Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

https://www.newstrendline.com/bilgi-kutusu/

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

holiganbet

betsalvador

mavibet

mavibet giriş

jojobet

bets10 sorunsuz giriş

grandpashabet güncel giriş

https://www.newstrendline.com/

jojobet

matbet giriş

lunabet

mavibet

setrabet

jojobet giriş

betebet

gonebet

jojobet

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino giriş

millibahis

vipslot

festwin

parmabet

celtabet

kulisbet giriş

mavibet

holiganbet güncel giriş

mavibet giriş

piabellacasino giriş

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

mavibet giriş

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino

deneme bonusları veren siteler

deneme bonusu veren siteler

marsbahis giriş

festwin

doeda

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

casibom

casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

casibom

betsat

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

sahabet

bets10 giriş

dinamobet giriş

casibom

casibom

jojobet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

jojobet

ultrabet

casibom

Hacklink panel

betturkey

betnano

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

capitolbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

kralbet giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

deneme bonusu

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa haber

jojobet güncel giriş

İmajbet

royalbet

imajbet

betgross

biabet

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

pokerklas

perabet

betsat

bets10

vdcasino

jojobet

Jojobet

matbet

redwin

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

holiganbet giriş

holiganbet

grandpashabet

girne escort

magusa escort

dedebet

holiganbet

tubidy

kralbet

Girne Escort

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

starzbet

Featured Kitaifa

WANANCHI MKOA WA DODOMA WATAKIWA KUJITOKEZA KWA WINGI KUCHANGIA DAMU

Written by Alex Sonna

 

Kaimu Katibu Mkuu Wizara ya Afya,Bi.Ziada Sellah,akizungumza na waandishi wa habari leo Oktoba 3,2023 mara baada ya kuzindua  zoezi la uchangiaji damu kwa wajumbe wa baraza la mashirika yasiyo ya kiserikali (NACONGO) kuelekea Mkutano Mkuu utakaofanyika Oktoba 5,2023 Ukumbi wa Jakaya Kikwete jijini Dodoma.

Mwenyekiti wa Bodi ya Mashirika yasiyo ya Kiserikali Mhe.Mwantumu Mahiza,akizungumza na waandishi wa habari leo Oktoba 3,2023 wakati wa zoezi la uchangiaji damu kwa wajumbe wa baraza la mashirika yasiyo ya kiserikali (NACONGO) kuelekea Mkutano Mkuu utakaofanyika Oktoba 5,2023 Ukumbi wa Jakaya Kikwete jijini Dodoma.

Kaimu Mganga Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dkt. Nelson Bukuru,akielezea hali ya upatikanaji wa damu mkoa wa Dodoma wakati wa zoezi la uchangiaji damu kwa wajumbe wa baraza la mashirika yasiyo ya kiserikali (NACONGO) kuelekea Mkutano Mkuu utakaofanyika Oktoba 5,2023 Ukumbi wa Jakaya Kikwete jijini Dodoma.

Msajili wa Mashirika yasiyo ya Kiserikali (NGOs),Bi. Vickness Mayao,akizungumzia Mkutano Mkuu wa  mashirika yasiyo ya kiserikali (NACONGO) utakaofanyika Oktoba 5,2023  jijini Dodoma.

Kaimu Katibu Mkuu Wizara ya Afya,Bi.Ziada Sellah,akiongoza  zoezi la uchangiaji damu kwa wajumbe wa baraza la mashirika yasiyo ya kiserikali (NACONGO) kuelekea Mkutano Mkuu utakaofanyika Oktoba 5,2023 Ukumbi wa Jakaya Kikwete jijini Dodoma.

 Sehemu ya wajumbe wa baraza la mashirika yasiyo ya kiserikali (NACONGO) wakichangia damu leo Oktoba 3,2023 jijini Dodoma.

Na.Alex Sonna-DODOMA

KATIKA  juhudi za kutatua changamoto ya uhitaji wa damu Salama nchini,Serikali imeziagiza hospitali za Mikoa kufikia lengo la kukusanya damu kwa asilimia 85 hadi 90.

Hayo yameelezwa leo Oktoba 3, 2023 Jijini Dodoma na Kaimu Katibu Mkuu kutoka Wizara ya Afya,Bi.Ziada Sellah wakati akizindua zoezi la uchangiaji damu kwa wajumbe wa baraza la mashirika yasiyo ya kiserikali (NACONGO) kuelekea Mkutano Mkuu wa Mashirika hayo.

Bi.Ziada  amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi katika zoezi la uchangiaji wa damu kwani itaokoa maisha ya wengi wenye uhitaji hususani wagonjwa mahututi.

“Natoa rai watu wajitokeze kwa wingi katika zoezi hili la kuchangia damu kwani wagonjwa wanapozidiwa na kuhitaji damu ni lazima wapatiwe kwa uharaka ,Kina Mama wanapoenda kujifungua wanakua katika hatihati ya kupoteza damu nyingi na uhitaji wa damu unatakiwa uwe wa papo hapo bila mjadala ili kunusuru maisha yao”amesema Bi.Ziada.

Aidha ameupongeza Mkoa wa Dodoma kwa kuvuka lengo la kukusanya damu kwa asilimia 110 na kujiweka kwenye nafasi nzuri ya kuokoa maisha kwa watu wenye uhitaji wa damu.

“Tunajua kuwa hakuna kiwanda cha kutengeneza damu wala haiuzwi hivyo niwaombe wananchi wajitokeze kwa wingi kuchangia damu ili tuokoe maisha kwa sababu ukichangia chupa moja unaokoa maisha ya watu wawili ya mama na mtoto,” amesema Bi.Ziada.

Hata hivyo amesema kuwa  bado kuna Mikoa ambayo ipo chini kwenye uchangiaji damu ambayo inakusanya kwa asilimia 20 hali inayoonyesha kuwa ina uwezo wa kuokoa maisha ya watu wenye uhitaji wa damu kwa asilimia 20 huku asilimia 80 ikikosa huduma hiyo.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Bodi ya Mashirika yasiyo ya Kiserikali Mhe.Mwantumu Mahiza amesema pamoja na kukutana kwa ajili ya mkutano wa baraza lakini wamejipanga kufanya shughuli zingine za kijamii kama vile kupanda miti, kuchangia damu na kutembelea kituo cha watoto yatima lengo likiwa ni kurudisha fadhila kwa jamii inayowazunguka.

“Kuchangia damu ni sadaka nzuri sana kwani ni suala linaloenda kunusuru maisha ya mtu anaepigania maisha yake hivyo nawasisitiza wananchi kujitokeza kwa wingi na Mwenyezi Mungu atatubariki”amesema Mhe. Mwantuma.

Awali  Kaimu Mganga Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dkt. Nelson Bukuru ametoa wito kwa wananchi kujitokeza kuchangia damu kwenye kituo cha damu salama cha Kanda ya kati pamoja na kituo cha afya cha Makole ambapo huduma hiyo ipo kila siku za kazi kwa ajili ya kuokoa maisha

“Wananchi wengi hawajui kwamba zoezi la kuchangia damu linaweza kufanyika siku yeyote mtu anapoamua kuchangia kwani anaweza kwenda hospitali na kuchangia na si suala la mara moja,anaweza kuchangia mara nyingi awezavyo endapo ana vigezo vya kuchangia damu”amesema Dkt.Bukuru

About the author

Alex Sonna