Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

retro bowl

retro bowl unblocked 76

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

tümbet giriş

tümbet

tümbet

tümbet giriş

ultrabet

Pusulabet

grandpashabet giriş

casibom

pokerklas

jojobet giriş

marsbahis

marsbahis

betturkey giriş

betturkey

pokerklas giriş

jojobet güncel giriş

pokerklas

royalbet giriş

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

betpark giriş

capitolbet

jojobet güncel giriş

ilbet giriş

ilbet

ilbet

ilbet giriş

bets10

bets10

bets10

Milanobet

casibom giriş

cratosroyalbet

timebet

İkimisli

onwin

cratosroyalbet

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10 giriş

imajbet

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

jojobet güncel

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

jojobet

artemisbet

kavbet

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

betpark

grandpashabet giriş

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

grandpashabet

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu

Hacklink Panel

jojobet

vdcasino giriş

zirvebet

kavbet giriş

goldenbahis giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

artemisbet giriş

Meritking

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

trendbet

marsbahis giriş

holiganbet

jojobet

meritking

trust score weak 3

holiganbet

Canlı Casino Siteleri

stake giriş

jojobet güncel

jojobet adres

jojobet giriş

jojobet

jojobet

pokerklas

jojobet giriş

sekabet giriş

netbahis

sapanca bungalov

mobilbahis

imajbet

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

betpas

1xbet giriş

holiganbet giriş

restbet

dinamobet giriş

hackhaber

grandpashabet

dizipal

casibom

interbahis, interbahis giriş

kulisbet, kulisbet giriş

aresbet, aresbet giriş

superbetin

meritking

ilbet

ilbet giriş

jojobet giriş

onwin

royalbet

cratosroyalbet

stake

bets10 güncel giriş adresi

tempobet

jojobet giriş

perabet

ilbet

deneme bonusu

jojobet giriş

holiganbet giriş

Ankara escort

marsbahis

güvenilir bahis siteleri

dizipal

vdcasino giriş

piabet

alobet, alobet giriş

holiganbet

piabet

piabet

marsbahis

dental implants turkey

robinbet

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

holiganbet

jojobet güncel giriş

turkey dental implants

dental implants turkey

betturkey

teosbet

betgit

gameofbet

radissonbet

grandpashabet

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino giriş

jojobet

casibom giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet giriş

pokerklas

pokerklas

mavibet

meritking giriş

meritking

marsbahis

betsmove

betsmove

mavibet

holiganbet giriş

jojobet

marsbahis

jojobet giriş

pokerklas

holiganbet

marsbahis

holiganbet

cratosroyalbet

Hacklink panel

betturkey

holiganbet

grandpashabet

holiganbet

jojobet giriş

holiganbet

holiganbet

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet

holiganbet

marsbahis

jojobet

meritking

bahsegel

bahsegel giriş

betturkey

betturkey giriş

sahabet giriş

meritking giriş

meritking

truvabet

betgaranti

betoffice

piabet

Bet365 Giriş

ilbet

ilbet giriş

turkey dental implants

roketbet 2026

vdcasino

casibom

deneme bonusu

jojobet

klasbahis

jasminbet

stresser

free stresser

ip stresser

stresser test

free ip stresser

runtobet

runtobet giriş

1xbet

pokerklas

betine

jojobet

Featured Kitaifa

ASKOFU DK. SHOO AFUNGUA MKUTANO WA 86 WA TCMA,ATOA MAAGIZO MATANO KWA TCMA

Written by Alex Sonna
ASKOFU Mkuu Mstaafu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dkt. Fredrick Shoo,akizungumza wakati akifungua Mkutano Mkuu wa 86 wa Chama Cha Madaktari wa Kikristo Tanzania (TCMA) ulioanza  leo Septemba 4,2023 Jijini Dodoma.
Na Alex Sonna-DODOMA
ASKOFU Mkuu Mstaafu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dkt. Fredrick Shoo,ametoa maagizo matano  kwa Chama Cha Madaktari wa Kikristo Tanzania (TCMA) ikiwemo kujiepusha na vitendo vya rushwa nchini.
Maagizo mengine ni kuzingatia maadili ya Kikristo kwenye utendaji kazi wao,kutoa huduma kwa weledi,ufanisi na ubora wa huduma na kujituma bila kushawishika au kuwa na tamaa ya kujinufaisha.
Dk.Shoo ametoa kauli leo Septemba 4,2023 Jijini Dodoma  wakati akifungua Mkutano Mkuu wa 86 wa Chama Cha Madaktari wa Kikristo Tanzania (TCMA).
Dk Shoo amesema pamoja na changomoto zote zilizopo Madaktari hao wanatakiwa  kuzingatia maadili ya Kikristo na waendelee kutoa huduma kwa weledi kulingana na taaluma yao.
Pia wazingatie masuala ya ufanisi na ubora wa huduma na kujituma bila kushawishika au kuwa na tamaa yakujinufaisha.
Vilevile amesema  litakuwa jambo jema iwapo watajiepusha na  mienendo inayochafua maadili ya udaktari na kuchafua Kanisa na taaluma ya afya kwa ujumla.
“Muhimu mjiepushe na vitendo vya rushwa na lugha mbaya katika  kuwahudumia wananchi.Kazi ya kuwahudumia wagonjwa ni kazi ya wito  hivyo mnapaswa kufanya kazi kwa moyo wa kuthamini maisha yabinadamu.
“Mmepewa dhamana na mnao wajibu mkubwa wa kutunza heshima ya  taaluma yenu,”amesema Askofu Dkt. Shoo.
Hata hivyo amewahakikishia Madaktari hao wataendelea kuwa nao bega kwa bega katika shughuli zao na kutatua kero mbalimbali.
“Nimefarijika sana kuona Mkutano huu utajadili kikamilifu na kuweka mikakati ya kuweza kuwa makini na ufuatiliaji wa mambo ya msingi na uwajibikaji katika hospitali zetu,”amesema Askofu Dk Shoo.
Amesema   maazimio ya  mkutano huo yatatumika katika kuboresha yale mapungufu yaliyopo kwa pamoja na kuhakikisha huduma za Afya zinazotolewa na Kanisa zinaboreshwa zaidi na kuwa za mfano na endelevu katika jamii.
Aidha ametoa  rai kwa TCMA kwa kushirikiana na CSSC kutengeneza mpango wa utekelezaji wa maazimio ya mkutano huo,”amesema Dk Shoo.
Kwa upande wake Rais wa Chama Cha Madaktari wa Kikristo Tanzania (TCMA) ,Dk Paul Kisanga amesema wanatambua  jinsi Serikali inavyothamini mchango wa Kanisa nchini katika kuendeleza jamii kwenye maisha bora.
Aidha amelipongeza kanisa kupitia Taasisi  mwavuli ya CSSC kwa  kuendelea kushirikiana na Serikali katika kuandaa na kuboresha miongozo ya ushirikiano baina ya Serikali na Watoa huduma za Afya wa Sekta Binafsi (Public Private Partnership) kupitia Wizara zenye dhamana ya Afya na TAMISEMI.
“Tunaishukuru pia serikali kupitia wizara zake hizi mbili kwa kuingia mikataba na baadhi ya hospitali za kanisa katika  ngazi mbalimbali hapa nchini,”amesema Dk Kisanga
Amesema  lengo kuu la ushirikiano huo ni kuboresha huduma za afya katika vituo mbalimbali kwa kutumia miundo mbinu ambayo tayari ilikuwepo ili kuboresha utoaji huduma kwa wananchi.
Hata hivyo  amesema  Hospitali na vituo vya kanisa hufanya kazi na serikali kupitia mikataba (Service agreement) na halmashauri husika.
Amesema  pamoja na nia njema ya serikali ya kufanya kazi na taasisi za serikali kwa kupitia mapango wa ‘PPP’, utekelezaji wa mikataba hiyo umekuwa na changamoto kadhaa ikiwemo baadhi ya halmashauri kusita kuendelea  kusaini mikataba inapoisha.
“Na  hata kama vituo husika vinaendelea kutumia rasilimali za Serikali na  kutoa huduma kama awali.Hii inapelekea kuwa na hoja za kiukaguzi kutoka Ofisi ya Taifa ya  Ukaguzi (CAG) zinazaohitaji vituo vya Kanisa kutolea ufafanuzi,”amesema Dk Kisanga
Naye Mkurugenzi Mtendaji wa Christian Social Services Commission (CSSC) Bw.Peter Maduki, amesema tume hiyo imetekeleza maelekezo ya bodi ya kuanzisha mfuko wa uwekezaji wa afya ili kuondokana na kero za kukosa fedha za kulipa mishahara, kununua dawa na vifaa tiba.
“Tumepata mdau kutoka Uingereza ambaye atatupa Sh.Bilioni tisa ili taasisi za afya zikope na kulipa kwa tarakimu moja, hatua hii itawezesha kukopa kulipa mishahara, dawa na vifaa tiba,”amesema Bw.Maduki
Aidha ameeleza  kuwa tayari hospitali 10 zipo kwenye mchakato wa kuthibitisha kama zinaweza kupokea fedha hizo na kuzitumia kiadilifu na kwa ukamilifu.
ASKOFU Mkuu Mstaafu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dkt. Fredrick Shoo,akizungumza wakati akifungua Mkutano Mkuu wa 86 wa Chama Cha Madaktari wa Kikristo Tanzania (TCMA) ulioanza  leo Septemba 4,2023 Jijini Dodoma.
Rais wa Chama Cha Madaktari wa Kikristo Tanzania (TCMA) ,Dk Paul Kisanga,akizungumza wakati wa Mkutano Mkuu wa 86 wa Chama Cha Madaktari wa Kikristo Tanzania (TCMA) ulioanza  leo Septemba 4,2023 Jijini Dodoma.
Kaimu Mkurugenzi wa Tiba kutoka Wizara ya Afya Hamad Nyemboa,akizungumza wakati wa Mkutano Mkuu wa 86 wa Chama Cha Madaktari wa Kikristo Tanzania (TCMA) ulioanza  leo Septemba 4,2023 Jijini Dodoma.
Mkurugenzi Msaidizi kutoka TAMISEMI Dkt.Paul Chaote,akizungumza wakati wa Mkutano Mkuu wa 86 wa Chama Cha Madaktari wa Kikristo Tanzania (TCMA) ulioanza  leo Septemba 4,2023 Jijini Dodoma.
Sehemu ya washiriki wakimsikiliza Askofu Mkuu Mstaafu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dkt. Fredrick Shoo (hayupo pichani),wakati akifungua Mkutano Mkuu wa 86 wa Chama Cha Madaktari wa Kikristo Tanzania (TCMA) ulioanza  leo Septemba 4,2023 Jijini Dodoma.
Mkurugenzi Mtendaji wa Christian Social Services Commission (CSSC) Bw.Peter Maduki,akitoa neno la shukrani mara baada ya Akofu  Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dkt. Fredrick Shoo,kufungua Mkutano Mkuu wa 86 wa Chama Cha Madaktari wa Kikristo Tanzania (TCMA) ulioanza  leo Septemba 4,2023 Jijini Dodoma.
ASKOFU Mkuu Mstaafu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dkt. Fredrick Shoo,akiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kufungua Mkutano Mkuu wa 86 wa Chama Cha Madaktari wa Kikristo Tanzania (TCMA) ulioanza  leo Septemba 4,2023 Jijini Dodoma.

About the author

Alex Sonna