marsbahis giriş

marsbahis giriş telegram

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

meritking

Hacklink panel

Postegro

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

หวยออนไลน์

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas

casibom

Brain Savior Review

artemisbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

jojobet giriş

NervEase

izmit escort

izmit escort

izmit escort

pusulabet

matbet

meritking giriş

kavbet

bets10 giriş

ultrabet

holiganbet

grandpashabet

jojobet

dizipal

1xbet

1xbet

1win

marsbahis

ngsbahis

betlike

teosbet

batumslot

mislibet

meritbet giriş

artemisbet

meritbet

jojobet

kulisbet giriş

meritking

kulisbet, kulisbet giriş

vdcasino, vdcasino giriş

vdcasino, vdcasino giriş

kralbet

jojobet

restbet

jojobet

pokerklas

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

betcio

trimology review

jojobet

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet giriş

holiganbet

holiganbet

pusulabet

holiganbet giriş

Nitric Boost

enjoybet giriş

betebet

betgar, betgar giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet

dinamobet

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

tümbet

tümbet giriş

tümbet

tümbet giriş

Featured Kitaifa

TCRA YATOA MAFUNZO KWA WAANDISHI WA HABARI MWANZA

Written by mzalendo
Meneja wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Kanda ya Ziwa Mhandisi Francis Mihayo 
 
Na Kadama Malunde – Malunde 1 blog
 
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Kanda ya Ziwa imetoa mafunzo kwa Waandishi wa Habari Mkoa wa Mwanza kuhusu Kazi na Majukumu ya TCRA na Sheria na Kanuni zinazosimamia Sekta ya Mawasiliano ya Kielektroniki na Posta.

 
Akizungumza wakati wa mafunzo hayo yaliyofanyika leo Ijumaa Oktoba 20,2023 katika ukumbi wa TMDA Jijini Mwanza, Meneja wa TCRA Kanda ya Ziwa Mhandisi Francis Mihayo amewataka Waandishi wa habari na vyombo vya habari kuzingatia sheria, kanuni na taratibu zinazotakiwa ili kuepuka migongano isiyokuwa ya lazima.
 
“Naomba tutii sheria bila kusukumana, fuateni sheria kusajili vyombo vya habari mtandaoni. Wengine hawajajisajili ukimuuliza kwanini hajasajili mtandao wake anasema alikuwa anajaribu jaribu kwanza aone kama inalipa, fuateni sheria tusije kulaumiana”,amesema Mhandisi Mihayo.
 
Meneja huyo wa TCRA Kanda ya Ziwa pia amevikumbusha vyombo vya habari kutumia lugha sahihi kwenye vipindi vyao na habari wanazochapisha na kuhakikisha wanaandika habari kwa usawa.
 
“Utengenezaji wa maudhui kwenye vyombo vya habari hivi sasa ni changamoto makosa ni mengi, maudhui mengi mnayotengeneza hayana afya kwa jamii, mnaigana sana. Hizi stori za kwenye mitandao ya kijamii nyingi haziko balanced (haziandikwi kwa usawa) , zipo upande mmoja, hakuna usawa.
 
Lugha zinazotumika siyo sahihi, Kiswahili hakieleweki, acheni kuchanganya Kiswahili na Kiingereza. Epukeni kushabikia mambo ambayo hayana tija kwenye vipindi vyenu”,ameongeza Mhandisi Mihayo.
 
Aidha ameshauri wananchi wanaofanya malipo yoyote ya serikali wahakikishe wanafanya kwa Control number ili kuepuka utapeli na ujanja ujanja unaofanywa na baadhi ya watu wasio waaminifu.
 
 
“Ajenda ya kulinda watoto inatakiwa ichukuliwe kwa uzito mkubwa. Lazima tuwalinde watoto dhidi ya matumizi ya mitandao ya kijamii, tuepuke kuchapisha picha za watoto mitandaoni”,amesema.
 
Hata hivyo amesisitiza kuwa mionzi inayotoka kwenye minara ya simu haina madhara kwa binadamu kwani TCRA huwa inafanya upimaji wa mionzi kila robo ya mwaka kwenye maeneo mbalimbali nchini.
 
ANGALIA PICHA HAPA CHINI

 

Meneja wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Kanda ya Ziwa Mhandisi Francis Mihayo akitoa mada kuhusu Kazi na Majukumu ya TCRA wakati wa mafunzo kwa Waandishi wa Habari Mkoa wa Mwanza leo Ijumaa Oktoba 20,2023. 

 

Meneja wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Kanda ya Ziwa Mhandisi Francis Mihayo akitoa mada kuhusu Kazi na Majukumu ya TCRA wakati wa mafunzo kwa Waandishi wa Habari Mkoa wa Mwanza leo Ijumaa Oktoba 20,2023.
Meneja wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Kanda ya Ziwa Mhandisi Francis Mihayo akitoa mada kuhusu Kazi na Majukumu ya TCRA wakati wa mafunzo kwa Waandishi wa Habari Mkoa wa Mwanza leo Ijumaa Oktoba 20,2023.
Mwenyekiti wa Klabu ya Waandishi wa Habari Mkoa wa Mwanza, Edwin Soko akitoa mada kuhusu Sheria na Kanuni zinazosimamia Sekta ya Mawasiliano ya Kielektroniki na Posta
Katibu wa Klabu ya Waandishi wa Habari Mkoa wa Mwanza, Blandina Aristides akizungumza wakati wa mafunzo kwa Waandishi wa Habari Mkoa wa Mwanza leo Ijumaa Oktoba 20,2023.
Waandishi wa Habari Mkoa wa Mwanza wakifuatilia mafunzo
Waandishi wa Habari Mkoa wa Mwanza wakifuatilia mafunzo
Waandishi wa Habari Mkoa wa Mwanza wakifuatilia mafunzo
Waandishi wa Habari Mkoa wa Mwanza wakifuatilia mafunzo
Waandishi wa Habari Mkoa wa Mwanza wakifuatilia mafunzo
Waandishi wa Habari Mkoa wa Mwanza wakifuatilia mafunzo
 
 
Waandishi wa Habari Mkoa wa Mwanza wakifuatilia mafunzo
Waandishi wa Habari Mkoa wa Mwanza wakifuatilia mafunzo
Waandishi wa Habari Mkoa wa Mwanza wakifuatilia mafunzo
Waandishi wa Habari Mkoa wa Mwanza wakifuatilia mafunzo
Waandishi wa Habari Mkoa wa Mwanza wakifuatilia mafunzo kwa vitendo kupitia simu za mkononi
Waandishi wa Habari Mkoa wa Mwanza wakifuatilia mafunzo kwa vitendo kupitia simu za mkononi
Waandishi wa Habari Mkoa wa Mwanza wakifuatilia mafunzo kwa vitendo kupitia simu za mkononi.
 
Picha na Kadama Malunde – Malunde 1 blog
 

About the author

mzalendo