marsbahis giriş

marsbahis giriş telegram

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

meritking

Hacklink panel

Postegro

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

หวยออนไลน์

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas

casibom

Brain Savior Review

artemisbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

jojobet giriş

NervEase

izmit escort

izmit escort

izmit escort

pusulabet

matbet

meritking giriş

kavbet

bets10 giriş

ultrabet

holiganbet

grandpashabet

jojobet

dizipal

1xbet

1xbet

1win

ngsbahis

betlike

parmabet

mislibet

mislibet

jojobet giriş

nitrobahis

jojobet

jojobet

kulisbet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

vdcasino, vdcasino giriş

vdcasino, vdcasino giriş

kralbet

jojobet

restbet

jojobet

pokerklas

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

betcio

trimology review

jojobet

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

holiganbet

holiganbet

pusulabet

holiganbet giriş

Nitric Boost

enjoybet giriş

betebet

betgar, betgar giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet

imajbet

vdcasino

dinamobet

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Featured Kitaifa

70% YA MAGONJWA YA BINADAMU YANATOKANA NA WANYAMA

Written by mzalendo

Na. WAF – Arusha

Wataalam wa Afya ya binadamu, Afya ya mifugo na jamii wametakiwa kushirikiana ili kupambana na asilimia 70 ya magonjwa ya binaadamu yatokanayo na wanyama.

Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Ulega amesema hayo leo Novemba 16, 2023 wakati akifungua Kongamano la Tatu la Kisayansi la Mapambano ya Usugu wa Vimelea dhidi ya Dawa (UVIMADA) Jijini Arusha

Waziri Ulega amesema matumizi yaliyokithiri ya dawa za Antibiotiki katika kukuza mifugo kwa kuchanganya na chakula cha mifugo kwa matumizi ya kila siku kwa wanyama wanapokuwa hawaumwi hupelekea magonjwa kwa mlaji wa mfugo huo.

“Asilimia 70 ya magonjwa ya binadam yatokana na wanyama ambao nao huyatengeza kwa kupewa dawa za Antibiotiki bila utaratibu, tunapaswa kuchanja mifugo yetu kwa wakati ili iwe na kinga dhidi ya magonjwa na kuacha kuchinja mifugo inayoendelea na matibabu.” Amesema Waziri Ulega

Amesema ni wajibu wa kila mmoja kuhakikisha anapambana na asilimia 70 ya magonjwa ya binadam yatokanayo na matumizi ya Antibiotik yaliyokithiri.

“Tatizo hili ambalo ni tishio kwa kizazi chetu kijacho sababu matokeo ya tafiti mbalimbali za ukusanyaji wa taarifa za dawa nchini zinaonyesha kuwa takribani 60% ya dawa zote zinazotumika hapa nchini hutumiwa na sekta ya wanyama (mifugo na Uvuvi) ambapo mlaji wa mwisho ni Binadamu kwahiyo kaeni tengenezi mikakati ya pamoja kwa kushirikina na jamii, mje na mkakati utakaosaidia kulimaliza tatizo hili.” Amesema Waziri Ulega

Aidha, Waziri Ulega ametoa wito kwa wauzaji wa dawa na watengenezaji wa chakula katika kuchochea mapambano ya dawa dhidi ya vimelea sugu vya magonjwa.

Kwa upande wake Prof. Robinson Mdegela kutoka Chuo kikuu cha Sokoine cha kilimo (SUA) wakati akitoa mada amesema tatizo la usugu wa vimelea dhidi ya dawa ni changamoto mtambuka na ni vema tuzidishe juhudi katika kupambanna nalo.

“Dunia kote tumekubaliana kuja na dhana ya Afya Moja ili kuunganisha nguvu kupambana na hili, namna ya kupambana ni kufanya tathmini kwa tulipofikia ambapo changamoto utaona ni elimu kwahiyo tuelimishe watu ili wajue na kisha kuliepuka.” Amesema Prof. Mdegela

About the author

mzalendo