Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

https://www.newstrendline.com/bilgi-kutusu/

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

dedektör

vdcasino giriş

holiganbet

betsalvador

mavibet

mavibet giriş

jojobet

bets10 sorunsuz

grandpashabet güncel giriş

https://www.newstrendline.com/

palacebet

ultrabet giriş

lunabet

mavibet

setrabet

jojobet giriş

betebet

gonebet

jojobet

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino giriş

millibahis

vipslot

festwin

parmabet

celtabet

kulisbet giriş

mavibet

holiganbet güncel giriş

mavibet giriş

piabellacasino giriş

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

mavibet giriş

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino

deneme bonusları veren siteler

deneme bonusu veren siteler

marsbahis giriş

festwin

doeda

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

jojobet güncel giriş

jojobet güncel giriş

casibom güncel giriş

casibom giriş

casibom

grandpashabet giriş

cratosroyalbet, cratosroyalbet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

sahabet

portobet

dinamobet giriş

casibom

casibom

casibom

casibom

jojobet

casibom

casibom

casibom

casibom

casibom

Hacklink panel

betturkey

betnano

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

casibom giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

kralbet giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

deneme bonusu

spyhackerz

jojobet

uyuşturucu satın al

jojobet güncel giriş

İmajbet

royalbet

imajbet

betgross

biabet

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

pokerklas

perabet

betsat

bets10

vdcasino

jojobet

Jojobet

matbet

redwin

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

starzbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

holiganbet giriş

holiganbet

grandpashabet

girne escort

magusa escort

dedebet

holiganbet

tubidy

kralbet

Girne Escort

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

Featured Kitaifa

TANESCO ZINGATIENI MASLAHI YA WATUMISHI WENU ILI KUONGEZA UFANISI NA UBUNIFU-MHE.KATAMBI

Written by mzalendo

NAIBU Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi,Vijana, Ajira na Wenyeulemavu Patrobas Katambi, akizungumza wakati akifungua mkutano wa baraza kuu la 53 la wafanyakazi wa shirika hilo linalofanyika kwa siku mbili kujadili masuala mbalimbali ya kiutendaji jijini Dodoma.

Na Paul Mabeja, DODOMA

 

NAIBU Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi,Vijana, Ajira na Wenyeulemavu Patrobas Katambi, amelitaka Shirika la umeme nchini (TANESCO) kuzingatia maslahi ya watumishi wake ili kuongeza ufanisi na ubunifu katika kutekeleza majukumu yao.

Katambi, alibainisha hayo leo Desemba 12,2023 jijini Dodoma , alipokuwa akifungua mkutano wa baraza kuu la 53 la wafanyakazi wa shirika hilo linalofanyika kwa siku mbili kujadili masuala mbalimbali ya kiutendaji.

Alisema ili kuongeza ufanisi katika utendaji wa watumishi ndani ya shirika hilo maslahi ya watumishi yanapaswa kupewa kipaumbele ili kuongeza uwajibikaji.

“Ili kuongeza ufanisi wa shirika letu hili ambalo tunalitegemea katika uzalishaji wa umeme mnapaswa kuzingatia maslahi ya watumishi wenu kwa kuwapa motisha, posho, kupandishwa vyeo ili kuwaondolea stres watumishi na kuongeza tija an ubunifu katika shirika hili tunalolitegemea kwa kuzalisha nishati ya umeme nchini”alisema Katambi

Aidha, Katambi aliwataka watumishi wa shirika hilo kuzingati wajibu wao katika utekelezaji wa majukumu kabla ya kudai haki zao.

“Kabla ya kudai haki zetu lazima tuangalie wajibu wetu katika maeneo yetu tumeutimiza kwa ukamilifu suala la umeme nchini ni jambo la muhimu sana hivyo tunapaswa kutimiza majukumu yetu ili kuondoa malalamiko ya mgao wa umeme nchini”alisema

Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO, Gissima Nyamo-hanga alisema mkutano wa baraza hilo utafanyika kwa siku mbili ukiwa lengo la kujadilia mambo mbalimbali ikiwemo masuala ya kiutendaji.

Kadhalika, alisema maagizo yote yalitolewa na Naibu waziri Katambi watayafanyia kazi ili kuongeza ufasi katika utekelezaji wa majukumu mbalimbali kwa watumishi wao.

“Baraza kuu la wafanyakazi ni chombo ambacho pia majukumu yake ni kuangalia maslahi na haki za wafanyakzi hivyo pia katika kikao chetu tutakwenda kujadili masuala ya maslahi kwa watumishi na haki zao”alisema

Hata hivyo, akizungumzi kuhusu hali ya upatikanaji wa umeme nchini alisema mvua zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali nchini zimeongeza uzalishaji katika vyanzo vilivyopo nchini ikiwemo Mtera,Kihanzi na Kidatu.

 

NAIBU Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi,Vijana, Ajira na Wenyeulemavu Patrobas Katambi, akizungumza wakati akifungua mkutano wa baraza kuu la 53 la wafanyakazi wa shirika hilo linalofanyika kwa siku mbili kujadili masuala mbalimbali ya kiutendaji jijini Dodoma.

NAIBU Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi,Vijana, Ajira na Wenyeulemavu Patrobas Katambi,akisisitiza jambo  wakati akifungua mkutano wa baraza kuu la 53 la wafanyakazi wa shirika hilo linalofanyika kwa siku mbili kujadili masuala mbalimbali ya kiutendaji jijini Dodoma.

SEHEMU ya washiriki wakifatilia hotuba ya Naibu  Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi,Vijana, Ajira na Wenyeulemavu Patrobas Katambi, (hayupo pichani)  wakati akifungua mkutano wa baraza kuu la 53 la wafanyakazi wa shirika hilo linalofanyika kwa siku mbili kujadili masuala mbalimbali ya kiutendaji jijini Dodoma.

About the author

mzalendo