marsbahis giriş

marsbahis giriş telegram

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Postegro

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

หวยออนไลน์

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

bets10

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

jojobet giriş

NervEase

escort sakarya

sakarya escort

izmit escort

betbey

imajbet

meritking giriş

ganobet

bets10 giriş

padişahbet

holiganbet

grandpashabet

jojobet

dizipal

1xbet

1xbet

romabet

marsbahis

royalbet

artemisbet

kavbet

parmabet

mislibet

imajbet giriş

artemisbet

imajbet

interbahis

kulisbet giriş

pusulabet giriş

betparibu, betparibu giriş

kulisbet, kulisbet giriş

bahiscasino, bahiscaasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

betebet

restbet

jojobet giriş

pokerklas

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

jojobet

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

holiganbet

holiganbet

pusulabet

holiganbet giriş

Nitric Boost

markajbet güncel giriş

betebet

gonebet, gonebet giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet giriş

dinamobet

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

netbahis

netbahis giriş

netbahis

netbahis giriş

sahabet

madridbet giriş

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

netbahis

netbahis giriş

betsat

betsat giriş

pokerklas

pokerklas giriş

holiganbet

kingroyal giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

kıbrıs escort

taksimbet

jojobet güncel giriş

xslot

xslot giriş

xslot

xslot giriş

bets10

bets10

bets10 giriş

Fixbet

jojobet

meritking

vdcasino

Featured Kitaifa

KIGOMA UJIJI KUPIMA NA KUSAJILI MAKAZI 10,000 KATIKA MITAA 25.

Written by Alex Sonna

 Mkuu wa Wilaya ya Kigoma Mhe. Salum Kalli ,akizungumza wakati akifungua Mkutano wa wadau wa Mradi wa Uboreshaji Usalama wa Milko za Ardhi nchini unaotekelezwa Manispaa ya Kigoma Ujiji leo Septemba 4,2023.

Kaimu Mkurugenzi wa Manispaa ya Kigoma Ujiji Bw.Evans Mdee,akizungumza wakati wa  Mkutano wa wadau wa Mradi wa Uboreshaji Usalama wa Milko za Ardhi nchini unaotekelezwa Manispaa ya Kigoma Ujiji leo Septemba 4,2023.

Sehemu ya washiriki wakifatilia hotuba ya Mkuu wa Wilaya ya Kigoma Mhe. Salum Kalli (hayupo pichani) wakati akifungua Mkutano wa wadau wa Mradi wa Uboreshaji Usalama wa Milko za Ardhi nchini unaotekelezwa Manispaa ya Kigoma Ujiji leo Septemba 4,2023.

Mkuu wa Wilaya ya Kigoma Mhe. Salum Kalli,akiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kufungua  Mkutano wa wadau wa Mradi wa Uboreshaji Usalama wa Milko za Ardhi nchini unaotekelezwa Manispaa ya Kigoma Ujiji leo Septemba 4,2023.

Na.Alex Sonna

WADAU wa Mradi wa Uboreshaji Usalama wa Milki za Ardhi nchini wamekutana kujadili namna ya kuondokana na ongezeko la idadi ya  ukuaji wa makazi yasiyopangwa huku wakiitaka Manispaa ya Kigoma Ujiji kuuchukua mradi huo kama fursa  na kutoa ushirikiano thabiti ili kufanikisha utekelezaji wake.

Akizungumza kwenye mkutano huo uliofanyika Kigoma Ujiji leo Septemba 4,2023 Mkuu wa wilaya ya Kigoma Mhe. Salum Kalli ,amesema Mradi huo umelenga kuboresha usalama wa milki za ardhi kwa kupanga, kupima na kusajili milki za ardhi zipatazo milioni 2.5 .

Amesema milki hizo zinatajumuisha hati milki 1,000,000 na Leseni za Makazi 1,000,000 katika maeneo ya mijini na Hati za Hakimilki za Kimila 500,000 vijijini; ambapo Manispaa ya Kigoma Ujiji  inakusudia kupanga, kupima na kusajili makazi 10,000 katika mitaa 25.

“Nchi yetu ina jumla ya Halmashauri 185 Kati ya Halmashauri hizo, Halmashauri 41 ndio zinazotarajiwa kunufaika na mradi huu,nashauri itumieni fursa hii kikamilifu kwa maendeleo ya Manispaa yetu ya Kigoma Ujiji na Mkoa wetu wa Kigoma kwa ujumla,”amesema.

Aidha amesema Urasimishaji huu wa ardhi katika Manispaa hiyo utaleta matokeo chanya katika kuchochea maendeleo ya Wilaya ikiwa ni pamoja na kuleta usalama wa milki za ardhi, kukukuza uchumi na kupunguza au kumaliza migogoro itokanayo na ardhi.

Pamoja na hayo ameeleza kuwa  Mradi huo pia umelenga kusimika Mfumo Unganishi wa kielektroniki wa kuhifadhi kumbukumbu za ardhi (ILMIS) katika ofisi zote za Ardhi za Mikoa na Halmashauri mbalimbali.

“Hatua hii ni kwa kuzingatia sera za utandawazi, nchi yetu imeingia makubaliano mbalimbali za kimataifa na za kikanda ili kuendana na kasi ya maendeleo ya Dunia yanayohusisha makubaliano ya kiuchumi, kijamii na kimazingira,

 Makubaliano hayo kwa uchache ni pamoja na Agenda ya Afrika 2063 inayoitaka Afrika kuhakikisha upangaji bora na umiliki wa ardhi, mifumo ya matumizi ya ardhi na usimamizi wa maendeleo sawia ya makazi ya watu katika ngazi zote kuanzia vijijini hadi mijini,”amesisitiza

Mhe.Kalli ameeleza kuwa  Agenda hii pia inaelekeza kuwa, sera zitakazotungwa na kutekelezwa zinatakiwa pamoja na masuala mengine kujikita katika kuchochea usawa katika upatikanaji na umiliki wa ardhi kwa makundi yote katika jamii hususani kwa wanawake na watu wenye mahitaji maalumu.

“Azimio la umoja wa Afrika kuhusu masuala ya ardhi linazitaka nchi wanachama wa umoja wa Afrika kufanya maboresho katika sekta  za ardhi na kuandaa sera madhubuti, inayozingatia mahitaji mahususi ya jamii,changamoto  zote zitakazo jitokeza katika utekelezaji wa Mradi huu utatatuliwa na watanzania wenyewe kwa taratibu za Sheria, Kanuni na Miongozo ya sheria za nchi yetu,”amesisitiza

Kwa upande wake Kaimu Mkurugenzi wa Manispaa ya Kigoma Ujiji Bw.Evans Mdee,amewataka  wadau hao wa ardhi kutumia fursa hiyo  kutoa mawazo na maoni ya kuboresha utekelezaji wa mradi huo ambao ni muhimu kwa Halmashauri hiyo ili kufikia lengo la kuboresha Usalama wa Milki za Ardhi kwa Wananchi .

Amesema Katika Manispaa hiyo utekelezaji wa mradi  ulianza  mwezi Juni, 2023 ikiwa na lengo la kutambua, kupanga, kupima na kusajili milki zipatazo 10,000 ambazo zitamilikishwa kwa wananchi wa Manispaa ya Kigoma.

“ Kazi ambazo zimefanyika ni pamoja na kutambulisha mradi kwa wajumbe wa menejimenti ya Halmashauri (CMT) na baraza la Madiwani,tiimu za wataalam wa Manispaa ya Kigoma wametoa elimu kwa viongozi wa Kamati ya maendeleo ya Kata za Kibirizi, Kasingirima na Kagera na wamefanya mikutano ya hadhara ya mitaa kumi katika Kata za Kibirizi, Kasingirima na Kagera,”amesema Bw.Mdee

Aidha, amesema hadi sasa zaidi ya makazi 4,000 yametambuliwa katika Kata ya Kibirizi, michoro ya viwanja 1,500 imeandaliwa na wananchi wa Mtaa wa Kibirizi wanaendelea kuhakiki taarifa zao za umiliki na kazi inaendelea.

About the author

Alex Sonna