Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

retro bowl

retro bowl unblocked 76

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

aresbet, aresbet giriş

betcio, betcio giriş

cratosroyalbet, cratosroyalbet giriş

tipobet

jojobet

ilbet

ilbet giriş

pulibet

cratosroyalbet

tarafbet

kavbet

betgar giriş

bets10 güncel giriş adresi

betsat giriş

betebet

jojobet giriş

ilbet

hilbet

jojobet giriş

casibom güncel giriş

Ankara escort

casibom

güvenilir bahis siteleri

film izle

vdcasino giriş

betasus

marsbahis, marsbahis giriş

Google

bahiscasino

ultrabet

betasus

casibom

Greece Fentanyl Buy

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

jojobet

jojobet

casibom giriş

jojobet giriş

sweet bonanza giriş

sweet bonanza

deneme bonusu

sekabet

1win

holiganbet

pusulabet

marsbahis

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

limanbet

marsbahis

betnano

parmabet

kingroyal

jojobet giriş

jojobet

aresbet giriş

aresbet

mislibet

marsbahis

marsbahis

mavibet

meritking

marsbahis giriş

mavibet güncel giriş

marsbahis güncel giriş

marsbahis güncel giriş

limanbet

bahiscasino giriş

royalbet

mislibet

aresbet

royalbet

parmabet

holiganbet

Hacklink panel

betpas

jojobet

Google

jojobet

holiganbet

bahiscasino giriş

mislibet giriş

royalbet giriş

royalbet giriş

marsbahis giriş

perabet

betpark

parmabet

primebahis

tümbet

tümbet giriş

otobet

otobet giriş

sahabet

meritking giriş

meritking güncel giriş

padişahbet

realbahis

sonbahis

cratosslot

1xBet Giriş

otobet

otobet giriş

roketbet 2026

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

mavibet giriş

timebet

timebet

casibom giriş

meritbet

casibom

uyuşturucu satın al

matbet

runtobet

runtobet giriş

1xbet

pokerklas, pokerklas giriş

meritbet

jojobet

perabet giriş

perabet

betnano giriş

betpark giriş

gobahis giriş

betnano

betnano giriş

bahiscasino

gobahis

limanbet giriş

betnano giriş

parmabet giriş

betnano

betkolik giriş

perabet giriş

gobahis giriş

royalbet giriş

aresbet giriş

vaycasino giriş

betkolik

bahiscasino

gobahis giriş

bahiscasino giriş

bahiscasino

aresbet giriş

marsbahis giriş

parmabet giriş

betpark

perabet giriş

mislibet giriş

perabet

limanbet giriş

limanbet giriş

grandbetting

parmabet

matbet, matbet giriş

betcio, betcio giriş

deneme bonusu

kavbet giriş

deneme bonusu veren siteler

meritbet

kingroyal

https://sjconsultors.com/

ikimisli

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

Mariobet

Mariobet

betbox

casibom

mavibet giriş

meritking

dedektör

vdcasino giriş

marsbahis

jojobet

deneme bonusu veren siteler

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

jojobet

betsat

bets10 sorunsuz giriş

jojobet

betgit

turkey dental implants

mavibet

mavibet giriş

setrabet

jojobet

anadoluslot

süratbet

jojobet giriş

betvoy

meritking

meritking giriş

meritking güncel giriş

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino

aresbet

mislibet giriş

gobahis

limanbet

mislibet

mavibet

mavibet giriş

mavibet

aresbet giriş

kavbet

kavbet giriş

ikimisli giriş

ikimisli

ikimisli giriş

ultrabet

ultrabet giriş

mavibet

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

romabet

meritking

deneme bonusu veren siteler

av ซับไทย

vdcasino

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Jojobet

Jojobet

Featured Kitaifa

TANESCO YAKUTANA NA MADIWANI MANISPAA YA SHINYANGA

Written by mzalendo
Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Mhe. Johari Samizi akizungumza wakati akifungua Kikao cha TANESCO na Madiwani wa Manispaa ya Shinyanga
 
Na Kadama Malunde – Malunde 1 blog 
 
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Mkoa wa Shinyanga limefanya kikao na Madiwani wa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga kwa ajili ya kuimarisha mahusiano na mawasiliano ili kupunguza malalamiko mbalimbali kutoka kwa wananchi.
 
 
Kikao hicho chenye kauli mbiu ‘TANESCO Yetu, Umeme Wetu, Njoo Tuzungumze’ kimefanyika leo Jumatano Novemba 15,2023 katika ukumbi wa Karena Hotel Mjini Shinyanga ambapo mgeni rasmi alikuwa Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Mhe. Johari Samizi.
 
Katika kikao hicho, Waheshimiwa Madiwani wameeleza changamoto walizonazo kwenye maeneo yao pamoja na vipaumbele vya maeneo yanayopaswa kupatiwa huduma ya umeme.
 
Akizungumza wakati wa kufungua kikao hicho, Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Mhe. Johari Samizi ameipongeza TANESCO kwa kufungua milango ya kukutana na Madiwani ambao ni wawakilishi wa wananchi akibainisha kuwa mazungumzo yanaleta hitimisho la mambo yote.
 
“Kauli mbiu hii ya TANESCO Yetu, Umeme Wetu, Njoo Tuzungumze ni nzuri kwani, hitimisho la mambo yote ni mazungumzo, njoo tuzungumze inatoa fursa kwa Waheshimiwa Madiwani kueleza changamoto na vipaumbele kwenye kata zao, kikao hiki kiwe chachu ya mahusiano na mawasiliano baina ya Madiwani na TANESCO,hakikisheni mnawasiliana ili kupata ufumbuzi wa changamoto zinazojitokeza”,amesema Mhe. Samizi.
 
 
Katika hatua nyingine, Mkuu huyo wa Wilaya ameipongeza Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa namna inavyotoa fedha nyingi kutekeleza miradi ya maendeleo ikiwemo ya umeme.
 
“Serikali ya awamu ya sita inaupiga mwingi, sisi Serikali na TANESCO tumekubaliana kuwa ifikapo mwezi Februari mwaka 2024 kila Kijiji kipate huduma ya umeme. Hii ni sehemu ya utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM kwani ilani imeelekeza wananchi wanapatiwe huduma ya umeme”, amesema.
 
“Ni lazima tutambue kuwa Umeme siyo anasa bali umeme ni huduma ya msingi katika ulimwengu huu wa sasa. Umeme ni Maisha, umeme ni uchumi hivyo ni lazima wananchi wapate huduma ya umeme. Na tunapopeleka huduma za umeme ni vyema pia tuyatambue maeneo yenye huduma za kijamii mfano zahanati na shule”,ameongeza Mhe. Samizi.
 
Kwa upande wake, Meneja wa TANESCO Mkoa wa Shinyanga Mhandisi Leo Mwakatobe amesema serikali inaendelea kutekeleza miradi ya umeme katika maeneo mbalimbali mkoani Shinyanga ikiwemo miradi ya REA na Mradi wa mkubwa Umeme Jua wilayani Kishapu huku akiwatoa hofu wananchi kuwa itaendelea kuyafikia maeneo yenye changamoto ili kuhakikisha kila mwananchi ananufaika na huduma ya umeme.
 
“Tumekutana na Waheshimiwa Madiwani ili tuzungumze. Mhe. Diwani kama una shida usiilaze, piga simu muda wowote tutatoa ufafanuzi kuhusu changamoto yoyote. Naomba madiwani wote muwe na simu zangu (Meneja Tanesco Mkoa) , simu za Afisa Uhusiano na Mainjinia wa wilaya ambao mtawasiliana nao kuhusu mahitaji mbalimbali ili yapate ufumbuzi”,amesema Mhandisi Mwakatobe.
 
 
“Ni vizuri tukawa na mawasiliano, tuzungumze yanayotukabili ili tuyatatue. Madiwani mtatusaidia kutoa ufafanuzi kwa wananchi. Serikali inatoa fedha kila mwaka kwa ajili ya kusambaza umeme,naomba Waheshimiwa madiwani mfanye kazi kwa ushirikiano na TANESCO ili kutimiza malengo ya serikali ya kuhakikisha kila Kijiji kinafikiwa na huduma ya umeme”,ameongeza.
 
Nao Madiwani walioshiriki kikao hicho licha ya kueleza changamoto na vipaumbele kwenye maeneo yao pia wamempongeza Meneja wa TANESCO Mkoa wa Shinyanga kwa kuandaa kikao hicho ambao kitasaidia kwa kiasi kikubwa kuimarisha mahusiano na mawasiliano baina ya Madiwani na TANESCO ili wananchi wapate huduma ya umeme.
 
Aidha Madiwani hao wameomba baadhi ya maeneo Mjini Shinyanga ambayo hayana huduma ya umeme hususani yenye sifa za vijiji  yaunganishiwe umeme kwa mfumo wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kwa kulipia shilingi 27,000/= kama wanavyopewa wananchi waliopo vijijini kwani wengi wao hawana uwezo wa kumudu gharama kwa mfumo wa gharama zinazotozwa kwa wananchi wa Mjini.
 
ANGALIA PICHA HAPA CHINI
Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Mhe. Johari Samizi akizungumza wakati akifungua Kikao cha TANESCO na Madiwani wa Manispaa ya Shinyanga leo Jumatano Novemba 15,2023 – Picha na Kadama Malunde – Malunde 1 blog
Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Mhe. Johari Samizi akizungumza wakati akifungua Kikao cha TANESCO na Madiwani wa Manispaa ya Shinyanga
Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Mhe. Johari Samizi akizungumza wakati akifungua Kikao cha TANESCO na Madiwani wa Manispaa ya Shinyanga
Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Mhe. Johari Samizi akizungumza wakati akifungua Kikao cha TANESCO na Madiwani wa Manispaa ya Shinyanga
Meneja wa TANESCO Mkoa wa Shinyanga Mhandisi Leo Mwakatobe akizungumza kwenye kikao cha TANESCO na Madiwani wa Manispaa ya Shinyanga
Meneja wa TANESCO Mkoa wa Shinyanga Mhandisi Leo Mwakatobe akizungumza kwenye kikao cha TANESCO na Madiwani wa Manispaa ya Shinyanga
Meneja wa TANESCO Mkoa wa Shinyanga Mhandisi Leo Mwakatobe akizungumza kwenye kikao cha TANESCO na Madiwani wa Manispaa ya Shinyanga
Meneja wa TANESCO Mkoa wa Shinyanga Mhandisi Leo Mwakatobe akizungumza kwenye kikao cha TANESCO na Madiwani wa Manispaa ya Shinyanga
Meneja wa TANESCO Mkoa wa Shinyanga Mhandisi Leo Mwakatobe akizungumza kwenye kikao cha TANESCO na Madiwani wa Manispaa ya Shinyanga
Naibu Mstahiki Meya Manispaa ya Shinyanga Mhe. Zamda Shaban akizungumza kwenye kikao cha TANESCO na Madiwani wa Manispaa ya Shinyanga
Naibu Mstahiki Meya Manispaa ya Shinyanga Mhe. Zamda Shaban akizungumza kwenye kikao cha TANESCO na Madiwani wa Manispaa ya Shinyanga
Madiwani wa Manispaa ya Shinyanga wakiwa ukumbini
Madiwani wa Manispaa ya Shinyanga wakiwa ukumbini
Madiwani wa Manispaa ya Shinyanga wakiwa ukumbini
Madiwani wa Manispaa ya Shinyanga wakiwa ukumbini
 
Kikao cha TANESCO na Madiwani wa Manispaa ya Shinyanga kikiendelea
Madiwani wa Manispaa ya Shinyanga wakiwa ukumbini
Madiwani wa Manispaa ya Shinyanga wakiwa ukumbini
Madiwani wa Manispaa ya Shinyanga wakiwa ukumbini
Kikao cha TANESCO na Madiwani wa Manispaa ya Shinyanga kikiendelea.

About the author

mzalendo