Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

https://www.newstrendline.com/bilgi-kutusu/

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

dedektör

vdcasino giriş

holiganbet

betsalvador

mavibet

mavibet giriş

jojobet

bets10 sorunsuz giriş

grandpashabet güncel giriş

https://www.newstrendline.com/

gameofbet

matbet giriş

lunabet

mavibet

setrabet

jojobet giriş

betebet

gonebet

jojobet

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino giriş

millibahis

vipslot

festwin

parmabet

celtabet

kulisbet giriş

mavibet

holiganbet güncel giriş

mavibet giriş

piabellacasino giriş

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

mavibet giriş

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino

deneme bonusları veren siteler

deneme bonusu veren siteler

marsbahis giriş

festwin

doeda

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

casibom

casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

casibom

betsat

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

sahabet

bets10 giriş

dinamobet giriş

casibom

casibom

jojobet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

jojobet

ultrabet

casibom

Hacklink panel

betturkey

betnano

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

capitolbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

kralbet giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

deneme bonusu

spyhackerz

jojobet

uyuşturucu satın al

jojobet güncel giriş

İmajbet

royalbet

imajbet

betgross

biabet

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

pokerklas

perabet

betsat

bets10

vdcasino

jojobet

Jojobet

matbet

redwin

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

holiganbet giriş

holiganbet

grandpashabet

girne escort

magusa escort

dedebet

holiganbet

tubidy

kralbet

Girne Escort

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

starzbet

jojobet

Featured Kitaifa

TANESCO YAKUTANA NA MADIWANI MANISPAA YA SHINYANGA

Written by mzalendo
Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Mhe. Johari Samizi akizungumza wakati akifungua Kikao cha TANESCO na Madiwani wa Manispaa ya Shinyanga
 
Na Kadama Malunde – Malunde 1 blog 
 
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Mkoa wa Shinyanga limefanya kikao na Madiwani wa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga kwa ajili ya kuimarisha mahusiano na mawasiliano ili kupunguza malalamiko mbalimbali kutoka kwa wananchi.
 
 
Kikao hicho chenye kauli mbiu ‘TANESCO Yetu, Umeme Wetu, Njoo Tuzungumze’ kimefanyika leo Jumatano Novemba 15,2023 katika ukumbi wa Karena Hotel Mjini Shinyanga ambapo mgeni rasmi alikuwa Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Mhe. Johari Samizi.
 
Katika kikao hicho, Waheshimiwa Madiwani wameeleza changamoto walizonazo kwenye maeneo yao pamoja na vipaumbele vya maeneo yanayopaswa kupatiwa huduma ya umeme.
 
Akizungumza wakati wa kufungua kikao hicho, Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Mhe. Johari Samizi ameipongeza TANESCO kwa kufungua milango ya kukutana na Madiwani ambao ni wawakilishi wa wananchi akibainisha kuwa mazungumzo yanaleta hitimisho la mambo yote.
 
“Kauli mbiu hii ya TANESCO Yetu, Umeme Wetu, Njoo Tuzungumze ni nzuri kwani, hitimisho la mambo yote ni mazungumzo, njoo tuzungumze inatoa fursa kwa Waheshimiwa Madiwani kueleza changamoto na vipaumbele kwenye kata zao, kikao hiki kiwe chachu ya mahusiano na mawasiliano baina ya Madiwani na TANESCO,hakikisheni mnawasiliana ili kupata ufumbuzi wa changamoto zinazojitokeza”,amesema Mhe. Samizi.
 
 
Katika hatua nyingine, Mkuu huyo wa Wilaya ameipongeza Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa namna inavyotoa fedha nyingi kutekeleza miradi ya maendeleo ikiwemo ya umeme.
 
“Serikali ya awamu ya sita inaupiga mwingi, sisi Serikali na TANESCO tumekubaliana kuwa ifikapo mwezi Februari mwaka 2024 kila Kijiji kipate huduma ya umeme. Hii ni sehemu ya utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM kwani ilani imeelekeza wananchi wanapatiwe huduma ya umeme”, amesema.
 
“Ni lazima tutambue kuwa Umeme siyo anasa bali umeme ni huduma ya msingi katika ulimwengu huu wa sasa. Umeme ni Maisha, umeme ni uchumi hivyo ni lazima wananchi wapate huduma ya umeme. Na tunapopeleka huduma za umeme ni vyema pia tuyatambue maeneo yenye huduma za kijamii mfano zahanati na shule”,ameongeza Mhe. Samizi.
 
Kwa upande wake, Meneja wa TANESCO Mkoa wa Shinyanga Mhandisi Leo Mwakatobe amesema serikali inaendelea kutekeleza miradi ya umeme katika maeneo mbalimbali mkoani Shinyanga ikiwemo miradi ya REA na Mradi wa mkubwa Umeme Jua wilayani Kishapu huku akiwatoa hofu wananchi kuwa itaendelea kuyafikia maeneo yenye changamoto ili kuhakikisha kila mwananchi ananufaika na huduma ya umeme.
 
“Tumekutana na Waheshimiwa Madiwani ili tuzungumze. Mhe. Diwani kama una shida usiilaze, piga simu muda wowote tutatoa ufafanuzi kuhusu changamoto yoyote. Naomba madiwani wote muwe na simu zangu (Meneja Tanesco Mkoa) , simu za Afisa Uhusiano na Mainjinia wa wilaya ambao mtawasiliana nao kuhusu mahitaji mbalimbali ili yapate ufumbuzi”,amesema Mhandisi Mwakatobe.
 
 
“Ni vizuri tukawa na mawasiliano, tuzungumze yanayotukabili ili tuyatatue. Madiwani mtatusaidia kutoa ufafanuzi kwa wananchi. Serikali inatoa fedha kila mwaka kwa ajili ya kusambaza umeme,naomba Waheshimiwa madiwani mfanye kazi kwa ushirikiano na TANESCO ili kutimiza malengo ya serikali ya kuhakikisha kila Kijiji kinafikiwa na huduma ya umeme”,ameongeza.
 
Nao Madiwani walioshiriki kikao hicho licha ya kueleza changamoto na vipaumbele kwenye maeneo yao pia wamempongeza Meneja wa TANESCO Mkoa wa Shinyanga kwa kuandaa kikao hicho ambao kitasaidia kwa kiasi kikubwa kuimarisha mahusiano na mawasiliano baina ya Madiwani na TANESCO ili wananchi wapate huduma ya umeme.
 
Aidha Madiwani hao wameomba baadhi ya maeneo Mjini Shinyanga ambayo hayana huduma ya umeme hususani yenye sifa za vijiji  yaunganishiwe umeme kwa mfumo wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kwa kulipia shilingi 27,000/= kama wanavyopewa wananchi waliopo vijijini kwani wengi wao hawana uwezo wa kumudu gharama kwa mfumo wa gharama zinazotozwa kwa wananchi wa Mjini.
 
ANGALIA PICHA HAPA CHINI
Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Mhe. Johari Samizi akizungumza wakati akifungua Kikao cha TANESCO na Madiwani wa Manispaa ya Shinyanga leo Jumatano Novemba 15,2023 – Picha na Kadama Malunde – Malunde 1 blog
Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Mhe. Johari Samizi akizungumza wakati akifungua Kikao cha TANESCO na Madiwani wa Manispaa ya Shinyanga
Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Mhe. Johari Samizi akizungumza wakati akifungua Kikao cha TANESCO na Madiwani wa Manispaa ya Shinyanga
Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Mhe. Johari Samizi akizungumza wakati akifungua Kikao cha TANESCO na Madiwani wa Manispaa ya Shinyanga
Meneja wa TANESCO Mkoa wa Shinyanga Mhandisi Leo Mwakatobe akizungumza kwenye kikao cha TANESCO na Madiwani wa Manispaa ya Shinyanga
Meneja wa TANESCO Mkoa wa Shinyanga Mhandisi Leo Mwakatobe akizungumza kwenye kikao cha TANESCO na Madiwani wa Manispaa ya Shinyanga
Meneja wa TANESCO Mkoa wa Shinyanga Mhandisi Leo Mwakatobe akizungumza kwenye kikao cha TANESCO na Madiwani wa Manispaa ya Shinyanga
Meneja wa TANESCO Mkoa wa Shinyanga Mhandisi Leo Mwakatobe akizungumza kwenye kikao cha TANESCO na Madiwani wa Manispaa ya Shinyanga
Meneja wa TANESCO Mkoa wa Shinyanga Mhandisi Leo Mwakatobe akizungumza kwenye kikao cha TANESCO na Madiwani wa Manispaa ya Shinyanga
Naibu Mstahiki Meya Manispaa ya Shinyanga Mhe. Zamda Shaban akizungumza kwenye kikao cha TANESCO na Madiwani wa Manispaa ya Shinyanga
Naibu Mstahiki Meya Manispaa ya Shinyanga Mhe. Zamda Shaban akizungumza kwenye kikao cha TANESCO na Madiwani wa Manispaa ya Shinyanga
Madiwani wa Manispaa ya Shinyanga wakiwa ukumbini
Madiwani wa Manispaa ya Shinyanga wakiwa ukumbini
Madiwani wa Manispaa ya Shinyanga wakiwa ukumbini
Madiwani wa Manispaa ya Shinyanga wakiwa ukumbini
 
Kikao cha TANESCO na Madiwani wa Manispaa ya Shinyanga kikiendelea
Madiwani wa Manispaa ya Shinyanga wakiwa ukumbini
Madiwani wa Manispaa ya Shinyanga wakiwa ukumbini
Madiwani wa Manispaa ya Shinyanga wakiwa ukumbini
Kikao cha TANESCO na Madiwani wa Manispaa ya Shinyanga kikiendelea.

About the author

mzalendo