marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

holiganbet giriş

NervEase

mersin escort

telegram @seo_anomaly - seo backlinks, black-links, traffic boost, link indexing hacking

telegram @seo_anomaly - seo backlinks, black-links, traffic boost, link indexing hacking

pusulabet

grandpashabet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

pashagaming

şğp

grandpashabet

grandpashabet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

sonbahis

bahiscasino

marsbahis

perabet giriş

imajbet

klasbahis

savoybetting giriş

goldenbahis

savoybetting

klasbahis giriş

jojobet

kulisbet giriş

pusulabet giriş

pusulabet, pusulabet giriş

matbet, matbet giriş

betcio, betcio giriş

alobet, alobet giriş

kingroyal

restbet

bets10

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

celtabet

deneme bonusu

deneme bonusu

holiganbet

holiganbet

jojobet

holiganbet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet

casibom giriş

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

sahabet

Madridbet

grandpashabet giriş

jojobet

casibom

marsbahis

jojobet giriş

jojobet

alobet

alobet giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

deneme bonusu veren siteler

holiganbet

jojobet güncel giriş

betsat

betsat giriş

xslot

xslot giriş

bets10

bets10 giriş

zirvebet

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu

deneme bonusu veren siteler

İkimisli

onwin

superbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

trendbet giriş

bets10

jojobet

perabet

perabet giriş

perabet

imajbet giriş

perabet

imajbet

perabet

perabet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

türkçe altyazılı porno izle

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

superbetin

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

grandpashabet

vdcasino

trendbet

imajbet giriş

milanobet

imajbet

perabet giriş

perabet

ngsbahis

kralbet giriş

milanobet giriş

สล็อตเว็บตรง

bets10

casibom giriş

jojobet

deneme bonusu

kingroyal

trust score weak 3

jojobet

slot siteler

casino siteleri

imajbet

imajbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

casibom

netbahis

1xbet giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

avşa kiralık daire

betturkey giriş

betturkey

betsat

betsat giriş

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu veren siteler

sekabet giriş

hackhaber

grandpashabet

deneme bonusu veren siteler

primebahis

marsbahis, marsbahis giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

superbetin

madridbet

ilbet

ilbet giriş

deneme bonusu veren siteler

tipobet giriş

romabet

piabellacasino

güvenli casino siteleri

bets10 güncel giriş adresi

superbetin

jojobet

jojobet giriş

ilbet

deneme bonusu

deneme bonusu

holiganbet

Ankara escort

Marsbahis - Marsbahis Giriş

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino

Featured Kitaifa

RC MTAKA AISHAURI OFISI YA MAKAMU WA RAIS KUONGEZA WIGO WA KUTANGAZA FURSA YA BIASHARA YA KABONI

Written by Alex Sonna

Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Antony Mtaka akipokea nyaraka mbalimbali ikiwemo Kitabu cha Historia na Chimbuko la Muungano kutoka kwa Afisa Mazingira Mwandamizi wa Ofisi ya Makamu wa Rais, Bw. Abdallah Lungo na Msaidizi wa Mtendaji Mkuu, Bi. Habiba Mhina mara baada ya kutembelea Banda la Ofisi hiyo katika Maadhimisho ya Sikukuu ya Wakulima Duniani (Nanenane)

Na.Mwandishi Wetu-MBEYA 

Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Mhe. Antony Mtaka ametoa wito kwa Ofisi ya Makamu wa Rais kuendelea kutangaza fursa za Biashara ya Kaboni ili wananchi wapate mwako wa kuhifadhi mazingira kwa kupanda miti hivyo kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi.

Mhe. Mtaka ametoa rai hiyo Agosti 4, 2023 wakati alipotembelea Banda la Ofisi hiyo ya katika Maonesho ya Maadhimisho ya Sikukuu ya Wakulima Duniani (Nanenane) yanayofanyika Kitaifa katika Viwanja vya John Mwakangale Jijini Mbeya.

Ameshauri kutumia vyombo vya habari kuzungumzia manufaa na faida za biashara ya kaboni hususan msisitizo wa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango kuhusu faida ya biashara hiyo.

Pia, Mhe. Mtaka ameshauri iandaliwe programu maalum ya vipindi vya elimu kwa umma vinavyoelimisha wananchi kuhusu fursa, manufaa na mafanikio yaliyopo katika masuala ya Muungano na hifadhi endelevu ya Mazingira.

Ameongeza kuwa vipindi vinavyozungumzia ya Muungano na Mazingira vina mchango mkubwa katika kuelimisha umma kwani na vitawawezesha Watanzania wengi kufahamu msingi na historia ya Muungano pamoja na majukumu mengine muhimu yanayotekelezwa na Ofisi hiyo.

Hali kadhalika, Mkuu wa Mkoa huyo amesema Ofisi ya Makamu wa Rais ni kubwa hivyo majukumu mahsusi inayotekeleza yanapaswa kutambulika na umma, hivyo ni muhimu kuyatangaza kwa kuandaa maudhui ya vipindi na makala mbalimbali zitakazotangazwa kupitia vyombo vya habari vya televisheni, redio na mitandao ya kijamii.

Aidha Mtaka amesema uaandaji, utengenezaji na urushaji wa vipindi vya elimu kwa umma ni moja ya njia za haraka ya kutangaza shughuli na majukumu ya Wizara ili kuweza kutambulika na kufahamika kwa wadau na jamii na hivyo kuvitaka Vitengo vya Mawasiliano Serikalini kuachana na mfumo wa kutumia matukio katika kutoa habari na taarifa kwa umma.

“Yapo masuala muhimu ya kihistoria ya Tanzania ambayo bado jamii ya Watanzania ikiwemo historia ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar hatua inayotokana na baadhi ya watu kutopenda kujifunza, hivyo ni wajibu wa Ofisi ya Makamu wa Rais kuzalisha vipindi na machapisho mbalimbali yanayoeleza chimbuko, misingi na historia hiyo,“ amesisitiza Mkuu wa Mkoa.

Kuhusu elimu ya uhifadhi wa mazingira, Mtaka ameitaka Ofisi hiyo pia kuandaa makala na vipindi vya televisheni na redio zinazofafanua kwa undani dhana na tafsiri halisi ya biashara ya kaboni kwani biashara hiyo kwa sasa ni fursa na mkombozi wa kiuchumi kwa jamii zilizopo katika ukanda wa maeneo ya misitu nchini.

Kwa upande wake Afisa Mazingira Mwandamizi kutoka Ofisi ya Makamu wa Rais, Bw. Abdallah Lungo amemshukuru Mkuu huyo wa Mkoa kwa maoni na ushauri aliotoa kwa Ofisi hiyo kwa kuwa yatasaidia kuongeza kasi, ubunifu na ufanisi katika kujitangaza zaidi na kuhakikisha kuwa majukumu ya ofisi hiyo yanafahamika kwa wadau na umma kwa ujumla.

Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Antony Mtaka akisaini kitabu cha wageni muda mfupi baada ya kutembelea Banda la Ofisi ya Makamu wa Rais katika Maadhimisho ya Maonesho ya Sikukuu ya Wakulima Duniani (Nanenane) yanayoendelea katika Viwanja vya John Mwakangale Jijini Mbeya leo Ijumaa (Agosti 4, 2023). Wanaoshuhudia ni Afisa Mazingira Mwandamizi Ofisi ya Makamu wa Rais Bw. Abdallah Lungo na Msaidizi wa Mtendaji Mkuu, Bi. Habiba Mhina

Mkuu wa Njombe, Antony Mtaka akizungumza jambo wakati alipotembelea Banda la Ofisi ya Makamu wa Rais katika Maadhimisho ya Maonesho ya Sikukuu ya Wakulima Duniani (Nanenane) yanayoendelea katika Viwanja vya John Mwakangale Jijini Mbeya leo Ijumaa (Agosti 4, 2023). Wanaoshuhudia ni Afisa Mazingira Mwandamizi Ofisi ya Makamu wa Rais Bw. Abdallah Lungo na Msaidizi wa Mtendaji Mkuu, Bi. Habiba Mhina

Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Antony Mtaka akipokea nyaraka mbalimbali ikiwemo Sera ya Taifa ya Mazingira ya 2021 kutoka kwa Afisa Mazingira Mwandamizi wa Ofisi ya Makamu wa Rais, Bw. Abdallah Lungo na Msaidizi wa Mtendaji Mkuu, Bi. Habiba Mhina mara baada ya kutembelea Banda la Ofisi hiyo katika Maadhimisho ya Sikukuu ya Wakulima Duniani (Nanenane) leo Ijumaa Agosti 4, 2023.

Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Antony Mtaka akipokea nyaraka mbalimbali ikiwemo Kitabu cha Historia na Chimbuko la Muungano kutoka kwa Afisa Mazingira Mwandamizi wa Ofisi ya Makamu wa Rais, Bw. Abdallah Lungo na Msaidizi wa Mtendaji Mkuu, Bi. Habiba Mhina mara baada ya kutembelea Banda la Ofisi hiyo katika Maadhimisho ya Sikukuu ya Wakulima Duniani (Nanenane)

Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Antony Mtaka akiwa katika picha ya pamoja na Watumishi wa Ofisi ya Makamu wa Rais muda mfupo baada ya kutembelea na kufnaya mazungumzo na watumishi hao katika Banda la Ofisi hiyo katika Maadhimisho ya Sikukuu ya Wakulima Duniani (Nanenane) leo Ijumaa Agosti 4, 2023.

(PICHA NA OFISI YA MAKAMU WA RAIS)

About the author

Alex Sonna