marsbahis giriş

marsbahis giriş telegram

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

marsbahis giriş

NervEase

escort sakarya

sakarya escort

izmit escort

matbet

teosbet

meritking giriş

ganobet

bets10 giriş

betnano

pusulabet giriş

grandpashabet

jojobet

dizipal

1xbet

1xbet

casinoroyal

kavbet

marsbahis

perabet giriş

kavbet

casinowon giriş

mavibet giriş

imajbet

mavibet

pashagaming

marsbahis

kulisbet giriş

pusulabet giriş

bahiscasino, bahiscaasino giriş

betgar, betgar giriş

bahiscasino, bahiscaasino giriş

betkolik, betkolik giriş

jojobet

restbet

jojobet giriş

restbet

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

bettilt

trimology review

celtabet

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

holiganbet

holiganbet

pusulabet

holiganbet giriş

Nitric Boost

tarafbet giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

betosfer

bilgi kutusu

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

tümbet giriş

tümbet

tümbet

tümbet giriş

netbahis

netbahis giriş

netbahis

netbahis giriş

norabahis

starzbet

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

netbahis

netbahis giriş

betsat

betsat giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

kıbrıs escort

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

ilbet

ilbet giriş

xslot

xslot giriş

bets10

bets10 giriş

bets10 giriş

Fixbet

jojobet

grandpashabet

galabet

İkimisli

onwin

sahabet

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10 giriş

casibom

lunabet

lunabet giriş

imajbet

bahiscasino

perabet

lunabet

kavbet

artemisbet

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

ifşa

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

bets10

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

grandpashabet

Hacklink Panel

nesinecasino

vdcasino

bets10

perabet

perabet

perabet giriş

artemisbet

imajbet giriş

imajbet

kralbet giriş

imajbet

สล็อตเว็บตรง

bets10 giriş

bettilt giriş

holiganbet giriş

jojobet

jojobet

trust score weak 3

jojobet

Holiganbet

hitbet

kavbet

kavbet

jojobet

casibom

casibom

casibom

casibom

dinamobet

netbahis

1xbet giriş

vipslot

galabet giriş

interbahis

Featured Kitaifa

SERIKALI KUENDELEZA USHIRIKIANO BAINA YAKE NA VIONGOZI WA DINI NCHINI

Written by Alex Sonna

 

Waziri wa Katiba na Sheria Balozi Dkt. Pindi Chana,akizungumza na Menejimenti ya Tume ya kurekebisha sheria Tanzania mara baada ya kutembelea Ofisi hiyo na kupokea taarifa mbili za namna Ofisi hiyo inavyotekeleza majukumu yake leo Septemba 22,2023 jijini Dodoma.

NAIBU Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria Dkt. Khatibu Kazungu,akizungumza wakati wa ziara ya Waziri wa Katiba na Sheria Balozi Dkt. Pindi Chana katika Ofisi ya  Tume ya kurekebisha sheria Tanzania kutembelea Ofisi hiyo na kupokea taarifa mbili za namna Ofisi hiyo inavyotekeleza majukumu yake leo Septemba 22,2023 jijini Dodoma.

Mwenyekiti wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania Jaji Mstaafu Januari Msoffe,akiwasilisha taarifa kwa Waziri wa Katiba na Sheria Balozi Dkt. Pindi Chana,mara baada ya kutembela Ofisi ya Tume ya kurekebisha sheria Tanzania  leo Septemba 22,2023 jijini Dodoma.

 Katibu Mtendaji wa Tume hiyo, Griffin Mwakapeje,akizungumza wakati wa ziara ya Waziri wa Katiba na Sheria Balozi Dkt. Pindi Chana katika Ofisi ya  Tume ya kurekebisha sheria Tanzania kutembelea Ofisi hiyo na kupokea taarifa mbili za namna Ofisi hiyo inavyotekeleza majukumu yake leo Septemba 22,2023 jijini Dodoma.

Sehemu ya Menejimenti wakimsikiliza Waziri wa Katiba na Sheria Balozi Dkt. Pindi Chana (hayupo pichani) wakati ,akizungumza  baada ya kutembelea Ofisi ya Tume ya kurekebisha sheria Tanzania mara leo Septemba 22,2023 jijini Dodoma.

Na.Gideon Gregory-DODOMA

Waziri wa Katiba na Sheria balozi Dkt. Pindi Chana amewapongeza viongozi wa Dini nchini kwa juhudi zao za kuendelea kupambana na vitendo vya ukatili na kuahidi kuwa,Serikali itaendelea kushirikiana nao vyema katika kuhakikisha vinatokomezwa katika maeneo yote nchini.

Waziri Chana ameyaeleza hayo leo Septemba 22,2023 Jijini Dodoma alipotembelea Ofisi za Tume ya kurekebisha sheria Tanzania na kupokea taarifa mbili za namna Ofisi hiyo inavyotekeleza majukumu yake.

Amesema katika mashirikiano hayo wanapaswa kuzingatia vyema sheria na taratibu walizojiwekea na wakishindwa kufanya hivyo watakuwa wanafanya jambo ambalo sio sawa na wale waliopewa dhamana ya kusimamia eneo la katiba na sheria watimize wajibu wao.

“Tutaendelea kuwakumbusha watanzania, tutaendelea kutoa elimu tuzingatie taratibu fikiri sehemu ambazo mmejiwekea taratibu lakini mwingine anafanya kazi mwingine anaiba mali alizotafuta mwenzake yaani anaenda anachukua tu hiyo sio sawa, mwingine anapita tu mwingene anachukua panga anamtwanga tu hii haiwezekani tuna taratibu zetu,”amesema Dkt. Chana.

Aidha ameongeza kuwa hawatovumilia watu wanaovunja sheria na kuvikumbusha vyombo vya ulinzi maali popote ambapo watu hawataki kufuatia utaratibu ambao umewekwa wasisite kutoa taarifa.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa katiba na sheria Jaji Mstaafu January Msofe amesema kuwa utafiti kuhusu makosa ya maadili ulibaini kuwa makosa hayo yamekuwa yakiongezeka nchini ambapo mwaka 2021 jumla ya makosa 7601 ya kubaka na kurawiti yaliripotiwa na mwaka 2022 makosa 8413 yaliripotiwa.

“Hata hivyo kesi zinazofunguliwa mahakamani ni chache kuliko zile zinazotolewa taarifa katika vituo vya polisi matharani katika kipindi cha 2021/22 na 2022/23 ofisi ya taifa ya mashtaka ilifungua mahakamani kesi 2980 na 4294 mtawalia za makosa dhidi ya maadili yakiwemo ya ukatili, kubaka, kujaribu kabaka, kurawiti, na kujaribu kurawiti,”amesema Jaji Mstaafu Msofe.

Jaji Mstaafu Msofe ameongeza kuwa taarifa zionesha kuwa kuna kesi kubwa za makosa dhidi ya maadili ambazo hazijaripotiwa katika vyombo husika.

Naye katibu Mtendaji wa tume hiyo Griffini Mwakapeje amesema kuwa jumla ya ripoti zilizowasilishwa serikalini ni 56 na kuongeza kuwa katika kufanya hivyo tume inaweza kufanya uchunguzi wa sheria yoyote ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa lengo la kuiendeleza.

“Kwa kuelekezwa na wewe Waziri au mwanasheria mkuu wa serikali tume inaweza kutoa ushauri wa kisheria au msaada wa kisheria pale inapobidi na inapotekeleza majuku haya tume inaweza kufanya mashirikiano na taasisi nyingine za serikali na binafsi halafu na kutoa taarifa zake,”amesema Mwakapeje.

About the author

Alex Sonna