marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

holiganbet giriş

NervEase

mersin escort

telegram @seo_anomaly - seo backlinks, black-links, traffic boost, link indexing hacking

telegram @seo_anomaly - seo backlinks, black-links, traffic boost, link indexing hacking

pusulabet

grandpashabet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

pashagaming

şğp

grandpashabet

grandpashabet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

sonbahis

bahiscasino

marsbahis

perabet giriş

imajbet

klasbahis

savoybetting giriş

goldenbahis

savoybetting

klasbahis giriş

jojobet

kulisbet giriş

pusulabet giriş

pusulabet, pusulabet giriş

matbet, matbet giriş

betcio, betcio giriş

alobet, alobet giriş

kingroyal

restbet

bets10

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

celtabet

deneme bonusu

deneme bonusu

holiganbet

holiganbet

jojobet

holiganbet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet

casibom giriş

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

sahabet

Madridbet

grandpashabet giriş

jojobet

casibom

marsbahis

jojobet giriş

jojobet

alobet

alobet giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

deneme bonusu veren siteler

holiganbet

jojobet güncel giriş

betsat

betsat giriş

xslot

xslot giriş

bets10

bets10 giriş

zirvebet

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

İkimisli

onwin

superbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

trendbet giriş

bets10

jojobet

perabet

perabet giriş

perabet

imajbet giriş

perabet

imajbet

perabet

perabet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

türkçe altyazılı porno izle

deneme bonusu

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

superbetin

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

grandpashabet

vdcasino

trendbet

imajbet giriş

milanobet

imajbet

perabet giriş

perabet

ngsbahis

kralbet giriş

milanobet giriş

สล็อตเว็บตรง

bets10

casibom giriş

jojobet

deneme bonusu

kingroyal

trust score weak 3

jojobet

slot siteler

casino siteleri

imajbet

imajbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

casibom

netbahis

1xbet giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

avşa kiralık daire

betturkey giriş

betturkey

betsat

betsat giriş

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu veren siteler

sekabet giriş

hackhaber

grandpashabet

deneme bonusu veren siteler

primebahis

marsbahis, marsbahis giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

superbetin

madridbet

ilbet

ilbet giriş

deneme bonusu veren siteler

tipobet giriş

romabet

piabellacasino

güvenli casino siteleri

bets10 güncel giriş adresi

superbetin

jojobet

jojobet giriş

ilbet

deneme bonusu

deneme bonusu

holiganbet

Ankara escort

Marsbahis - Marsbahis Giriş

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino

Featured Kitaifa

RC SENYAMULE AAGIZA CHEMBA KUKAMILISHA MIRADI KWA WAKATI

Written by Alex Sonna

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe.Rosemary Senyamule akizungumza na wananchi wa Kata ya Kwa Mtoro katika Mkutano wa hadhara uliofanyika Agosti 4 katika Kijiji cha kwa Mtoro ikiwa ni sehemu ya ziara yake ya kikazi Wilayani Chemba 

Afisa Elimu Mkoa wa Dodoma Mwl. Gift Kyando akizungumza na wananchi wa Kata ya Kwa Mtoro katika Mkutano wa hadhara ulioitishwa na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma kwa lengo la kusikiliza na kutatua kero za wananchi wa kata hiyo. Mkutano huo umefanyika Agosti 5/2023.

Mhe. Senyamule akipokea Taarifa ya mpango kazi wa namna ya utekelezaji wa Mradi wa Shule Mpya ya kata ya Sekondari Babayu wakati alipofanya ziara yake ya kikazi Agosti 4 Mwaka huu ya kukagua Miradi ya Shule za Msingi na Sekondari inayotekelezwa katika Wilaya ya Chemba. 

Mkuu wa Wilaya ya Chemba Mhe. Gerald Mongella akiteta Jambo na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Senyamule wakati wa Mkutano wa Hadhara wa kusikiliza na kutatua kero za wananchi katika Kijiji cha Kwa Mtoro

Msafara wa Mkuu wa Mkoa Dodoma katika ziara yake ya kikazi ya kukagua Miradi ya Shule za Msingi na Sekondari inayotekelezwa kupitia fedha za Boost na Sequip Wilayani Chemba, ziara hiyo imefanyika Agosti 4 Mwaka huu.

Serikali imeendelea kuimarisha miundombinu bora ya elimu katika Mkoa wa Dodoma ikiwa ni pamoja na ujenzi wa Shule mpya za Msingi na Sekondari, ujenzi wa maabara na mabweni katika Wilaya zote zilizopo Mkoani Dodoma.

Hayo yamesemwa na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule kwa nyakati tofauti wilayani Chemba katika ziara yake ya kikazi ya kukagua hatua mbalimbali za ujenzi wa miundombinu ya elimu wilayani humo.

“Ninatembelea Wilaya zenye changamoto ambazo bado hazijakamilisha miradi yake kama ilivyopangwa. Hapa Magugu ujenzi wa hii shule ulitakiwa kukamilika Juni 30, 2023 na leo ni tarehe 3 Agosti, wako katika hatua za ukamilishaji, hata hivyo ujenzi wa choo bado haujakamilika,kazi hizi zilikuwa ziende Pamoja” Senyamule alihoji.

Aidha, ametoa muda wa siku saba  kwa Mkuu wa Shule hiyo kukamilisha ujenzi wa choo ili shule hiyo iweze kuanza kutumika. 

“Tunategemea maelekezo na ushauri vifanyike kwa wakati mmoja,nimeshaelekeza ununuzi wa vifaa vyote ufanyike kwa pamoja kusiwe na ucheleweshaji wa aina yoyote ile na sababu zisizo na msingi.

Katika hatua nyingine Mhe. Senyamule amemwagiza Mwl Mkuu wa Shule hiyo ya Magungu Mwl. Edwin Fredrick kuthaminisha nguvu kazi inayochangiwa na wananchi. 

“Thaminisheni mchango wa wananchi, wapewe taarifa kuwa mchango wao wa nguvu kazi ni shilingi ngapi, ili fedha inayobaki kutokana na mchango wa nguvu za wananchi ziweze kufanya kazi nyingine mfano Ujenzi wa nyumba za walimu.

Pia, ameagiza kukamilishwa kwa ujenzi wa vyoo katika shule hiyo ndani ya wiki moja, huku akiwataka kuongeza kasi katika miradi inayoendelea ya Sequip na Madarasa ya kidato cha Tano.

“Hatuwezi kuwa na mpango wetu kama Mkoa wa kukamilisha miradi ya ujenzi na wewe mwalimu una mpango wako, hii ni kazi ya Serikali, nitarudi ndani ya wiki moja” Senyamule amesisitiza

Mkoa wa Dodoma kupitia mradi wa Boost umepokea kiasi cha Shilingi Bilioni 10.6 kwa ajili ujenzi wa Shule mpya 16, vyumba vya madasa ya msingi 163, madarasa ya awali 16, ujenzi wa vyoo 106, nyumba za walimu 03 na darasa 01 la elimu maalumu. Wilaya ya Chemba imepokea kiasi cha shilingi Bilioni 1.3 na Kondoa Mji na Halmashauri Shilingi Bilioni 1.7.

Katika ziara hiyo Mhe. Semnyamule alipata fursa ya kukagua Ujenzi wa Shule mpya ya Sekondari Babayu,Shule mpya ya Msingi Magungu, Ujenzi wa mabweni na madarasa katika shule ya Sekondari Msakwalo pamoja na kufanya Mkutano wa kusikiliza kero na kuzipatia ufumbuzi katika kata ya kwa mtoro Kijiji cha kwa mtoro.

About the author

Alex Sonna