Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

retro bowl

retro bowl unblocked 76

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

meritking giriş

meritking güncel giriş

kalebet güncel giriş

realbahis

sonbahis

cratosslot

1xBet Giriş

betturkey

betturkey giriş

roketbet 2026

deneme bonusu

mavibet giriş

robinbet

robinbet

porno izle

porno izle

türk ifşa izle

evcil hayvan satış

uyuşturucu satın al

runtobet

runtobet giriş

1xbet

avrupabet, avrupabet giriş

gameofbet

jojobet

avrupabet

elitbahis

casival

celtabet

avrupabet

betlivo

parmabet

betnis

parmabet

betmarino

realbahis

lordcasino

lordcasino

aresbet

betra

gallerbahis

gobahis

hazbet

matbet

betra

luxbet

betmarino

celtabet

casival

luxbet

millibahis

betlivo

betcool

realbahis

gallerbahis

millibahis

gobahis

betnis

bungalov kiralama

kiralık bungalov

alobet, alobet giriş

aresbet, aresbet giriş

deneme bonusu

casibom giriş

betwoon

betpas

betcup

casinofast giris

artemisbet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

jojobet

jojobet giriş

betbox

casibom

mavibet

meritking

dedektör

vdcasino giriş

avrupabet giriş

radissonbet

avrupabet

jojobet güncel giriş

marsbahis

bets10

betsat

jojobet

marsbahis

padişahbet giriş

mavibet

kavbet

setrabet

betpas

perabet

ibizabet

deneme bonusu veren siteler

sapanca bungalov kiralama

holiganbet

mavibet

marsbahis

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino

vipslot

vipslot

betcool

celtabet

hazbet

cratosroyalbet giriş

betlike giriş

kavbet giriş

cratosroyalbet

mavibet

mavibet

artemisbet giriş

imajbet

mavibet giriş

betlike

mavibet giriş

mavibet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

marsbahis giriş

festwin

deneme bonusu

av ซับไทย

vdcasino

vdcasino

xxxเย็ดยับ

madridbet

madridbet

casibom güncel giriş

casibom giriş

meritking

betsat

pokerklas, pokerklas giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betpark

betsat giriş

dinamobet

betpas

grandpashabet

casibom

grandpashabet

casibom

jojobet

jojobet

betpas

casibom

grandpashabet

Hacklink panel

betturkey

betmarino

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

casibom giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

Casibom

marsbahis

betturkey giriş

casibom

casibom

deneme bonusu veren siteler

imajbet

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

meritking

meritking

meritking

madridbet

meritking

deneme bonusu

spyhackerz

jojobet

uyuşturucu satın al

jojobet giriş

betpas

royalbet

imajbet

betface

betface

imajbet giriş

casibom

Featured Kitaifa

MTATURU:SERIKALI IWEZESHENI TPA IFANYE KAZI KWA UFANISI

Written by Alex Sonna

 

 

Mbunge wa Singida Mashariki Mhe.Miraji Mtaturu,akichangia taarifa ya utendaji ya Kamati ya Bunge ya Miundombimu Kuhusu shughuli zake kwa Mwaka 2023 bungeni Dodoma.

Na.Mwandishi Wetu-DODOMA

MBUNGE wa Singida Mashariki Miraji Mtaturu amechangia taarifa ya kazi ya Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi kwa kipindi cha mwaka 2023,huku akiishauri serikali mambo matatu ikiwemo kuboresha miundombinu ya bandari nchini.

Akichangia taarifa hiyo Februari 5,2024,Bungeni Jijini Dodoma,Mtaturu amesema ni lazima serikali ione namna ya kuongeza fedha kwa ajili ya kuiboresha na kuisaidia Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA),ili iongeze ufanisi wake.

Amesema kwenye taarifa iliyosomwa na Mwenyekiti wa kamati ya Miundombinu,wamegundua baadhi ya mambo mbalimbali ambayo yanakwamisha suala la usafirishaji wa mizigo ikiwemo foleni kubwa ya meli katika bandari hiyo.

Ameeleza kuwa pamoja na juhudi zote bado kuna tatizo kubwa la ushushaji wa mizigo kwa wakati hivyo jitihada mbalimbali zinapaswa zichukuliwe.

“Kwanza lazima tukubali kwamba Bandari ya Dar es salaam imekuwa kivutio kikubwa cha ukanda wa nchi nane ndio maana kunakuja wateja wengi katika kipindi hiki,lakini kipindi cha Disemba kuanzia Novemba mpaka Januari kumekuwa na mizigo mingi inapokelewa kwa sababu ya msimu,

“Katika msimu wa kilimo nchi yetu imekuwa inahamasisha wakulima kutumia mbolea lakini pili mbegu bora tumekuwa tukizitumia maana yake zinatoka nje ya nchi kwa hiyo hapa nchini zinakuja kwa njia ya meli ,kwa hiyo kuona meli nyingi pia ni mafanikio kwa kuwa watu wameona destination ya Dar ni nzuri kushushia mizigo yao,haya ni mafanikio makubwa sasa lazima yazae changamoto,”amesema.

Mtaturu amesema kamati ilivyowahoji TPA walisema wanatakiwa waongeze gati 12 mpaka 15 ili kuongeza uwezo wa ushushaji wa meli nyingi kwa wakati mmoja kwa hiyo kazi hiyo inahitaji uwekezaji.

“Kama ambavyo wote tunajua TPA kwa maana ya bandari ndio lango kuu la uchumi,tumekuwa tukitegemea fedha nyingi kukusanya kupitia bandari yetu,katika kipindi cha taarifa tumejulishwa kwamba tumeweza kuhudumia nyongeza 5 kwa maana asilimia 17.5 kuacha ya mwaka uliopita,tumeweza kuhudumia kutoka tani milioni 5.81 kwenda tani mil 6.85 maana yake pamoja na yote kuna hatua kubwa tumepiga katika kuhudumia shehena kwenye bandari yetu ya Dar,

“Mbali na hayo mapato yameongezeka kutoka Sh Bilioni 310.78 hadi Sh Bilioni 365.12 katika hiki kipindi cha robo ya kwanza ya mwaka wa fedha wa 2023/2024,pamoja na juhudi zote hizi na kwa sababu asilimia 90 ya mzigo wote unaosafirishwa unatoka kwenye bandari ya Dar maana yake Bandari ya Dar es salaam ikiboreshwa itakuwa na uwezo mkubwa wa kuingiza mapato ya serikali,”amesema.

Amesema maboresho yakifanyika yataongeza kasi ya ushushaji wa mafuta lakini pia utapunguza gharama ya mafuta nchini katika soko la kawaida.

“Kama alivyosema mwenzangu aliyetangulia kwamba kama unataka kumkamua ng’ombe lazima umlishe chakula cha kutosha ambayo ni majani,kwa hiyo kwenye hili kuna suala pia la ushushaji wa mafuta katika gati ile ya mafuta ya KLJ, eneo lile ni dogo meli za mafuta pia zimekuwa zikisubiri kwa hiyo utatuzi wake ni kwamba lazima ujenge eneo lingine la kuhifadhia mafuta ambayo ni single receiving terminal ambayo wanaita SRT,

“Ukijenga hii SRT utaweza kufanya storage wakati unasubiri wateja ambao wameagiza mafuta hayo kuyapokea na pia itapunguza gharama ya mafuta nchini katika soko la kawaida,”ameongeza.

Amesema ili kuwa na ushindani na bandari nyingine ni lazima TPA wawe na pesa .

“Kama haitoshi tumeona kwamba waferji hii ambayo inatajwa huko nyuma ilikuwa TPA wanaachiwa na serikali,hii ni kama vile kufanya parking ya meli katika eneo la bandari wala haihusiani na mapato ya TRA, huko nyuma walikuwa wanafanya wenyewe wanazikusanya hizi pesa na wanafanya miradi mbalimbali ya ndani kwa hiyo maana yake serikali inapochukua hela yote inapeleka katika mfuko mkuu wa serikali,

“Hii inaifanya TPA ishindwe hata kununua chochote mpaka iombe kwanza hazina kwa hiyo niombe sana kama ilivyosemwa kwenye taarifa waferji irudi waachiwe TPA waweze kukusanya na wakikusanya watakuwa na uwezo wa kuendeleza miundombinu ya bandari na kuvutia zaidi ushushaji wa mizigo lakini kama haitoshi tuwaachie asilimia 30 ambayo itabaki kwenye bandari ili isaidie,”amesema.

Ametaja jambo la pili kuwa ni suala la ujenzi wa reli ya kisasa (SGR), itakuwa ni sapoti kubwa ya kuondoa mizigo bandarini lakini SGR haijakamilika kwa muda mrefu.

“Niombe kwamba SGR ikikamilika watakuwa na uwezo wa kutoa Tani zaidi ya Milioni 17 kwa wakati mmoja kwa hiyo watapunguza msongamano wa Dar es salaam,lakini pia itasaidia kulinda barabara zetu zisiharibike,niombe sana kama inawezekana wenzetu wa SGR waharakishe,”ameongeza.

Jambo la tatu alilolishauri Mtaturu ni suala la Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS),ambao wamekuwa wakisaidia sana na serikali imekuwa inategemea miundombinu ili iweze kupeleka huduma nchini hivyo kama miundombinu sio imara hakuna kitakachofanyika,watu hawatasafiri na uchumi hautaenda mbele.

“Ombi langu kwa serikali naomba tujitahidi sana wenzetu wa TANROADS waongezewe fedha wanazoziomba ambazo zitasaidia kwenda kuboresha barabara, lakini barabara zilizopitishwa na bunge zimesainiwa kupitia mradi ule au utaratibu wa EPC+ F zenye urefu wa kilomita 2,035 mpaka leo hakuna iliyoanza kufanya kazi,

“Mbali na kutoanza kufanya kazi,pia haijaanza kujengwa na tumebakiza miezi sita ya bajeti hii kukamilika,wenzetu wanahitaji fedha zaidi ya Trilioni 3.75 bila VAT ili waweze kuanza miradi hii,miradi hii ni pamoja na barabara ya urefu wa kilomita 460 kutoka Singida Kwa Mtoro kwenda mpaka kule Tanga,barabara hii ni miongoni mwa barabara saba zilizopitishwa katika kujenga,niombe serikali kwa sababu miundombinu ni uchumi iweke jicho katika kuhakikisha barabara inakamilika,”ameomba.

Mbali na maombi hayo amempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kupeleka fedha nyingi katika taasisi ambazo leo zimetoa huduma mbalimbali kwa wananchi.

About the author

Alex Sonna