marsbahis giriş

marsbahis giriş telegram

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

bets10

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

jojobet giriş

NervEase

escort sakarya

sakarya escort

izmit escort

nesinecasino

tambet

meritking giriş

ganobet

bets10 giriş

grandpashabet

holiganbet

sekabet

jojobet

dizipal

1xbet

1xbet

palacebet

marsbahis

royalbet

elexbet giriş

kavbet

milanobet

restbet

imajbet

betpas

imajbet

interbahis

kulisbet giriş

pusulabet giriş

betparibu, betparibu giriş

kulisbet, kulisbet giriş

bahiscasino, bahiscaasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

betebet

restbet

jojobet giriş

pokerklas

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

betcup

holiganbet

holiganbet giriş

nakitbahis

holiganbet

holiganbet

pusulabet

holiganbet giriş

Nitric Boost

tarafbet giriş

betebet

gonebet, gonebet giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet giriş

dinamobet

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

netbahis

netbahis giriş

netbahis

netbahis giriş

sahabet

starzbet

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

netbahis

netbahis giriş

betsat

betsat giriş

pokerklas

pokerklas giriş

pokerklas giriş

kingroyal

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

kıbrıs escort

jojobet

jojobet güncel giriş

ilbet

ilbet giriş

xslot

xslot giriş

bets10

bets10

bets10 giriş

Tipobet

jojobet

türk ifşa

casinoroyal

İkimisli

casinofast

superbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10

jojobet

lunabet

lunabet giriş

betpas

betpas giriş

pokerklas

pokerklas giriş

mislibet

mislibet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Featured Kitaifa

REA IMEBEBA AJENDA YA MAENDELEO YA WATU WA VIJIJINI MKOANI GEITA – MWENYEKITI KAMATI YA BUNGE YA NISHATI NA MADINI

Written by Alex Sonna
Na Mwandishi Wetu – Geita

Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini, Mhe. Subira Mgalu, amesema Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) inaendelea kutekeleza miradi mbalimbali ya kusambaza umeme ili kuhakikisha wananchi wanaoishi pembezoni mwa miji na vijijini wanapata huduma hiyo muhimu kwa maendeleo ya kijamii na kiuchumi.

Akizungumzia mafanikio ya Miradi ya kusambaza umeme tarehe 15 Machi, 2026 katika kitongoji cha Elimu kijiji cha Mshinde mkoani Geita, Mhe. Subira Magalu alisema kuwa Miradi inayotekelezwa inalenga kupanua wigo wa huduma ya umeme katika vitongoji 15 kwa kila jimbo la uchaguzi HEP 2(A) pamoja na Mradi mkubwa wa kusambaza umeme kwenye vitongoji 9,009 Tanzania nzima Geita ikiwemo.

Aidha; Mwenyekiti huyo wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini ameigaza Kampuni ya CCC Beijing Industrial & Commercial Co. Ltd ambayo inatekeleza Miradi mingi mkoani Geita kuhakikisha na hadi kufikia Machi 28, 2026 kukamilisha miradi ambapo kwa sasa utekelezaji wake ulikuwa umefikia asilimia 80 kukamilika haraka.

Kwa upande wake Naibu Waziri, Wizara ya Nishati, Mhe. Salome Makamba amewapongeza Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini kwa kuendelea kuisimamia vyema Sekta ya Nishati pamoja na ukaribu wao katika kufuatilia Miradi ya kusambaza nishati ya umeme hadi kwenye vitongoji.

“Kipekee naipongeza Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini kwa kufika hadi kwenye vitongoji kuangalia utelekezaji wa Miradi ya kimaendeleo; ikiwemo hii ya kufikisha umeme kwenye kitongoji cha Elimu hapa katika kijiji cha Mshinde, hii ni mara ya kwanza kwa ugeni kama huu kufika mahali hapa”. Alisema Mhe. Salome Makamba

Katika taarifa yake ya awali; Mkurugenzi wa Umeme Vijijini, Mhandisi, Jones Olotu ambaye pia alimwakilisha Mkurugenzi Mkuu wa REA alisema mkoa wa Geita una jumla ya vijiji 486 na vitongoji 2,195, kupitia Miradi mbalimbali tayari huduma ya umeme imefika katika vijiji vyote 486 pamoja na vitongoji 1,193.

Mhandisi Olotu aliongeza kuwa ipo Miradi kadhaa ya kusambaza umeme kwenye vitongoji inayoendelea katika mkoa wa Geita ambapo baada ya kukamilika; mkoa wa Geita utakuwa na jumla ya vitongoji 1,895 ambavyo vitakuwa na huduma ya umeme na kubakia vitongoji 300 tu ambavyo vitapatiwa huduma hiyo, ifikapo mwaka 2030.

Mhandisi, Olotu amesema Serikali itaendelea kuhakikisha Wananchi wengi wa mkoa wa Geita wanafikiwa na huduma ya umeme ili kuchochea maendeleo na kuboresha maisha yao.








About the author

Alex Sonna