Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

retro bowl

retro bowl unblocked 76

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

maxwin, maxwin giriş

casibom

jojobet

avrupabet

elitbahis

casival

celtabet

avrupabet

betlivo

parmabet

betnis

parmabet

betmarino

realbahis

lordcasino

lordcasino

aresbet

betra

gallerbahis

gobahis

hazbet

matbet giriş

betra

luxbet

betmarino

celtabet

casival

luxbet

millibahis

betlivo

betcool

realbahis

gallerbahis

millibahis

gobahis

betnis

betmarino

lordcasino

pusulabet, pusulabet giriş

alobet, alobet giriş

deneme bonusu

casibom giriş

deneme bonusu

casibom

interbahis

casinofast giris

mavibet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

Jojobet

Jojobet

sekabet

casibom

mavibet

meritking

dedektör

vdcasino giriş

casibom

grandpashabet

jojobet

holiganbet

jojobet

betsat sınırsız giriş

betsat giriş 2027

jojobet

tambet

ultrabet

jojobet

piabellacasino

setrabet

pulibet

jojobet

timebet

jojobet

kulisbet

holiganbet

mavibet

marsbahis

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino

vipslot

vipslot

betcool

celtabet

hazbet

mavibet giriş

megabahis giriş

megabahis

mavibet

piabellacasino

holiganbet giriş

mavibet giriş

piabellacasino

piabellacasino giriş

holiganbet

mavibet giriş

piabellacasino giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

marsbahis giriş

festwin

deneme bonusu

av ซับไทย

vdcasino

vdcasino

xxxเย็ดยับ

jojobet

jojobet giriş

casibom güncel giriş

casibom giriş

meritking

betsat

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betsat

betpark

dinamobet giriş

casibom

casibom

jojobet

casibom

casibom

grandpashabet

grandpashabet

jojobet

jojobet

jojobet

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

capitolbet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

Casibom

marsbahis

betturkey giriş

casibom

casibom

deneme bonusu veren siteler

meritking

marsbahis giriş

deneme bonusu

betsa

meritking

meritking

meritking

meritking

madridbet

meritking

deneme bonusu

spyhackerz

jojobet

uyuşturucu satın al

jojobet giriş

imajbet

royalbet

perabet

betface

betface

piabellacasino giriş

casibom

deneme bonusu

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

casinoroyal giriş

perabet

meritking

betpark

vdcasino

Featured Kitaifa

ASKOFU DK. SHOO AFUNGUA MKUTANO WA 86 WA TCMA,ATOA MAAGIZO MATANO KWA TCMA

Written by Alex Sonna
ASKOFU Mkuu Mstaafu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dkt. Fredrick Shoo,akizungumza wakati akifungua Mkutano Mkuu wa 86 wa Chama Cha Madaktari wa Kikristo Tanzania (TCMA) ulioanza  leo Septemba 4,2023 Jijini Dodoma.
Na Alex Sonna-DODOMA
ASKOFU Mkuu Mstaafu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dkt. Fredrick Shoo,ametoa maagizo matano  kwa Chama Cha Madaktari wa Kikristo Tanzania (TCMA) ikiwemo kujiepusha na vitendo vya rushwa nchini.
Maagizo mengine ni kuzingatia maadili ya Kikristo kwenye utendaji kazi wao,kutoa huduma kwa weledi,ufanisi na ubora wa huduma na kujituma bila kushawishika au kuwa na tamaa ya kujinufaisha.
Dk.Shoo ametoa kauli leo Septemba 4,2023 Jijini Dodoma  wakati akifungua Mkutano Mkuu wa 86 wa Chama Cha Madaktari wa Kikristo Tanzania (TCMA).
Dk Shoo amesema pamoja na changomoto zote zilizopo Madaktari hao wanatakiwa  kuzingatia maadili ya Kikristo na waendelee kutoa huduma kwa weledi kulingana na taaluma yao.
Pia wazingatie masuala ya ufanisi na ubora wa huduma na kujituma bila kushawishika au kuwa na tamaa yakujinufaisha.
Vilevile amesema  litakuwa jambo jema iwapo watajiepusha na  mienendo inayochafua maadili ya udaktari na kuchafua Kanisa na taaluma ya afya kwa ujumla.
“Muhimu mjiepushe na vitendo vya rushwa na lugha mbaya katika  kuwahudumia wananchi.Kazi ya kuwahudumia wagonjwa ni kazi ya wito  hivyo mnapaswa kufanya kazi kwa moyo wa kuthamini maisha yabinadamu.
“Mmepewa dhamana na mnao wajibu mkubwa wa kutunza heshima ya  taaluma yenu,”amesema Askofu Dkt. Shoo.
Hata hivyo amewahakikishia Madaktari hao wataendelea kuwa nao bega kwa bega katika shughuli zao na kutatua kero mbalimbali.
“Nimefarijika sana kuona Mkutano huu utajadili kikamilifu na kuweka mikakati ya kuweza kuwa makini na ufuatiliaji wa mambo ya msingi na uwajibikaji katika hospitali zetu,”amesema Askofu Dk Shoo.
Amesema   maazimio ya  mkutano huo yatatumika katika kuboresha yale mapungufu yaliyopo kwa pamoja na kuhakikisha huduma za Afya zinazotolewa na Kanisa zinaboreshwa zaidi na kuwa za mfano na endelevu katika jamii.
Aidha ametoa  rai kwa TCMA kwa kushirikiana na CSSC kutengeneza mpango wa utekelezaji wa maazimio ya mkutano huo,”amesema Dk Shoo.
Kwa upande wake Rais wa Chama Cha Madaktari wa Kikristo Tanzania (TCMA) ,Dk Paul Kisanga amesema wanatambua  jinsi Serikali inavyothamini mchango wa Kanisa nchini katika kuendeleza jamii kwenye maisha bora.
Aidha amelipongeza kanisa kupitia Taasisi  mwavuli ya CSSC kwa  kuendelea kushirikiana na Serikali katika kuandaa na kuboresha miongozo ya ushirikiano baina ya Serikali na Watoa huduma za Afya wa Sekta Binafsi (Public Private Partnership) kupitia Wizara zenye dhamana ya Afya na TAMISEMI.
“Tunaishukuru pia serikali kupitia wizara zake hizi mbili kwa kuingia mikataba na baadhi ya hospitali za kanisa katika  ngazi mbalimbali hapa nchini,”amesema Dk Kisanga
Amesema  lengo kuu la ushirikiano huo ni kuboresha huduma za afya katika vituo mbalimbali kwa kutumia miundo mbinu ambayo tayari ilikuwepo ili kuboresha utoaji huduma kwa wananchi.
Hata hivyo  amesema  Hospitali na vituo vya kanisa hufanya kazi na serikali kupitia mikataba (Service agreement) na halmashauri husika.
Amesema  pamoja na nia njema ya serikali ya kufanya kazi na taasisi za serikali kwa kupitia mapango wa ‘PPP’, utekelezaji wa mikataba hiyo umekuwa na changamoto kadhaa ikiwemo baadhi ya halmashauri kusita kuendelea  kusaini mikataba inapoisha.
“Na  hata kama vituo husika vinaendelea kutumia rasilimali za Serikali na  kutoa huduma kama awali.Hii inapelekea kuwa na hoja za kiukaguzi kutoka Ofisi ya Taifa ya  Ukaguzi (CAG) zinazaohitaji vituo vya Kanisa kutolea ufafanuzi,”amesema Dk Kisanga
Naye Mkurugenzi Mtendaji wa Christian Social Services Commission (CSSC) Bw.Peter Maduki, amesema tume hiyo imetekeleza maelekezo ya bodi ya kuanzisha mfuko wa uwekezaji wa afya ili kuondokana na kero za kukosa fedha za kulipa mishahara, kununua dawa na vifaa tiba.
“Tumepata mdau kutoka Uingereza ambaye atatupa Sh.Bilioni tisa ili taasisi za afya zikope na kulipa kwa tarakimu moja, hatua hii itawezesha kukopa kulipa mishahara, dawa na vifaa tiba,”amesema Bw.Maduki
Aidha ameeleza  kuwa tayari hospitali 10 zipo kwenye mchakato wa kuthibitisha kama zinaweza kupokea fedha hizo na kuzitumia kiadilifu na kwa ukamilifu.
ASKOFU Mkuu Mstaafu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dkt. Fredrick Shoo,akizungumza wakati akifungua Mkutano Mkuu wa 86 wa Chama Cha Madaktari wa Kikristo Tanzania (TCMA) ulioanza  leo Septemba 4,2023 Jijini Dodoma.
Rais wa Chama Cha Madaktari wa Kikristo Tanzania (TCMA) ,Dk Paul Kisanga,akizungumza wakati wa Mkutano Mkuu wa 86 wa Chama Cha Madaktari wa Kikristo Tanzania (TCMA) ulioanza  leo Septemba 4,2023 Jijini Dodoma.
Kaimu Mkurugenzi wa Tiba kutoka Wizara ya Afya Hamad Nyemboa,akizungumza wakati wa Mkutano Mkuu wa 86 wa Chama Cha Madaktari wa Kikristo Tanzania (TCMA) ulioanza  leo Septemba 4,2023 Jijini Dodoma.
Mkurugenzi Msaidizi kutoka TAMISEMI Dkt.Paul Chaote,akizungumza wakati wa Mkutano Mkuu wa 86 wa Chama Cha Madaktari wa Kikristo Tanzania (TCMA) ulioanza  leo Septemba 4,2023 Jijini Dodoma.
Sehemu ya washiriki wakimsikiliza Askofu Mkuu Mstaafu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dkt. Fredrick Shoo (hayupo pichani),wakati akifungua Mkutano Mkuu wa 86 wa Chama Cha Madaktari wa Kikristo Tanzania (TCMA) ulioanza  leo Septemba 4,2023 Jijini Dodoma.
Mkurugenzi Mtendaji wa Christian Social Services Commission (CSSC) Bw.Peter Maduki,akitoa neno la shukrani mara baada ya Akofu  Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dkt. Fredrick Shoo,kufungua Mkutano Mkuu wa 86 wa Chama Cha Madaktari wa Kikristo Tanzania (TCMA) ulioanza  leo Septemba 4,2023 Jijini Dodoma.
ASKOFU Mkuu Mstaafu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dkt. Fredrick Shoo,akiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kufungua Mkutano Mkuu wa 86 wa Chama Cha Madaktari wa Kikristo Tanzania (TCMA) ulioanza  leo Septemba 4,2023 Jijini Dodoma.

About the author

Alex Sonna