marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet giriş

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

holiganbet giriş

NervEase

mersin escort

sapanca escort

sapanca escort

imajbet

vdcasino

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

bets10

pusulabet giriş

holiganbet

casibom

dizipal

1xbet giriş

1xbet

tambet

bahiscasino

marsbahis

perabet giriş

imajbet

imajbet

grandbahis giriş

imajbet

grandbahis

imajbet giriş

jojobet

kulisbet giriş

pusulabet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

ultrabet, ultrabet giriş

tlcasino, tlcasino giriş

alobet, alobet giriş

kingroyal

restbet

jojobet giriş

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

superbetin

trimology review

celtabet

meritking giriş

jojobet giriş

jojobet

holiganbet

holiganbet

holiganbet

holiganbet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

starzbet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet

bilgi kutusu

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

tümbet giriş

tümbet

tümbet

tümbet giriş

aaa

pokerklas

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

betturkey

betturkey giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

deneme bonusu veren siteler

trendbet

jojobet güncel giriş

betsat

betsat giriş

xslot

xslot giriş

vaycasino

trendbet

bets10

Milanobet

jojobet

cratosroyalbet

deneme bonusu

İkimisli

onwin

superbetin

bahibom

celtabet

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

madridbet giriş

padişahbet

holiganbet

perabet

perabet giriş

imajbet

imajbet giriş

perabet

imajbet

perabet

perabet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

ankara escort

cratosroyalbet giriş

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

jojobet

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

esbet

vdcasino

madridbet

perabet

efesbet

perabet giriş

imajbet

imajbet giriş

imajbet

kralbet giriş

perabet

สล็อตเว็บตรง

zirvebet

superbetin

jojobet

jojobet

jojobet

trust score weak 3

jojobet

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

imajbet

imajbet giriş

jojobet

casibom

casibom

jojobet güncel giriş

casibom

dinamobet giriş

netbahis

1xbet giriş

vipslot

bahis siteleri

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

avşa kiralık daire

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

grandpashabet

deneme bonusu veren siteler

eminevim

galabet, galabet giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

roketbet, roketbet giriş

betsat

holiganbet

betsat

betsat giriş

herabet

herabet

deneme bonusu veren siteler

Featured Kitaifa

WIZARA YA FEDHA YAKABIDHI KADI ZA BIMA YA AFYA KWA WANAFUNZI SHULE MAALUM BUIGIRI

Written by mzalendo
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Bi.Jenifa Christian Omolo, akiwa katika picha na wanafunzi wa Shule ya Msingi Maaluum ya Wasioona Buigiri, iliyopo Chamwino mkoani Dodoma, baada ya kuwakabidhi kadi 100 za bima ya afya za Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) ili kurahisisha matibabu.
 
(Picha na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, Wizara ya Fedha)
Na. Farida Ramadhani na Saidina Msangi, WF, Dodoma.
 
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha, Bi. Jenifa Christian Omolo, amekabidhi kadi 100 za Bima ya Afya za Mfuko wa Bima ya Taifa (NHIF) kwa wanafunzi wa Shule ya Msingi Maalum ya Wasioona, Buigiri, iliyoko Wilayani Chamwino mkoani Dodoma.
 
Akizungumza katika hafla ya kukabidhi kadi hizo iliyofanyika katika shule hiyo, Bi. Omolo alisema kadi hizo sehemu ya kutekeleza ahadi iliyotolewa na watumishi wanawake wa Wizara hiyo mwaka 2023.
 
“Sisi kama jamii ya watumishi wanawake wa Wizara ya Fedha, kwa niaba ya Katibu Mkuu wetu, Dkt. Natu El – maamry Mwamba, tumeleta Kadi hizi ili kuwarahishia matibabu watoto wetu, tunaamini hatua hii itarudisha tabasamu kwa watoto wetu ambao ni zawadi kutoka kwa Mungu na kuongeza ari ya kufanya vizuri zaidi katika masomo yao ili kufikia malengo wanayoyatarajia”, alisema Bi. Omolo.
 
Alisema kadi hizo zina vifurushi vya mwaka mmoja na kuahidi kuwa Wizara itaendelea kuwalipia vifurushi kila mwaka.
 
Alitoa wito kwa taasisi na watu binafsi nchini kuwasaidia watu wenye mahitaji maalumu ili kuwawezesha kutimiza ndoto zao.
 
Aidha, aliupongeza uongozi wa shule hiyo kwa kuendelea kuwalea watoto hao katika maadili mema.
 
Kwa upande wake, Mwalimu Mkuu wa shule hiyo, Samwel Jonathan, aliishukuru kwa msaada huo muhimu kwa afya za Watoto na kuomba Wizara iendelee kuwakumbuka kila wakati.
 
Naye Mwanafunzi wa Shule hiyo, Stanley Keneth, aliishukuru Wizara kwa kuwapatia kadi hizo na kubainisha kuwa bima hizo zitawasaidia kupata matibabu watakapopata changamoto za kiafya..
 
Bi Lucy Assay, ambaye ni Afisa Maendeleo ya Jamii Wilaya ya Chamwino, aliishukuru Wizara ya Fedha kwa msaada huo na kutoa rai kwa jamii kutowaficha Watoto wenye mahitaji maalumu majumbani ili wapate elimu kwa kuwa shule zipo kulingana na namna ya ulemavu.
 
‘‘Niwashukuru sana kwa msaada mliotoa kwa kuwa sasa watoto wetu wataweza kupata huduma za afya na nitoe rai kwa jamii kuwa na moyo wa kusaidia watu wenye mahitaji maalumu’’alisema Bi. Lucy.
 
Shule ya Msingi Buigiri ni ya pekee mkoani Dodoma inayotoa elimu ya makundi maalum na ilianzishwa Aprili 30, 1950, inafundisha Watoto wenye uoni hafifu, wasioona pamoja na wenye ulemavu wa ngozi kuanzia shule ya awali hadi darasa la saba.
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Bi.Jenifa Christian Omolo, akizungumza na wanafunzi pamoja na uongozi wa Shule ya Msingi Maaluum ya Wasioona Buigiri iliyopo Chamwino mkoani Dodoma baada ya kuwakabidhi kadi 100 za bima ya afya za Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), mkoani Dodoma.
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Bi.Jenifa Christian Omolo (wapili kushoto) na wawakilishi wa viongozi wa Chama cha Wafanyakazi TUGHE tawi la Wizara hiyo, wakifurahia nyimbo mbalimbali zilizoimbwa na wanafunzi wa Shule ya Msingi Maaluum ya Wasioona Buigiri iliyopo Chamwino mkoani Dodoma baada ya kuwakabidhi kadi 100 za bima ya afya za Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), mkoani Dodoma.
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Bi.Jenifa Christian Omolo (wa kwanza kushoto) akimkabidhi Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Maaluum ya Wasioona Buigiri, Bw. Samwel Jonathan (wa kwanza kulia) kadi 100 za bima ya afya za Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), kwa ajili ya wanafunzi wa shule hiyo, mkoani Dodoma. Kulia kwake ni wawakilishi wa viongozi wa Chama cha Wafanyakazi TUGHE tawi la Wizara hiyo, Bi. Scholastica Okudo, Bi. Halima Juma, Bi. Mariam Kiangi na Afisa Elimu Kata ya Buigiri, Mwalimu Emmanuel Otta.
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Bi.Jenifa Christian Omolo akipongezwa na Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Maaluum ya Wasioona Buigiri, Bw. Samwel Jonathan (wa kwanza kulia) baada ya kukabidhi kadi 100 za bima ya afya za Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) kwa ajili ya wanafunzi wa shule hiyo, mkoani Dodoma. Wakishuhudiwa na wawakilishi wa viongozi wa Chama cha Wafanyakazi TUGHE tawi la Wizara hiyo, Bi. Scholastica Okudo, Bi. Halima Juma, Bi. Mariam Kiangi na Afisa Elimu Kata ya Buigiri, Mwalimu Emmanuel Otta. Na kushoto ni mjumbe wa TUGHE Wizara ya Fedha, Bi. Hilda Segele.
Baadhi ya wanafunzi wa Shule ya Msingi Maaluum ya Wasioona Buigiri wakifurahia jambo wakati Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Bi.Jenifa Christian Omolo alipowakabidhi kadi 100 za bima ya afya za Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) ili kurahisisha upatikanaji wa huduma za afya, mkoani Dodoma.
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Bi.Jenifa Christian Omolo na Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Maaluum ya Wasioona Buigiri, Bw. Samwel Jonathan wakimkabishi Mwanafunzi wa Darasa la Awali wa Shule hiyo, Zulfat Ibrahimu,  kadi ya bima ya afya za Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) mkoani Dodoma. Wakishuhudiwa na wawakilishi wa viongozi na wajumbe wa Chama cha Wafanyakazi TUGHE tawi la Wizara hiyo, Bi. Hilda Segele, Bi. Scholastica Okudo, Bi. Halima Juma, Bi. Mariam Kiangi na Mwalimu wa Shule hiyo, Wakati Joseph.
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Bi.Jenifa Christian Omolo, akiwa katika picha na wanafunzi wa Shule ya Msingi Maaluum ya Wasioona Buigiri, iliyopo Chamwino mkoani Dodoma, baada ya kuwakabidhi kadi 100 za bima ya afya za Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) ili kurahisisha matibabu.
 
(Picha na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, Wizara ya Fedha)

About the author

mzalendo