marsbahis giriş

marsbahis giriş telegram

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

anadoluslot

Hacklink panel

Postegro

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

หวยออนไลน์

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas

casibom

Brain Savior Review

savoycasino

porno izle

boostaro review

casibom giriş

betticket

NervEase

Çanakkale Escort

Denizli Escort

izmit escort

jojobet giriş

grandpashabet

meritking giriş

kavbet

bets10 giriş

holiganbet

holiganbet

grandpashabet

jojobet

dizipal

1xbet

1xbet

betplay

marsbahis

ngsbahis

mavibet

parmabet

mislibet

norabahis

artemisbet

nitrobahis

betpuan

bets10

betasus giriş

kingroyal giriş

Featured Kitaifa

KOREA KUSINI YAKARIBISHWA KUWEKEZA TANZANIA

Written by Alex Sonna

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Fedha na Mipango Zanzibar, Mhe. Dkt. Saada Mkuya Salum, akiteta jambo na Balozi wa Tanzania Jamhuri ya Korea Kusini Mheshimiwa Togolani Mavura, baada ya wasilisho la fursa zilizopo Tanzania wakati wa vikao vya mkutano wa saba wa Ushirikiano wa Kiuchumi kati ya Korea Kusini na Nchi za Afrika (KOAFEC), Mjini Busan, Korea Kusini. Katikati ni Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Bi. Amina Khamis Shaaban.

Na: Saidina Msangi, WF, Busan, Korea Kusini.

Tanzania imeikaribisha Jamhuri ya Korea ya Kusini kuwekeza katika sekta mbalimbali ikiwemo nishati na kilimo nchini Tanzania ili iweze kufikia lengo la kuwa na maendeleo endelevu.

Wito huo umetolewa na Balozi wa Tanzania Jamhuri ya Korea Kusini Mheshimiwa Togolani Mavura, alipokuwa akitoa wasilisho kuhusu fursa zinazopatikana Tanzania wakati wa vikao vya mkutano wa saba wa Ushirikiano wa Kiuchumi kati ya Korea Kusini na Nchi za Afrika (KOAFEC), Mjini Busan, Korea Kusini.

Alisema kuwa Tanzania ni nchi yenye uchumi tulivu, amani na usalama na pia ina jiografia ya kimkakati ambapo nchi sita zinazopakana nayo zinategemea Tanzania kama mlango mkuu wa bahari.

‘‘Tanzania ina ardhi kubwa kufanikisha kilimo endelevu chenye kujali mazingira na ni nchi yenye vyanzo vingi vya kuweza kuzalisha umeme wa nishati jadidifu isiyochafua mazingira hasa ikizingatiwa kuwa dunia inakabiliwa na mabadiliko ya tabianchi’’, alisema Mhe. Balozi Mavura.

Pia alisema kuwa Tanzania ina madini ya kimkakati ya graphite, nickel na lithium ambayo ndio madini yanayohitajika zaidi katika kuzalisha miundombinu na mitambo ya kuzalisha umeme wa nishati jadidifu.

Aidha, alizungumzia fursa zilizopo katika uchumi wa buluu na bahari ambazo zinaweza kutumiwa na Korea kuja kuwekeza katika maeneo hayo ili kwa pamoja kuweza kufikia maendeleo endelevu.

Alifafanua kuwa kwa upande wa kilimo Tanzania inajielekeza katika maeneo manne ambayo ni uzalishaji wa ngano, mafuta ya kupikia, uzalishjaji wa matunda hasa parachichi, nyama na maziwa ambapo tayari Serikali imewekeza katika mradi wa mashamba makubwa kuwezesha vijana kulima kibiashara (BBT).

‘‘Tanzania ina fursa kubwa ya kuwa shamba la Afrika kuzalisha chakula kwa ajili ya Bara la Afrika ikiwa uwekezaji sahihi utafanyika katika kilimo cha kisasa,’’aliongeza Mhe. Balozi Mavura.

Nchi zilizotoa mawasilisho ni Tanzania, Rwanda, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, na Jamhuri ya Ivory Coast.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Fedha na Mipango Zanzibar, Mhe. Dkt. Saada Mkuya Salum, akimsikiliza Balozi wa Tanzania Jamhuri ya Korea Kusini Mheshimiwa Togolani Mavura, alipokuwa akitoa wasilisho kuhusu fursa zinazopatikana Tanzania wakati wa vikao vya mkutano wa saba wa Ushirikiano wa Kiuchumi kati ya Korea Kusini na Nchi za Afrika (KOAFEC), Mjini Busan, Korea Kusini.

Balozi wa Tanzania Jamhuri ya Korea Kusini Mheshimiwa Togolani Mavura, akitoa wasilisho kuhusu fursa zinazopatikana Tanzania katika sekta ya nishati, kilimo, uchumi wa buluu na Bahari pamoja na utalii, wakati wa vikao vya mkutano wa saba wa Ushirikiano wa Kiuchumi kati ya Korea Kusini na Nchi za Afrika (KOAFEC), Mjini Busan, Korea Kusini.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Fedha na Mipango Zanzibar, Mhe. Dkt. Saada Mkuya Salum, akiteta jambo na Balozi wa Tanzania Jamhuri ya Korea Kusini Mheshimiwa Togolani Mavura, baada ya wasilisho la fursa zilizopo Tanzania wakati wa vikao vya mkutano wa saba wa Ushirikiano wa Kiuchumi kati ya Korea Kusini na Nchi za Afrika (KOAFEC), Mjini Busan, Korea Kusini. Katikati ni Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Bi. Amina Khamis Shaaban.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Fedha na Mipango Zanzibar, Mhe. Dkt. Saada Mkuya Salum, akiwa katika picha ya pamoja na ujumbe kutoka Tanzania. Kulia kwake ni Balozi wa Tanzania Jamhuri ya Korea Kusini Mheshimiwa Togolani Mavura, Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Bi. Amina Shaaban. Kushoto kwake ni Kamishna Msaidizi Idara ya Madeni Bw. Nuru Ndile, Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Fedha na Mipango Zanzibar, Bw. Aboud Hassan Mwinyi, Kamishna Msaidizi Idara ya Fedha za Nje Bw. Melckzedeck Mbise, Kamishna Idara ya Fedha za Nje Wizara ya Fedha, Bw. Rished Bade pamoja na maafisa kutoka Wizara ya Fedha, Mjini Busan, Korea Kusini.
(Picha na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini – WF, Busan, Korea Kusini)

About the author

Alex Sonna