Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

retro bowl

retro bowl unblocked 76

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

avrupabet

vipslot

betcool

betlivo

kingroyal

jojobet giriş

jojobet

kareasbet

hazbet

betra

meritking giriş

marsbahis

meritking

meritking

meritking giriş

mavibet güncel giriş

meritking telegram

meritking giriş

betra

gobahis

casival

casival

betcool

avrupabet

celtabet

jojobet

Hacklink panel

norabahis

kingroyal

Google

holiganbet

marsbahis

luxbet

hepbet

millibahis giriş

gobahis

vipslot

betface

elitbahis giriş

betcool

primebahis

betturkey

betturkey giriş

otobet

otobet giriş

onwin

meritking giriş

meritking güncel giriş

kalebet güncel giriş

realbahis

sonbahis

cratosslot

1xBet Giriş

otobet

otobet giriş

roketbet 2026

deneme bonusu

mavibet giriş

piabellacasino

timebet

betpark giriş

holiganbet

betpark

uyuşturucu satın al

porno izle

runtobet

runtobet giriş

1xbet

aresbet, aresbet giriş

betewin

jojobet

vipslot

betnis

betmarino giriş

aresbet

aresbet

avrupabet giriş

betface

luxbet

betmarino

casival giriş

betlivo giriş

realbahis

gallerbahis

gallerbahis

aresbet giriş

parmabet

betnis

elitbahis

marsbahis

betra giriş

celtabet giriş

parmabet giriş

vipslot giriş

hazbet giriş

elitbahis

luxbet giriş

hepbet

lordcasino

parmabet

lordcasino

kareasbet

betcool giriş

realbahis

meritking giriş

meritking

alobet, alobet giriş

alobet, alobet giriş

deneme bonusu

casibom giriş

cratosroyalbet

pasacasino

kingroyal

https://sjconsultors.com/

parmabet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

mariobet

madridbet

betbox

casibom

mavibet giriş

meritking

dedektör

vdcasino giriş

jojobet

grandpashabet giriş

holiganbet

jojobet güncel giriş

jojobet

betsat

bets10 sorunsuz giriş

jojobet giriş

marsbahis

sweet bonanza

mavibet

coinbar giriş

setrabet

jojobet

anadoluslot

timebet

jojobet giriş

goldenbahis

meritking giriş

meritking güncel giriş

meritking güncel giriş

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino

betlivo

millibahis

millibahis

celtabet

millibahis

parmabet giriş

mavibet giriş

coinbar

coinbar

mislibet giriş

mavibet

parmabet giriş

parmabet

bahiscasino

mavibet

mavibet giriş

coinbar giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

romabet

meritking

deneme bonusu

av ซับไทย

vdcasino

vdcasino

xxxเย็ดยับ

madridbet

madridbet

casibom güncel giriş

jojobet

marsbahis

betsat giriş

aresbet, aresbet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

bets10

betsat

sekabet güncel giriş

jojobet

grandpashabet

jojobet

casibom

jojobet

jojobet

betcio

casibom

casibom

grandpashabet

Hacklink panel

betturkey

safirbet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

trendbet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

marsbahis

marsbahis

betturkey giriş

Featured Kitaifa

PROF.MKENDA AITAKA TAASISI YA ELIMU YA WATU WAZIMA KUJIKITA KWENYE MAJUKUMU YAKE YA MAHUSUSI

Written by Alex Sonna

 

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda,akizungumza na Bodi ya Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima (TEWW) pamoja na watumishi jijini Dar es Salaam.

Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Carolyne Nombo,akizungumza na Bodi ya Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima (TEWW) pamoja na watumishi jijini Dar es Salaam.

Mkurugenzi wa Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima Prof. Michael Ng,umbi,akizungumza mara baada ya Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda kuzungumza na bodi hiyo jijini Dar es Salaam.

Mwenyekiti wa Bodi ya Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima Dkt.Naomi Katunzi,akizungumza mara baada ya Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda kuzungumza na bodi hiyo jijini Dar es Salaam.

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda,aakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kuzungumza na Bodi ya Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima (TEWW) pamoja na watumishi jijini Dar es Salaam.

Na.Mwandishi Wetu

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda ameitaka Bodi ya Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima (TEWW) kujipanga katika kuhakikisha hairudufu kazi za taasisi nyingine na kuhakikisha wanachokifanya kinatimiza kiu ya watu wanaotaka kusoma elimu bila kikomo.

Prof. Mkenda amesema hayo Jijini Dar es Salaam wakati alipofika katika Taasisi hiyo na kuzungumza na Bodi pamoja na watumishi ambapo amesisitiza kuwa fursa za kusoma lazima zipatikane katika maisha yote ya binadamu hivyo ili kuendana na mabadiliko mbalimbali inapaswa kuangalia upya majukumu ya taasisi hiyo.

Kiongozi huyo pia amewataka kukaa na kushirikiana na wadau mbalimbali wenye uzoefu na uelewa wa kutosha juu ya elimu bila kikomo ili kuangalia ni mambo gani yanapaswa kuongezwa ama kupunguzwa katika majukumu yake ili kuwa na ufanisi na tija katika matumizi ya serikali

“Kuna Taasisi nyingi ambazo zinatoa elimu bila kikomo za serikali kama Chuo Kikuu Huria na Taasisi nyingine za binafsi hivyo ni muhimu kwa bodi na taasisi kuangalia upya majukumu yenu ili msifanye vshughuli ambazo zinafanywa pia na taasisi nyingine” ameongeza Prof. Mkenda

Kwa upande wake Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Carolyne Nombo amesema Taasisi hiyo inafanya kazi nzuri lakini baada ya matokeo ya sensa yameonyesha kuna asilimia kubwa ya watanzania ambao bado hawana ujuzi wa kusoma na kuandika vizuri hivyo ni kazi ya taasisi hiyo kuhakikisha watanzania wanakuwa na ujuzi wa msingi wa kusoma na kuandika.

Prof. Nombo ameongeza kuwa katika kutatua changamoto hiyo ya watu kutokujua kusoma na kuandika kupitia miradi na programu za taasisi hiyo zinawezesha kupunguza idadi ya watanzania wasiojua kusoma na kuandika, kwani haiwezekani kufanya maendeleo yeyote bila ya kuwa na ujuzi wa kawaida wa kusoma na kuandika.

“Juzi Mhe. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania alihitimisha kilele cha mkutano wa viongozi wa Afrika juu ya rasilimali watu ambo ni hawa hawa Watanzania ambao tunaona kuanzia motto mpaka mzee, kwa hiyo hawa wote wanapaswa wapate ujuzi wa kusoma na kuandika hivyo wale walingwa wa taasisi yetu lazima tuhakikishe tunawatendea haki kwa kuwapa stadi hizo” amesisitiza Prof. Nombo

Naye Mkurugenzi wa Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima Prof. Michael Ng,umbi amemwambia Waziri huyo kuwa katika kipindi cha miaka mitatu wizara iliwapatia shiling bilioni 9.4 kutoka katika Mradi wa SEQUIP kwa ajili ya kuboresha mfumo wa elimu ya sekondari kwa njia mbadala kwa kuhuisha mihtasari, kuandaa miongozo, kuandika na kuchapisha moduli pamoja na kuwaandaa na kumotisha walimu.

Mkurugenzi huyo ameongeza kuwa mbali ya shughuli za kuboresha mfumo wa sekondari na kuandaa walimu pia fedha hizo zimetumika kuimarisha mbiundombinu katika mikoa minane ya Pwani, Rukwa, NManyara, Iringa Mtwara, Kigoma na Singida na ukarabati mkubwa katika mikoa ya Morogoro, Ruvuma, Kilimanjaro, Dar es Salaam na Tabora.

Aidha Prof. Ngu’umbi amesema wadau wengine wamechangia shilingi bilioni moja kwa ajili ya utekelezaji wa Mpango wa Elimu Changamani kwa Vijana walio Nje ya Shule (IPOSA), Mpango wa Elimu Changamani baada ya Msingi (IPPE) na uboreshaji wa Mpango wa Mukeja.

About the author

Alex Sonna