slot siteleri

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

deneme bonusu veren siteler

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

jojobet giriş

NervEase

sapanca escort

google algoritma hack

escort sapanca

jojobet

holiganbet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

marsbahis

pusulabet giriş

jojobet giriş

grandpashabet

film izle

1xbet giriş

1xbet

gameofbet

madridbet

marsbahis

artemisbet giriş

artemisbet giriş

klasbahis

mavibet giriş

mavibet

klasbahis

goldenbahis

jojobet

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

alobet, alobet giriş

betgar, betgar giriş

kulisbet, kulisbet giriş

noktabet, noktabet giriş

holiganbet

restbet

casibom

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

timebet

trimology review

jojobet

jojobet

deneme bonusu

meritking giriş

holiganbet

jojobet

casinolevant

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

celtabet

dinamobet giriş

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

tipobet

Pusulabet

grandpashabet giriş

Jojobet

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet

betturkey giriş

betturkey

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

deneme bonusu veren siteler

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

bets10

bets10 giriş

zirvebet

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

İkimisli

onwin

süperbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10

holiganbet giriş

kavbet

kavbet giriş

artemisbet

artemisbet giriş

artemisbet

kavbet

matbet

savoybetting

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

istanbul escort

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

betsat

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

page

Hacklink Panel

cratosroyalbet

vdcasino giriş

bets10 giriş

artemisbet

mavibet

imajbet

artemisbet

klasbahis

artemisbet giriş

kralbet giriş

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

timebet giriş

casibom giriş

meritking

jojobet

trust score weak 3

jojobet giriş

slot siteler

tipobet giriş

kavbet

kavbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

casibom

netbahis

sapanca bungalov

marsbahis giriş

meritbet giriş

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu veren siteler

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

casibom

deneme bonusu veren siteler

primebahis

betingo, betingo giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

madridbet

bets10

ilbet

ilbet giriş

jojobet giriş

meritking

timebet

Piabet

tipobet

bets10 güncel giriş adresi

betsat

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

sweet bonanza

jojobet giriş

zahnimplantate türkei

Ankara escort

marsbahis

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino giriş

mavibet

kulisbet, kulisbet giriş

grandpashabet

lunabet

norabahis

betasus

padişahbet

Google Search Console giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

casibom

holiganbet

dental implants turkey

holiganbet giriş

dental implants turkey

full mouth dental implants turkey

casibom

vdcasino

sekabet

grandpashabet

matbet

grandpashabet

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

queenbet

Featured Kitaifa

MAAFISA FORODHA NA WASIMAMIZI WA SHERIA MIPAKANI WAHIMIZWA USIMAMIZI WA KEMIKALI ZINAZOHARIBU TABAKA LA OZONI

Written by mzalendo

Mkurugenzi Msaidizi wa Mazingira Ofisi ya Makamu wa Rais, Mhandisi Catherine Bamwenzaki akizungumza wakati wa ufunguzi wa mafunzo kwa Maafisa Forodha na Wasimamizi wa Sheria waliopo Mpaka wa Sirari Mkoani Mara leo( Jumamosi Februari 17, 2024) wakati wa mafunzo hayo ya siku mbili yaliyoanza tarehe 17 hadi 18 Februari, 2024 yanayolenga kujenga uelewa kuhusu kudhibiti wa uingizaji wa kemikali zinazoharibu tabaka la ozoni.

Mkurugenzi Msaidizi wa Mazingira Ofisi ya Makamu wa Rais, Mhandisi Catherine Bamwenzaki akizungumza wakati wa ufunguzi wa mafunzo kwa Maafisa Forodha na Wasimamizi wa Sheria waliopo Mpaka wa Sirari Mkoani Mara leo( Jumamosi Februari 17, 2024) wakati wa mafunzo hayo ya siku mbili yaliyoanza tarehe 17 hadi 18 Februari, 2024 yanayolenga kujenga uelewa kuhusu udhibiti wa uingizaji wa kemikali zinazoharibu tabaka la ozoni. Katikati ni Meneja Msaidizi wa Forodha, Mkoa wa Mara Bw. Said Hemed na Afisa Mwandamizi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Mhandisi George Ngoso

Baadhi ya washiriki wa warsha ya mafunzo kuhusu udhibiti wa uingizaji wa kemikali zinazoharibu tabaka la ozone wakifuatilia mada mbalimbali zilizowasilishwa wakati wa mafunzo hayo ya siku mbili yaliyoanza leo Jumamosi tarehe 17-18 Februari, 2024 katika Mpaka wa Sirari Mkoani Mara.

Baadhi ya washiriki wa warsha ya mafunzo kuhusu udhibiti wa uingizaji wa kemikali zinazoharibu tabaka la ozone wakifuatilia mada mbalimbali zilizowasilishwa wakati wa mafunzo hayo ya siku mbili yaliyoanza leo Jumamosi tarehe 17-18 Februari, 2024 katika Mpaka wa Sirari Mkoani Mara.

Baadhi ya washiriki wa warsha ya mafunzo kuhusu udhibiti wa uingizaji wa kemikali zinazoharibu tabaka la ozone wakifuatilia mada mbalimbali zilizowasilishwa wakati wa mafunzo hayo ya siku mbili yaliyoanza leo Jumamosi tarehe 17-18 Februari, 2024 katika Mpaka wa Sirari Mkoani Mara

Mkufunzi kutoka Wakala ya Elimu na Mafunzo ya Uvuvi (FETA) Mbegani, Bagamoyo Pwani akifuatilia wakifuatilia mada mbalimbali zilizowasilishwa wakati wa mafunzo hayo ya siku mbili yaliyoanza leo Jumamosi tarehe 17-18 Februari, 2024 katika Mpaka wa Sirari Mkoani Mara. Wengine pichani ni Maafisa Mazingira kutoka Ofisi ya Makamu wa Rais, Bi. Jeniva Olengeile na Bi. AnnaMaria Gerome.

Mkurugenzi Msaidizi wa Mazingira Ofisi ya Makamu wa Rais, Mhandisi Catherine Bamwenzaki (katikati mstari wa mbele) pamoja na Mkurugenzi wa Huduma za Sheria Ofisi ya Makamu wa Rais Bw. Dustan Shimbo (wa pili kulia) pamoja na washiriki mbalimbali wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya ufunguzi wa mafunzo hayo leo hayo ya siku mbili yaliyoanza leo Jumamosi tarehe 17-18 Februari, 2024 katika Mpaka wa Sirari Mkoani Mara.

Mkurugenzi Msaidizi wa Mazingira Ofisi ya Makamu wa Rais, Mhandisi Catherine Bamwenzaki (katikati mstari wa mbele) pamoja na Mkurugenzi wa Huduma za Sheria Ofisi ya Makamu wa Rais Bw. Dustan Shimbo (wa pili kulia) pamoja na washiriki mbalimbali wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya ufunguzi wa mafunzo kuhusu udhibiti wa uingizaji nchini wa kemikali zinazoharibu Tabaka la Ozoni leo hayo ya siku mbili yaliyoanza leo Jumamosi tarehe 17-18 Februari, 2024 katika Mpaka wa Sirari Mkoani Mara.

Mkurugenzi wa Huduma za Sheria Ofisi ya Makamu wa Rais, Bw. Dustan Shimbo akizungumza jambo wakati akiwasilisha mada kuhusu Sheria ya Usimamizi wa Mazingira (Kanuni za Kudhibiti Kemikali zinazoharibu Tabaka la Ozoni) za mwaka 2022 kwa Maafisa Forodha na Wasimamizi wa Sheria Mipakani kuhusu udhibiti wa uingizaji wa kemikali zinazoharibu Tabaka la Ozoni leo Jumamosi tarehe 17-18 Februari, 2024 katika Mpaka wa Sirari Mkoani Mara.

Mkaguzi wa Madawa kutoka Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba Tanzania (TMDA), Bw. Frank Mhini akizungumza wakati wa ufunguzi wa mafunzo kwa Maafisa Forodha na Wasimamizi wa Sheria waliopo Mpaka wa Sirari Mkoani Mara leo( Jumamosi Februari 17, 2024) wakati wa mafunzo hayo ya siku mbili yaliyoanza tarehe 17 hadi 18 Februari, 2024 yanayolenga kujenga uelewa kuhusu kudhibiti wa uingizaji wa kemikali zinazoharibu tabaka la ozoni.

(PICHA NA OFISI YA MAKAMU WA RAIS)

Na Mwandishi Wetu,-OMR- SIRARI,

 

SERIKALI imewataka maafisa forodha na wasimamizi wa sheria mipakani kuendelea kuimarisha usimamizi na udhibiti wa kemikali zinazodhibitiwa zinazochangia kumong’onyoa tabaka la ozoni kunakochangia ongezeko la joto duniani na husababisha mabadiliko ya tabianchi.

Hayo yamesemwa na Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Bw. Abdallah Hassan Mitawi katika hotuba yake iliyosomwa na Mkurugenzi Msaidizi wa Mazingira, Mhandisi Catherine Bamwenzaki wakati akifungua Mafunzo ya Maofisa Forodha na Wasimamizi wa Sheria mipakani kuhusu udhibiti wa uingizaji wa kemikali zinazodhibitiwa chini ya Itifaki ya Montreal leo Jumamosi Februari 17, 2023 katika ukumbi wa Mpaka wa Sirari, Mkoani Mara.

Mitawi ametoa rai kwa washiriki wa mafunzo hayo kuwa mabalozi wa kueneza elimu ya ozoni kwa wadau wengine ili kuongeza uelewa na juhudi za pamoja katika kuhifadhi tabaka la ozoni, na hivyo kuokoa maisha ya binadamu, wanyama na viumbe hai mbalimbali duniani.

“Kemikali zinazoharibu Tabaka la Ozoni ni kemikali/gesi zinazotumika katika majokofu na viyoyozi mbalimbali, vifaa vya kuzimia moto, usafishaji chuma, utengenezaji magodoro. Ni wajibu wetu kama Maafisa wa Serikali katika maeneo ya mipaka tusimamie vyema sheria ili kujikinga na madhara ya kemikali hizi” amesema Mitawi.

Kwa mujibu wa Mitawi ametaja madhara ya uharibifu wa tabaka la ozone ni pamoja na  kuongezeka kwa magonjwa mbalimbali yakiwemo saratani ya ngozi, mtoto wa jicho, upungufu wa kinga dhidi ya maradhi na kujikunja kwa ngozi na kuathirika kwa ukuaji wa mimea.

Ameongeza kuwa kutokana na madhara ya kemikali hizo, Serikali imekuwa ikiendesha mafunzo kwa wasimamizi wa sheria na maafisa wa forodha mipakani kwa kuzingatia kuwa ndio wahusika wakuu katika kudhibiti uingizaji wa bidhaa mbalimbali mipakani zikiwemo kemikali hizo katika maeneo yao ya kazi.

Akiwasilisha Mada kuhusu Sheria ya Usimamizi wa Mazingira (Kanuni za Kudhibiti Kemikali zinazoharibu Tabaka la Ozoni) za mwaka 2022, Mkurugenzi wa Huduma za Sheria Ofisi ya Makamu wa Rais Bw. Dustan Shimbo amesema katika kutekeleza Itifaki ya Montreal, Serikali imekuwa ikitekeleza shughuli mbalimbali iliwemo Mpango wa Kuondosha Kemikali Zinazomong’onyoa Tabaka la Ozoni Jamii ya Hydrochlorofluorocarbons (HCFCs) ifikapo mwaka 2030.

Ameongeza kuwa Serikali ipo katika maandalizi ya Mpango wa utekelezaji wa Marekebisho ya Kigali ya kupunguza matumizi ya kemikali jamii ya hidrofluorokaboni ambapo mojawapo ya shughuli zinazotelekezwa ni pamoja na kutoa mafunzo kwa Maafisa wa Serikali walioko mipakani ikiwa ni utekelezaji wa Kanuni za Usimamizi wa Mazingira za mwaka 2022.

Kwa upande wake, Afisa Mwandamizi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Mhandisi George Ngoso amesema suala udhibiti wa kemikali na vifaa vya kemikali linahitaji nguvu ya pamoja vaina ya wadau waliopo katika mnyororo wa thamani ili kulinda afya za binadamu na mazingira.

Mhandisi Ngoso amesema ni wajibu wa mawakala wa forodha waliopo mipakani kujifunza teknolojia mpya ya ukaguzi wa mizigo ikiwemo bidhaa za kemikali kuendelea na usimamizi na udhibiti wa kemikali zinazodhibitiwa kwa kuzingatia ukomo wa matumizi wa kemikali hizo.

“Mnapaswa kuwa wazalendo na kutanguliza maslahi ya taifa na jamii inayowazunguka, madhara ya uingizaji wa bidhaa hizi unaweza kuleta athati kuwa kwa afya za binadamu na mazingira, hivyo tunapaswa kuhakikisha kuwa tunadhibiti kemikali hizi kutoweza kuingia katika jamii yetu” amesema Ngoso.

Tanzania ni nchi mwanachama wa Mkataba wa Vienna unaohusu hifadhi ya Tabaka la Ozoni na Itifaki ya Montreal kuhusu udhibiti wa kemikali zinazoharibu tabaka la ozoni ambapo Mkataba huo iliridhiwa na nchi mwaka 1993.

Katika mafunzo hayo washiriki hao walielimishwa kuhusu Sheria ya Usimamizi wa Mazingira (Kanuni za Kudhibiti Kemikali zinazoharibu Tabaka la Ozoni) za mwaka 2022, Sayansi ya Ozoni na athari zitokanazo na uharibifu wa tabaka la ozoni, Matumizi ya Mitambo ya Kutambua Gesi zinazoharibu Tabaka la Ozoni.

Jumla ya Mawakala wa forodha na Wasimamizi wa Sheria 25 waliopo katika Mpaka wa Sirari, Mkoani Mara walishiriki mafunzo hayo ya siku mbili yaliyoanza  tarehe 17 hadi 18, 2024 na kuandaliwa na Ofisi ya Makamu wa Rais.

About the author

mzalendo