marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

lordbahis

NervEase

mersin escort

telegram @seo_anomaly - seo backlinks, black-links, traffic boost, link indexing hacking

telegram @seo_anomaly - seo backlinks, black-links, traffic boost, link indexing hacking

pusulabet

imajbet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

pashagaming

şğp

pusulabet

grandpashabet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

sonbahis

jojobet

marsbahis

imajbet giriş

imajbet

ngsbahis

piabellacasino

mislibet

ngsbahis

goldenbahis

jojobet

kulisbet giriş

pusulabet giriş

pusulabet, pusulabet giriş

betgar, betgar giriş

betcio, betcio giriş

alobet, alobet giriş

kingroyal

restbet

bets10

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

jojobet

deneme bonusu

deneme bonusu

jojobet

holiganbet

jojobet

holiganbet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

madridbet

casibom giriş

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

sahabet

Madridbet

grandpashabet giriş

jojobet

casibom

marsbahis

jojobet giriş

jojobet

alobet

alobet giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

deneme bonusu veren siteler

istanbulbahis

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

xslot

xslot giriş

bets10

bets10 giriş

zirvebet

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu

deneme bonusu veren siteler

İkimisli

onwin

superbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10

jojobet

imajbet

imajbet giriş

imajbet

imajbet giriş

perabet

imajbet

perabet

perabet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

türkçe altyazılı porno izle

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

superbetin

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

grandpashabet

vdcasino

bets10 giriş

imajbet giriş

goldenbahis

imajbet

perabet giriş

perabet

ngsbahis

kralbet giriş

bahsegel

สล็อตเว็บตรง

bets10

casibom giriş

jojobet

holiganbet

bets10

trust score weak 3

holiganbet

slot siteler

casino siteleri

imajbet

imajbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

casibom

netbahis

1xbet giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu veren siteler

betturkey giriş

betturkey

betsat

betsat giriş

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

holiganbet

deneme bonusu veren siteler

primebahis

gonebet, gonebet giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

bets10

superbetin

ilbet

ilbet giriş

deneme bonusu veren siteler

meritking

romabet

jojobet

güvenli casino siteleri

bets10 güncel giriş adresi

superbetin

jojobet

jojobet giriş

ilbet

deneme bonusu

deneme bonusu

holiganbet

Ankara escort

Marsbahis - Marsbahis Giriş

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino

mavibet

kulisbet, kulisbet giriş

robinbet

grandpashabet

meritking

Featured Kitaifa

TCRA YATOA ELIMU KWA WAKUU WA SHULE ZA SEKONDARI TANZANIA KUHUSU UANZISHWAJI WA KLABU ZA KIDIJITI

Written by Alex Sonna
Meneja wa TCRA Kanda ya Ziwa Mhandisi Francis Mihayo akizungumza  wakati wa Mkutano Mkuu wa 18 wa Wakuu wa Shule za Sekondari Tanzania (TAHOSSA)
 
Na Kadama Malunde – Malunde 1 blog
 
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imetoa elimu kuhusu Uanzishwaji wa Klabu za Kidijiti kwa Wakuu wa Shule za Sekondari Tanzania zenye lengo la kuwahamasisha wanafunzi (vijana) kuwa wabunifu na wavumbuzi kwa kutumia Digitali ili kuongeza na kukuza matumizi ya TEHAMA.
 
TCRA imetoa elimu hiyo leo Jumamosi Desemba 16,2023 wakati wa Mkutano Mkuu wa 18 wa Wakuu wa Shule za Sekondari Tanzania (Tanzania Heads of Secondary Schoool Association – TAHOSSA) uliofanyika Jijini Mwanza.
 
Akizungumza wakati wa mkutano huo, Meneja wa TCRA Kanda ya Ziwa Mhandisi Francis Mihayo amesema TCRA itaendelea kuhamasisha ubunifu na uvumbuzi katika klabu za kidijiti zilizoanzishwa na zitakazoanzishwa ikiwa ni pamoja na kuwajengea uwezo waratibu wa klabu za kidijiti ili waweze kuzisimamia vyema ziweze kufikia malengo yaliyokusudiwa.
 
 
“Uanzishwaji wa Klabu hizi za Kidijiti siyo wa holela ni lazima kuwe na usimamizi maalumu ili kulinda maadili ya Mtanzania. Pia TCRA itaandaa mashindano ya klabu za kidijiti, na klabu zitakazofanya vizuri kwa vigezo vitakavyowekwa zitazawadiwa”,amesema Mhandisi Mihayo.
Meneja wa TCRA Kanda ya Ziwa Mhandisi Francis Mihayo.
 
“TCRA inaamini Wakuu wa Shule mtasaidia uanzishwaji wa klabu za kidijiti katika shule zenu. Ikumbukwe kuwa klabu hizi hazina tofauti na klabu nyingine za masomo kama Hisabati, Kiingereza n.k. Tunapoelekea kwenye uchumi wa kidijiti, matumizi ya TEHAMA hayaepukiki hivyo ni tunapaswa tuwaandae vijana wetu”,amesema Mhandisi Mihayo.
 
Mhandisi Mihayo ametumia fursa hiyo kuwakumbusha walimu kuhusu matumizi sahihi ya mitandao pia kujiepusha na matapeli ambao wanatumia vibaya mitandao.
 
 
Amesema endapo wakipata ujumbe wa utapeli watume ujumbe huo kwenda namba 15040.
 
“Matumizi ya Digitali hayaepukiki. Tumieni mitandao ya kijamii kujiletea maendeleo, hii mitandao inaweza kukuharibia au kukujenga. Wafundisheni pia wanafunzi wenu kuhusu matumizi sahihi ya mitandao endapo utaona ujumbe wa kitapeli au udhalilishaji toa taarifa. Lakini pia mkumbuke kuwa taarifa yoyote unayoiweka mtandaoni huwa haipotei. Mnachapisha vitu vingi mtandaoni kumbukeni kuwa mtandao hausahau kila kinachowekwa”,amesema Mhandisi Mihayo.
 
“Magroup ya Whatsapp hayasajiliwi lakini Admin wanabeba dhamana wa mambo yote yanayoendelea kwenye group, wao ndiyo viranja wa makundi sogozi Walimu tusaidieni kuwaambia vijana kuwa wanapotumia vibaya mitandao ya kijamii wanaweka rehani maisha yao”,ameongeza Mhandisi Mihayo.
 
Meneja huyo wa TCRA Kanda ya Ziwa pia amewakumbusha watumiaji wa simu kuweka nywila (Password) ngumu kwenye simu zao ili kulinda taarifa zao na kuwa salama.
Meneja wa TCRA Kanda ya Ziwa Mhandisi Francis Mihayo akizungumza  wakati wa Mkutano Mkuu wa 18 wa Wakuu wa Shule za Sekondari Tanzania (TAHOSSA)
 
“Ili kulinda taarifa zako weka Nywila ngumu kwa sababu simu yako haina ubia na mtu mwingine ndiyo maana tunasajili kwa kutumia vidole, usimpe simu yako mtu yeyote”,amesema
 
“Pia unapotaka kusafirisha kipeto au kifurushi hakikisha mtoa huduma amesajiliwa kwa kupiga *152*00# kisha bonyeza namba 3 halafu namba 9 ili kuepuka kusafirishiwa kifurushi au kipeto kwa kutumia kampuni ambayo haina leseni ya usafirishaji”,amesisitiza.
 
 
Kwa upande wake, Afisa Mkuu wa TEHAMA TCRA, Irene Kahwili amesema TCRA inaendelea kusimamia Sekta ya Mawasiliano ikiwa ni pamoja na kushirikiana na wadau mbalimbali nchini na katika ngazi ya Kitaifa, Kikanda na Kimataifa ili kuhakikisha Sekta ya Mawasiliano inatoa mchango katika maendeleo ya nchi na kuwa kichocheo cha ukuaji wa uchumi wa kidijiti.
Afisa Mkuu wa TEHAMA TCRA, Irene Kahwili.
 
Amefafanua kuwa Mwaka 2022, TCRA ilikuja na wazo la kuanzisha klabu za kidijiti kwa lengo la kupanda mbegu ya TEHAMA tangu awali na kuibua ubunifu na uvumbuzi na vipaji kwa watoto na vijana.
 
Amesema Klabu za Kidijiti ni Jukwaa linalowakusanya wanafunzi wanaopenda masomo ya teknolojia ili kuongeza weledi wa kidijiti,
majadiliano na kufanya shughuli mbalimbali kwa kutumia teknolojia na vifaa vya kidijiti lengo likiwa ni kuwajengea uwezo wanafunzi kushiriki katika utamaduni mpya wa kidijiti.
 
 
Ameongeza kuwa walengwa ni Wanafunzi wa ngazi zote za kitaaluma (Chekechea hadi Chuo kikuu), ikiwa ni pamoja na wale wa taaluma za ufundi na zisizo za Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA).
 
Amezitaja Tunu za Klabu ya Kidijiti kuwa ni Uwezeshaji (Kuwatia moyo na kuwapa wanachama fursa ya kupata ujuzi), Ubunifu (Kuhimiza udadisi, ubunifu na mawazo mapya ya wanachama),
 
Kujenga Timu (Kukuza maadili ya uwazi, uaminifu, heshima na ushirikiano miongoni mwa wanachama) pamoja na Weledi (Kuzingatia viwango vya juu vya taaluma katika shughuli za klabu na mawasiliano).
 
 
Amesema kujiunga na Klabu ya Kidijiti ni bure na hiari na Wanafunzi wote wanastahiki kujiunga na Klabu ya Kidijiti ndani ya Taasisi zao ambapo uongozi wa taasisi utawasaidia wanachama watarajiwa wa klabu kuanzisha klabu ya kidijiti kisha wataisajili klabu kwenye mfumo wa Klabu za Kidijiti https://digitalclubs.tz
Afisa Masoko TCRA Kanda ya Ziwa, Benadetha Clement
 
Kwa upande wake, Afisa Masoko TCRA Kanda ya Ziwa, Benadetha Clement amesema TCRA ilianzishwa chini ya Sheria ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania namba 12 ya mwaka 2003 baada ya kuunganishwa kwa zilizokuwa Tume ya Utangazaji Tanzania (TBC) na Tume ya Mawasiliano Tanzania (TCC) ambapo utekelezaji wa majukumu ya TCRA unaofanywa kwa mujibu wa Sera, Sheria, Kanuni na Miongozo inayosimamia Sekta ya Mawasiliano.
 
Ameongeza kuwa TCRA inasimamia mawasiliano ya Simu na Intaneti, Utangazaji pamoja na Posta.
 
“Majukumu ya TCRA ni pamoja na kutoa leseni na kusimamia makampuni yanayotoa huduma za simu, utangazaji, Intaneti, Posta na Usafirishaji wa Vifurushi na Vipeto”,amesema.
 
Naye Rais wa TAHOSSA, Dennis Otieno ameishukuru TCRA kuwapatia elimu ya uanzishwaji wa Klabu za Kidijiti sambamba na elimu ya matumizi sahihi ya mitandao ya kijamii yakiwemo Makundi ya Whatsapp na Facebook.
 
“Elimu tuliyopewa ni nzuri na inatujenga kutokana na kwamba tunatumia teknolojia kila siku. TCRA wasichoke, waendelee kutoa elimu kwenye shule zetu”,amesema.
Meneja wa TCRA Kanda ya Ziwa Mhandisi Francis Mihayo akizungumza leo Jumamosi Desemba 16,2023 wakati wa Mkutano Mkuu wa 18 wa Wakuu wa Shule za Sekondari Tanzania (Tanzania Heads of Secondary Schoool Association – TAHOSSA) uliofanyika Jijini Mwanza.
Meneja wa TCRA Kanda ya Ziwa Mhandisi Francis Mihayo akizungumza  wakati wa Mkutano Mkuu wa 18 wa Wakuu wa Shule za Sekondari Tanzania (TAHOSSA)
Meneja wa TCRA Kanda ya Ziwa Mhandisi Francis Mihayo akizungumza  wakati wa Mkutano Mkuu wa 18 wa Wakuu wa Shule za Sekondari Tanzania (TAHOSSA)
Meneja wa TCRA Kanda ya Ziwa Mhandisi Francis Mihayo akizungumza  wakati wa Mkutano Mkuu wa 18 wa Wakuu wa Shule za Sekondari Tanzania (TAHOSSA)
Meneja wa TCRA Kanda ya Ziwa Mhandisi Francis Mihayo akizungumza  wakati wa Mkutano Mkuu wa 18 wa Wakuu wa Shule za Sekondari Tanzania (TAHOSSA). Kushoto ni Meneja wa Sehemu ya Masuala ya Wateja na Watumiaji TCRA Thadayo Ringo
Meneja wa TCRA Kanda ya Ziwa Mhandisi Francis Mihayo akizungumza  wakati wa Mkutano Mkuu wa 18 wa Wakuu wa Shule za Sekondari Tanzania (TAHOSSA)
Meneja wa TCRA Kanda ya Ziwa Mhandisi Francis Mihayo akizungumza  wakati wa Mkutano Mkuu wa 18 wa Wakuu wa Shule za Sekondari Tanzania (TAHOSSA)
Afisa Masoko TCRA Kanda ya Ziwa, Benadetha Clement akitoa mada kuhusu TCRA wakati wa Mkutano Mkuu wa 18 wa Wakuu wa Shule za Sekondari Tanzania (TAHOSSA)
Afisa Masoko TCRA Kanda ya Ziwa, Benadetha Clement akitoa mada kuhusu TCRA wakati wa Mkutano Mkuu wa 18 wa Wakuu wa Shule za Sekondari Tanzania (TAHOSSA)
Afisa Mkuu wa TEHAMA TCRA, Irene Kahwili
 akitoa mada kuhusu Klabu za Kidijiti wakati wa Mkutano Mkuu wa 18 wa Wakuu wa Shule za Sekondari Tanzania (TAHOSSA)
Afisa Mkuu wa TEHAMA TCRA, Irene Kahwili
 akitoa mada kuhusu Klabu za Kidijiti wakati wa Mkutano Mkuu wa 18 wa Wakuu wa Shule za Sekondari Tanzania (TAHOSSA)
Afisa Mkuu wa TEHAMA TCRA, Irene Kahwili
 akitoa mada kuhusu Klabu za Kidijiti wakati wa Mkutano Mkuu wa 18 wa Wakuu wa Shule za Sekondari Tanzania (TAHOSSA)
Afisa Mkuu wa TEHAMA TCRA, Irene Kahwili
 akitoa mada kuhusu Klabu za Kidijiti wakati wa Mkutano Mkuu wa 18 wa Wakuu wa Shule za Sekondari Tanzania (TAHOSSA)
Rais wa TAHOSSA, Dennis Otieno akizungumza na waandishi wa habari
Wakuu wa Shule za Sekondari Tanzania wakiwa ukumbini
Maafisa kutoka TCRA wakiwa kwenye Mkutano Mkuu wa 18 wa Wakuu wa Shule za Sekondari Tanzania (TAHOSSA)
Meneja wa Sehemu ya Masuala ya Wateja na Watumiaji TCRA Thadayo Ringo ( wa pili kushoto) akiwa kwenye Mkutano Mkuu wa 18 wa Wakuu wa Shule za Sekondari Tanzania (TAHOSSA)

About the author

Alex Sonna