marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

bets10

NervEase

mersin escort

telegram @seo_anomaly - seo backlinks, black-links, traffic boost, link indexing hacking

telegram @seo_anomaly - seo backlinks, black-links, traffic boost, link indexing hacking

imajbet

sekabet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

pashagaming

şğp

pusulabet

grandpashabet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

sonbahis

sonbahis

marsbahis

perabet giriş

imajbet

klasbahis

bahiscasino

goldenbahis

savoybetting

klasbahis giriş

jojobet

kulisbet giriş

pusulabet giriş

pusulabet, pusulabet giriş

betgar, betgar giriş

betcio, betcio giriş

alobet, alobet giriş

kingroyal

restbet

bets10

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

celtabet

deneme bonusu

deneme bonusu

jojobet

holiganbet

jojobet

holiganbet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

madridbet

casibom giriş

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

sahabet

Madridbet

grandpashabet giriş

jojobet

casibom

marsbahis

jojobet giriş

jojobet

alobet

alobet giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

deneme bonusu veren siteler

trendbet

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

xslot

xslot giriş

bets10

bets10 giriş

zirvebet

Milanobet

casibom giriş

grandpashabet

deneme bonusu veren siteler

İkimisli

onwin

superbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10

jojobet

perabet

perabet giriş

perabet

imajbet giriş

perabet

imajbet

perabet

perabet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

türkçe altyazılı porno izle

jojobet giriş

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

superbetin

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

grandpashabet

vdcasino

bets10 giriş

imajbet giriş

milanobet

imajbet

perabet giriş

perabet

ngsbahis

kralbet giriş

ngsbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

casibom giriş

jojobet

holiganbet

bets10

trust score weak 3

jojobet

slot siteler

casino siteleri

imajbet

imajbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

casibom

netbahis

1xbet giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu veren siteler

betturkey giriş

betturkey

betsat

betsat giriş

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu veren siteler

sekabet giriş

hackhaber

grandpashabet

deneme bonusu veren siteler

primebahis

gonebet, gonebet giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

superbetin

madridbet

ilbet

ilbet giriş

deneme bonusu veren siteler

onwin

romabet

betsilin

güvenli casino siteleri

bets10 güncel giriş adresi

superbetin

jojobet

jojobet giriş

ilbet

deneme bonusu

deneme bonusu

holiganbet

Ankara escort

Marsbahis - Marsbahis Giriş

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino

mavibet

kulisbet, kulisbet giriş

grandpashabet

marsbahis

matbet

jojobet

herabet

herabet

Featured Kitaifa

MRADI WA LTIP WAWA MWAROBAINI WA KILIO CHA WANANCHI WA CHALINZE

Written by mzalendo

 

 KAIMU Mkuu wa Idara ya Ardhi, Halmashauri ya Wilaya ya Chalinze, Bw.Deo Damian Msilu,akizungumza na waandishi wa habari mara baada kukagua maeno yaliyopitiwa na Mradi wa Uboreshaji wa Usalama wa Milki za Ardhi (LTIP) Katika kata  mbili za Pera na Bwilingu.

MENEJA wa Mradi kwa Chalinze Bi.Rogathe Jonson Kaale,akizungumza na waandishi wa habari mara baada kukagua maeno yaliyopitiwa na Mradi wa Uboreshaji wa Usalama wa Milki za Ardhi (LTIP) Katika kata  mbili za Pera na Bwilingu katika Halmashauri ya Chalinze Mkoani Pwani.

Na Alex Sonna-CHALINZE 

IMEELEZWA kuwa utekelezaji wa Mradi wa Uboreshaji wa Usalama wa Milki za Ardhi (LTIP) kwa Wilaya ya Chalinze mkoani Pwani umekuwa mwarobani wa changamoto zilizokuwa zikiwasumbua wananchi kutokana na kutopimiwa maeneo yao.

Akizungumza na waandishi wa habari, Kaimu Mkuu wa Idara ya Ardhi, Halmashauri ya Wilaya ya Chalinze, Deo Msilu, amesema mradi huo ni mkombozi mkubwa kwa wananchi ambao walikuwa wakililia kupimiwa maeneo yao lakini walikuwa hawapimiwi.

“Mradi huu umekuja kwa ajili ya kupanga, kupima na kumilikisha hivyo tumeweza kufanikiwa kupanga hasa eneo la katikati ya Mji, mradi huu unalenga kupima viwanja 10,000 lakini malengo yetu ni viwanja 50,000, kupitia mradi huu tumetatua migogoro mingi ya ardhi ”amesema.

Naye,Meneja  wa Mradi kwa Chalinze Bi.Rogathe  Kaale,amesema mradi huo walianza rasmi Juni 27, 2023 ulianza kwa kutambulishwa ngazi ya mkoa, wilaya na viongozi wa halmashauri na kata mbili za Pera na Bwilingu vinakadiriwa kupimwa viwanja 10,000.

“Tulianza kwa mikutano ya hadhara ambapo wananchi walielimishwa umuhimu wa mradi huu baada ya hapo tuliteua kamati za urasimishaji kwa mujibu wa mwongozo wa urasilimishaji wa wizara ya ardhi na baada ya kamati tukaanza kukusanya taarifa, tulikuwa na timu ya Wapima na Surveyor tufanya zoezi kwa miezi mitatu kwenye kata hizi tulipata vipande 11,000 kwasababu lengo letu lilikuwa viwanja 10,000 tukaanza zoezi la upimaji linalofanywa kwa njia shirikishi kwa kuwashirikisha wananchi kuanzia ngazi ya chini,”amesema.

Amesema ramani za mipango miji zilizoandaliwa zimeunganishwa na ramani za anga ili wananchi waone nyumba zao, barabara na maeneo yaliyopendekezwa.

“Katika zoezi hili mwananchi akichangia barabara lazima asaini fomu kuonesha ameridhia eneo lake limetolewa kwa matumizi ya barabara ili kwa hapo baadae lisijetumika kwa matumizi mengine tofauti na tuliitisha mikutano na kubandika ramani wananchi walihakiki taarifa zao na hadi sasa 5000 wamehakiki taarifa zao kuwa wameridhia mpango ulioandaliwa kuwa ni sahihi hatua za upimaji ziendelee,”amesema.

Amesema viwanja 7500 zimepimwa na vipo katika hatua za mwisho kuidhinishwa na michoro ya mipango miji iliyoandaliwa ipo 50 ya viwanja vya matumizi mbalimbali kulingana na wananchi walivyoshauriwa.

“Tumejipanga hadi mwisho wa mwezi huu tuwe tumepima na kuidhinisha ramani viwanja 10,000 ili mwakani Januari tuhamie hatua ya umilikishaji ambapo kila mwananchi atakuja kuhakiki kiwanja chake kama alivyoridhia mwanzo, uzuri kwasasa gharama za umilikishwaji zimepungua zipo nusu ya zile za awali tunaamini wananchi wana uwezo wa kulipia,”amesema.

Kadhalika, amesema Mwezi Februari 2024 wataendelea na awamu ya pili ya kupima na kumilikisha viwanja 20,000 na ndo malengo ya halmashauri waliyopewa.

“Changamoto hazikosekani kuna changamoto za migogoro imekuwa ikiibuka tumekuwa tukiitatua kwa kushirikisha wataalaamu wa ardhi, wananchi na madiwani na tunaingiza kwenye kanzidata ili kusitokee usumbufu kwenye umilikishaji,”amesema.

About the author

mzalendo