giriş

betparibu, betparibu giriş

holiganbet

restbet

casibom

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

goldenbahis

trimology review

jojobet

jojobet

deneme bonusu

jojobet

holiganbet

jojobet

casinolevant

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

matbet giriş

flower disease

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

tipobet

madridbet

grandpashabet giriş

Jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

betturkey giriş

betturkey

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

deneme bonusu veren siteler

trendbet

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

bets10

bets10

bets10

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

İkimisli

onwin

süperbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10 giriş

bets10

holiganbet giriş

kavbet

kavbet giriş

artemisbet

lunabet

artemisbet

kavbet

kavbet

imajbet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

istanbul escort

deneme bonusu

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

betsat

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

page

Hacklink Panel

jojobet

vdcasino giriş

bets10 giriş

artemisbet

mavibet

imajbet

artemisbet

kavbet giriş

imajbet

kralbet giriş

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

goldenbahis giriş

casibom giriş

dlakjfol

jojobet

trust score weak 3

celtabet

bets10 giriş

tempobet

kavbet

kavbet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet

jojobet giriş

dinamobet giriş

netbahis

sapanca bungalov

marsbahis giriş

meritbet giriş

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu veren siteler

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

dinamobet giriş

hackhaber

casibom

deneme bonusu veren siteler

primebahis

matbet, matbet giriş

matbet, matbet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

bets10

bets10

ilbet

ilbet giriş

jojobet giriş

meritking

goldenbahis

Goldenbahis

tempobet giriş

bets10 güncel giriş adresi

betsat

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

sweet bonanza

jojobet giriş

zahnimplantate türkei

Ankara escort

marsbahis

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino giriş

mavibet

kulisbet, kulisbet giriş

grandpashabet

lunabet

norabahis

matbet

holiganbet

Google Search Console giriş

deneme bonusu veren siteler 2026

deneme bonusu 2026

casibom

holiganbet

dental implants turkey

holiganbet giriş

dental implants turkey

full mouth dental implants turkey

deneme bonusu

sekabet

pusulabet

grandpashabet

marsbahis

imajbet

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

Featured Kitaifa

ANDAENI MPANGO WA UFADHILI WATAALAMU WA KISWAHILI-MAJALIWA

Written by mzalendo

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameiagiza Wizara ya Elimu, Sayansi, na Teknolojia, iandae mpango maalum wa ufadhili wa wataalam wa lugha ya Kiswahili kwenye ngazi ya shahada ya uzamivu ili kukidhi mahitaji sambamba na kuimarisha mafunzo ya lugha kwa ajili ya kuzalisha wataalam na wakalimani wa kiswahili wenye viwango vya kimataifa.

Waziri Mkuu ametoa maagizo hayo leo (Jumatatu, Machi 18, 2024) wakati alipomwakilisha Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika ufunguzi wa Kongamano la Nne la Idhaa za Kiswahili Duniani linalofanyika katika Hoteli ya Eden Highlands jijini Mbeya.

Amesema Serikali imeendelea kuchukua hatua kadhaa ili kukibidhaisha Kiswahili na moja ya hatua hizo ni kuandaa Mkakati wa Taifa wa kubidhaisha Kiswahili ambao una lengo la kuifanya lugha hiyo kuwa bidhaa kwa kutoa fursa za kujikwamua kiuchumi kwa rasilimaliwatu wanaojihusisha nayo pamoja na watoa huduma za kiswahili.

Amesema Serikali imeendelea kuhakikisha balozi zetu zinakuwa kitovu cha kueneza Kiswahili katika nchi za ughaibuni, ili kufanikisha azma hiyo, Serikali imeratibu ufunguzi wa vituo vipya vya kufundisha Kiswahili katika balozi mbalimbali za Tanzania ughaibuni. Miongoni mwa nchi hizo ni Uholanzi, Falme za Kiarabu za Kiarabu na Dubai, Ujerumani, Italia, Zimbabwe, Nigeria, Comoro, Ufaransa, Korea na Uturuki.

Aidha, Mheshimiwa Majaliwa ameelekeza kuwa nyaraka za mawasiliano za wizara, idara na taasisi zake ziandikwe kwa Kiswahili sanifu, vilevile, mikutano, warsha, dhifa, semina na mijadala ya umma iendeshwe kwa lugha ya Kiswahili.

“Sheria, kanuni, miongozo na mipango mkakati ambayo bado haijatafsiriwa kwa Kiswahili, itafsiriwe kwa kushirikiana na Mabaraza ya Kiswahili (BAKITA na BAKIZA) na watalaamu wengine wa Kiswahili.”alieleza

Pia ameielekeza BAKITA na BAKIZA waandae na kutekeleza mpango wa mafunzo kwa makundi mbalimbali kama vile wahariri, wafasiri, wakalimani, waandishi wa vitabu, walimu, makatibu muhtasi, washereheshaji na makundi mengine mengi yanayotumia na kukieneza Kiswahili.

“…Shirika la Viwango Tanzania, Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba shirikianeni na BAKITA, BAKIZA pamoja na wataalamu wengine wa Kiswahili kutafsiri kwa Kiswahili maelekezo ya bidhaa na huduma zinazotolewa na wadau mbalimbali.”

Akizungumzia kuhusu lengo la kongamano hilo pamoja na mambo mengine amesema linalenga kujadiliana kuhusu maudhui ya utangazaji kwa kutumia lugha ya kiswahili na kutambua jitihada za vyombo vya habari katika kukifanya kiswahili kuwa bidhaa.

“Kiswahili ni utambulisho wa taifa letu na wote tunatambua mchango mkubwa wa Kiswahili katika uhuru wa Tanganyika, Mapinduzi ya Zanzibar na harakati za ukombozi katika bara letu la Afrika.”

Waziri Mkuu amesema kaulimbiu ya kongamano hilo inasema “Tasnia ya Habari na Fursa za Ubidhaishaji wa Kiswahili Duniani”, ambayo kimsingi inaweka msisitizo kuhusu nafasi ya tasnia ya habari katika kukinadi na kukieneza kiswahili duniani. “Kwa upande mwingine, inaweka msisitizo katika nafasi kubwa waliyonayo wanahabari kwa maendeleo ya lugha ya Kiswahili.”alisema

Amesema kaulimbiu hiyo ni utekelezaji wa vitendo wa Ilani ya uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi ya Mwaka 2020/2025, Mpango wa Maendeleo wa Miaka Mitano Awamu ya Tatu, Dira ya Maendeleo ya Taifa Mwaka 2025, Dira ya Maendeleo ya Zanzibar Mwaka 2050 pamoja na Mpango wa Maendeleo ya Zanzibar Mwaka 2021-2026.

Kadhalika, Waziri Mkuu amesema Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan (wakati akiwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania) kwenye ufunguzi wa Maadhimisho ya Siku ya Kiswahili yaliyofanyika Jijini Dodoma, mwezi Januari, 2021 alielekeza Wizara zinazohusika na utamaduni nchini, zibaini maeneo ambayo bado Kiswahili hakitumiki ipasavyo ili hatua zaidi ziweze kuchukuliwa.

Waziri Mkuu amesema Mheshimiwa Rais, alitoa maelekezo kwa mabaraza ya Kiswahili yaandae mikakati mahususi ya kukikuza na kukiendeleza Kiswahili ili Serikali iyawezeshe kwa kuyapatia wataalamu na itenge fedha katika bajeti kwa ajili ya miradi ya Kiswahili ya mabaraza haya.

Kwa upande wake, Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Tabia Maulid amesema kwa kushirikiana na Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo wa Tanzania Bara, Dkt. Damas Ndumbaro watahakikisha lugha ya kiswahili inaendelea kukua kimataifa na kuwa bidhaa muhimu katika kukuza uchumi na kuvutia utalii nchini.

Naye, Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Ndumbaro ametumia fursa hiyo kumpongeza Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa maboresho makubwa aliyoyafanya katika wizara yao katika kipindi cha miaka mitatu tangu Serikali ya awamu ya sita ilipoingia madarakani.

“…Katika kipindi cha miaka mitatu ya uongozi wa Mheshimiwa Rais Dkt. Samia ametuwezesha kufungua vituo 44 vya kufundisha kiswahili na tumeona faida yake. Vyombo vya habari 44 vinatangaza kwa kiswahili duniani na hivyo kukiwezesha kiswahili kuzidi kukua na kupendwa duniani na kuongeza fursa za ajira kwa wahariri, walimu na wakalimani.”

Akizungumzia kuhusu kongamano hilo, Dkt. Ndumbaro amesema lugha ya kiswahili kwa sasa imekuwa bidhaa inayouzika kwa kasi kubwa duniani na Tanzania imeendelea kukuza lugha hiyo kupitia utamaduni, sanaa na michezo kupitia nyimbo na shughuli mbalimbali za kimichezo na utamaduni.

Awali, Katibu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili Tanzania (BAKITA), Consolata Mushi alitumia fursa hiyo kuipongeza Serikali kwa jitihada za kukibidhaisha Kiswahili na kuziagiza balozi za Tanzania katika Mataifa mbalimbali kufungua madarasa ya kufundisha lugha hiyo ambapo hadi sasa vituo 16 vimefunguliwa nje ya nchi na 28 vimefunguliwa nchini.

Mapema, Waziri Mkuu alikabidhi tuzo ya heshima kwa aliyekuwa Rais wa awamu ya Pili, Hayati Ali Hassan Mwinyi ambaye alitoa mchango mkubwa katika kukuza kiswahili kwa kuhamasisha matumizi ya kiswahili sanifu, kukosoa na kuelekeza matumizi sahihi ya maneno ya kiswahili. Pia alikuwa mwenyekiti wa BAKITA (1968-1978).
Tuzo hiyo iliyoandaliwa na Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo kupitia BAKITA kwa kushirikiana na Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari kupitia Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) na kupokelewa na mtoto wa marehemu Abdulla Ali Mwinyi.

About the author

mzalendo