marsbahis giriş

marsbahis giriş telegram

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Postegro

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

หวยออนไลน์

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

bets10

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

jojobet giriş

NervEase

escort sakarya

sakarya escort

izmit escort

nesinecasino

grandpashabet

meritking giriş

ganobet

bets10 giriş

padişahbet

holiganbet

grandpashabet

jojobet

dizipal

1xbet

1xbet

palacebet

marsbahis giriş

royalbet

artemisbet

kavbet

parmabet

mislibet

imajbet giriş

artemisbet

imajbet

interbahis

kulisbet giriş

pusulabet giriş

betparibu, betparibu giriş

kulisbet, kulisbet giriş

bahiscasino, bahiscaasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

betebet

restbet

jojobet giriş

pokerklas

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

jojobet

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

holiganbet

holiganbet

pusulabet

holiganbet giriş

Nitric Boost

markajbet güncel giriş

betebet

gonebet, gonebet giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet giriş

dinamobet

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

netbahis

netbahis giriş

netbahis

netbahis giriş

sahabet

madridbet giriş

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

netbahis

netbahis giriş

betsat

betsat giriş

pokerklas

pokerklas giriş

holiganbet

kingroyal giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

casinomilyon

jojobet

jojobet güncel giriş

xslot

xslot giriş

xslot

xslot giriş

bets10

bets10

bets10 giriş

Fixbet

jojobet

Grandpashabet

türk ifşa

İkimisli

casinofast

bets10

bahibom

marsbahis

betsin

celtabet

Featured Kitaifa

MAADILI NI NGUZO MUHIMU KATIKA JAMII-DC NGARA

Written by mzalendo
 
Mkuu wa Wilaya ya Ngara Kanali Mathias Kahabi akifungua mafunzo ya maadili kwa viongozi wa halmashauri ya wilaya ya Ngara. Mafunzo hayo yalifanyika katika ukumbi wa Kanisa Katoliki Ruleje Wilayani Ngara tarehe 02 Novemba,2023
Katibu Msaidizi Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma  Kanda ya ziwa -Mwanza Bw Godson Kweka akitoa neno la utangulizi katika mafunzo ya maadili kwa viongozi wa halmashauri ya Wilaya ya Ngara.Mafunzo hayo yalifanyika katika ukumbi wa Kanisa Katoliki Ruleje Wilayani Ngara tarehe 02 Novemba,2023

Mkuu wa Wilaya ya Ngara Kanali Mathias Kahabi (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na washiriki wa mafunzo ya maadili kwa watumishi na viongozi wa halmashauri ya Ngara. Mafunzo hayo yalifanyika katika ukumbi wa Kanisa katoliki Ruleje wilayani Ngara tarehe 02 Novemba,2023.

Mkuu wa Wilaya ya Ngara Kanali Mathias (katikati)akiwa katika picha ya pamoja na washiriki wa mafunzo ya maadili kwa viongozi na watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ngara. Mafunzo hayo yalifanyika katika Ukumbi wa Kanisa katoliki Ruleje wilayani Ngara tarehe 02 Novemba 2023.

……

Mkuu wa wilaya ya Ngara Kanali Mathias Kahabi amesema kuwa Maadili ni nguzo muhimu katika kufanikisha mipango ya maendeleo ya nchi yoyote duniani.

Kanali  Kahabi amesema hayo wakati  akifungua mafunzo ya Maadili kwa Viongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ngara Mkoani Kagera Mafunzo hayo yaliyoratibiwa na Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma Kanda ya Ziwa- Mwanza yalifanyika tarehe 02 Novemba,2023 katika ukumbi wa Kanisa Katoliki Rulenge Wilayani Ngara Mkoani Kagera.

Katika hotuba yake Kanali Mathias alisema kuwa, “Maadili kwa kiongozi na mtumishi wa umma yana umuhimu mkubwa sana katika utawala na maendeleo ya nchi kwani Kiongozi ama mtumishi wa umma anapokuwa na maadili katika utendaji kazi wake, atahakikisha anafanya kazi kwa uaminifu mkubwa na kusimamia vyema rasilimali za nchi ili ziweze kuwanufaisha wananchi na kuieletea serikali maendeleo.”

Kwa mujibu wa Kanali Mathias, kiongozi ama mtumishi wa umma anapokua na maadili anakua na ujasiri wa kusimamia Sheria, Kanuni, na Taratibu za nchi. “Huwezi kuwa na ujasiri wa kusimamia sheria inayokataza mienendo ama tabia isiyofaa kama wewe mwenyewe mwenendo  wako sio mzuri lazima nafsi ikusute” alisema.

Aidha, Mkuu huyo wa wilaya ya Ngara, alitumia fursa hiyo kuwaonya watumishi wenye mienendo isiyofaa kuacha mara moja tabia hizo. “Kuna viongozi na watumishi wenzangu kutoka Ofisi nyeti kabisa mmekua mkianzisha migongano ambayo haina tija unakuta mtumishi hamuheshimu mkuu wake wa kazi huo ni utomvu  wa  nidhamu sio sahihi kabisa muache mara moja,” alisema

Kanali Mathias alionya tabia ya baadhi ya watumishi kutumia lugha chafu kwa Viongozi. “Tunawaona baadhi yenu kwenye mitandao ya kijamii mnaanzisha mijadala ya hovyo isiyokuwa na tija kuwasema na kutumia lugha chafu dhidi ya Viongozi, muache mara moja huko ni kukosa maadili” alisema.

katika hatua nyingine, Kanali Mathias alitoa rai kwa washiriki hao  kuhakikisha kuwa wanaishi yote yanayoelekezwa katika mafunzo hayo. “Ndugu washiriki tunajifahamu sisi tulioko hapa Ngara tunaguswa vipi na mafunzo haya? Jamani tubadilike leo tuna mafunzo haya yakatubadilishe kama hatutaki kubadilika sisi wenyewe basi sheria zitatubadilisha kwa lazima,” alisema

Awali akimkaribisha mgeni rasmi Katibu Msaidizi Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma Kanda ya Ziwa Bw, Godson  Kweka  alisema  kuwa  Sekretarieti ya Maadili imefanya mafunzo hayo katika wilaya ya Ngara  kutokana na changamoto mbalimbali za kimaadili zinazoikabili Wilaya hiyo.

Bw. Kweka alieleza kuwa kumekua na tabia ya baadhi ya watumishi na viongozi katika Halmashauri hiyo  kutoa siri za serikali kinyume na taratibu. “Wapo baadhi ya waheshimiwa mkiwa kwenye vikao vya maamuzi hata kabla kikao hakijaisha taarifa tayari ziko kwenye mitandao ya kijamii jambo hili ni kinyume na taratibu na ni kosa kisheria,” alisema.

Bw. Kweka alitumia fursa hiyo kuwaonya baadhi ya madiwani wenye tabia ya kuwakataa watumishi katika Halmashauri bila kuwa na sababu yoyote ya msingi. “Unakuta serikali inaleta watumishi ambao ni wataalamu katika nyanja mbalimbali katika Halmashauri lakini Mhe. Diwani unasimama na kusema hatumtaki mtumishi huyu hafai , sote tunafahamu kuwa ipo sheria   ya utumishi wa umma ambayo ina taratibu na hatua za kumchukulia mtumishi aliyefanya makosa kwa hiyo kama kuna jambo  taratibu za kuwasilisha suala hilo kwenye mamlaka husika zifuatwe.“

Aidha, Bw. Kweka alikemea vikali tabia ya baadhi ya waheshimiwa Madiwani kuingilia shughuli za kiutendaji. “Kumekua na tabia ya baadhi ya waheshimiwa madiwani kwenda kwenye vituo vya kazi anakwenda shuleni ama zahanati anachukua daftari la mahudhurio anachora mstari na kuulizia mtumishi huyu yuko wapi jamani huko ni kuingilia utendaji wa Viongozi waliopo watumishi hao wana wasimamizi wao  kwa hiyo  kila kiongozi  afanye kwa mamlaka ya  nafasi yake,” alisema.

Mada mbalimbali ziliwasilishwa katika mafunzo hayo ikiwa ni pamoja na mada kuhusu Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma na mada kuhusu mgongano wa Maslahi na uwajibikaji wa pamoja.

About the author

mzalendo