Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

kulisbet giriş

mavibet

piabellacasino

mavibet giriş

mavibet

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

piabellacasino

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino giriş

deneme bonusları veren siteler

doeda

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

meritking

gobahis, gobahis giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

jojobet

betsat

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

safirbet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

medusabahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

doeda

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

İmajbet

grandpashabet

imajbet

betlivo

betra

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

grandpashabet

meritbet

tümbet güncel giriş

betsat

vdcasino giriş

jojobet

Jojobet

betsat

meritbet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

betpark

girne escort

magusa escort

bahibom

jojobet

tubidy

medusabahis

Girne Escort

deneme bonusu

taraftarium

taraftarium

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

fixbet

casibom

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

holiganbet

grandpashabet

vidobet

vdcasino giriş

Featured Kitaifa

SERIKALI INAENDELEA KUTAMBUA MCHANGO WA MWANAMKE NA KUTHAMINI JITIHADA ZAKE

Written by mzalendo

 

Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima, akizungumza Machi 7,2024 jijini Dodoma wakati akifungua Kongamano la wanawake lililoandaliwa na Taasisi ya Maendeleo ya Jamii Tengeru kwa ushirikiano na Taasisi ya Teknolojia Dar Es Salaam (DIT) kuelekea maadhimisho ya siku ya wanawake Duniani Machi 08.2024

Baadhi ya Washiriki wakimsikiliza Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima (hayupo pichani),  wakati akifungua Kongamano la wanawake lililoandaliwa na Taasisi ya Maendeleo ya Jamii Tengeru kwa ushirikiano na Taasisi ya Teknolojia Dar Es Salaam (DIT) kuelekea maadhimisho ya siku ya wanawake Duniani Machi 08.2024

Na.Alex Sonna-DODOMA

SERIKALI imekuwa mstari wa mbele kutambua mchango wa mwanamke na kuthamini jitihada zake katika kuleta mafanikio na kuhamasisha mabadiliko ya jamii kwa kuzingatia usawa wa Jinsia.

Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima, ameyasema hayo Machi 7,2024 jijini Dodoma wakati akifungua Kongamano la wanawake lililoandaliwa na Taasisi ya Maendeleo ya Jamii Tengeru kwa ushirikiano na Taasisi ya Teknolojia Dar Es Salaam (DIT) kuelekea maadhimisho ya siku ya wanawake Duniani machi 08.2024

Dkt. Gwajima ameitaka  jamii kutumia makongamano  kama fursa  ya kuchochea wajibu wa wanawake kwenye maendeleo ya kiuchumi,Kijamii na kisiasa kitaifa na Kimataifa.

“Serikali kwa kushirikiana na Asasi mbalimbali imekuwa mstari wa mbele kuchochea harakati za kuimarisha, kutetea na kupigania maslahi ya wanawake kwa kuunganisha nguvu na sera kama familia moja.”amesema Dkt.Gwajima

Aidha amesema  Serikali inaendelea kutoa wito kwa jamii nzima kutambua kuwa ujenzi wa Taifa lolote Duniani hauwezekani isipokuwa kwa ushirikiano kati ya mwanamke na mwanamume.

“Ni ukweli usiopingika kuwa wanawake ni msingi wa mabadiliko mbalimbali ikiwemo masuala ya kiuchumi. Hivyo, wasipopewa fursa si rahisi kabisa kwa taifa kuendelea.”amesema

Hata hivyo ameisihi jamii kwa ujumla kushirikiana ili kuendelee kuongeza kasi ya uelewa wa masuala ya jinsia kwa lengo la kuleta mabadiliko chanya ndani ya jamii na hatimaye kuongeza kasi ya maendeleo.

Kwa upande wake Mkuu wa Taasisi ya Maendeleo ya Jamii Tengeru, Dkt Bakari George  amesema, kupitia Kituo cha Kitaifa cha Utafiti na Machapisho Yahusuyo Wanawake (NWRDC) kwa miaka mitatu sasa imekuwa ikiandaa makongamano  ili kujadili tafiti na masuala kadhakuelekea siku ya wanawake duniani na mwaka huu wa imepata mshirika mwenza Taasisi ya Teknolojia ya Dar es Salaam ambapo Taasisi hizi zimeshirikiana kikamilifu kuandaa kongamano hilo.
“Kongamano hili linakusudia kujadili tafiti zipatazo 12 na maandiko ya mawazo bunifu manne (04) yaliyofanywa na wanataaluma na mashirika mbalimbali kuhusu masuala ya kijinsia”amesema  Dkt Bakari.

Amesema wana mipango ya baadaye ya Taasisi hizi kushirikiana kikamilifu katika kutatua changamoto za wanawake na jamii kwa ujumla ambapo Taasisi ya Maendeleo ya Jamii Tengeru itatumia mbinu shirikishi kuibua changamoto za wanawake na kwa kushirikiana na Taasisi ya Teknolojia ya Dar es Salaam watatafuta suluhu za changamoto kwa kutumia teknolojia.

Naye Mwakilishi wa Taasisi ya teknolojia ya Dar es saalam (DIT),Dkt Daud Simbeye,amesema kuwa wataendelea kushirikiana na Taasisi ya Maendeleo ya Jamii cha Tengeru ili kuhakikisha kuwa  tafiti mbalimbali zinafanyika  na kuweza kusaidia serikali kutunga sera na sheria zinazoweza Kuwainua wanawake  kiuchumi na katika fursa mbalimbali.
Awali  Mwakilishi wa Mkuu wa Mkoa wa DodomaBi.,Josephine  Mwaipopo ameshukuru taasisi hizo mbili kwa kuona Dodoma ni sehemu sahihi ya kufanyia Kongamano hilo kwani itakua ni chachu kwa wanawake wa Mkoa wa Dodoma kuamka na kujipambania kiuchumi na kuimarisha vipato vya  familia zao.

About the author

mzalendo