marsbahis giriş

marsbahis giriş telegram

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

meritking

Hacklink panel

Postegro

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

หวยออนไลน์

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas

casibom

Brain Savior Review

artemisbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

jojobet giriş

NervEase

izmit escort

izmit escort

izmit escort

pusulabet

matbet

meritking giriş

kavbet

bets10 giriş

ultrabet

holiganbet

grandpashabet

jojobet

dizipal

1xbet

1xbet

tambet

ngsbahis

betlike

parmabet

mislibet

mislibet

jojobet giriş

nitrobahis

jojobet

jojobet

kulisbet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

vdcasino, vdcasino giriş

vdcasino, vdcasino giriş

kralbet

jojobet

restbet

jojobet

pokerklas

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

betcio

trimology review

jojobet

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

holiganbet

holiganbet

pusulabet

holiganbet giriş

Nitric Boost

enjoybet giriş

betebet

betgar, betgar giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet

imajbet

vdcasino

dinamobet

holiganbet

holiganbet giriş

Featured Kitaifa

WADAU WA UCHAGUZI WATAKIWA KUWAHAMASISHA WANACHI KATA YA IKOMA WILAYANI RORYA KUSHIRIKI UBORESHAJI

Written by mzalendo

Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Bw. Ramadhani Kailima akifungua mkutano wa Tume na wadau wa uchagaguzi uliofanyika kwenye ukumbi wa Hoteli ya Mapsap Linme iliyopo wilayani Rorya Mkoa wa Mara.

Wakili wa Serikali Mkuu Kutoka Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Bi.  Rose Chilongozi akisoma mada ya uboreshaji wa majaribio wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kwenye mkutano wa wadau wa uchaguzi wilayani Rorya.

Baadhi ya washiriki wa mkutano wa Tume na wadau wa uchaguzi uliofanyika kwenye ukumbi wa Hoteli ya Mapsap Linme iliyopo wilayani Rorya Mkoa wa Mara.

Baadhi ya washiriki wa mkutano wa Tume na wadau wa uchaguzi uliofanyika kwenye ukumbi wa Hoteli ya Mapsap Linme iliyopo wilayani Rorya Mkoa wa Mara.

Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Bw. Ramadhani Kailima (wa pili kulia) akiwa kwenye picha ya pamoja na viongozi wa vyama vya siasa baada ya kumalizika kwa mkutano wa Tume na wadau wa uchagaguzi.

************
Tume ya Taifa ya Uchaguzi imewataka wadau wa uchaguzi kufikisha ujumbe sahihi kwa wananchi wa Kata ya Ikoma katika Halmashauri ya Wilaya ya Rorya ili wananchi wenye sifa ya kuandikishwa na kuboresha taarifa zao wajitokeze kwa wingi kushiriki uboreshaji wa majaribio wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura na kuwabainisha waliopoteza sifa za kuwa wapiga kura.
 
Hayo yamesemwa na Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Bw. Ramadhani Kailima wakati akifungua mkutano wa Tume na wadau wa uchaguzi uliofanyika kwenye ukumbi wa Hoteli ya Mapsap Linme iliyopo wilayani Rorya Mkoa wa Mara.
 
Aliwaasa wadau wote wa uchaguzi kuendelea kuzingatia sheria, kanuni, taratibu na miongozo katika kipindi chote cha uboreshaji wa majaribio wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura.
 
“Ni tegemeo la Tume kuona mnafikisha ujumbe sahihi kwa wananchi ambako uboreshaji wa majaribio  yatafanyika ili wananchi wenye sifa ya kuandikishwa na kuboresha taarifa zao wajitokeze  kwa wingi kushiriki zoezi hili na kuwabainisha waliopoteza sifa za kuwa wapiga kura.
 
Pia, nawaasa wadau wote kuendelea kuzingatia sheria, kanuni, taratibu na miongozo katika kipindi chote cha uboreshaji wa majaribio la Daftari la Kudumu la Wapiga Kura.”, alisema Bw. Kailima.
 
Mbali na kuwaasa wadau hao wa uchaguzi, Mkurugenzi wa Uchaguzi alisema kuwa Tume imejipanga kuhakikisha kuwa wananchi wanapata uelewa wa kutosha kuhusu uboreshaji wa majaribio kwa kutumia njia mbalimbali za kutoa elimu ya mpiga kura zikiwemo; kukutana na wadau wengine wa uchaguzi.
 
Aliongeza kuwa vyama vya siasa vitashiriki katika uboreshaji wa majariobio kwa kuweka wakala mmoja katika kila kituo cha kuandikisha wapiga kura, lengo ni kushuhudia na kujiridhisha juu ya taratibu zitakazotumika wakati wa uboreshaji wa majaribio wa Daftari.
 
Alisisiti kwa kuwaomba wadau wa uchaguzi kushiriki kikamilifu katika kutoa maoni na mapendekezo kwenye mkutano huo ili kufanikisha utekelezaji wa uboreshaji huo.
 
Mkutano huo wa wadau wa uchaguzi umewashirikisha viongozi wa vyama vya siasa, viongozi wa dini, wazee wa kimila, watu wenye ulemavu, wawakilisha wa vijana, wawakilishi wa wanawake na asasi za kiraia kwa ujumla kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Rorya.  
 
Tume ya Taifa ya Uchaguzi itafanya uboreshaji wa majaribio wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura katika Kata ya Ikoma iliyopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Rorya, Mkoa huu wa Mara na Kata ya Ng’ambo iliyopo katika Halmashauri ya Manispaa ya Tabora, mkoa wa Tabora, utakaofanyika kuanzia tarehe 24 hadi 30 Novemba, 2023.

About the author

mzalendo