marsbahis giriş

marsbahis giriş telegram

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

marsbahis giriş

NervEase

escort sakarya

sakarya escort

izmit escort

matbet

teosbet

meritking giriş

ganobet

bets10 giriş

betnano

pusulabet giriş

grandpashabet

jojobet

dizipal

1xbet

1xbet

casinoroyal

kavbet

marsbahis

perabet giriş

kavbet

casinowon giriş

mavibet giriş

imajbet

mavibet

pashagaming

marsbahis

kulisbet giriş

pusulabet giriş

bahiscasino, bahiscaasino giriş

betgar, betgar giriş

bahiscasino, bahiscaasino giriş

betkolik, betkolik giriş

jojobet

restbet

jojobet giriş

restbet

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

bettilt

trimology review

celtabet

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

holiganbet

holiganbet

pusulabet

holiganbet giriş

Nitric Boost

tarafbet giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

betosfer

bilgi kutusu

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

tümbet giriş

tümbet

tümbet

tümbet giriş

netbahis

netbahis giriş

netbahis

netbahis giriş

norabahis

starzbet

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

netbahis

netbahis giriş

betsat

betsat giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

kıbrıs escort

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

ilbet

ilbet giriş

xslot

xslot giriş

bets10

bets10 giriş

bets10 giriş

Fixbet

jojobet

grandpashabet

galabet

İkimisli

onwin

sahabet

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10 giriş

casibom

lunabet

lunabet giriş

imajbet

bahiscasino

perabet

lunabet

kavbet

artemisbet

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

ifşa

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

bets10

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

grandpashabet

Hacklink Panel

nesinecasino

vdcasino

bets10

perabet

perabet

perabet giriş

artemisbet

imajbet giriş

imajbet

kralbet giriş

imajbet

สล็อตเว็บตรง

bets10 giriş

bettilt giriş

holiganbet giriş

jojobet

jojobet

trust score weak 3

jojobet

Holiganbet

hitbet

kavbet

kavbet

jojobet

casibom

casibom

casibom

casibom

dinamobet

netbahis

1xbet giriş

vipslot

galabet giriş

interbahis

Featured Kitaifa

KAKOSO APONGEZA JITIHADA ZILIZOFANYWA NA TPA ZA UENDELEZAJI BANDARI YA MTWARA

Written by mzalendo
Ziara ya Kamati ya kudumu ya Bunge ya Miundombinu ya kutembelea miradi mbalimbali ya maendeleo inayotekelezwa na kusimamiwa na Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari nchini(TPA) kwa kutembelea eneo inapojengwa Bandari ya Mizigo ya kisiwa Mgao, Gatiza Bandari ya Mtwara likiwemo linalohudumia korosho sambamba na Uwanja wa Ndege wa Mtwara na Ofisi za Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mkoani humo Tarehe 13 Novemba, 2023
Ziara ya Kamati ya kudumu ya Bunge ya Miundombinu ya kutembelea miradi mbalimbali ya maendeleo inayotekelezwa na kusimamiwa na Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari nchini(TPA) kwa kutembelea eneo inapojengwa Bandari ya Mizigo ya kisiwa Mgao, Gatiza Bandari ya Mtwara likiwemo linalohudumia korosho sambamba na Uwanja wa Ndege wa Mtwara na Ofisi za Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mkoani humo Tarehe 13 Novemba, 2023
Ziara ya Kamati ya kudumu ya Bunge ya Miundombinu ya kutembelea miradi mbalimbali ya maendeleo inayotekelezwa na kusimamiwa na Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari nchini(TPA) kwa kutembelea eneo inapojengwa Bandari ya Mizigo ya kisiwa Mgao, Gatiza Bandari ya Mtwara likiwemo linalohudumia korosho sambamba na Uwanja wa Ndege wa Mtwara na Ofisi za Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mkoani humo Tarehe 13 Novemba, 2023
Ziara ya Kamati ya kudumu ya Bunge ya Miundombinu ya kutembelea miradi mbalimbali ya maendeleo inayotekelezwa na kusimamiwa na Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari nchini(TPA) kwa kutembelea eneo inapojengwa Bandari ya Mizigo ya kisiwa Mgao, Gatiza Bandari ya Mtwara likiwemo linalohudumia korosho sambamba na Uwanja wa Ndege wa Mtwara na Ofisi za Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mkoani humo Tarehe 13 Novemba, 2023
Ziara ya Kamati ya kudumu ya Bunge ya Miundombinu ya kutembelea miradi mbalimbali ya maendeleo inayotekelezwa na kusimamiwa na Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari nchini(TPA) kwa kutembelea eneo inapojengwa Bandari ya Mizigo ya kisiwa Mgao, Gatiza Bandari ya Mtwara likiwemo linalohudumia korosho sambamba na Uwanja wa Ndege wa Mtwara na Ofisi za Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mkoani humo Tarehe 13 Novemba, 2023
Ziara ya Kamati ya kudumu ya Bunge ya Miundombinu ya kutembelea miradi mbalimbali ya maendeleo inayotekelezwa na kusimamiwa na Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari nchini(TPA) kwa kutembelea eneo inapojengwa Bandari ya Mizigo ya kisiwa Mgao, Gatiza Bandari ya Mtwara likiwemo linalohudumia korosho sambamba na Uwanja wa Ndege wa Mtwara na Ofisi za Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mkoani humo Tarehe 13 Novemba, 2023

 

Na Mwandishi wetu – Mtwara 
 
Mwenyekiti wa kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu Mhe Suleiman Kakoso amepongeza jitihada zilizofanywa na Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Nchini(TPA) za uendelezaji wa bandari ya Mtwara.
 
 
Mhe kakoso ameyasema hayo wakati wa muendeleo wa ziara ya kamati ya kudumu ya bunge ya miundombinu ya kutembelea miradi mbalimbali ya maendeleo inayotekelezwa na kusimamiwa na Mamlaka ya usimamizi wa bandari nchini(TPA) kwa kutembelea gati za bandari ya Mtwara likiwemo gati linalotumika kusafirisha korosho,kutembelea mahali panapojegwa bandari mpya ya mizigo ya Kisiwa Mgao sambamba na kutembelea uwanja wa ndege wa Mtwara mkoani humo tarehe 13 Novemba,2023.
 
 
Kakoso amemshukuru Rais wa awamu ya sita Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kwa jitihada kubwa alizozifanya mkoa wa Mtwara kwa kutoa fedha kwa TPA zilizotumiwa kujenga gati jipya lenye urefu wa mita 3,500 ,ufungaji wa mitambo ya kupakia na kupakua makasha,ujenzi wa mzani wa upimaji bandarini na uboreshaji wa miundombinu ya kutoka na kuingia bandarini ambavyo vimeongeza ufanisi wa bandari ya Mtwara.
 
 
“uwekezaji ambao umewekezwa na serikali kwenye bandari hii ni mkubwa sana tumeona ufungwaji wa mitambo, na miundombinu wezeshi imekamilika tunaishukuru Wizara ya Uchukuzi kwa jitihada zilizofanywa hapa ambapo pia kunajengwa bandari mpya itakayohudumia mizigo ya makaa ya mawe na sarujii ili kuepusha uhalibifu wa mazingira ambao upo kwenye maeneo haya ambako wananchi wanatumia bandari hii na wanaishi Jirani na bandari” amesisitiza Kakoso
 
 
Amesema kamati imejiridhisha na kuangalia jitihada ambazo zimefanywa na TPA kile ambacho kiinasemwa ni tofauti na uhalisia ambao wameona ambapo kamati imeona makasha mengi yako kwenye eneo la bandari na kuna hatua kubwa za maendeleo na maboresho ambazo kamati hiyo imeona ambavyo imeongeza ufanisi wa utoaji huduma na mapato.
 
 
Ameongeza kuwa huko nyuma kulingana na idadi iliyotolewa na mamlaka idadi ya mizigo ilikuwa kidogo lakini kwa sasa imeshuhudiwa mapato makubwa ya bandari ya Mtwara mpaka kufikia Bil 35 kwa mwaka 2022/2023 na kuna uwezekano wa kufikia Bil 40 sababu mzigo bado ni mkubwa unaohitaji kuhudumiwa na kutoa wito kwa wananchi wa Mtwara,Lindi na Ruvuma kuitumia bandari ya Mtwara ili kuongeza uchumi wa nchi na mkoa.
 
 
Awali Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu ilitembelea ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mtwara na kupokea salamu za mkoa pia ilitembelea na kukagua maboresho ya Uwanja wa ndege wa Mtwara ambao umekamilika kwa kuongezwa eneo la kuruka na kutua ndege kwa mita 2,840 na kufungwa taa zinazoruhusu ndege kutua usiku kinachosubiriwa ni vitendea kazi ili wananchi waanze kupata huduma za ndege Zaidi na kuwataka ATCL kufikiria kuanzisha safari mkoani Mtwara.
 
 
Naye Naibu Waziri wa Uchukuzi Mhe David Kihenzile ameishukuru kamati ya kudumu ya Bunge ya Miundombinu kwa kutembelea uwanja wa ndege wa Mtwara, inakojegwa bandari ya mizigo ya kisiwa mgao na bandari ya Mtwara na kusisitiza kuwa mambo yote ambayo kamati imeyabaini na kuyatolea maelekezo Wizara imeyachukua na inakwenda kuyachakata na kujipanga kuyafanyia kazi kwa haraka.
 
 
Akitoa maelezo ya awali Kaimu Mkurugenzi mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandar Nchini(TPA) Mha Juma Kijavara amesema bandari ya Mtwara ni miongoni mwa bandari tatau zilizoko kwenye mwambao wa Bahari ya hindi zilizopo chini ya TPA.
 
 
Kijavara amesema kutokana na maboresho Bandar ya Mtwara imepata gati jipya lenye mita 3,500 lenye uwezo wa kuhudumia tani 65,000 na bidhaa zinazohudumiwa Zaidi ni korosho,makaa yam awe na saruji zinazokwenda Tanzania visiwani,Comoro,msumbiji, India, aasia na Bara ulaya ambapo mwaka 2021 bandari ilihudumia meli 64 huku mwaka 2023 ikihudumia meli 213 na mizigo tani 177,338 mwaka 2021 mpaka tani Mil 1.6 mwaka 2022 likiwa ni ongezeko la asililia 93 huku mapato yakiongezeka kutoka Bil 11 mwaka 2021 mpaka Bil 35 mwaka 2022/2023

About the author

mzalendo