slot siteleri

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

deneme bonusu veren siteler

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

holiganbet giriş

NervEase

https://r10.net/

hardcore porn

https://r10.net

pusulabet

grandpashabet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

casinoroyal

betasus

sekabet

jojobet

film izle

1xbet giriş

1xbet

jojobet

marsbahis

marsbahis

artemisbet giriş

artemisbet

goldenbahis

goldenbahis giriş

perabet giriş

klasbahis

goldenbahis

holiganbet

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

betgar, betgar giriş

betgar, betgar giriş

matbet, matbet giriş

holiganbet

restbet

casibom

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

royalbet

trimology review

jojobet

jojobet

jojobet güncel

jojobet

holiganbet

jojobet adres

jojobet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet güncel giriş

flower disease

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

norabahis

madridbet

grandpashabet giriş

Jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

betturkey giriş

betturkey

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

betpark giriş

taksimbet

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

bets10

bets10 giriş

bets10

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

İkimisli

onwin

superbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10 giriş

bets10

holiganbet giriş

kavbet

kavbet giriş

artemisbet

mislibet giriş

artemisbet

kavbet

kavbet

artemisbet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

betpark

deneme bonusu 888

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

superbetin

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

page

Hacklink Panel

holiganbet

vdcasino giriş

bets10 giriş

mislibet

goldenbahis giriş

kavbet

mislibet giriş

kavbet giriş

imajbet

Meritking

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

royalbet giriş

jojobet

bets10

bets10

trust score weak 3

jojobet giriş

bets10 giriş

hitbet

mislibet

kavbet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet

jojobet giriş

dinamobet giriş

netbahis

sapanca bungalov

marsbahis giriş

casibom

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

grandpashabet

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet

casibom giriş

deneme bonusu

dinamobet giriş

hackhaber

casibom

deneme bonusu veren siteler

casibom

bahiscasino, bahiscaasino giriş

marsbahis, marsbahis giriş

kulisbet, kulisbet giriş

bets10

bets10

ilbet

ilbet giriş

jojobet giriş

onwin

royalbet

tarafbet

hitbet giriş

bets10 güncel giriş adresi

betsat

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

sweet bonanza

jojobet giriş

holiganbet giriş

Ankara escort

marsbahis

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino giriş

lunabet

galabet, galabet giriş

grandpashabet

lunabet

lunabet

casibom

dental implants turkey

where to buy fentanyl canada

meritking

deneme bonusu 2026

casibom

holiganbet

holiganbet

holiganbet giriş

holiganbet giriş

holiganbet

deneme bonusu

grandpashabet

jojobet

matbet

marsbahis

pusulabet

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet giriş

meritking

meritking giriş

marsbahis

marsbahis giriş

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

Hacklink panel

Casibom

matbet

matbet

holiganbet

grandpashabet

holiganbet

jojobet

dedebet

betpark

madridbet

Featured Kitaifa

MBUNGE MTATURU:RAIS SAMIA APEWE MAUA YAKE,ANASIMAMIA VYEMA FALSAFA YA 4R.

Written by mzalendo

 

MBUNGE wa Singida Mashariki Miraji Mtaturu,akichangia Miswada ya Sheria ya Uchaguzi wa Rais,Wabunge na Madiwani wa Mwaka 2023,Muswada wa Sheria ya Tume ya Uchaguzi wa Mwaka 2023 na Muswada wa Sheria ya marekebisho ya Sheria za Vyama vya Siasa wa mwaka 2023 bungeni jijini Dodoma.

Na.Mwandishi Wetu-DODOMA

MBUNGE wa Singida Mashariki Miraji Mtaturu amempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwak uwa msikivu na kusimamia falsafa yake ya 4R ya kuwa na maridhiano,mageuzi,ustahimilivu na kujenga upya Taifa.

Akichangia Muswada wa Sheria ya Uchaguzi wa Rais,Wabunge na Madiwani wa Mwaka 2023,Muswada wa Sheria ya Tume ya Uchaguzi wa Mwaka 2023 na Muswada wa Sheria ya marekebisho ya Sheria za Vyama vya Siasa wa mwaka 2023,Januari 30,2024 Bungeni Jijini Dodoma Mtaturu amesema:

“Pongezi kwa Rais wetu,kwenye hili yeye ndio kinara,bila ya kupepesa macho kama asingekuwa Rais Msikivu na anayependa kuona mabadiliko Sheria isingekuja hapa, tungeishia kupiga kelele, tungeishia kuwa na mbwembwe na kila aina ya sarakasi,lakini kama yeye asingekubali Sheria isingekuja,kwa hiyo sisi watanzania lazima tuone aina ya Rais tuliyenaye.”

“Kupitia mfumo wake wa 4R anaonyesha wazi kiongozi anatakiwa kuwa wa namna gani,hata kama jambo linakusumbua ,linakuuma lazima ukubali uweze kuvumilia,usikilize hoja za watu wengine,kwa hiyo kwenye hili Mh Rais amefanya jambo kubwa la kuiponya Nchi ,anaenda kuipeleka Nchi kwenye maridhiano ya vitendo,katika hili tumpe Rais maua yake,”amesema.

Ameeleza kuwa kazi anayoifanya Rais Samia ni kuipeleka Tanzania kwenye maridhiano ya kweli ambayo yanaweza kuletwa na Sheria ili hata kama yeye akiondoka baada ya uongozi wake anaweza kuacha Sheria ya Uchaguzi ambayo inaendeshwa katika sura ya maridhiano.

Mtaturu ameweka bayana mambo ambayo Rais Samia ameyafanya ikiwemo kuruhusu Baraza la Vyama vya Siasa vikutane waweze kujadili hali iliyoongeza wigo mpana kwa maeneo ambayo yalikuwa hayapo kwenye Sheria.

Amesema hilo amelifanya ili apate mawazo mbalimbali ya watanzania na wadau mbalimbali ambao walishirikishwa wakiwemo asasi za kiraia,viongozi wa dini na makundi mbalimbali.

“Mh Rais alitaka watanzania wote washiriki katika kujenga Nchi yao,kama walivyosema wabunge wengine kwamba siasa ikiendeshwa vizuri hata maendeleo yatapatikana,kwa hiyo mimi nataka kusema kupitia mwongozo wa Mh Rais na kukubali haya yote tunaiona tanzania tunayoitamani inakuja ya watu wote kukaa kwa pamoja,

“Mh Rais,ameweza hata kwenda kushiriki kwenye mikutano ya vyama vya upinzani na akazungumza nao na wakafurahia kumuona kama ni sehemu yao, hili ni jambo kubwa ambalo amelionyesha,”.amesema.

Amesema katika eneo hilo pia kuliundwa kikosi kazi ambacho kilichambua maoni kutoka Baraza la Vyama vya Siasa na wlaikusanywa wasomi ,viongozi wa dini ,vyama vya siasa,makundi mbalimbali yalipata nafasi ya kutoa maoni na ndio yalizaa mapendekezo ambayo yanaongelewa kwenye Miswada ya Sheria hizo.

“Nimeambiwa hapa asilimia zaidi ya 80 ya maoni yaliyokuwa yametajwa yameingizwa kwenye sheria ambayo kiukweli ndio mawazo ya wadau mbalimbali wa vyama vya siasa,hakika bado tunaendelea kumpongeza Mh Rais na serikali yote,kuna baadhi ya mambo unaweza kuwa unafanya kama kiongozi lakini baadae unageuka,

“Ni kama wewe una mgeni nyumbani kwako unatenga chakula unaenda kuleta maji ya kunawa,wakati unaenda kuchukua maji unarudi unakuta mgeni wako yuko juu ya meza anakanyaga chakula ,sasa wakati sisi tunahangaika kuletwa miswada hii bungeni tumeona wengine wanaanza kufanya sarakasi barabarani hii ni sawa sawa na mgeni huyo anayekanyaga chakula kwa viatu,utamuangalia kwa sura gani,

Mtaturu amesema pamoja na sarakasi za huyo mgeni lakini Rais Samia amekubali Miswada hiyo ijadiliwe ili kuweza kutengeneza Sheria ya Uchaguzi iliyo nzuri.

“Kwa hiyo nataka niseme, uvumilivu wa Mh Rais ni wa kiwango cha juu kabisa ni Rais ambaye kwa hakika dunia yote inamtazama,ameruhusu maandamano ,wamepeleka hisia zao ,wamepeleka barua huko walikopeleka ingawa wamesema ilikuwa haijasainiwa lakini yote bado waliendelea kusikilizwa na leo tupo na Miswada hii ya Sheria ambayo itaenda kutupeleka kwingine,”ameongeza.

Mtaturu ameipongeza pia Kamati ya Kudumu ya bunge ya Utawala,Katiba na Sheria pamoja na serikali kwa wasilisho zuri ambalo limejenga uelewa na kuchambua baadhi ya mambo yaliyokuwa yamejificha ndani ya miswada hiyo.

About the author

mzalendo