slot siteleri

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

deneme bonusu veren siteler

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

marsbahis

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

matbet

NervEase

https://r10.net/

hardcore porn

https://r10.net

jojobet

holiganbet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

betasus

pusulabet giriş

matbet

grandpashabet

film izle

1xbet giriş

1xbet

holiganbet

holiganbet

marsbahis

artemisbet giriş

imajbet giriş

klasbahis

mavibet giriş

mavibet

klasbahis

goldenbahis

marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

gobahis, gobahis giriş

betgar, betgar giriş

kulisbet, kulisbet giriş

betparibu, betparibu giriş

holiganbet

restbet

casibom

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

goldenbahis

trimology review

jojobet

jojobet

deneme bonusu

jojobet

holiganbet

jojobet

casinolevant

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

matbet giriş

flower disease

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

tipobet

madridbet

grandpashabet giriş

Jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

betturkey giriş

betturkey

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

deneme bonusu veren siteler

parobet

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

bets10

bets10

bets10

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

imajbet

İkimisli

onwin

süperbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10 giriş

bets10

holiganbet giriş

kavbet

kavbet giriş

artemisbet

lunabet

artemisbet

kavbet

kavbet

imajbet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

istanbul escort

deneme bonusu

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

betsat

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

page

Hacklink Panel

jojobet

vdcasino giriş

bets10 giriş

artemisbet

mavibet

imajbet

artemisbet

kavbet giriş

imajbet

kralbet giriş

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

goldenbahis giriş

madridbet

holiganbet

jojobet

trust score weak 3

celtabet

bets10 giriş

tempobet

kavbet

kavbet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet

jojobet giriş

dinamobet giriş

netbahis

sapanca bungalov

marsbahis giriş

holiganbet

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu veren siteler

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

dinamobet giriş

hackhaber

casibom

deneme bonusu veren siteler

primebahis

matbet, matbet giriş

matbet, matbet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

bets10

bets10

ilbet

ilbet giriş

jojobet giriş

meritking

goldenbahis

Goldenbahis

tempobet giriş

bets10 güncel giriş adresi

betsat

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

sweet bonanza

jojobet giriş

zahnimplantate türkei

Ankara escort

marsbahis

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino giriş

mavibet

kulisbet, kulisbet giriş

grandpashabet

lunabet

norabahis

betasus

holiganbet

Google Search Console giriş

deneme bonusu veren siteler 2026

deneme bonusu 2026

casibom

holiganbet

dental implants turkey

holiganbet giriş

dental implants turkey

full mouth dental implants turkey

deneme bonusu

sekabet

pusulabet

grandpashabet

marsbahis

imajbet

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

perabet

Featured Kitaifa

DOLA ZA CANADA MILIONI 50 KUBORESHA FURSA ZA ELIMU NA UJUZI KWA MABINTI WA TANZANIA

Written by Alex Sonna

 

Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia Profesa Adolf Mkenda,akiishukuru Serikali ya Canada kwa kuendelea kufadhili miradi mbalimbali hapa nchini inayolenga kwenda kuboresha Sekta ya Elimu mara baada ya Waziri wa Maendeleo Kimataifa na Mwenye dhamana ya Shirika la Maendeleo ya Uchumi la Pasifiki  Canada,Mhe. Harjit Sajjan,kufanya ziara yake kwenye ofisi za Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia leo Julai 20,2023 jijini Dodoma.

Na.Bolgas Odilo-DODOMA

Serikali ya Canada imeahidi kuendelea kushirikiana na Serikali ya Tanzania katika kufadhili miradi mikubwa katika sekta ya Elimu ikiwamo kuboresha upatikanaji wa fursa za elimu na ujuzi kwa mabinti wa Tanzania.

Akizungumza leo Julai 20,2023 Jijini Dodoma wakati wa ziara yake hapa nchini kutembelea miradi inayofadhiliwa na Serikali ya Canada, Waziri wa Maendeleo Kimataifa na mwenye dhamana ya Shirika la Maendeleo ya Uchumi la Pasifiki  Canada,Mhe. Harjit Sajjan amesema kuwa ameridhishwa na hatua ya utekelezaji na kutangaza kuongeza kiwango cha ufadhili.

Amesema kuwa  katika ongezeko la ufadhili watajikita zaidi katika  kufadhili miradi wa kila Binti Asome na mradi wa uwezeshwaji kupitia Program za ujuzi utakaogharimu Dola za Canada Milioni 50 ambazo ni zaidi ya Sh.Bilioni 93.

Amesema kuwa  fedha hizo ni kwa ajili ya mradi uitwao kila binti asome utakaotekelezwa na Shirika la Kimataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) na Mradi wa uwezeshaji kupitia programu za ujuzi utakaotekelezwa na Shirika la Vyuo na Taasisi la nchini Canada ambapo kila mradi utagharimu Dola za Canada milioni 25.

“Mradi wa Kila Binti Asome unalenga kuboresha upatikanaji wa fursa za elimu na ujuzi kwa mabinti wa Tanzania ili kukuza uwezeshwaji wake na kupata fursa za ajira za staha,”amesema Mhe.Sajjan

Aidha amesema kuwa  mradi wa uwezeshaji unalenga kuongeza ushiriki wa kiuchumi kwa wanawake na mabinti wa Tanzania kwa kuimarisha uwezo wa vyuo vya maendeleo 12 na mashirika ya kijamii 16 kutengeneza na kutoa mafunzo ya ujuzi kwa wanawake na mabinti

Amesema mabinti wengi bado wanachangamoto za kujifunza na kukuza ujuzi zinazowakabili mabinti wa Tanzania Bara na Zanzibar kuwa ni pamoja na tofauti za kimuundo, mzigo wa kazi za nyumbani na majukumu ya uangalizi wa familia, ukatili wa kijinsia.

Amebainisha kuwa pia mitazamo na desturi za kimila, ikiwemo ndoa na mimba za utotoni pale elimu wasichana inapochukuliwa kuwa ya thamani ndogo, hakuna motisha kwao kumaliza masomo  kwa kuongeza ni ukweli kwamba shule nyingi hazikidhi mahitaji ya wasichana walio katika kipindi cha balehe.

Ameongeza kuwa “Tunaipongeza Serikali ya Tanzania kwa jitihada zake kuwezesha upatikanaji wa elimu, tunawapongeza kwa maendeleo makubwa katika ngazi ya elimu ya msingi ambapo usawa wa kijinsia umefanikiwa, tunampongeza juhudi za kuondoka marufuku ya mabinti wenye ujauzito na mabinti waliojifungua kurejea shuleni,” amesema.

Waziri Sajjan amebainisha kuwa kwa kushirikiana na serikali ya Tanzania, Canada imewekeza katika mafunzo madhubuti kwa walimu wa baadaye katika Vyuo 36 vya Ualimu, katika kipindi cha miaka 14 iliyopita, Canada imetoa zaidi ya dola Milioni 250 za kwenye mfumo wa elimu.

Pia amesema italenga kuwezesha mabinti, wenye umri wa miaka ya 10 na 19, kujifunza na kuongeza ujuzi wao ili kuendana na mahitaji ya soko ya sasa na na ya baadaye nchini Tanzania na itatoa fursa za upatikanaji wa njia Bora mbadala za kujifunza kwa mabinti wajawazito na wasichana waliojifungua ambao wemeenguliwa kwenye mifumo rasmi ya elimu.

Kuhusu kutangaza dola za Canada Milioni 25 kwa ajili ya mpango wa Ajira kupitia ujuzi kwa elimu ya Ufundi Stadi, amesema mradi huo unatekelezwa na Shirika la Vyuo na Taasisi za Canada,unalenga kuhamasisha njia mbadala za elimu kwa wanawake na wasichana.

Kwa upande wake Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia Profesa Adolf Mkenda ameishukuru Serikali ya Canada kwa kuendelea kufadhili miradi mbalimbali hapa nchini inayolenga kwenda kuboresha Sekta ya Elimu.

“Tumekuwa na mahusiano mazuri na nchi ya Canada katika masuala ya elimu, tunataka kuendelea kupeleka watanzania kusoma nchini Canada, wapo wengi wamesoma nchini humo, ishirikiano wetu ni mkubwa na tunauendeleza,”amesema Prof. Mkenda.

Amesema kwa sasa Tanzania ipo katika hatua za mwisho katika kufanya maboresho kwenye Sera na Mitaala ya Elimu katika mabadiliko hayo Serikali imelenga kuimarisha elimu ya ujuzi na ufadhili huu utasaidia sana Serikali kufikia malengo.

Ameongeza kuwa “Sera yetu mwanzo ilikuwa ikitaka elimu ya lazima kuwa miaka 7 kwahiyo watoto wanakawa wanamaliza katika umri wa miaka 13 hadi 14 na walikuwa hawana uwezo wa kujitegemea lakini katika maboresho tunaweka miaka ya lazima 10 na baadaye kutakuwa na mikondo miwili elimu ya kawaida nay a mafunzo ya Amali na ujuo wa ufadhili huu tunaamini tutafanikiwa” amesema.

Naye Mkurugenzi Mkuu na Rais wa Taasisi ya Vyuo vya Canada Bi. Denise Amyot amesema program ya Uwezeshaji Kupitia Ujuzi (ESP) inalenga kuimarisha usawa wa kijinsia, inaunganisha Vyuo na Taasisi za Ufundi za Canada na nyingine kutoka nchi Washirika itaendeleza mbinu ya “Elimu Kwa ajira”

Waziri wa Maendeleo Kimataifa na Mwenye dhamana ya Shirika la Maendeleo ya Uchumi la Pasifiki  Canada,Mhe. Harjit Sajjan,akizungumza wakati alipofanya ziara yake kwenye ofisi za Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia leo Julai 20,2023 jijini Dodoma.

Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia Profesa Adolf Mkenda,akiishukuru Serikali ya Canada kwa kuendelea kufadhili miradi mbalimbali hapa nchini inayolenga kwenda kuboresha Sekta ya Elimu mara baada ya Waziri wa Maendeleo Kimataifa na Mwenye dhamana ya Shirika la Maendeleo ya Uchumi la Pasifiki  Canada,Mhe. Harjit Sajjan,kufanya ziara yake kwenye ofisi za Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia leo Julai 20,2023 jijini Dodoma.

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu Sayansi na Teknolojia Prof. James Mdoe,akizungumza wakati wa ziara ya Waziri wa Maendeleo Kimataifa na Mwenye dhamana ya Shirika la Maendeleo ya Uchumi la Pasifiki  Canada,Mhe. Harjit Sajjan,wakati wa  ziara yake kwenye ofisi za Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia leo Julai 20,2023 jijini Dodoma.

 Mkuu wa Idara ya Elimu wa Shirika la Umoja wa Mataifa linalohudumia Watoto (UNICEF) ofisi ya Tanzania Dkt. Daniel Buheti,akizungumza wakati wa ziara ya Waziri wa Maendeleo Kimataifa na Mwenye dhamana ya Shirika la Maendeleo ya Uchumi la Pasifiki  Canada,Mhe. Harjit Sajjan,wakati wa  ziara yake kwenye ofisi za Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia leo Julai 20,2023 jijini Dodoma.

Mkurugenzi Mkuu na Rais wa Taasisi ya Vyuo vya Canada Bi. Denise Amyot,akizungumza wakati wa ziara ya Waziri wa Maendeleo Kimataifa na Mwenye dhamana ya Shirika la Maendeleo ya Uchumi la Pasifiki  Canada,Mhe. Harjit Sajjan,wakati wa  ziara yake kwenye ofisi za Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia leo Julai 20,2023 jijini Dodoma.

Waziri wa Maendeleo Kimataifa na Mwenye dhamana ya Shirika la Maendeleo ya Uchumi la Pasifiki  Canada,Mhe. Harjit Sajjan,akimsikiliza  Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia Profesa Adolf Mkenda,wakati alipofanya ziara yake kwenye ofisi za Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia leo Julai 20,2023 jijini Dodoma.

Sehemu ya washiriki wakifatilia hotuba ya Waziri wa Maendeleo Kimataifa na Mwenye dhamana ya Shirika la Maendeleo ya Uchumi la Pasifiki  Canada,Mhe. Harjit Sajjan,(hayupo pichani) akizungumza wakati alipofanya ziara yake kwenye ofisi za Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia leo Julai 20,2023 jijini Dodoma.

Waziri wa Maendeleo Kimataifa na Mwenye dhamana ya Shirika la Maendeleo ya Uchumi la Pasifiki  Canada,Mhe. Harjit Sajjan,akipokea zawadi kutoka kwa Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia Profesa Adolf Mkenda,mara baada ya kufanya ziara yake kwenye ofisi za Wizara hiyo leo Julai 20,2023 jijini Dodoma.

Waziri wa Maendeleo Kimataifa na Mwenye dhamana ya Shirika la Maendeleo ya Uchumi la Pasifiki  Canada,Mhe. Harjit Sajjan na Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia Profesa Adolf Mkenda,wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kufanya ziara yake kwenye ofisi za Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia leo Julai 20,2023 jijini Dodoma.

About the author

Alex Sonna