slot siteleri

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

deneme bonusu veren siteler

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

holiganbet giriş

NervEase

https://r10.net/

hardcore porn

https://r10.net

pusulabet

sekabet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

betasus

pusulabet giriş

matbet

jojobet

film izle

1xbet giriş

1xbet

jojobet

holiganbet

marsbahis

artemisbet giriş

imajbet giriş

goldenbahis

goldenbahis giriş

perabet giriş

klasbahis

goldenbahis

holiganbet

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

noktabet, noktabet giriş

betgar, betgar giriş

betorbet, betorbet giriş

holiganbet

restbet

casibom

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

royalbet

trimology review

jojobet

jojobet

jojobet giriş

jojobet

holiganbet

jojobet

jojobet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

holiganbet

flower disease

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

norabahis

madridbet

grandpashabet giriş

Jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

betturkey giriş

betturkey

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

deneme bonusu veren siteler

capitolbet

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

bets10

bets10 giriş

bets10

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu

meritbet

İkimisli

onwin

süperbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10 giriş

bets10

holiganbet giriş

kavbet

kavbet giriş

artemisbet

lunabet

artemisbet

kavbet

kavbet

imajbet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

istanbul escort

cratosroyalbet

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

betsat

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

page

Hacklink Panel

holiganbet

vdcasino giriş

bets10 giriş

artemisbet

perabet

imajbet

artemisbet

kavbet giriş

imajbet

Meritking

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

royalbet giriş

madridbet

holiganbet giriş

jojobet giriş

trust score weak 3

marsbahis

bets10 giriş

deneme bonusu

kavbet

kavbet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet

jojobet giriş

dinamobet giriş

netbahis

sapanca bungalov

marsbahis giriş

meritbet giriş

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu veren siteler

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

dinamobet giriş

hackhaber

grandpashabet

deneme bonusu veren siteler

primebahis

kulisbet, kulisbet giriş

betgar, betgar giriş

kulisbet, kulisbet giriş

bets10

bets10

ilbet

ilbet giriş

jojobet giriş

meritking

royalbet

Goldenbahis

deneme bonusu veren siteler

bets10 güncel giriş adresi

betsat

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

sweet bonanza

jojobet giriş

zahnimplantate türkei

Ankara escort

marsbahis

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino giriş

mavibet

kulisbet, kulisbet giriş

grandpashabet

lunabet

norabahis

betasus

holiganbet

Google Search Console giriş

deneme bonusu

deneme bonusu 2026

casibom

holiganbet

dental implants turkey

holiganbet giriş

dental implants turkey

full mouth dental implants turkey

deneme bonusu

sekabet

pusulabet

marsbahis

vdcasino

imajbet

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

holiganbet

holiganbet giriş

holiganbet güncel giriş

jojobet giriş

jojobet

jojobet

Featured Kitaifa

KAMATI YA BUNGE YA NISHATI NA MADINI YATEMBELEA MGODI WA BARRICK NORTH MARA,YAVUTIWA NA UTENDAJI WAKE

Written by mzalendo
Wabunge wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini wakiangalia utunzaji wa mazingira walipofanya ziara ya kikazi katika mgodi wa Barrick North Mara.
 
-Yaamuru vitendo vya uvamizi wa Mgodi huo vikomeshwe mara moja
***
KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imetembelea Mgodi wa dhahabu wa North Mara uliopo wilayani Tarime na kutoa ushauri wa kuboresha sekta ya madini ili iweze kuwanufaisha wananchi na taifa kwa ujumla.
Pia imepongeza kampuni hiyo kwa kufanya uwekezaji mkubwa wenye tija na ufanikishaji wa miradi ya kijamii kupitia fedha za uwajibikaji kwa jamii (CSR) sambamba na kuendeleza mahusiano na wananchi wanaoishi kwenye maeneo yanayozunguka mgodi.
Ziara ya Kamati hiyo imeongozwa na Mwenyekiti wake, Mh. David Mathayo David.
Awali wajumbe wa Kamati hiyo walipata maelezo kuhusu shughuli za uendeshaji wa mgodi huo kabla ya kutembelea sehemu mbalimbali, ikiwemo eneo la majitaka, kinu cha kuchenjua dhahabu na baadhi ya miradi ya kijamii iliyotekelezwa kutokana na fedha za uwajibikaji kwa jamii (CSR) katika vijiji vilivyo jirani na mgodi wa North Mara.
Baadhi ya miradi hiyo ni Shule ya sekondari Matongo, mradi mkubwa wa maji wa Nyangoto na ule wa kilimo biashara unaoendeshwa na vijana katika kijiji cha Matongo.
Akiongea kwa niaba ya kamati baada ya kumaliza ziara hiyo, Dk.David Mathayo alisema “Kwa muda mfupi mmebadilisha mazingira ya mgodi huu. Mnatunza mazingira vizuri, wabunge wamefurahi – na kwa niaba yao ninawapongeza, endeleeni kuwa watunzaji wazuri wa mazingira kwa usalama wa wananchi wetu.”
Pia Kamati hiyo iliipongeza Barrick kwa kuendelea kuwa mfano mzuri katika ulipaji wa kodi mbalimbali serikalini, pamoja na utoaji wa mabilioni ya fedha za kugharimia utekelezaji wa miradi ya kijamii kupitia mpango wake wa Uwajibikaji kwa Jamii (CSR).
“Kwenye kampuni kubwa za kibiashara ninyi [Barrick] mnaongoza kwa kulipa kodi na kutoa gawio kwa Serikali,” Mathayo alisema katika sehemu ya hotuba yake ya kuhitimisha ziara hiyo.
Kamati hiyo pia ilieleza kuridhishwa na jinsi Kampuni ya Barrick Gold inavyotekeleza Sheria ya ‘Local Content’ na hivyo kuwezesha Watanzania wengi wakiwemo wazawa wanaoishi jirani na migodi yake kunufaika na uwekezaji wake kupitia biashara na ajira, miongoni mwa mambo mengine.
Nao baadhi ya Wabunge wa kamati hiyo walipongeza Barrick kwa kuendelea kuleta mapinduzi kupitia uwekezaji mkubwa wa sekta ya madini nchini na walishauri mgodi uangalie uwezekano wa kuwasaidia wachimbaji wadogo ili wajikwamue kiuchumi kwa kuwapatia baadhi ya maeneo wachimbaji hao.
Akiongea wakati wa ziara hiyo, Naibu Waziri wa Madini, Mh. Steven Kiruswa ,alitoa wito kwa wadau waliopo kwenye sekta ya madini kuzingatia sheria na kanuni zilizowekwa na Serikali ikiwemo kanuni inayohusiana na mgawanyo wa fedha za Uwajibikaji kwa jamii (CSR) na ushirikishwaji wa wazawa wa Tanzania katika shughuli za Mnyororo wa madini (Local content).
“Pamoja na changamoto tulizozisikia kutoka kwa viongozi wa wananchi wa eneo hili linalozunguka mgodi, natoa pongezi kwa kampuni ya Barrick kwa uendeshaji migodi yake nchini kwa weredi, uwazi na kuchangia pato la Taifa kupitia kodi, sambamba na kuleta maendeleo kwa wananchi kupitia miradi inayotekelezwa kwa fedha za uwajibikaji kwa jamii (CSR).
Meneja wa Barrick nchini Tanzania, Melkiory Ngido, aliwashukuru wajumbe wa kamati hiyo kwa kutembelea mgodi huo na kuahidi kuwa maoni na ushauri uliotolewa na wajumbe yatafanyiwa kazi “Barrick siku zote tutahakikisha tunaendesha shughuli zetu kwa uwazi na kufuata sheria na kanuni zilizowekwa na Serikali”,alisisitiza.
Awali akitoa maelezo kuhusiana na shughuli za kampuni, Melkiory Ngido ,alisema Barrick kupitia migodi yake ya North Mara na Bulyanhulu imewekeza hapa Tanzania shilingi zaidi ya trilioni sita, na kwamba kati ya kiasi hicho, Serikali imepokea trilioni tatu ambazo zimelipwa kwa mifumo wa kodi na gawio tangu mwaka 2019 ilipokabidhiwa na kuanza kuendesha migodi hiyo kwa ubia na Serikali ya Tanzania kupitia Kampuni ya Twiga Minerals.
Kuhusu mgodi wa North Mara, Ngido alisema: “Huu mgodi ulitakiwa kuisha [kufika kikomo] mwaka 2026 lakini kwa juhudi za uwekezaji na za kitaalamu utaenda hadi miaka 15 ijayo – utafika hadi mwaka 2039.”
Ngido, alisema Barrick kupitia mpango wake ujulikanao kama The Barrick-Twiga Future Forward Education Programme, imetoa Dola za Kimarekani milioni 30 sawa na shilingi takriban bilioni 70 kwa ajili ya kusaidia uboreshaji wa miundombinu ya shule za sekondari za juu upande wa mabweni na madawati, miongoni mwa mambo mengine katika maeneo mbalimbali nchini.
 
“Mradi huu upo chini ya TAMISEMI na sisi kama Twiga na Barrick tunafurahi kuunga mkono juhudi za Mheshimiwa Rais Dkt.  Samia Suluhu Hassan, ili watoto wote waende A level (high school) na wasome katika mazingira rafiki,” alisema, Ngido.
Kamati hiyo ya Bunge pia ilielezwa kuwa asilimia 96 ya wafanyakazi takriban 3,000 wa Mgodi wa North Mara ni Watanzania, na kwamba juhudi za kuongeza idadi ya wafanyakazi wanawake zinaendelea.
Wakati huo huo, Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imeiagiza Serikali ya mkoa kumaliza tatizo la uvamizi katika mgodi wa North Mara unaofanywa na makundi ya watu (intruders) mara kwa mara kwa lengo la kuiba mawe yenye dhahabu.
 
“Uwekezaji huu ulindwe, hivi mpaka watu wanabeba mapanga na kuvamia mgodi, vyombo vyetu [vya ulinzi na usalama] vinakuwa wapi, vyombo visaidie kutatua tatizo hili (uvamizi mgodini) kwa sababu tunajirudisha nyuma wenyewe na tunaharibu taswira ya nchi yetu kwa wawekezaji,” alionya Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Mathayo.
Kwa upande mwingine, Kamati hiyo imeagiza Serikali ngazi ya wilaya na mkoa kumaliza malalamiko ya wananchi kuhusu mchakato unaotumika katika uthaminishaji wa ardhi inayohitajika kwa ajili ya upanuzi wa shughuli za mgodi wa North Mara.
Baadhi ya viongozi waliofuatana na Kamati hiyo katika ziara hiyo ni Naibu Waziri wa Madini, Dkt Steven Kiruswa, Mkuu wa Mkoa wa Mara, Said Mohamed Mtanda, Mkuu wa Wilaya ya Tarime, Kanali Michael Mntenjele, Madiwani na Wenyeviti wa vijiji kutoka Kata tano zenye vijiji 11 vilivyo jirani na mgodi wa Noth Mara.
Migodi ya dhahabu ya North Mara na Bulyanhulu inaendeshwa na Kampuni ya Barrick kwa ubia na Serikali ya Tanzania kupitia Kampuni ya Twiga Minerals.
Wabunge wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini wakiangalia utunzaji wa mazingira walipofanya ziara ya kikazi katika mgodi wa Barrick North Mara
Sehemu ya wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini wakikagua mradi wa kilimo biashara ulioanzishwa na mgodi wa Barrick North Mara kwa ajili ya kuwawezesha wananchi wanaoishi jirani na mgodi huo katika kijiji cha Matongo.
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini, David Mathayo David akizungumza wakati wa ziara ya kikazi ya kamati hiyo katika mgodi wa Barrick North Mara . kushoto ni Naibu Waziri wa Madini,Mh.Stephen Kiruswa na kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Mara, Said Mtanda.
Meneja wa Barrick nchini Tanzania, Melkiory Ngido (wa pili kushoto) akitoa ufafanuzi katika kikao hicho na Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini ilipotembelea mgodi wa Barrick North Mara ,kushoto ni Meneja wa mgodi wa North Mara,Apolinary Lyambiko,kulia ni Meneja wa Mahusiano ya Jamii wa mgodi huo Francis Uhandi.
Diwani wa kata ya Nyamwaka, Mwita Marwa Magige akizungumza wakati wa kikao cha Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini katika mgodi wa Barrick North Mara 
Baadhi ya wabunge kutoka Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini wakifuatilia maelezo kutoka kwa watendaji wa Barrick wakati walipotembelea mgodi wa North Mara

About the author

mzalendo