Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

istanbul escort

bets10

bets10 giriş

millibahis

vipslot

festwin

parmabet

celtabet

kulisbet giriş

mavibet

piabellacasino

mavibet giriş

mavibet

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

piabellacasino

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino giriş

deneme bonusları veren siteler

doeda

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

bets10

gobahis, gobahis giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

jojobet

betsat

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

safirbet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

medusabahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

doeda

spyhackerz

holiganbet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

İmajbet

grandpashabet

imajbet

betgross

biabet

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

perabet

grandpashabet

tümbet güncel giriş

betsat

vdcasino

jojobet

Jojobet

matbet

meritbet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

bets10 sorunsuz giriş

girne escort

magusa escort

bahibom

jojobet

tubidy

medusabahis

Girne Escort

deneme bonusu

taraftarium

taraftarium

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

fixbet

casibom

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

holiganbet

grandpashabet

Featured Kitaifa

KIGOMA UJIJI KUPIMA NA KUSAJILI MAKAZI 10,000 KATIKA MITAA 25.

Written by Alex Sonna

 Mkuu wa Wilaya ya Kigoma Mhe. Salum Kalli ,akizungumza wakati akifungua Mkutano wa wadau wa Mradi wa Uboreshaji Usalama wa Milko za Ardhi nchini unaotekelezwa Manispaa ya Kigoma Ujiji leo Septemba 4,2023.

Kaimu Mkurugenzi wa Manispaa ya Kigoma Ujiji Bw.Evans Mdee,akizungumza wakati wa  Mkutano wa wadau wa Mradi wa Uboreshaji Usalama wa Milko za Ardhi nchini unaotekelezwa Manispaa ya Kigoma Ujiji leo Septemba 4,2023.

Sehemu ya washiriki wakifatilia hotuba ya Mkuu wa Wilaya ya Kigoma Mhe. Salum Kalli (hayupo pichani) wakati akifungua Mkutano wa wadau wa Mradi wa Uboreshaji Usalama wa Milko za Ardhi nchini unaotekelezwa Manispaa ya Kigoma Ujiji leo Septemba 4,2023.

Mkuu wa Wilaya ya Kigoma Mhe. Salum Kalli,akiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kufungua  Mkutano wa wadau wa Mradi wa Uboreshaji Usalama wa Milko za Ardhi nchini unaotekelezwa Manispaa ya Kigoma Ujiji leo Septemba 4,2023.

Na.Alex Sonna

WADAU wa Mradi wa Uboreshaji Usalama wa Milki za Ardhi nchini wamekutana kujadili namna ya kuondokana na ongezeko la idadi ya  ukuaji wa makazi yasiyopangwa huku wakiitaka Manispaa ya Kigoma Ujiji kuuchukua mradi huo kama fursa  na kutoa ushirikiano thabiti ili kufanikisha utekelezaji wake.

Akizungumza kwenye mkutano huo uliofanyika Kigoma Ujiji leo Septemba 4,2023 Mkuu wa wilaya ya Kigoma Mhe. Salum Kalli ,amesema Mradi huo umelenga kuboresha usalama wa milki za ardhi kwa kupanga, kupima na kusajili milki za ardhi zipatazo milioni 2.5 .

Amesema milki hizo zinatajumuisha hati milki 1,000,000 na Leseni za Makazi 1,000,000 katika maeneo ya mijini na Hati za Hakimilki za Kimila 500,000 vijijini; ambapo Manispaa ya Kigoma Ujiji  inakusudia kupanga, kupima na kusajili makazi 10,000 katika mitaa 25.

“Nchi yetu ina jumla ya Halmashauri 185 Kati ya Halmashauri hizo, Halmashauri 41 ndio zinazotarajiwa kunufaika na mradi huu,nashauri itumieni fursa hii kikamilifu kwa maendeleo ya Manispaa yetu ya Kigoma Ujiji na Mkoa wetu wa Kigoma kwa ujumla,”amesema.

Aidha amesema Urasimishaji huu wa ardhi katika Manispaa hiyo utaleta matokeo chanya katika kuchochea maendeleo ya Wilaya ikiwa ni pamoja na kuleta usalama wa milki za ardhi, kukukuza uchumi na kupunguza au kumaliza migogoro itokanayo na ardhi.

Pamoja na hayo ameeleza kuwa  Mradi huo pia umelenga kusimika Mfumo Unganishi wa kielektroniki wa kuhifadhi kumbukumbu za ardhi (ILMIS) katika ofisi zote za Ardhi za Mikoa na Halmashauri mbalimbali.

“Hatua hii ni kwa kuzingatia sera za utandawazi, nchi yetu imeingia makubaliano mbalimbali za kimataifa na za kikanda ili kuendana na kasi ya maendeleo ya Dunia yanayohusisha makubaliano ya kiuchumi, kijamii na kimazingira,

 Makubaliano hayo kwa uchache ni pamoja na Agenda ya Afrika 2063 inayoitaka Afrika kuhakikisha upangaji bora na umiliki wa ardhi, mifumo ya matumizi ya ardhi na usimamizi wa maendeleo sawia ya makazi ya watu katika ngazi zote kuanzia vijijini hadi mijini,”amesisitiza

Mhe.Kalli ameeleza kuwa  Agenda hii pia inaelekeza kuwa, sera zitakazotungwa na kutekelezwa zinatakiwa pamoja na masuala mengine kujikita katika kuchochea usawa katika upatikanaji na umiliki wa ardhi kwa makundi yote katika jamii hususani kwa wanawake na watu wenye mahitaji maalumu.

“Azimio la umoja wa Afrika kuhusu masuala ya ardhi linazitaka nchi wanachama wa umoja wa Afrika kufanya maboresho katika sekta  za ardhi na kuandaa sera madhubuti, inayozingatia mahitaji mahususi ya jamii,changamoto  zote zitakazo jitokeza katika utekelezaji wa Mradi huu utatatuliwa na watanzania wenyewe kwa taratibu za Sheria, Kanuni na Miongozo ya sheria za nchi yetu,”amesisitiza

Kwa upande wake Kaimu Mkurugenzi wa Manispaa ya Kigoma Ujiji Bw.Evans Mdee,amewataka  wadau hao wa ardhi kutumia fursa hiyo  kutoa mawazo na maoni ya kuboresha utekelezaji wa mradi huo ambao ni muhimu kwa Halmashauri hiyo ili kufikia lengo la kuboresha Usalama wa Milki za Ardhi kwa Wananchi .

Amesema Katika Manispaa hiyo utekelezaji wa mradi  ulianza  mwezi Juni, 2023 ikiwa na lengo la kutambua, kupanga, kupima na kusajili milki zipatazo 10,000 ambazo zitamilikishwa kwa wananchi wa Manispaa ya Kigoma.

“ Kazi ambazo zimefanyika ni pamoja na kutambulisha mradi kwa wajumbe wa menejimenti ya Halmashauri (CMT) na baraza la Madiwani,tiimu za wataalam wa Manispaa ya Kigoma wametoa elimu kwa viongozi wa Kamati ya maendeleo ya Kata za Kibirizi, Kasingirima na Kagera na wamefanya mikutano ya hadhara ya mitaa kumi katika Kata za Kibirizi, Kasingirima na Kagera,”amesema Bw.Mdee

Aidha, amesema hadi sasa zaidi ya makazi 4,000 yametambuliwa katika Kata ya Kibirizi, michoro ya viwanja 1,500 imeandaliwa na wananchi wa Mtaa wa Kibirizi wanaendelea kuhakiki taarifa zao za umiliki na kazi inaendelea.

About the author

Alex Sonna