slot siteleri

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

deneme bonusu veren siteler

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

marsbahis

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

matbet

NervEase

https://r10.net/

hardcore porn

https://r10.net

pusulabet

imajbet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

betasus

pusulabet giriş

matbet

jojobet

film izle

1xbet giriş

1xbet

holiganbet

holiganbet

marsbahis

artemisbet giriş

imajbet giriş

klasbahis

mavibet giriş

mavibet

klasbahis

goldenbahis

marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

gobahis, gobahis giriş

betgar, betgar giriş

kulisbet, kulisbet giriş

betparibu, betparibu giriş

holiganbet

restbet

casibom

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

goldenbahis

trimology review

jojobet

jojobet

jojobet giriş

jojobet

holiganbet

jojobet

jojobet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

matbet giriş

flower disease

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

norabahis

madridbet

grandpashabet giriş

Jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

betturkey giriş

betturkey

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

deneme bonusu veren siteler

capitolbet

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

bets10

bets10

bets10

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu

imajbet

İkimisli

onwin

süperbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10 giriş

bets10

holiganbet giriş

kavbet

kavbet giriş

artemisbet

lunabet

artemisbet

kavbet

kavbet

imajbet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

istanbul escort

cratosroyalbet

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

betsat

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

page

Hacklink Panel

jojobet

vdcasino giriş

bets10 giriş

artemisbet

mavibet

imajbet

artemisbet

kavbet giriş

imajbet

kralbet giriş

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

goldenbahis giriş

madridbet

holiganbet

jojobet

trust score weak 3

celtabet

bets10 giriş

deneme bonusu

kavbet

kavbet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet

jojobet giriş

dinamobet giriş

netbahis

sapanca bungalov

marsbahis giriş

holiganbet

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu veren siteler

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

dinamobet giriş

hackhaber

grandpashabet

deneme bonusu veren siteler

primebahis

matbet, matbet giriş

matbet, matbet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

bets10

bets10

ilbet

ilbet giriş

jojobet giriş

meritking

goldenbahis

Goldenbahis

deneme bonusu veren siteler

bets10 güncel giriş adresi

betsat

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

sweet bonanza

jojobet giriş

zahnimplantate türkei

Ankara escort

marsbahis

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino giriş

mavibet

kulisbet, kulisbet giriş

grandpashabet

lunabet

norabahis

betasus

holiganbet

Google Search Console giriş

deneme bonusu veren siteler 2026

deneme bonusu 2026

casibom

holiganbet

dental implants turkey

holiganbet giriş

dental implants turkey

full mouth dental implants turkey

deneme bonusu

sekabet

pusulabet

grandpashabet

marsbahis

imajbet

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

Featured Kitaifa

MTATURU:SERIKALI IWEZESHENI TPA IFANYE KAZI KWA UFANISI

Written by Alex Sonna

 

 

Mbunge wa Singida Mashariki Mhe.Miraji Mtaturu,akichangia taarifa ya utendaji ya Kamati ya Bunge ya Miundombimu Kuhusu shughuli zake kwa Mwaka 2023 bungeni Dodoma.

Na.Mwandishi Wetu-DODOMA

MBUNGE wa Singida Mashariki Miraji Mtaturu amechangia taarifa ya kazi ya Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi kwa kipindi cha mwaka 2023,huku akiishauri serikali mambo matatu ikiwemo kuboresha miundombinu ya bandari nchini.

Akichangia taarifa hiyo Februari 5,2024,Bungeni Jijini Dodoma,Mtaturu amesema ni lazima serikali ione namna ya kuongeza fedha kwa ajili ya kuiboresha na kuisaidia Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA),ili iongeze ufanisi wake.

Amesema kwenye taarifa iliyosomwa na Mwenyekiti wa kamati ya Miundombinu,wamegundua baadhi ya mambo mbalimbali ambayo yanakwamisha suala la usafirishaji wa mizigo ikiwemo foleni kubwa ya meli katika bandari hiyo.

Ameeleza kuwa pamoja na juhudi zote bado kuna tatizo kubwa la ushushaji wa mizigo kwa wakati hivyo jitihada mbalimbali zinapaswa zichukuliwe.

“Kwanza lazima tukubali kwamba Bandari ya Dar es salaam imekuwa kivutio kikubwa cha ukanda wa nchi nane ndio maana kunakuja wateja wengi katika kipindi hiki,lakini kipindi cha Disemba kuanzia Novemba mpaka Januari kumekuwa na mizigo mingi inapokelewa kwa sababu ya msimu,

“Katika msimu wa kilimo nchi yetu imekuwa inahamasisha wakulima kutumia mbolea lakini pili mbegu bora tumekuwa tukizitumia maana yake zinatoka nje ya nchi kwa hiyo hapa nchini zinakuja kwa njia ya meli ,kwa hiyo kuona meli nyingi pia ni mafanikio kwa kuwa watu wameona destination ya Dar ni nzuri kushushia mizigo yao,haya ni mafanikio makubwa sasa lazima yazae changamoto,”amesema.

Mtaturu amesema kamati ilivyowahoji TPA walisema wanatakiwa waongeze gati 12 mpaka 15 ili kuongeza uwezo wa ushushaji wa meli nyingi kwa wakati mmoja kwa hiyo kazi hiyo inahitaji uwekezaji.

“Kama ambavyo wote tunajua TPA kwa maana ya bandari ndio lango kuu la uchumi,tumekuwa tukitegemea fedha nyingi kukusanya kupitia bandari yetu,katika kipindi cha taarifa tumejulishwa kwamba tumeweza kuhudumia nyongeza 5 kwa maana asilimia 17.5 kuacha ya mwaka uliopita,tumeweza kuhudumia kutoka tani milioni 5.81 kwenda tani mil 6.85 maana yake pamoja na yote kuna hatua kubwa tumepiga katika kuhudumia shehena kwenye bandari yetu ya Dar,

“Mbali na hayo mapato yameongezeka kutoka Sh Bilioni 310.78 hadi Sh Bilioni 365.12 katika hiki kipindi cha robo ya kwanza ya mwaka wa fedha wa 2023/2024,pamoja na juhudi zote hizi na kwa sababu asilimia 90 ya mzigo wote unaosafirishwa unatoka kwenye bandari ya Dar maana yake Bandari ya Dar es salaam ikiboreshwa itakuwa na uwezo mkubwa wa kuingiza mapato ya serikali,”amesema.

Amesema maboresho yakifanyika yataongeza kasi ya ushushaji wa mafuta lakini pia utapunguza gharama ya mafuta nchini katika soko la kawaida.

“Kama alivyosema mwenzangu aliyetangulia kwamba kama unataka kumkamua ng’ombe lazima umlishe chakula cha kutosha ambayo ni majani,kwa hiyo kwenye hili kuna suala pia la ushushaji wa mafuta katika gati ile ya mafuta ya KLJ, eneo lile ni dogo meli za mafuta pia zimekuwa zikisubiri kwa hiyo utatuzi wake ni kwamba lazima ujenge eneo lingine la kuhifadhia mafuta ambayo ni single receiving terminal ambayo wanaita SRT,

“Ukijenga hii SRT utaweza kufanya storage wakati unasubiri wateja ambao wameagiza mafuta hayo kuyapokea na pia itapunguza gharama ya mafuta nchini katika soko la kawaida,”ameongeza.

Amesema ili kuwa na ushindani na bandari nyingine ni lazima TPA wawe na pesa .

“Kama haitoshi tumeona kwamba waferji hii ambayo inatajwa huko nyuma ilikuwa TPA wanaachiwa na serikali,hii ni kama vile kufanya parking ya meli katika eneo la bandari wala haihusiani na mapato ya TRA, huko nyuma walikuwa wanafanya wenyewe wanazikusanya hizi pesa na wanafanya miradi mbalimbali ya ndani kwa hiyo maana yake serikali inapochukua hela yote inapeleka katika mfuko mkuu wa serikali,

“Hii inaifanya TPA ishindwe hata kununua chochote mpaka iombe kwanza hazina kwa hiyo niombe sana kama ilivyosemwa kwenye taarifa waferji irudi waachiwe TPA waweze kukusanya na wakikusanya watakuwa na uwezo wa kuendeleza miundombinu ya bandari na kuvutia zaidi ushushaji wa mizigo lakini kama haitoshi tuwaachie asilimia 30 ambayo itabaki kwenye bandari ili isaidie,”amesema.

Ametaja jambo la pili kuwa ni suala la ujenzi wa reli ya kisasa (SGR), itakuwa ni sapoti kubwa ya kuondoa mizigo bandarini lakini SGR haijakamilika kwa muda mrefu.

“Niombe kwamba SGR ikikamilika watakuwa na uwezo wa kutoa Tani zaidi ya Milioni 17 kwa wakati mmoja kwa hiyo watapunguza msongamano wa Dar es salaam,lakini pia itasaidia kulinda barabara zetu zisiharibike,niombe sana kama inawezekana wenzetu wa SGR waharakishe,”ameongeza.

Jambo la tatu alilolishauri Mtaturu ni suala la Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS),ambao wamekuwa wakisaidia sana na serikali imekuwa inategemea miundombinu ili iweze kupeleka huduma nchini hivyo kama miundombinu sio imara hakuna kitakachofanyika,watu hawatasafiri na uchumi hautaenda mbele.

“Ombi langu kwa serikali naomba tujitahidi sana wenzetu wa TANROADS waongezewe fedha wanazoziomba ambazo zitasaidia kwenda kuboresha barabara, lakini barabara zilizopitishwa na bunge zimesainiwa kupitia mradi ule au utaratibu wa EPC+ F zenye urefu wa kilomita 2,035 mpaka leo hakuna iliyoanza kufanya kazi,

“Mbali na kutoanza kufanya kazi,pia haijaanza kujengwa na tumebakiza miezi sita ya bajeti hii kukamilika,wenzetu wanahitaji fedha zaidi ya Trilioni 3.75 bila VAT ili waweze kuanza miradi hii,miradi hii ni pamoja na barabara ya urefu wa kilomita 460 kutoka Singida Kwa Mtoro kwenda mpaka kule Tanga,barabara hii ni miongoni mwa barabara saba zilizopitishwa katika kujenga,niombe serikali kwa sababu miundombinu ni uchumi iweke jicho katika kuhakikisha barabara inakamilika,”ameomba.

Mbali na maombi hayo amempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kupeleka fedha nyingi katika taasisi ambazo leo zimetoa huduma mbalimbali kwa wananchi.

About the author

Alex Sonna