Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

retro bowl

retro bowl unblocked 76

betturkey giriş

betturkey

pokerklas giriş

casibom giriş

pokerklas

royalbet

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

betpark giriş

casibom giriş

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

ilbet

ilbet giriş

bets10

bets10 giriş

bets10

Milanobet

casibom giriş

türk ifşa

pokerklas

İkimisli

onwin

grandpashabet

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10 giriş

mobilbahis

casibom

perabet giriş

jasminbet giriş

imajbet

imajbet giriş

kavbet

perabet

artemisbet

mislibet

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

betpark

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

superbetin

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

teosbet

vdcasino giriş

zirvebet

jojobet güncel giriş

nerobet

jojobet

nerobet

jojobet giriş

kavbet giriş

Meritking

jojobet

สล็อตเว็บตรง

bets10

pusulabet

jojobet

marsbahis

holiganbet

trust score weak 3

marsbahis giriş

ikimisli

tipobet

mislibet

jasminbet

casibom

realbahis

ikimisli

queenbet

jojobet

sekabet giriş

netbahis

sapanca bungalov

marsbahis giriş

casibom giriş

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

betpas

1xbet giriş

holiganbet giriş

restbet

dinamobet giriş

hackhaber

grandpashabet

film izle

casibom

interbahis, interbahis giriş

betgar, betgar giriş

monobahis, monobahis giriş

superbetin

meritking

ilbet

ilbet giriş

jojobet giriş

onwin

roketbet

jojobet

ligobet giriş

bets10 güncel giriş adresi

sahabet

jojobet

perabet

ilbet

deneme bonusu

casibom güncel giriş

sweet bonanza siteleri

Ankara escort

marsbahis

güvenilir bahis siteleri

dizipal

vdcasino giriş

piabet

kulisbet, kulisbet giriş

google

ganobet

tophillbet

marsbahis

atlasbet

Doctors | Akdeniz University Hospital

deneme bonusu veren siteler

casino siteleri

casibom güncel giriş

casibom giriş

sweet bonanza

casibom

betflix giriş

betflix

betturkey

grandpashabet

gameofbet

betgit

1win

radissonbet

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino giriş

ikimisli

queenbet

jojobet

holiganbet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

casibom giriş

casibom

meritking giriş

meritking giriş

meritking

marsbahis

meritking

marsbahis giriş

marsbahis giriş

meritking

jojobet

goldenbahis

holiganbet

galabet

holiganbet

mislibet

casibom

romabet

Hacklink panel

betturkey

jojobet

google giir

jojobet

jojobet

realbahis

casibom giriş

royalbet

jojobet giriş

royalbet

casibom giriş

casibom giriş

casibom

primebahis

bahsegel

bahsegel giriş

betturkey

betturkey giriş

sahabet

meritking giriş

marsbahis

betpas

betgaranti

betoffice

timebet

Bet365 Giriş

betturkey

betturkey giriş

atlasbet giriş

roketbet 2026

deneme bonusu

casibom

vdcasino

mislibet giriş

tarafbet

tarafbet

betpark giriş

betpark

betpark

betpark güncel giriş

betpark giriş

runtobet

runtobet giriş

1xbet

marsbahis, marsbahis giriş

betine

jojobet

betvole

betvole

betkolik

betkolik

betplay

betplay

aresbet

aresbet

jojobet giriş

alfabahis

gobahis

gobahis

livebahis

livebahis

atlasbet

atlasbet

ultrabet

ultrabet

marsbahis

marsbahis

marsbahis

marsbahis

marsbahis

coinbar

coinbar

elitcasino

elitcasino

bahisfair

bahisfair

gonebet

gonebet

betovis

betovis

goldenbahis

goldenbahis

pokerklas, pokerklas giriş

alobet, alobet giriş

deneme bonusu

jojobet giriş

deneme bonusu

casibom

jojobet

https://sjconsultors.com/

kavbet

Featured Kitaifa

KAKOSO APONGEZA JITIHADA ZILIZOFANYWA NA TPA ZA UENDELEZAJI BANDARI YA MTWARA

Written by mzalendo
Ziara ya Kamati ya kudumu ya Bunge ya Miundombinu ya kutembelea miradi mbalimbali ya maendeleo inayotekelezwa na kusimamiwa na Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari nchini(TPA) kwa kutembelea eneo inapojengwa Bandari ya Mizigo ya kisiwa Mgao, Gatiza Bandari ya Mtwara likiwemo linalohudumia korosho sambamba na Uwanja wa Ndege wa Mtwara na Ofisi za Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mkoani humo Tarehe 13 Novemba, 2023
Ziara ya Kamati ya kudumu ya Bunge ya Miundombinu ya kutembelea miradi mbalimbali ya maendeleo inayotekelezwa na kusimamiwa na Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari nchini(TPA) kwa kutembelea eneo inapojengwa Bandari ya Mizigo ya kisiwa Mgao, Gatiza Bandari ya Mtwara likiwemo linalohudumia korosho sambamba na Uwanja wa Ndege wa Mtwara na Ofisi za Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mkoani humo Tarehe 13 Novemba, 2023
Ziara ya Kamati ya kudumu ya Bunge ya Miundombinu ya kutembelea miradi mbalimbali ya maendeleo inayotekelezwa na kusimamiwa na Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari nchini(TPA) kwa kutembelea eneo inapojengwa Bandari ya Mizigo ya kisiwa Mgao, Gatiza Bandari ya Mtwara likiwemo linalohudumia korosho sambamba na Uwanja wa Ndege wa Mtwara na Ofisi za Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mkoani humo Tarehe 13 Novemba, 2023
Ziara ya Kamati ya kudumu ya Bunge ya Miundombinu ya kutembelea miradi mbalimbali ya maendeleo inayotekelezwa na kusimamiwa na Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari nchini(TPA) kwa kutembelea eneo inapojengwa Bandari ya Mizigo ya kisiwa Mgao, Gatiza Bandari ya Mtwara likiwemo linalohudumia korosho sambamba na Uwanja wa Ndege wa Mtwara na Ofisi za Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mkoani humo Tarehe 13 Novemba, 2023
Ziara ya Kamati ya kudumu ya Bunge ya Miundombinu ya kutembelea miradi mbalimbali ya maendeleo inayotekelezwa na kusimamiwa na Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari nchini(TPA) kwa kutembelea eneo inapojengwa Bandari ya Mizigo ya kisiwa Mgao, Gatiza Bandari ya Mtwara likiwemo linalohudumia korosho sambamba na Uwanja wa Ndege wa Mtwara na Ofisi za Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mkoani humo Tarehe 13 Novemba, 2023
Ziara ya Kamati ya kudumu ya Bunge ya Miundombinu ya kutembelea miradi mbalimbali ya maendeleo inayotekelezwa na kusimamiwa na Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari nchini(TPA) kwa kutembelea eneo inapojengwa Bandari ya Mizigo ya kisiwa Mgao, Gatiza Bandari ya Mtwara likiwemo linalohudumia korosho sambamba na Uwanja wa Ndege wa Mtwara na Ofisi za Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mkoani humo Tarehe 13 Novemba, 2023

 

Na Mwandishi wetu – Mtwara 
 
Mwenyekiti wa kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu Mhe Suleiman Kakoso amepongeza jitihada zilizofanywa na Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Nchini(TPA) za uendelezaji wa bandari ya Mtwara.
 
 
Mhe kakoso ameyasema hayo wakati wa muendeleo wa ziara ya kamati ya kudumu ya bunge ya miundombinu ya kutembelea miradi mbalimbali ya maendeleo inayotekelezwa na kusimamiwa na Mamlaka ya usimamizi wa bandari nchini(TPA) kwa kutembelea gati za bandari ya Mtwara likiwemo gati linalotumika kusafirisha korosho,kutembelea mahali panapojegwa bandari mpya ya mizigo ya Kisiwa Mgao sambamba na kutembelea uwanja wa ndege wa Mtwara mkoani humo tarehe 13 Novemba,2023.
 
 
Kakoso amemshukuru Rais wa awamu ya sita Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kwa jitihada kubwa alizozifanya mkoa wa Mtwara kwa kutoa fedha kwa TPA zilizotumiwa kujenga gati jipya lenye urefu wa mita 3,500 ,ufungaji wa mitambo ya kupakia na kupakua makasha,ujenzi wa mzani wa upimaji bandarini na uboreshaji wa miundombinu ya kutoka na kuingia bandarini ambavyo vimeongeza ufanisi wa bandari ya Mtwara.
 
 
“uwekezaji ambao umewekezwa na serikali kwenye bandari hii ni mkubwa sana tumeona ufungwaji wa mitambo, na miundombinu wezeshi imekamilika tunaishukuru Wizara ya Uchukuzi kwa jitihada zilizofanywa hapa ambapo pia kunajengwa bandari mpya itakayohudumia mizigo ya makaa ya mawe na sarujii ili kuepusha uhalibifu wa mazingira ambao upo kwenye maeneo haya ambako wananchi wanatumia bandari hii na wanaishi Jirani na bandari” amesisitiza Kakoso
 
 
Amesema kamati imejiridhisha na kuangalia jitihada ambazo zimefanywa na TPA kile ambacho kiinasemwa ni tofauti na uhalisia ambao wameona ambapo kamati imeona makasha mengi yako kwenye eneo la bandari na kuna hatua kubwa za maendeleo na maboresho ambazo kamati hiyo imeona ambavyo imeongeza ufanisi wa utoaji huduma na mapato.
 
 
Ameongeza kuwa huko nyuma kulingana na idadi iliyotolewa na mamlaka idadi ya mizigo ilikuwa kidogo lakini kwa sasa imeshuhudiwa mapato makubwa ya bandari ya Mtwara mpaka kufikia Bil 35 kwa mwaka 2022/2023 na kuna uwezekano wa kufikia Bil 40 sababu mzigo bado ni mkubwa unaohitaji kuhudumiwa na kutoa wito kwa wananchi wa Mtwara,Lindi na Ruvuma kuitumia bandari ya Mtwara ili kuongeza uchumi wa nchi na mkoa.
 
 
Awali Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu ilitembelea ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mtwara na kupokea salamu za mkoa pia ilitembelea na kukagua maboresho ya Uwanja wa ndege wa Mtwara ambao umekamilika kwa kuongezwa eneo la kuruka na kutua ndege kwa mita 2,840 na kufungwa taa zinazoruhusu ndege kutua usiku kinachosubiriwa ni vitendea kazi ili wananchi waanze kupata huduma za ndege Zaidi na kuwataka ATCL kufikiria kuanzisha safari mkoani Mtwara.
 
 
Naye Naibu Waziri wa Uchukuzi Mhe David Kihenzile ameishukuru kamati ya kudumu ya Bunge ya Miundombinu kwa kutembelea uwanja wa ndege wa Mtwara, inakojegwa bandari ya mizigo ya kisiwa mgao na bandari ya Mtwara na kusisitiza kuwa mambo yote ambayo kamati imeyabaini na kuyatolea maelekezo Wizara imeyachukua na inakwenda kuyachakata na kujipanga kuyafanyia kazi kwa haraka.
 
 
Akitoa maelezo ya awali Kaimu Mkurugenzi mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandar Nchini(TPA) Mha Juma Kijavara amesema bandari ya Mtwara ni miongoni mwa bandari tatau zilizoko kwenye mwambao wa Bahari ya hindi zilizopo chini ya TPA.
 
 
Kijavara amesema kutokana na maboresho Bandar ya Mtwara imepata gati jipya lenye mita 3,500 lenye uwezo wa kuhudumia tani 65,000 na bidhaa zinazohudumiwa Zaidi ni korosho,makaa yam awe na saruji zinazokwenda Tanzania visiwani,Comoro,msumbiji, India, aasia na Bara ulaya ambapo mwaka 2021 bandari ilihudumia meli 64 huku mwaka 2023 ikihudumia meli 213 na mizigo tani 177,338 mwaka 2021 mpaka tani Mil 1.6 mwaka 2022 likiwa ni ongezeko la asililia 93 huku mapato yakiongezeka kutoka Bil 11 mwaka 2021 mpaka Bil 35 mwaka 2022/2023

About the author

mzalendo