marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

holiganbet giriş

NervEase

mersin escort

telegram @seo_anomaly - seo backlinks, black-links, traffic boost, link indexing hacking

telegram @seo_anomaly - seo backlinks, black-links, traffic boost, link indexing hacking

pusulabet

grandpashabet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

pashagaming

milanobet

imajbet

jojobet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

gameofbet

bahiscasino

marsbahis

perabet giriş

perabet giriş

imajbet

grandbahis giriş

imajbet

grandbahis

imajbet giriş

jojobet

kulisbet giriş

pusulabet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

matbet, matbet giriş

tlcasino, tlcasino giriş

alobet, alobet giriş

kingroyal

restbet

bets10

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

celtabet

meritking giriş

deneme bonusu

jojobet

holiganbet

deneme bonus veren siteler

holiganbet

deneme bonusu

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet

casibom giriş

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

tümbet giriş

tümbet

supertotobet

supertotobet giriş

ultrabet

pusulabet

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

jojobet

betturkey

betturkey giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

tümbet giriş

tümbet

deneme bonusu veren siteler

trendbet

jojobet güncel giriş

betsat

betsat giriş

xslot

xslot giriş

vaycasino

trendbet

vaycasino

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

İkimisli

onwin

superbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

kralbet

imajbet

jojobet

perabet

perabet giriş

perabet

imajbet giriş

perabet

imajbet

perabet

perabet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

türkçe altyazılı porno izle

deneme bonusu

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

superbetin

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

grandpashabet

vdcasino

zirvebet

perabet

efesbet

pokerklas

perabet

imajbet giriş

imajbet

kralbet giriş

perabet

สล็อตเว็บตรง

madridbet

casibom giriş

jojobet

deneme bonusu

jojobet

trust score weak 3

jojobet

deneme bonusu veren siteler

ligobet giriş

imajbet

imajbet giriş

jojobet

jojobet

Jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

dinamobet giriş

netbahis

1xbet giriş

marsbahis giriş

deneme bonusu

interbahis

agb99

milanobet

Hacking forum

trend hack methods

avşa kiralık daire

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

holiganbet

deneme bonusu veren siteler

sorgu paneli

marsbahis, marsbahis giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

alobet

casibom

betsat

betsat giriş

deneme bonusu veren siteler

tipobet giriş

romabet

kralbet

ligobet

bets10 güncel giriş adresi

bets10

jojobet

jojobet giriş

ilbet

deneme bonusu

casibom

casibom

Uncategorized

WALIMU WA WALEZI SHULE ZA MSINGI, SEKONDARI NA VYUO SHINYANGA WAPATIWA MAFUNZO UANZISHWAJI WA KLABU ZA MAADILI

Written by mzalendo

 

Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Shinyanga, Ibrahim Makana akizungumza wakati akifungua mafunzo kuhusu uanzishwaji wa Klabu za Maadili kwa Walimu wa Malezi wa Klabu za Maadili shule za msingi, sekondari na vyuo katika Mkoa wa Shinyanga.

 

 

Na Kadama Malunde – Malunde 1 blog
Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma Kanda ya Magharibi imetoa mafunzo kuhusu uanzishwaji wa Klabu za Maadili kwa Walimu wa Malezi wa Klabu za Maadili shule za msingi, sekondari na vyuo katika Mkoa wa Shinyanga.
Akizungumza wakati wa kufungua mafunzo hayo leo Jumatatu Oktoba 23,2023, Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Shinyanga, Ibrahim Makana amesema lengo la Klabu za Maadili ni kuwajengea wanafunzi na wanavyuo misingi bora ya maadili tangu wakiwa shuleni au vyuoni.
Amesema Klabu za maadili za wanafunzi ni vikundi vya wanafunzi ndani ya shule au vyuo nyenye jukumu la kuratibu na kufanikisha shughuli za kuelimisha, kuhamasisha na kushirikisha jamii masuala ya maadili na kwamba Klabu hizo zinalenga kuimarisha nidhamu na uzalendo kwa Watanzania.
“Klabu za maadili kwa wanafunzi zina kazi kubwa ya kuelimisha wanafunzi wengine na wananchi kuhusu maadili kupitia nyimbo, kwaya, maigizo, ngonjera, katuni shairi, ngoma na ubunifu mwingine wowote kwa lengo la kujenga tabia njema na kukemea vitendo vya tabia zisizokubalika katika jamii yetu”,amesema.
Aidha kutokana na umuhimu wa klabu hizo za Maadili katika kukuza maadili ya Watanzania, amezielekeza shule na vyuo vyote Mkoa wa Shinyanga kuanzisha Klabu za Maadili za wanafunzi na wanachuo ili kuwe na wanafunzi waadilifu.

Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Shinyanga, Ibrahim Makana
“Pia Mratibu wa Maadili Mkoa wa Shinyanga unatakiwa kufanya ufuatiliaji wa klabu hizo ngazi ya shule na vyuo ili kuona zinafanya kazi kama ilivyokusudiwa na Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma kwa kuwa kuna uhusiano mkubwa kati ya wanafunzi wenye maadili mema na kuongeza ufaulu katika masomo yao”,ameongeza.
Aidha, ameshauri ofisi ya Kanda ya Maadili kutoa mafunzo kila inapoona inafaa kwa lengo la kuimarisha uwezo wa walimu kusimamia klabu hizo ngazi ya shule na vyuo, kwa kufanya hivyo itasaidia kuwaandaa wanafunzi kuwa raia wema, viongozi bora na wazalendo kwa Taifa.
Katika hatua nyingine amemshukuru Gerald Mwaitebele kutoka ofisi ya Maadili Kanda ya Magharibi kwa niaba ya Kamishna wa Maadili kwa kuamua Mkoa wa Shinyanga uwe Mkoa wa mfano katika kuanzisha klabu za Maadili ngazi ya shule na vyuo huku akiishukuru Ofisi ya Maadili kwa kusimamia na kukuza maadili ya viongozi wa umma pia kwa kuanzisha klabu za Maadili katika ngazi ya shule na vyuo.
“Klabu hizi zitasaidia kuwajengea wanafunzi uwezo kujua maadili yanayopaswa kuzingatiwa katika ujenzi wa Taifa letu”,amesema

Katibu Msaidizi, Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma Kanda ya Magharibi (Tabora, Kigoma, Shinyanga Simiyu), Gelard Mwaitebele.
Katibu Msaidizi, Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma Kanda ya Magharibi (Tabora, Kigoma, Shinyanga Simiyu), Gelard Mwaitebele amewataka walimu kutumia vikao vya wazazi shuleni kufikisha ujumbe wa masuala ya maadili kupitia Klabu za maadili.
“Tumeamua kuanzisha Klabu za maadili kwa wanafunzi ili kuandaa kizazi chenye maadili ili tuwe na taifa bora, tunataka taifa lenye watu wenye maadili ili tuwe na viongozi waadilifu. Tatizo la maadili lipo katika jamii, walimu ingieni kazini. Msiwe na uoga wa kusimamia maadili serikali ipo kazini, Mama, Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan yupo kazini”, amesema Mwaitebele.
Amezitaja sifa za mwalimu wa malezi kuwa ni pamoja na kuwa mwadilifu, mwaminifu, muwazi, mzalendo, mwajibikaji, anayejali, anayethamini utu na mwenye mafanikio katika kazi zake na anayekubalika kimaadili na wanafunzi.
Kwa upande wake, Afisa Maadili Kanda ya Magharibi, Onesmo Msalangi ametaka Klabu hizo zisaidie kulinda maadili katika nchi huku akisisitiza kuwe na ukaribu mkubwa kwa watoto hasa katika kipindi hiki ambacho mambo ya hovyo ni mengi.
“Wafundisheni watoto jinsi kusaidia kazi wazazi. Kuweni makini na hizi TV na simu za mkononi. Kwenye mitandao ya kijamii kuna mema na mabaya, watoto wanaharibika kwa kupewa simu bila uangalizi, tunaharibu kizazi sisi wenyewe, tuwe makini sana na hivi vitu”,amesema Msalangi.
Walimu wa Malezi wa Klabu za Maadili shule za msingi, sekondari na vyuo wakifuatilia mafunzo
 
“Wafundisheni watoto jinsi ya kutoa taarifa kwa siri ili kudhibiti vitendo viovu shuleni, vyuoni ili kutambua maovu yanayotokea shuleni. Walimu hakikisheni pia mnashawishi wanafunzi wengi zaidi wajiunge kwenye klabu za maadili”,ameongeza Msalangi.
Mratibu wa Klabu za Maadili Mkoa wa Shinyanga, Bakari Kasinyo amesema chanzo kikubwa cha ukosefu wa maadili inaanzia kwa watu wazima na kwamba kuanzishwa kwa Klabu hizo kunaweza kuibadilisha jamii.
Nao waalimu hao wa malezi wameomba ushirikiano kutoka kwa wazazi kwani kuporomoka kwa maadili ya watoto wakati mwingine yanachangiwa na wazazi kwa kuwaruhusu watoto kujifunza mambo machaf.
Aidha wameipongeza na kuishukuru serikali kuanzisha klabu za maadili hivyo watawaeleza wanafunzi namna ya kuwa na maadili na kuwa wazalend katika nchi na namna ya kutetea nchi yao.
MAADILI NI NINI?
Maadili ni mwenendo mwema au namna ya kuishi. Kwa tafsiri rahisi, maadili ni viwango vilivyoanishwa kwa kubaini jambo sahihi na jambo lisilo sahihi ambavyo vinapaswa kuzingatiwa na wanajamii.
Maadili yanajumuisha viwango vya tabia/mila/desturi zilizo njema na ambazo zinakubalika katika jamii.

 


Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Shinyanga, Ibrahim Makana akizungumza wakati akifungua mafunzo kuhusu uanzishwaji wa Klabu za Maadili kwa Walimu wa Malezi wa Klabu za Maadili shule za msingi, sekondari na vyuo katika Mkoa wa Shinyanga.

Katibu Msaidizi, Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma Kanda ya Magharibi (Tabora, Kigoma, Shinyanga Simiyu), Gelard Mwaitebele akizungumza wakati wa mafunzo kuhusu uanzishwaji wa Klabu za Maadili kwa Walimu wa Malezi wa Klabu za Maadili shule za msingi, sekondari na vyuo katika Mkoa wa Shinyanga.

Katibu Msaidizi, Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma Kanda ya Magharibi (Tabora, Kigoma, Shinyanga Simiyu), Gelard Mwaitebele akizungumza wakati wa mafunzo kuhusu uanzishwaji wa Klabu za Maadili kwa Walimu wa Malezi wa Klabu za Maadili shule za msingi, sekondari na vyuo katika Mkoa wa Shinyanga.

Mratibu wa Klabu za Maadili Mkoa wa Shinyanga, Bakari Kasinyo akitoa mada ya uzalendo wakati wa mafunzo kuhusu uanzishwaji wa Klabu za Maadili kwa Walimu wa Malezi wa Klabu za Maadili shule za msingi, sekondari na vyuo katika Mkoa wa Shinyanga.

Afisa Maadili Kanda ya Magharibi, Onesmo Msalangi  akitoa mada kuhusu Mwongozo wa Klabu za Maadili wakati wa mafunzo kuhusu uanzishwaji wa Klabu za Maadili kwa Walimu wa Malezi wa Klabu za Maadili shule za msingi, sekondari na vyuo katika Mkoa wa Shinyanga.
Walimu wa Malezi wa Klabu za Maadili shule za msingi, sekondari na vyuo wakifuatilia mafunzo
Walimu wa Malezi wa Klabu za Maadili shule za msingi, sekondari na vyuo wakifuatilia mafunzo
Walimu wa Malezi wa Klabu za Maadili shule za msingi, sekondari na vyuo wakifuatilia mafunzo
Walimu wa Malezi wa Klabu za Maadili shule za msingi, sekondari na vyuo wakifuatilia mafunzo
Washiriki wa mafunzo kuhusu uanzishwaji wa Klabu za Maadili kwa Walimu wa Malezi wa Klabu za Maadili shule za msingi, sekondari na vyuo katika Mkoa wa Shinyanga wakipiga picha ya kumbukumbu.
 

About the author

mzalendo