marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

lordbahis

NervEase

mersin escort

telegram @seo_anomaly - seo backlinks, black-links, traffic boost, link indexing hacking

telegram @seo_anomaly - seo backlinks, black-links, traffic boost, link indexing hacking

pusulabet

imajbet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

pashagaming

şğp

pusulabet

grandpashabet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

sonbahis

jojobet

marsbahis

imajbet giriş

imajbet

ngsbahis

piabellacasino

mislibet

ngsbahis

goldenbahis

jojobet

kulisbet giriş

pusulabet giriş

pusulabet, pusulabet giriş

betgar, betgar giriş

betcio, betcio giriş

alobet, alobet giriş

kingroyal

restbet

bets10

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

jojobet

deneme bonusu

deneme bonusu

jojobet

holiganbet

jojobet

holiganbet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

madridbet

casibom giriş

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

ligobet

Madridbet

grandpashabet giriş

Jojobet

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet

alobet

alobet giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

deneme bonusu veren siteler

istanbulbahis

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

xslot

xslot giriş

bets10

bets10 giriş

zirvebet

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

İkimisli

onwin

superbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10

jojobet

imajbet

imajbet giriş

imajbet

imajbet giriş

perabet

imajbet

perabet

perabet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

türkçe altyazılı porno izle

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

superbetin

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

grandpashabet

vdcasino

bets10 giriş

imajbet giriş

goldenbahis

imajbet

perabet giriş

perabet

ngsbahis

kralbet giriş

bahsegel

สล็อตเว็บตรง

bets10

casibom giriş

jojobet

holiganbet

bets10

trust score weak 3

holiganbet

slot siteler

casino siteleri

imajbet

imajbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

casibom

netbahis

1xbet giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu veren siteler

betturkey giriş

betturkey

betsat

betsat giriş

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

holiganbet

deneme bonusu veren siteler

primebahis

gonebet, gonebet giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

bets10

superbetin

ilbet

ilbet giriş

deneme bonusu veren siteler

meritking

romabet

jojobet

güvenli casino siteleri

bets10 güncel giriş adresi

superbetin

jojobet

jojobet giriş

ilbet

deneme bonusu

deneme bonusu

holiganbet

Ankara escort

Marsbahis - Marsbahis Giriş

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino

mavibet

kulisbet, kulisbet giriş

grandpashabet

Uncategorized

WAZIRI MKUU AIPONGEZA KAMPUNI YA AZAM MEDIA LTD

Written by mzalendo

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza wakati alipofunga Maadhimisho ya Miaka 10 ya AZAM Media kwenye ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es salaam.

 Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye akizungumza katika Maadhimisho ya Maka 10 ya Azam Media kwenye ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es salaam.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipokea Tuzo Maalum ya Azam Media   kutoka kwa Mkurugenzi Mkuu wa Azam Media, Abubakar Bakhresa wakati alipofunga Maadhimisho ya Miaka 10 ya Azam Media kwenye ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es salaam Desemba 17, 2023.  Kulia ni Mtendaji Mkuu wa Azam Media, Tido Mhando.

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa  akipata maelezo kuhusu picha zinazoonyesha historia ya Azam Media kutoka kwa Afisa  Mtendaji Mkuu wa Azam Media, Tido Mhando, (kulia) kabla ya kufunga Maadhimisho ya Miska 10 ya Azam Media yaliyofanyika kwenye ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es salaam.

Waziri Mkuu, Kassim  Majaliwa akisalimiana na Mkurugenzi Mkuu wa Azam Media, Abubakar Bakhresa wakati alipowasili kwenye ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es salam kufungua Maadhimisho ya miaka 10 ya Azam Media, Desemba 17, 2023. wa pili kushoto ni Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Nape Nnauye na kulia ni Afisa Mtendaji Mkuu wa Azam Media, Tido Mhando.

(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

 

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewapongeza viongozi na wafanyakazi wa kampuni ya Azam Media Limited kwa mafanikio lukuki waliyopata katika kipindi cha miaka 10 tangu kuanzishwa kwake.

Amesema kupitia urushaji wa matangazo yake, kampuni hiyo imeweza kuwa mzalishaji mkubwa wa ajira kwa mawakala, wanataaluma mbalimbali, imeinua wanamichezo katika soka, masumbwi, mbio za magari na pikipiki, waigizaji wa filamu na wasanii wa muziki.

“Pia mmedhamini baadhi ya vilabu nchini, kuweka taa kwenye baadhi viwanja vya michezo hali ambayo imewezesha mechi za soka kuchezwa usiku. Msione hili kuwa ni jambo dogo,  AZAM mko mbali sana. AZAM mko juu,” alisema.

Alitoa pongezi hizo jana usiku (Jumapili, Desemba 17, 2023) wakati akifunga maadhimisho ya miaka 10 ya Kampuni ya Azam Media Limited yaliyofanyika kwenye ukumbi wa Mlimani City, jijini Dar es Salaam.

“Ninawapongeza Azam Media Limited kwa kuunga mkono jitihada za Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutoa ajira kwa Watanzania kuanzia mawakala hadi watangazaji. Tunakutambua Azam Media Limited kama mdau mkubwa wa kutoa ajira,” alisema.

“Ninawapongeza pia kwa kubeba dhima ya kutunza mazingira kupitia kampeni yenu ya ‘Mito ni Maisha Yetu.’ Ninawapongeza kwa kuona maeneo nyeti na kuyaingiza kwenye mpango wenu wa mwaka yakiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 10 ya Azam Media Limited,” alisema.

Alisema kupitia kampeni hiyo, walihamasisha makundi ya jamii ili yashiriki kwenye uhifadhi na utunzaji wa vyanzo vya maji. “Lengo lilikuwa ni kujenga uelewa ili jamii ifanye shughuli zao za kibinadamu kwa kuzingatia umuhimu wa kutunza mito ambayo ni tegemeo kubwa kwa viwanda, kilimo, uzalishaji wa umeme na matumizi ya nyumbani. Naungana nanyi katika hili kwani haya ndiyo mambo ambayo Watanzania wanatakiwa kuyasikia na kuyazingatia wakati wote.”

Mapema, Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye aliwapongeza wafayakazi wa kampuni hiyo kwa kuzingatia weledi katika utendaji kazi wao.

“Azam Media ni miongoni mwa vyombo ambavyo vinanipa usingizi mzuri kutokana na umahiri wao wa kazi, lakini pia niwapongeze kwa uwekezaji mkubwa ambao umefanywa na kampuni hii ili kuhakikisha matangazo yao yanafika maeneo mengi.”

Naye Afisa Mtendaji Mkuu wa AZAM Media Limited (AML), Tido Mhando alisema maadhimisho hayo yalianza Januari mosi 2023 na waliyapanga yafanyike kwa mwaka mzima ili waweze kuufahamisha umma nini kimefanyika ndani ya miaka hiyo 10.

Alisema katika kipindi hicho, wameweza kujijenga kwa kiwango kikubwa na kwamba hivi sasa wanasikika kote Afrika Mashariki na Kati.

Awali, Mkurugenzi Mkuu wa makampuni yanayounda Bakhresa Group, Abubakar Bakhresa aliwashukuru Watanzania wote kwa jinsi walivyoipokea kampuni ya AZAM na bidhaa zake.

“Tunaishukuru Serikali kwa kuweka milango yake wazi wakati wote. Pia tunawashukuru wadau wetu tunaofanya nao kazi kama Bodi ya Filamu, BASATA na wengineo,” alisema.

Alisema miaka 10 ya mwanzo ilikuwa ya kujifunza, ninaamini miaka 10 ijayo, itakuwa ya kuboresha na kuongeza mchango zaidi kukuza michezo na sekta nyingine.

About the author

mzalendo