Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

retro bowl

retro bowl unblocked 76

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

agb99

Hacking forum

deneme bonusu

casibom giriş

hackhaber

grandpashabet

film izle

casibom

cratosroyalbet, cratosroyalbet giriş

pokerklas, pokerklas giriş

korsan taksi istanbul, istanbul korsan taksi

bets10

tipobet

ilbet

ilbet giriş

jojobet giriş

onwin

tarafbet

jojobet

betgar giriş

bets10 güncel giriş adresi

betsat

betebet

jojobet giriş

ilbet

hilbet

jojobet giriş

casibom güncel giriş

Ankara escort

kingroyal

güvenilir bahis siteleri

film izle

vdcasino giriş

betasus

marsbahis, marsbahis giriş

Google

bahiscasino

ultrabet

marsbahis giriş

casibom

Greece Fentanyl Buy

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

jojobet

jojobet

casibom giriş

jojobet giriş

sweet bonanza giriş

sweet bonanza

deneme bonusu

amgbahis

holiganbet

superbetin

casinoroyal

casinomilyon

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

jojobet

marsbahis

jojobet

jojobet

pusulabet

jojobet giriş

jojobet

jojobet giris

jojobet

jojobet

meritking

marsbahis

marsbahis giriş

meritking

meritking giriş

meritking

marsbahis güncel giriş

meritking güncel giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet

marsbahis

marsbahis

marsbahis

cratosroyalbet

Hacklink panel

betpas

holiganbet

Google

jojobet

holiganbet

jojobet telegram

jojobet giris

ikimisli

ikimisli giriş

marsbahis giriş

jojobet güncel giriş

marsbahis giriş

marsbahis

primebahis

tümbet

tümbet giriş

casinomaxi

casinomaxi giriş

sahabet

meritking giriş

meritking güncel giriş

padişahbet

realbahis

sonbahis

cratosslot

1xBet Giriş

casinomaxi

casinomaxi giriş

roketbet 2026

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

jojobet

pokerklas

pokerklas

tipobet

holiganbet

porno izle

bets10

porno izle

runtobet

runtobet giriş

1xbet

pokerklas, pokerklas giriş

betsmove

jojobet

ikimisli

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

betkolik

ikimisli giriş

marsbahis giriş

marsbahis giriş

ikimisli giriş

ikimisli

betkolik

jojobet güncel giriş

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

betkolik giriş

ikimisli giriş

ikimisli

ikimisli

ikimisli giriş

marsbahis

betkolik

betkolik giriş

betkolik giriş

jojobet giriş

betkolik

ikimisli

marsbahis giriş

jojobet giriş

betkolik

marsbahis giriş

betkolik giriş

jojobet mobil

ikimisli giriş

betkolik giriş

nerobet

nerobet

aresbet, aresbet giriş

matbet, matbet giriş

deneme bonusu

jojobet giriş

Deneme Bonusu

enjoybet

kingroyal

https://sjconsultors.com/

artemisbet giriş

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

jojobet

jojobet

betbox

casibom

meritking giriş

meritking

dedektör

vdcasino giriş

marsbahis

jojobet

deneme bonusu veren siteler

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

jojobet

bets10 sorunsuz girişler

bets10 2026

extrabet giriş

romabet

turkey dental implants

mavibet

artemisbet

setrabet

jojobet

pulibet

süratbet

perabet

nerobet

mavibet güncel giriş

mavibet

mavibet giriş

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet giriş

mavibet

mavibet giriş

kavbet

kavbet giriş

kavbet

kavbet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

artemisbet

artemisbet giriş

mavibet

Uncategorized

WALIMU WA WALEZI SHULE ZA MSINGI, SEKONDARI NA VYUO SHINYANGA WAPATIWA MAFUNZO UANZISHWAJI WA KLABU ZA MAADILI

Written by mzalendo

 

Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Shinyanga, Ibrahim Makana akizungumza wakati akifungua mafunzo kuhusu uanzishwaji wa Klabu za Maadili kwa Walimu wa Malezi wa Klabu za Maadili shule za msingi, sekondari na vyuo katika Mkoa wa Shinyanga.

 

 

Na Kadama Malunde – Malunde 1 blog
Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma Kanda ya Magharibi imetoa mafunzo kuhusu uanzishwaji wa Klabu za Maadili kwa Walimu wa Malezi wa Klabu za Maadili shule za msingi, sekondari na vyuo katika Mkoa wa Shinyanga.
Akizungumza wakati wa kufungua mafunzo hayo leo Jumatatu Oktoba 23,2023, Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Shinyanga, Ibrahim Makana amesema lengo la Klabu za Maadili ni kuwajengea wanafunzi na wanavyuo misingi bora ya maadili tangu wakiwa shuleni au vyuoni.
Amesema Klabu za maadili za wanafunzi ni vikundi vya wanafunzi ndani ya shule au vyuo nyenye jukumu la kuratibu na kufanikisha shughuli za kuelimisha, kuhamasisha na kushirikisha jamii masuala ya maadili na kwamba Klabu hizo zinalenga kuimarisha nidhamu na uzalendo kwa Watanzania.
“Klabu za maadili kwa wanafunzi zina kazi kubwa ya kuelimisha wanafunzi wengine na wananchi kuhusu maadili kupitia nyimbo, kwaya, maigizo, ngonjera, katuni shairi, ngoma na ubunifu mwingine wowote kwa lengo la kujenga tabia njema na kukemea vitendo vya tabia zisizokubalika katika jamii yetu”,amesema.
Aidha kutokana na umuhimu wa klabu hizo za Maadili katika kukuza maadili ya Watanzania, amezielekeza shule na vyuo vyote Mkoa wa Shinyanga kuanzisha Klabu za Maadili za wanafunzi na wanachuo ili kuwe na wanafunzi waadilifu.

Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Shinyanga, Ibrahim Makana
“Pia Mratibu wa Maadili Mkoa wa Shinyanga unatakiwa kufanya ufuatiliaji wa klabu hizo ngazi ya shule na vyuo ili kuona zinafanya kazi kama ilivyokusudiwa na Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma kwa kuwa kuna uhusiano mkubwa kati ya wanafunzi wenye maadili mema na kuongeza ufaulu katika masomo yao”,ameongeza.
Aidha, ameshauri ofisi ya Kanda ya Maadili kutoa mafunzo kila inapoona inafaa kwa lengo la kuimarisha uwezo wa walimu kusimamia klabu hizo ngazi ya shule na vyuo, kwa kufanya hivyo itasaidia kuwaandaa wanafunzi kuwa raia wema, viongozi bora na wazalendo kwa Taifa.
Katika hatua nyingine amemshukuru Gerald Mwaitebele kutoka ofisi ya Maadili Kanda ya Magharibi kwa niaba ya Kamishna wa Maadili kwa kuamua Mkoa wa Shinyanga uwe Mkoa wa mfano katika kuanzisha klabu za Maadili ngazi ya shule na vyuo huku akiishukuru Ofisi ya Maadili kwa kusimamia na kukuza maadili ya viongozi wa umma pia kwa kuanzisha klabu za Maadili katika ngazi ya shule na vyuo.
“Klabu hizi zitasaidia kuwajengea wanafunzi uwezo kujua maadili yanayopaswa kuzingatiwa katika ujenzi wa Taifa letu”,amesema

Katibu Msaidizi, Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma Kanda ya Magharibi (Tabora, Kigoma, Shinyanga Simiyu), Gelard Mwaitebele.
Katibu Msaidizi, Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma Kanda ya Magharibi (Tabora, Kigoma, Shinyanga Simiyu), Gelard Mwaitebele amewataka walimu kutumia vikao vya wazazi shuleni kufikisha ujumbe wa masuala ya maadili kupitia Klabu za maadili.
“Tumeamua kuanzisha Klabu za maadili kwa wanafunzi ili kuandaa kizazi chenye maadili ili tuwe na taifa bora, tunataka taifa lenye watu wenye maadili ili tuwe na viongozi waadilifu. Tatizo la maadili lipo katika jamii, walimu ingieni kazini. Msiwe na uoga wa kusimamia maadili serikali ipo kazini, Mama, Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan yupo kazini”, amesema Mwaitebele.
Amezitaja sifa za mwalimu wa malezi kuwa ni pamoja na kuwa mwadilifu, mwaminifu, muwazi, mzalendo, mwajibikaji, anayejali, anayethamini utu na mwenye mafanikio katika kazi zake na anayekubalika kimaadili na wanafunzi.
Kwa upande wake, Afisa Maadili Kanda ya Magharibi, Onesmo Msalangi ametaka Klabu hizo zisaidie kulinda maadili katika nchi huku akisisitiza kuwe na ukaribu mkubwa kwa watoto hasa katika kipindi hiki ambacho mambo ya hovyo ni mengi.
“Wafundisheni watoto jinsi kusaidia kazi wazazi. Kuweni makini na hizi TV na simu za mkononi. Kwenye mitandao ya kijamii kuna mema na mabaya, watoto wanaharibika kwa kupewa simu bila uangalizi, tunaharibu kizazi sisi wenyewe, tuwe makini sana na hivi vitu”,amesema Msalangi.
Walimu wa Malezi wa Klabu za Maadili shule za msingi, sekondari na vyuo wakifuatilia mafunzo
 
“Wafundisheni watoto jinsi ya kutoa taarifa kwa siri ili kudhibiti vitendo viovu shuleni, vyuoni ili kutambua maovu yanayotokea shuleni. Walimu hakikisheni pia mnashawishi wanafunzi wengi zaidi wajiunge kwenye klabu za maadili”,ameongeza Msalangi.
Mratibu wa Klabu za Maadili Mkoa wa Shinyanga, Bakari Kasinyo amesema chanzo kikubwa cha ukosefu wa maadili inaanzia kwa watu wazima na kwamba kuanzishwa kwa Klabu hizo kunaweza kuibadilisha jamii.
Nao waalimu hao wa malezi wameomba ushirikiano kutoka kwa wazazi kwani kuporomoka kwa maadili ya watoto wakati mwingine yanachangiwa na wazazi kwa kuwaruhusu watoto kujifunza mambo machaf.
Aidha wameipongeza na kuishukuru serikali kuanzisha klabu za maadili hivyo watawaeleza wanafunzi namna ya kuwa na maadili na kuwa wazalend katika nchi na namna ya kutetea nchi yao.
MAADILI NI NINI?
Maadili ni mwenendo mwema au namna ya kuishi. Kwa tafsiri rahisi, maadili ni viwango vilivyoanishwa kwa kubaini jambo sahihi na jambo lisilo sahihi ambavyo vinapaswa kuzingatiwa na wanajamii.
Maadili yanajumuisha viwango vya tabia/mila/desturi zilizo njema na ambazo zinakubalika katika jamii.

 


Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Shinyanga, Ibrahim Makana akizungumza wakati akifungua mafunzo kuhusu uanzishwaji wa Klabu za Maadili kwa Walimu wa Malezi wa Klabu za Maadili shule za msingi, sekondari na vyuo katika Mkoa wa Shinyanga.

Katibu Msaidizi, Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma Kanda ya Magharibi (Tabora, Kigoma, Shinyanga Simiyu), Gelard Mwaitebele akizungumza wakati wa mafunzo kuhusu uanzishwaji wa Klabu za Maadili kwa Walimu wa Malezi wa Klabu za Maadili shule za msingi, sekondari na vyuo katika Mkoa wa Shinyanga.

Katibu Msaidizi, Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma Kanda ya Magharibi (Tabora, Kigoma, Shinyanga Simiyu), Gelard Mwaitebele akizungumza wakati wa mafunzo kuhusu uanzishwaji wa Klabu za Maadili kwa Walimu wa Malezi wa Klabu za Maadili shule za msingi, sekondari na vyuo katika Mkoa wa Shinyanga.

Mratibu wa Klabu za Maadili Mkoa wa Shinyanga, Bakari Kasinyo akitoa mada ya uzalendo wakati wa mafunzo kuhusu uanzishwaji wa Klabu za Maadili kwa Walimu wa Malezi wa Klabu za Maadili shule za msingi, sekondari na vyuo katika Mkoa wa Shinyanga.

Afisa Maadili Kanda ya Magharibi, Onesmo Msalangi  akitoa mada kuhusu Mwongozo wa Klabu za Maadili wakati wa mafunzo kuhusu uanzishwaji wa Klabu za Maadili kwa Walimu wa Malezi wa Klabu za Maadili shule za msingi, sekondari na vyuo katika Mkoa wa Shinyanga.
Walimu wa Malezi wa Klabu za Maadili shule za msingi, sekondari na vyuo wakifuatilia mafunzo
Walimu wa Malezi wa Klabu za Maadili shule za msingi, sekondari na vyuo wakifuatilia mafunzo
Walimu wa Malezi wa Klabu za Maadili shule za msingi, sekondari na vyuo wakifuatilia mafunzo
Walimu wa Malezi wa Klabu za Maadili shule za msingi, sekondari na vyuo wakifuatilia mafunzo
Washiriki wa mafunzo kuhusu uanzishwaji wa Klabu za Maadili kwa Walimu wa Malezi wa Klabu za Maadili shule za msingi, sekondari na vyuo katika Mkoa wa Shinyanga wakipiga picha ya kumbukumbu.
 

About the author

mzalendo