marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

marsbahis giriş

NervEase

sapanca escort

sapanca escort

escort sapanca

holiganbet

grandpashabet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

betnano

pusulabet giriş

jojobet

grandpashabet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

palacebet

madridbet

marsbahis

imajbet giriş

interbahis

klasbahis

piabellacasino

piabellacasino

piabellacasino

goldenbahis

jojobet

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

pusulabet, pusulabet giriş

betgar, betgar giriş

kulisbet, kulisbet giriş

alobet, alobet giriş

holiganbet

restbet

bets10

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

royalbet

trimology review

holiganbet

deneme bonusu

deneme bonusu

jojobet giriş

holiganbet

jojobet

holiganbet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

kingroyal

dinamobet giriş

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

setrabet

Madridbet

grandpashabet giriş

Jojobet

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet

ilbet giriş

ilbet

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

deneme bonusu veren siteler

superbetin

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

bets10

bets10 giriş

zirvebet

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

İkimisli

onwin

süperbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10

casibom giriş

jokerbet

jokerbet giriş

imajbet

imajbet giriş

interbahis giriş

imajbet

matbet

savoybetting

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

istanbul escort

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

betsat

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

porno izle

Hacklink Panel

teosbet

vdcasino

bets10 giriş

interbahis

goldenbahis

imajbet

interbahis giriş

klasbahis

interbahis giriş

kralbet giriş

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

royalbet giriş

jojobet

holiganbet

bets10

trust score weak 3

holiganbet

slot siteler

deneme bonusu 2026

imajbet

imajbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

casibom

netbahis

1xbet giriş

marsbahis giriş

deneme bonusu

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu veren siteler

ilbet

ilbet giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

marsbahis

deneme bonusu veren siteler

primebahis

alobet, alobet giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

madridbet

bets10

ilbet

ilbet giriş

deneme bonusu veren siteler

meritking

royalbet

tarafbet

casino siteleri

bets10 güncel giriş adresi

betsat

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

deneme bonusu

jojobet giriş

padişahbet

Ankara escort

Marsbahis - Marsbahis Giriş

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino

mavibet

kulisbet, kulisbet giriş

meritking

betoffice

norabahis

betasus

padişahbet

Google Search Console giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

casibom

holiganbet

dental implants turkey

holiganbet giriş

dental implants turkey

full mouth dental implants turkey

casibom

Featured Kitaifa

MWENYETI TCCIA DODOMA AIOMBA TAKUKURU KUCHUNGUZA UFISADI OFISINI KWAKE

Written by mzalendo

MWENYEKITI wa Chemba ya Wafanyabiashara, Wenye Viwanda na Kilimo (TCCIA) Mkoa wa Dodoma Khamis Fungameza,akionesha baadhi ya nyaraka kwa  Waandishi wa habari jijini Dodoma kuhusu upigaji wa fedha za mradi wao wa vibanda na maegesho ya magari.

MWENYEKITI wa Chemba ya Wafanyabiashara, wenye Viwanda na Kilimo (TCCIA) Mkoa wa Dodoma Khamis Fungameza,akizungumza na Waandishi wa habari jijini Dodoma kuhusu upigaji wa fedha za mradi wao wa vibanda na maegesho ya magari.

 

MWENYEKITI wa Chemba ya Wafanyabiashara, Wenye Viwanda na Kilimo (TCCIA) Mkoa wa Dodoma Khamis Fungameza,akifafanua jambo kwa   Waandishi wa habari jijini Dodoma kuhusu upigaji wa fedha za mradi wao wa vibanda na maegesho ya magari.

MWENYEKITI wa Chemba ya Wafanyabiashara, Wenye Viwanda na Kilimo (TCCIA) Mkoa wa Dodoma Khamis Fungameza,akionesha baadhi ya nyaraka kwa  Waandishi wa habari jijini Dodoma kuhusu upigaji wa fedha za mradi wao wa vibanda na maegesho ya magari.

…………..

Na.Alex Sonna-DODOMA

 CHEMBA  ya Wafanyabiashara, Wenye Viwanda na Kilimo (TCCIA) Mkoa wa Dodoma imeiomba Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) kufanya uchunguzi upigaji wa mamilioni ya fedha za mradi wao wa vibanda na maegesho ya magari.

Ombi hilo limetolewa na Mwenyekiti wa  Chemba ya Wafanyabiashara, wenye Viwanda na Kilimo (TCCIA) mkoa wa Dodoma Khamis Fungameza,wakati  akizungumza na waandishi wa habari jijini Dodoma kuhusu upigaji wa fedha za mradi huo unaofanywa na baadhi ya watu ambao hakutaja majina yao.

Amesema, mradi huo wa vibanda na maegesho ya magari ulopo eneo la Kizota jijini hapa ni mali ya TCCIA mkoa lakini hivi sasa baadhi ya watu wamejimilikisha na kukusanya mapato na kujinufaisha wenyewe.

“Mradi huu hivi sasa sisi TCCIA, hatupati kitu lakini pia serikali inapoteza mapato kwani watu hawa hawalipi kabisa kodi ya serikali naviomba vyombo kama TAKUKURU, mkuu wa mkoa watusaidia ili mradi huu urudi kwetu kwani hivi sasa watu wachache ndiyo wananufaika nao”alisema Bw.Fungameza

Pia ameeleza kuwa kwa mujibu wa vitabu vya mahesabu vinaonyesha watu hao wamekuwa wakikusanya zaidi ya Sh. milioni 90 kwenye vibanda pekee kwa mwaka.

“Vibanda tuu wanakusanya zaidi ya Sh. milioni 90 kwa mwaka pesa zote hizi wanagawana bila TCCIA kupata hata shilingi hivyo tunaomba uchunguzi ufanyike ili sisi kupata haki yetu lakini pia serikali kupata mapato yake”amesema

Aidha amesema kuwa  moja ya sababu ambazo zinachangia TCCIA kushindwa kunufaisha wanachama wake ni viongozi wengi kuwa na maslahi yao binafsi.  

“Pamoaja na jitihada za Rais Samia Suluhu Hassan kuzunguka na Rais wa TCCIA, maeneo mbalimbali kwenda kusaini mikataba ya uwekezaji lakini sisi hatuwezi kufanikiwa kutokana na viongozi tulio nao wengi wao hawajaingia kwa ajili ya kutumikia wanachama wetu bali kwa maslahi yao binafsi.”amesema Bw.Fungameza

Hata hivyo amesema kuwa umoja kwa wafanyabishara ndiyo silaha kubwa lakini wao wamekuwa na migogoro ya muda mrefu ambayo haina tija kwa maendeleo ya sekta hiyo.

“Hivi sasa nchini kwetu mitaji kwa wafanyabiashara imekuwa kilio cha wengi lakini ukiomba mkopo benki unaupata baada ya miezi hata mitatu lakini wenzetu nchi kama China unaomba asubuhi mchana unaingia na hakuna masharti  magumu kama hapa hivyo hatuwezi kufanikiwa kabisa kuwa kama wengine”amesema

VIDEO NZIMA ANGALIA HAPA.

About the author

mzalendo