slot siteleri

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

new unblocked games

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

holiganbet giriş

NervEase

sapanca escort

hardcore porn

escort sapanca

pusulabet

holiganbet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

galabet

betasus

palacebet

jojobet

film izle

1xbet giriş

1xbet

jojobet

Kingroyal

marsbahis

artemisbet giriş

artemisbet

goldenbahis

goldenbahis giriş

perabet giriş

klasbahis

goldenbahis

holiganbet

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

rinabet, rinabet giriş

aresbet, aresbet giriş

alobet, alobet giriş

betparibu, betparibu giriş

holiganbet

restbet

jojobet

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

betmoney

trimology review

jojobet

jojobet

jojobet güncel

jojobet

holiganbet

jojobet adres

jojobet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet güncel giriş

flower disease

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

norabahis

madridbet

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet güncel giriş

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

betturkey giriş

betturkey

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

betpark giriş

trendbet

jojobet güncel giriş

ilbet giriş

ilbet

ilbet

ilbet giriş

bets10

bets10 giriş

bets10

Milanobet

casibom giriş

casibom

deneme bonusu

İkimisli

onwin

superbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10 giriş

bets10

holiganbet giriş

kavbet

kavbet giriş

artemisbet

mislibet giriş

artemisbet

kavbet

kavbet

artemisbet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

betpark

casibom giriş

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

superbetin

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

holiganbet

vdcasino giriş

bets10 giriş

mislibet

goldenbahis giriş

kavbet

mislibet giriş

kavbet giriş

imajbet

Meritking

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

betmoney giriş

jojobet

bets10

bets10

trust score weak 3

jojobet

ikimisli giriş

kumar siteleri

mislibet

kavbet giriş

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet giriş

sekabet giriş

netbahis

sapanca bungalov

mobilbahis

deneme bonusu veren siteler

interbahis

agb99

otobet

Hacking forum

trend hack methods

grandpashabet

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet

casibom giriş

deneme bonusu

dinamobet giriş

hackhaber

grandpashabet

deneme bonusu veren siteler

casibom

bahiscasino, bahiscaasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

bets10

superbetin

ilbet

ilbet giriş

jojobet giriş

onwin

betmoney

tarafbet

güvenilir kumar siteleri

bets10 güncel giriş adresi

superbetin

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

sweet bonanza

jojobet giriş

holiganbet giriş

Ankara escort

marsbahis

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino giriş

lunabet

betgar, betgar giriş

grandpashabet

lunabet

lunabet

palacebet

dental implants turkey

where to buy fentanyl canada

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu 2026

casibom

holiganbet

holiganbet

holiganbet giriş

holiganbet giriş

holiganbet

deneme bonusu

betplay

cashwin

cratosroyalbet

casinomilyon

casinowon

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet

meritking

meritking giriş

jojobet giriş

jojobet

marsbahis

marsbahis giriş

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

casinoroyal

Hacklink panel

jojobet yeni adres

holiganbet

grandpashabet

holiganbet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

perabet

bahsegel

bahsegel giriş

betturkey

betturkey giriş

tipobet

meritking

meritking giriş

Uncategorized

MAONI YA MABORESHO SERA YA KODI KURAHISISHA ULIPAJI KODI

Written by Alex Sonna

Kamishna wa Idara ya Uchambuzi wa Sera, Wizara ya Fedha, Bw. William Mhoja, akieleza kuhusu umuhimu na mchango wa sekta binafsu katika kukuza uchumi wakati wa Kongamano la Jukwaa la Wafanyabiashara Mkoa wa Shinyanga ambapo Wizara ya Fedha ilitumia fursa hiyo kukusanya maoni ili kuweza kuboreshaji utozaji Kodi kwa mwaka 2024/25.

Na. Peter Haule, WF, Shinyanga

Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara Dkt. Hashil Abdallah amewataka wafanyabiashara kutoa maoni ya uboreshaji wa Sera za Kodi kupitia Timu ya wataalamu wa Uchambuzi wa Sera za Kodi kutoka Wizara ya Fedha ili waweze kulipa kodi kwa mujibu wa sheria kwa ajili ya maendeleo ya Taifa.

Rai hiyo imetolewa Mkoani Shinyanga wakati wa Kongamano la Jukwaa la Wafanyabiashara lililoandaliwa na Mkoa huo ambalo lilitumika kukusanya maoni ya Uboreshaji wa Sera ya Kodi kwa mwaka wa Fedha 2024/25

Dkt. Abdallah, alisema kuwa eneo muhimu katika ufanyaji biashara ni Kodi, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, anawataka watu walipe kodi lakini Mamlaka za kukusanya kodi zikusanye kodi kwa weledi bila kuleta mgongano.

“Kodi haikusanywi kwa mtutu wa bunduki kwa kuwa anaekwenda kukusanya kodi haendi kukamata mhalifu na anaelipa kodi anapaswa kujua analipa kwa mujibu wa sheria na analipa kodi kwa sababu kodi ndio maendeleo ya nchi”, alisema Dkt. Abdallah.

Alisema kuwa Wizara ya Fedha iendelee kutoa elimu kwa walipa kodi ili wajue wanapaswa kulipa kodi namna gani ili kutengeneza mahusiano ya wafanyabiashara na Serikali.

Kwa upande wake Kamishna wa Idara ya Uchambuzi wa Sera, Wizara ya Fedha, Bw. William Mhoja, alisema kuwa kwa pamoja kunatakiwa kuwekwa mikakati ya kuendelea kurasimisha biashara, kuhamasisha kutumia mashine za kielektroniki katika utoaji wa risiti na kuibua vyanzo vipya vya mapato ili kupunguza utegemezi wa mikopo kutoka nje ya nchi.

Aidha, alisema kuwa zipo kodi ambazo zililalamikiwa na wananchi hususani kodi ya miamala, Serikali ilisikia na kuondoa kodi hiyo unapotuma pesa, jambo linalodhihirisha kuwa Serikali ni sikivu hasa inapopata maoni ya walipakodi kuhusu utozaji kodi

Bw. Mhoja vilevilea alieleza kuwa Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hssan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, inatambua mchango wa Sekta Binafsi katika uwekezaji hivyo imeendelea kuboresha mazingira ya uwekezaji na biashara ili iweze kukuza uchumi wa nchi.

Alisema kuwa Serikali inaendelea kuimarisha miundombinu wezeshi ya usafirishaji na Nishati, kuhakikisha uhimilivu wa viashiria vya uchumi jumla na kuwa na sera za kodi zinazotabirika na kuwianisha tozo na ada mbalimbali zinazotozwa na Wizara na Mamlaka za Udhibiti.

Naye Meneja wa Usajili wa Malalamiko ya Kodi wa Taasisi ya Usuluhishi wa Malalamiko na Taarifa za Kodi (TOST), Bi. Naomi Mwaipola, aliwataka wafanyabiashara na wadau waitumie taasisi hiyo ambayo inajitegemea kwa kuleta malalamiko ya kikodi ili kuweka mazingira ya haki na usawa.

“Unapoona hujatendewa haki unatakiwa kufika kwenye taasisi yetu bila kutozwa gharama tofauti tofauti na unapotumia Mahakama, lengo ni kumfanya mlipa kodi asiwe na manung’uniko yoyote” alisema Bi. Mwaipola.

Naye Mwenyekiti Chama cha Wafanyabiashara, Viwanda na Kilimo (TCCIA) Mkoa wa Shinyanga, Bw. Jonathan Manyama, ameiomba Serikali kuwa na uwazi katika utozaji kodi ili wafanyabiashara wajue kama kodi hizo zinafika eneo lilokusudiwa.

Amesema Wafanyabiashara wataendelea kulipa kodi kwa kuwa wanatambua kuwa ndio chanzo cha uboreshaji wa sekta mbalimbali zikiwemo za afya, miundombinu ya barabara, elimu na nishati.

Timu ya Wataalam wa Uchambuzi wa Sera za Kodi kutoka Wizara ya Fedha imeendelea na ukusanyaji wa maoni kwa wananchi Kikanda ili kuboresha Sera ya utozaji kodi kwa mwaka wa Fedha 2024/25, ambapo mikoa wa Arusha, Mwanza na Shinyaka imefikiwa.

Kamishna wa Idara ya Uchambuzi wa Sera, Wizara ya Fedha, Bw. William Mhoja, akieleza kuhusu umuhimu na mchango wa sekta binafsu katika kukuza uchumi wakati wa Kongamano la Jukwaa la Wafanyabiashara Mkoa wa Shinyanga ambapo Wizara ya Fedha ilitumia fursa hiyo kukusanya maoni ili kuweza kuboreshaji utozaji Kodi kwa mwaka 2024/25.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Dkt. Hashil Abdallah (kulia) na Kamishna wa Idara ya Uchambuzi wa Sera, Wizara ya Fedha, Bw. William Mhoja, wakisikiliza maoni ya wananchi kuhusu maboresho ya utozaji Kodi, wakati wa Kongamano la Jukwaa la Wafanyabiashara lililoandaliwa na Mkoa wa Shinyanga.

Meneja wa Usajili wa Malalamiko ya Kodi kutoka Taasisi ya Usuluhishi wa Malalamiko na Taarifa za Kodi (TOST), Bi. Naomi Mwaipola, akiwataka wafanyabiashara wa Mkoa wa Shinyanga kuitumia taasisi hiyo wanapokuwa na malalamiko mbalimbali ya kikodi ili kuweza kuyapatia ufumbuzi bila kuegemea upande wowote, wakati wa Kongamano la Jukwaa la Wafanyabiashara liliofanyika Mkoni Shinyanga.

Mwenyekiti Chama cha Wafanyabiashara, Viwanda na Kilimo (TCCIA) mkoa wa Shinyanga, Bw. Jonathan Manyama, akieleza utayari wa wafanyabiashara kulipa kodi na pia akaiomba Serikali kufanyia kazi maoni ya Wafanyabiashara hao kuhusu kodi, wakati wa Kongamano la Jukwaa la Wafanyabiashara liliofanyika Mkoni Shinyanga

Mkurugenzi wa Hotel ya Karina ya Mkoani Shinyanga, Bi. Josephine Wambura, akiomba ufafanuzi kuhusu Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT), wakati wa Kongamano la Jukwaa la Wafanyabiashara liliofanyika Mkoni Shinyanga, ambapo Wizara ya Fedha ilitumia fursa hiyo kukusanya maoni ili kuweza kuboreshaji utozaji Kodi kwa mwaka 2024/25.

Kamishna wa Idara ya Uchambuzi wa Sera, Wizara ya Fedha, Bw. William Mhoja (kushoto) akiteta jambona Mwenyekiti Chama cha Wafanyabiashara, Viwanda na Kilimo (TCCIA) mkoa wa Mbeya, kabla ya kuanza kwa Kongamano la Jukwaa la Wafanyabiashara liliofanyika mkoani Shinyanga, ambapo Wizara ya Fedha ilitumia fursa hiyo kukusanya maoni ili kuboreshaji utozaji Kodi kwa mwaka 2024/25.

Mkurugenzi wa Kiwanda Kidogo cha Kutengeneza kinywaji cha Furaha Tangawizi mkoani Shinyanga, akitoa maoni kuhusu uboreshaji wa utozaji kodi, wakati wa Kongamano la Jukwaa la Wafanyabiashara liliofanyika Mkoni Shinyanga, ambapo Wizara ya Fedha ilitumia fursa hiyo kukusanya maoni ili kuboreshaji utozaji Kodi kwa mwaka 2024/25.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara Dkt. Hashil Abdallah (katikati) na Kamishna wa Idara ya Uchambuzi wa Sera, Wizara ya Fedha, Bw. William Mhoja, (wa tatu kulia) wakiwa katika picha ya pamoja na Viongozi wa Wafanya biashara Mkoa wa Shinyanga na Mbeya, pamoja na wadau wengine kabla ya Kongamano la Jukwaa la Wafanyabiashara lililoandaliwa na Mkoa wa Shinyanga.

(Picha na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, WF, Shinyanga)

About the author

Alex Sonna