Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

retro bowl

retro bowl unblocked 76

ilbet giriş

ilbet

pokerklas giriş

jojobet güncel giriş

poker

royalbet giriş

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

betpark giriş

betixir giriş

jojobet güncel giriş

ilbet giriş

ilbet

ilbet

ilbet giriş

bets10

bets10 giriş

bets10

Milanobet

casibom giriş

cratosroyalbet

deneme bonusu

İkimisli

onwin

grandpashabet

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10 giriş

meritking

casibom güncel giriş

meritking giriş

cratosroyalbet giriş

jojobet giriş

cratosroyalbet

cratosroyalbet giriş

jojobet

jojobet

meritking

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

betpark

Grandpashabet Güncel Giriş

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

pusulabet

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

casino sites

Hacklink Panel

radissonbet

vdcasino

meritking giriş

jojobet giriş

nerobet

cratosroyalbet

jojobet güncel giriş

meritking giriş

cratosroyalbet giriş

Meritking

jojobet

สล็อตเว็บตรง

bets10

tarafbet

kingroyal

perabet

pulibet

trust score weak 3

padisahbet

ikimisli giriş

tipobet

meritking

artemisbet

jojobet

jojobet adres

jojobet giris

jojobet adres

jojobet

sekabet giriş

netbahis

sapanca bungalov

marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

deneme bonusu

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

betpas

1xbet giriş

casibom

deneme bonusu

dinamobet giriş

hackhaber

grandpashabet

film izle

casibom

interbahis, interbahis giriş

caddebet, caddebet giriş

lunabet, lunabet giriş

grandpashabet

bets10

ilbet

ilbet giriş

jojobet giriş

onwin

tarafbet

jojobet

casibom

bets10 güncel giriş adresi

grandpashabet

jojobet

perabet

ilbet

deneme bonusu

jojobet giriş

sweet bonanza siteleri

Ankara escort

marsbahis

güvenilir bahis siteleri

dizipal

vdcasino giriş

piabet

kulisbet, kulisbet giriş

Google

primebahis

primebahis

marsbahis

sweet bonanza siteleri

Doctors | Akdeniz University Hospital Login

deneme bonusu veren siteler

casino siteleri

casibom güncel giriş

casibom giriş

sweet bonanza

casibom giriş

sweet bonanza siteleri

sweet bonanza oyna

deneme bonusu

wbahis

grandpashabet

sonbahis

nesinecasino

cratosroyalbet

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet adres

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet adres

mavibet

marsbahis

marsbahis

marsbahis

mavibet

meritking

marsbahis giriş

mavibet

jojobet

jojobet giris

jojobet telegram

jojobet telegram

jojobet

jojobet telegram

jojobet giriş

palacebet

Hacklink panel

jojobet

marsbahis

Google

jojobet

meritking

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet telegram

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet güncel

jojobet giriş

jojobet giriş

matbet

bahsegel

bahsegel giriş

betturkey

betturkey giriş

sahabet

mavibet giriş

meritking

truvabet

betgaranti

betoffice

timebet

Bet365 Giriş

ilbet

ilbet giriş

sweet bonanza

roketbet 2026

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

cratosroyalbet

robinbet

hitbet

betpark giriş

betpark

betpark

betpark güncel giriş

betpark giriş

runtobet

runtobet giriş

1xbet

interbahis, interbahis giriş

betine

jojobet

jojobet giris

jojobet güncel giriş

betkolik

jojobet telegram

jojobet güncel giriş

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

jojobet güncel

jojobet giriş

jojobet adres

jojobet adres

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet güncel

jojobet güncel

jojobet adres

jojobet giriş

jojobet giris

marsbahis

jojobet giris

marsbahis

jojobet güncel

jojobet güncel

jojobet telegram

jojobet güncel giriş

jojobet giris

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

bahisfair

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

jojobet adres

jojobet güncel giriş

goldenbahis

gizabet

cratosroyalbet, cratosroyalbet giriş

kulisbet

deneme bonusu

jojobet giriş

Grandpashabet

gorabet

jojobet

https://sjconsultors.com/

cratosroyalbet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet güncel

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

Featured Makala

TEKNOLOJIA MBADALA UJENZI WA BARABARA,MADARAJA YA MAWE ULIVYOMVUTIA WAZIRI MCHENGERWA

Written by mzalendo

  

Na.Catherine Sungura, Dodoma

Ni dhahiri kwamba mtandao imara na madhubuti wa barabara za mijini na vijijini una mchango mkubwa katika kukuza na kuimarisha uchumi wa mtu mmoja mmoja, familia jamii na Taifa kwa ujumla.

Ubunifu katika ujenzi wa barabara zinazosimamiwa na Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) umemvutia mno Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais – TAMISEMI Mhe. Mohamed Mchengerwa.

Hivi karibuni Waziri Mchengerwa aliitembelea TARURA kwa mara ya kwanza tangu ateuliwe na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Hakusita kuipongeza TARURA kwa kutumia teknolojia mbalimbali ikiwemo ujenzi wa barabara ya mawe ‘cobble stone roads’ na madaraja ya mawe ‘stone arch bridges’.

Aidha, aliipongeza TARURA kwa kufanya majaribio ya teknolojia nyingine katika kuboresha barabara wanazosimamia.

Matumizi ya teknolojia na malighafi za ujenzi zinazopatikana eneo la kazi ikiwemo mawe katika  ujenzi na matengenezo ya barabara, huongeza ufanisi, huokoa muda, hutunza mazingira kwa gharama nafuu.

“Matumizi ya teknolojia mbadala na malighafi zinazopatikana maeneo ya kazi kwa ajili ya ujenzi wa barabara na madaraka imeweza kupunguza gharama zaidi ya 50%.

“ ambapo TARURA imeweka kipaumbele cha kutumia malighafi  zinazopatikana maeneo ya kazi ili kupata ufanisi wa gharama za ujenzi,” anasema.

Takwimu za TARURA zinaeleza hadi kufikia mwezi Machi, 2023 imejenga madaraja 163 ya mawe yenye thamani ya Bilioni 8.7.

Gharama zimepungua na mikoa iliyojengwa  madaraja  hayo ni Kigoma(92), Singida (24), Tabora (5), Kilimanjaro  (10), Mbeya (2), Arusha (6), Morogoro (2), Rukwa (3), Pwani (1), Ruvuma (3) na Iringa (15).

Hata hivyo TARURA bado inaendelea kufanya majaribio ya teknolojia mbalimbali  ili kutumia udongo uliopo eneo la kazi  badala ya kusomba kutoka maeneo mengine mbali.

Katika ziara hiyo kwenye ofisi zake zilizopo Mji wa Serikali – Mtumba, Waziri Mchengerwa alizungumza na Menejimenti ya TARURA,  watumishi wote wa TARURA Makao Mkuu pamoja na watumishi wa TARURA Mkoa wa Dodoma.

Lengo la ziara hiyo ni kujadili  mambo muhimu kuhusiana na mipango ya utekelezaji wake  katika ujenzi, ukarabati na matengenezo ya miundombinu ya barabara za Wilaya nchi nzima.

Barabara hizo ni zile ambazo TATURA inazisimamia kwa karibu kuhakikisha kwamba zinatoa huduma inayokusudiwa  kipindi chote cha mwaka.

MSINGI WA TARURA

TARURA ina jukumu la kusimamia matengenezo, ukarabati na ujenzi wa Barabara zenye urefu wa Kilomita 144,429.77.

Wakala huu pia una majukumu mengine kama yalivyoainishwa kwenye hati ya uanzishwaji wake ikiwamo kupima.

Aidha, kufanya utafiti kuhusu vifaa vya ujenzi kupitia Maabara Kuu ya Vifaa na Utafiti, kudhibiti uzito wa magari barabarani na kulinda maeneo ya hifadhi za barabara.

Waziri Mchengerwa aliipongeza TARURA kwa kazi kubwa na nzuri wanayofanya tangu kuanzishwa kwake.

Aliwahimiza waendeleee kuboresha utendaji wao katika kujenga barabara kwa viwango stahiki na kwa kuzingatia thamani ya fedha ili maendeleo ya kiuchumi na kijamii maeneo ya vijijini  na mijini yaendelee kukua.

Alisema tangu kuanzishwa kwa Wakala huyo mwaka 2017 kumekuwa na ongezeko la barabara za lami kutoka kilomita 1,449.55 hadi kilomita 3,053.26 sawa na ongezeko la 110%.

Pia, barabara za changarawe zimeongezeka kutoka kilomita 24,405.40 hadi kilomita 38,141.21 sawa na ongezeko lako la 56%.

“Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan imeongeza fedha za matengenezo,ukarabati na ujenzi wa barabara na madaraja,

“..,  kutoka Tsh. Bilioni 275.03 mwaka 2020/21 hadi kufikia Tsh. Bilioni 836.237 kwa mwaka wa fedha 2021/22,2022/23 sawa na ongezeko la 204% na mwaka huu 2023/2024”. 

WAKANDARASI WA NDANI

 

Kwa upande mwingine, Waziri Mchengerwa aliitaka TARURA kulipa kipaumbele jukumu la kukuza na kuwaendeleza wakandarasi  wazawa ili kutoa mchango mkubwa kwa Taifa.

Aliitaka kuwataka kuyatambua makampuni ya wakandarasi 20 kila mkoa, hivyo alitangaza rasmi mkakati wa kukuza na kuendeleza wakandarasi wazawa.

Alisema hatua hiyo inalenga wafikie viwango vya kimataifa vya ubora na usalama na kuongeza kwamba Serikali imejipanga vyema kuhakikisha inawanyanyua wakandarasi wazawa. 

“Hatuwezi kuitenganisha TARURA na wakandarasi wa ndani kama ambavyo huwezi kuitenganisha TAMISEMI na wananchi.

“Maendeleo ya miundombinu yanamchango katika uchumi wa wananchi na wa Taifa,” alisisitiza.

Waziri Mchengerwa aliongeza “Mikakati ya TARURA ni kuhakikisha ifikapo mwaka 2025 tuwe tumeboresha barabara za vijijini na mijini kwa asilimia 85.

“Lakini tukiwa tunaenda kuyafikia mafanikio hayo lazima tujiulize tumewakuza na kuwajenga wakandarasi wangapi wazawa tumewanyanyua kiasi gani kufikia viwango vya kuwafanya washindane kimataifa.”

“Kwa hiyo ninawataka, pamoja na majukumu mengi mliyonayo TARURA kwenye uongozi wangu kama Waziri jukumu la kukuza na kuwaendeleza wakandarasi wazawa nitalipa kipaumbele cha hali ya juu. 

Aliongeza “.., na leo natangaza rasmi mkakati wa kukuza wakandarasi wazawa utakaosimamiwa na ninyi   TARURA.

“Nitawapa TARURA mnisaidie ili tunakokwenda tuwe tumewajenga wakandarasi  angalau kila mkoa  kampuni za wakandarasi 20 tutakua kumekuza Kampuni za Wakandarasi takribani 520 katika mikoa yetu yote 26.

“Tukiyashika mkono kampuni ya wazawa wa Kitanzania 20 kila mkoa ina maana tutafungua uchumi na kustawi kwa kila mkoa, pia itawezesha kuimalisha kazi za wakandarasi hao kwa kila mkoa.”

Alisema mpango mkakati huo ni wa kuziwezesha kampuni za wazawa za ujenzi ili ziweze kushiriki kikamilifu katika utekelezaji wa miradi inayotangazwa na TARURA.

“Lengo kuu la mpango huu ni kuboresha mazingira ambayo mjasiliamali wa Kitanzania wanaweza kufaulu, kukua na kutoa mchango mkubwa katika maendeleo ya nchi “.

KASI ZAIDI

Mtendaji Mkuu wa TARURA Mhandisi Victor Seff  alisema maagizo yote yaliyotolewa na Waziri wameyapokea na kuhakikisha watayafanyia kazi maagizo yote waliyopewa.

“Ikiwemo kusimamia kazi zote zinazotelelezwa ili ziwe na ubora za zenye matokeo yanayotarajiwa na wananchi,” alisema.

Kwa upande wa wa mameneja wa wilaya na mikoa, alisema wataendelea kutilia mkazo mahusiano mazuri ya kikazi ili kuepuka kuzorotesha kazi zinazoendelea.

“Hivyo wale wote watakaowaoana wanaweza kuwaleta shida au kuwakwamisha basi hawatosita kuwachukulia hatua.

“Kuhusu matumizi ya teknolojia mbadala Mhandisi Seff  alisema huo ndio muelekeo wa TARURA wa kupunguza gharama na kutunza mazingira ya nchi na hivyo wataendelea kulifanyia kazi zaidi.

Aliwasisitiza watumishi wenzake kuendelea kufanya kazi ili kuweza kutimiza malengo ya serikali kwa wakala huo.

Kwa upande wa kukuza wakandarasi wazawa, alisema watashirikiana na bodi ya wakandarasi nchini pamoja na taasisi za kifedha.

“.., na watakua mstari wa mbele kwa kuifanyia kazi kwa kuwainisha wakandarasi wale wanawataka ili waweze kutoka nje ya nchi kushindana na kuwa wa Kimataifa,” alibainisha.

About the author

mzalendo