slot siteleri

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

deneme bonusu veren siteler

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

holiganbet giriş

NervEase

sapanca escort

google algoritma hack

escort sapanca

jojobet

marsbahis

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

betnano

pusulabet giriş

jojobet

grandpashabet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

teosbet

madridbet

marsbahis

imajbet giriş

artemisbet giriş

klasbahis

mavibet giriş

mavibet

klasbahis

goldenbahis

jojobet

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

alobet, alobet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

alobet, alobet giriş

holiganbet giriş

restbet

casibom

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

timebet

trimology review

holiganbet

deneme bonusu

deneme bonusu

jojobet

holiganbet

jojobet

holiganbet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet

dinamobet giriş

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

tipobet

Pusulabet

grandpashabet giriş

Jojobet

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet

betturkey giriş

betturkey

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

deneme bonusu veren siteler

trendbet

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

bets10

bets10 giriş

zirvebet

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

İkimisli

onwin

süperbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10

holiganbet giriş

kavbet

kavbet giriş

imajbet

artemisbet giriş

artemisbet

imajbet

matbet

savoybetting

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

istanbul escort

deneme bonusu

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

betsat

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu

Hacklink Panel

palacebet

vdcasino giriş

bets10 giriş

interbahis

mavibet

imajbet

artemisbet

klasbahis

interbahis giriş

kralbet giriş

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

timebet giriş

casibom giriş

holiganbet

jojobet

trust score weak 3

jojobet giriş

slot siteler

deneme bonusu 2026

kavbet

kavbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

casibom

netbahis

sapanca bungalov

marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu veren siteler

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

holiganbet

deneme bonusu veren siteler

primebahis

betgar, betgar giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

madridbet

bets10

ilbet

ilbet giriş

deneme bonusu veren siteler

meritking

timebet

meritking

casino siteleri

bets10 güncel giriş adresi

betsat

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

deneme bonusu

jojobet giriş

zahnimplantate türkei

Ankara escort

Marsbahis - Marsbahis Giriş

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino giriş

mavibet

kulisbet, kulisbet giriş

grandpashabet

lunabet

norabahis

betasus

padişahbet

Google Search Console giriş

deneme bonusu

deneme bonusu veren siteler

casibom

holiganbet

dental implants turkey

holiganbet giriş

dental implants turkey

full mouth dental implants turkey

casibom

marsbahis

jojobet giriş

matbet

sekabet

bahiscasino

vdcasino giriş

jojobet

vdcasino

kingroyal

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

Featured Kitaifa

PROF.MKENDA AITAKA TAASISI YA ELIMU YA WATU WAZIMA KUJIKITA KWENYE MAJUKUMU YAKE YA MAHUSUSI

Written by Alex Sonna

 

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda,akizungumza na Bodi ya Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima (TEWW) pamoja na watumishi jijini Dar es Salaam.

Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Carolyne Nombo,akizungumza na Bodi ya Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima (TEWW) pamoja na watumishi jijini Dar es Salaam.

Mkurugenzi wa Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima Prof. Michael Ng,umbi,akizungumza mara baada ya Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda kuzungumza na bodi hiyo jijini Dar es Salaam.

Mwenyekiti wa Bodi ya Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima Dkt.Naomi Katunzi,akizungumza mara baada ya Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda kuzungumza na bodi hiyo jijini Dar es Salaam.

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda,aakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kuzungumza na Bodi ya Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima (TEWW) pamoja na watumishi jijini Dar es Salaam.

Na.Mwandishi Wetu

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda ameitaka Bodi ya Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima (TEWW) kujipanga katika kuhakikisha hairudufu kazi za taasisi nyingine na kuhakikisha wanachokifanya kinatimiza kiu ya watu wanaotaka kusoma elimu bila kikomo.

Prof. Mkenda amesema hayo Jijini Dar es Salaam wakati alipofika katika Taasisi hiyo na kuzungumza na Bodi pamoja na watumishi ambapo amesisitiza kuwa fursa za kusoma lazima zipatikane katika maisha yote ya binadamu hivyo ili kuendana na mabadiliko mbalimbali inapaswa kuangalia upya majukumu ya taasisi hiyo.

Kiongozi huyo pia amewataka kukaa na kushirikiana na wadau mbalimbali wenye uzoefu na uelewa wa kutosha juu ya elimu bila kikomo ili kuangalia ni mambo gani yanapaswa kuongezwa ama kupunguzwa katika majukumu yake ili kuwa na ufanisi na tija katika matumizi ya serikali

“Kuna Taasisi nyingi ambazo zinatoa elimu bila kikomo za serikali kama Chuo Kikuu Huria na Taasisi nyingine za binafsi hivyo ni muhimu kwa bodi na taasisi kuangalia upya majukumu yenu ili msifanye vshughuli ambazo zinafanywa pia na taasisi nyingine” ameongeza Prof. Mkenda

Kwa upande wake Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Carolyne Nombo amesema Taasisi hiyo inafanya kazi nzuri lakini baada ya matokeo ya sensa yameonyesha kuna asilimia kubwa ya watanzania ambao bado hawana ujuzi wa kusoma na kuandika vizuri hivyo ni kazi ya taasisi hiyo kuhakikisha watanzania wanakuwa na ujuzi wa msingi wa kusoma na kuandika.

Prof. Nombo ameongeza kuwa katika kutatua changamoto hiyo ya watu kutokujua kusoma na kuandika kupitia miradi na programu za taasisi hiyo zinawezesha kupunguza idadi ya watanzania wasiojua kusoma na kuandika, kwani haiwezekani kufanya maendeleo yeyote bila ya kuwa na ujuzi wa kawaida wa kusoma na kuandika.

“Juzi Mhe. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania alihitimisha kilele cha mkutano wa viongozi wa Afrika juu ya rasilimali watu ambo ni hawa hawa Watanzania ambao tunaona kuanzia motto mpaka mzee, kwa hiyo hawa wote wanapaswa wapate ujuzi wa kusoma na kuandika hivyo wale walingwa wa taasisi yetu lazima tuhakikishe tunawatendea haki kwa kuwapa stadi hizo” amesisitiza Prof. Nombo

Naye Mkurugenzi wa Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima Prof. Michael Ng,umbi amemwambia Waziri huyo kuwa katika kipindi cha miaka mitatu wizara iliwapatia shiling bilioni 9.4 kutoka katika Mradi wa SEQUIP kwa ajili ya kuboresha mfumo wa elimu ya sekondari kwa njia mbadala kwa kuhuisha mihtasari, kuandaa miongozo, kuandika na kuchapisha moduli pamoja na kuwaandaa na kumotisha walimu.

Mkurugenzi huyo ameongeza kuwa mbali ya shughuli za kuboresha mfumo wa sekondari na kuandaa walimu pia fedha hizo zimetumika kuimarisha mbiundombinu katika mikoa minane ya Pwani, Rukwa, NManyara, Iringa Mtwara, Kigoma na Singida na ukarabati mkubwa katika mikoa ya Morogoro, Ruvuma, Kilimanjaro, Dar es Salaam na Tabora.

Aidha Prof. Ngu’umbi amesema wadau wengine wamechangia shilingi bilioni moja kwa ajili ya utekelezaji wa Mpango wa Elimu Changamani kwa Vijana walio Nje ya Shule (IPOSA), Mpango wa Elimu Changamani baada ya Msingi (IPPE) na uboreshaji wa Mpango wa Mukeja.

About the author

Alex Sonna