Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

betsat

pusulabet, pusulabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betsat

bets10

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

nakitbahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

matbet

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

hd porno

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

Pusulabet

grandpashabet

imajbet

betlivo

betra

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

grandpashabet

grandpashabet giriş

tümbet güncel giriş

betsat giriş

vdcasino giriş

jojobet

Jojobet

betsat

Redwin

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

betsat güncel giriş

girne escort

magusa escort

Marmaris Tekne Turu

jojobet

tubidy

nakitbahis

Girne Escort

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

jojobet

jojobet

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

dizipal

grandpashabet

dizipal

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

casibom

Hacking Forum

Featured Kitaifa

WANUFAIKA WA BBT – LIFE WAMKOSHA KATIBU MKUU KIONGOZI

Written by Alex Sonna

 

Katibu Mkuu Kiongozi Mhe. Balozi Dkt. Moses Kusiluka (wa kwanza kulia) akikagua mifugo inayonenepeshwa katika Programu ya Kielelezo “Jenga Kesho Iliyo Bora” (BBT – Life) baada ya kufika katika viwanja vya John Mwakangale jijini Mbeya kwenye Maonesho ya Wakulima (Nanenane) na kutembelea banda la Wizara ya Mifugo na Uvuvi, ambapo amesema ameridhishwa na jitihada zinazofanywa na wanufaika wa programu hiyo na kuwataka kuongeza juhudi zaidi.

Katibu Mkuu Kiongozi Mhe. Balozi Dkt. Moses Kusiluka (wa kwanza kulia) akipata maelezo ya vyakula vya mifugo vinavyotumika kwa ajili ya kunenepeshea mifugo kutoka kwa mmoja wa wanufaika wa Programu ya Kielelezo “Jenga Kesho Iliyo Bora” (BBT – Life) Bi. Rest Mgonja, baada ya kufika katika viwanja vya John Mwakangale jijini Mbeya kwenye Maonesho ya Wakulima (Nanenane) na kutembelea banda la Wizara ya Mifugo na Uvuvi,

Mmoja wa wakufunzi wa wanufaika wa Programu ya Kielelezo “Jenga Kesho Iliyo Bora” (BBT – Life) Sekta ya Uvuvi Bw. Hamisi Salehe akimuelezea Katibu Mkuu Kiongozi Mhe. Balozi Dkt. Moses Kusiluka namna wanavyotoa mafunzo kwa wanufaika jinsi ya kunenepesha viumbe maji wakiwemo kaa na jongoo bahari. Katibu Mkuu Kiongozi Mhe. Balozi Dkt. Kusiluka amefika kwenye Maonesho ya Wakulima (Nanenane) katika viwanja vya John Mwakangale jijini Mbeya na kutembelea banda la Wizara ya Mifugo na Uvuvi.

Katibu Mkuu Kiongozi Mhe. Balozi Dkt. Moses Kusiluka, akiwa na baadhi ya maafisa kutoka Wizara ya Mifugo wakati akikagua muonekano wa kizimba kwa ajili ya kufugia samaki wakati alipofika katika viwanja vya John Mwakangale jijini Mbeya kwenye Maonesho ya Wakulima (Nanenane) na kutembelea banda la Wizara ya Mifugo na Uvuvi.
Na. Edward Kondela

Katibu Mkuu Kiongozi Mhe. Balozi Dkt. Moses Kusiluka amewaasa vijana waliopo kwenye Programu ya Kielelezo “Jenga Kesho Iliyo Bora” (BBT – Life) kufanya vizuri zaidi kwa kutumia fursa waliyopata ili kufikia malengo ya serikali.

Mhe. Balozi Kusiluka amebainisha hayo leo (07.08.2023) katika viwanja vya John Mwakangale jijini Mbeya, alipotembelea banda la Wizara ya Mifugo na Uvuvi kwenye Maonesho ya Kimataifa ya Wakulima (Nanenane), kushuHUdia kwa vitendo maendeleo ya programu hiyo.

Amewataka vijana hao ambao wapo kwenye programu ya BBT – LIFE kwa vitendo katika unenepeshaji wa ng’ombe, kaa na jongoo bahari pamoja na ulimaji wa zao la mwani, kufikia maono ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ambaye ameasisi programu hiyo ili kuwezesha vijana kiuchumi.

Ameongeza kuwa ameridhishwa na kazi nzuri inayofanywa na vijana hao na kuwataka kuongeza jitihada zaidi kufikia maono ya Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, hivyo ni vyema wakatumia vizuri fursa waliyoipata.

Kwa upande wake Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi Prof. Riziki Shemdoe amesema wizara imeweka mpango maalum kwa vijana hao baada ya kumaliza mafunzo kwa kuwapatia maeneo kwa mkataba wa miaka mitano pamoja na mtaji watakaokuwa wamepata wakati wa mafunzo ili kuendeleza biashara ya kunenepesha ng’ombe.

Naye mmoja wa wanufaika wa programu ya BBT – LIFE Sekta ya Mifugo, Bi. Rest Mgonja amesema wameshiriki kwa kupewa maeneo na mitaji pamoja na kununua ng’ombe ambapo kila kijana alipatiwa ng’ombe kumi na kuwa na jumla ya ng’ombe 2,400 kwa vijana 240 kwa ajili ya kunenepesha na kuwauza baada ya miezi mitatu, ambapo tayari wameuza ng’ombe 565.

Kwa upande wake mmoja wa wakufunzi wa wanufaika wa BBT – LIFE Sekta ya Uvuvi Bw. Hamisi Salehe amemuelezea Katibu Mkuu Kiongozi Mhe. Balozi Kusiluka namna wanavyotoa mafunzo kwa wanufaika jinsi ya kunenepesha viumbe maji wakiwemo kaa na jongoo bahari kwa kuyaongezea thamani mazao hayo na kuuzwa kwa thamani ya juu zaidi.

About the author

Alex Sonna