slot siteleri

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

deneme bonusu veren siteler

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

marsbahis

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

matbet

NervEase

https://r10.net/

hardcore porn

https://r10.net

jojobet

holiganbet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

betasus

pusulabet giriş

matbet

grandpashabet

film izle

1xbet giriş

1xbet

holiganbet

holiganbet

marsbahis

artemisbet giriş

imajbet giriş

klasbahis

mavibet giriş

mavibet

klasbahis

goldenbahis

marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

gobahis, gobahis giriş

betgar, betgar giriş

kulisbet, kulisbet giriş

betparibu, betparibu giriş

holiganbet

restbet

casibom

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

goldenbahis

trimology review

jojobet

jojobet

deneme bonusu

jojobet

holiganbet

jojobet

casinolevant

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

matbet giriş

flower disease

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

tipobet

madridbet

grandpashabet giriş

Jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

betturkey giriş

betturkey

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

deneme bonusu veren siteler

parobet

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

bets10

bets10

bets10

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

imajbet

İkimisli

onwin

süperbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10 giriş

bets10

holiganbet giriş

kavbet

kavbet giriş

artemisbet

lunabet

artemisbet

kavbet

kavbet

imajbet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

istanbul escort

deneme bonusu

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

betsat

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

page

Hacklink Panel

jojobet

vdcasino giriş

bets10 giriş

artemisbet

mavibet

imajbet

artemisbet

kavbet giriş

imajbet

kralbet giriş

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

goldenbahis giriş

madridbet

holiganbet

jojobet

trust score weak 3

celtabet

bets10 giriş

tempobet

kavbet

kavbet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet

jojobet giriş

dinamobet giriş

netbahis

sapanca bungalov

marsbahis giriş

holiganbet

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu veren siteler

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

dinamobet giriş

hackhaber

casibom

deneme bonusu veren siteler

primebahis

matbet, matbet giriş

matbet, matbet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

bets10

bets10

ilbet

ilbet giriş

jojobet giriş

meritking

goldenbahis

Goldenbahis

tempobet giriş

bets10 güncel giriş adresi

betsat

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

sweet bonanza

jojobet giriş

zahnimplantate türkei

Ankara escort

marsbahis

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino giriş

mavibet

kulisbet, kulisbet giriş

grandpashabet

lunabet

norabahis

betasus

holiganbet

Google Search Console giriş

deneme bonusu veren siteler 2026

deneme bonusu 2026

casibom

holiganbet

dental implants turkey

holiganbet giriş

dental implants turkey

full mouth dental implants turkey

deneme bonusu

sekabet

pusulabet

grandpashabet

marsbahis

imajbet

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

perabet

Featured Kitaifa

CWT YATOA MSAADA YA MITUNGI YA GESI KWA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI KISHAPU

Written by Alex Sonna

Mkuu wa Wilaya ya Kishapu mkoani Shinyanga Mhe. Joseph Mkude akikabidhi jiko la gesi kwa mwakilishi kutoka shule ya Igaga Sekondari
Mkuu wa Wilaya ya Kishapu mkoani Shinyanga Mhe. Joseph Mkude akikabidhi jiko la gesi kwa mwakilishi wa shule
Mitungi161 iliyotolewa na Chama Cha Walimu CWT wilayani Kishapu mkoani Shinyanga kwenye shule za msingi na Sekondari wilayani Kishapu pamoja sukari kwa lengo la kuongeza ufaulu mashuleni na kuondokana na uharibifu wa mazingira.
Mitungi161 iliyotolewa na Chama Cha Walimu CWT wilayani Kishapu mkoani Shinyanga kwenye shule za msingi na Sekondari wilayani Kishapu pamoja sukari kwa lengo la kuongeza ufaulu mashuleni na kuondokana na uharibifu wa mazingira.
Mkuu wa Wilaya ya Kishapu mkoani Shinyanga Joseph Mkude akizungumza wakati wa kugawa majiko hayo kwa Walimu Huku akiwasisitiza wakawe mabalozi wa matumizi ya nishati hiyo ili kuweka mazingira salama kutokana na watu kukata miti hovyo.
Katibu wa mbunge wa Jimbo la Kishapu mkoani Shinyanga bw. Godfrey Mbussa akizungumza kwenye hafla ya ugawaji majiko ya gesi yaliyotolewa na CWT Kishapu.
Katibu wa Chama Cha Walimu CWT mkoa wa Shinyanga Mwl Allen Kizito akizungumza kwenye hafla ya ugawaji majiko ya Gesi wilayani Kishapu na kusema kuwa CWT ipo kwa dhumuni la kuwatetea walimu na kupeleka hoja za kwa serikali kwa ajili ya kuwaboreshea maslahi na miundombinu ya kazi zao.
Katibu wa Chama Cha Walimu (CWT) mkoa wa Shinyanga Mwl.Allen Kuzito akizungumza kwenye hafla ya ugawaji majiko ya gesi yaliyotolewa na Chama Cha Walimu CWT wilayani Kishapu.
Wawakilishi wa shule za msingi na Sekondari wakimsikiliza mgeni rasmi Mhe. Joseph Mkude kabla ya zoezi la ugawaji majiko ya gesi na sukari kutoka Chama Cha Walimu CWT wilaya ya Kishapu.
Mwalimu wa shule ya msingi Mwabusiga iliyoko wilayani Kishapu mkoani Shinyanga na mhasibu wa CWT Wilayani humo Mwl.Goerge Gailanga akizungumza baada ya kupokea jiko la gesi kutoka CWT Kishapu.
Mwalimu Queen Wa shule ya msingi Mwangongo baada ya hafla ya ugawaji majiko ya gesi
Katibu wa Chama Cha Walimu CWT wilayani Kishapu mkoani Shinyanga Mwl. Luhende Lyongoma akizungumza baada ya hafla ya ugawaji majiko ya gesi
Mwalimu Joseph Mangw’ena wa shule ya Sekondari isoso wilayani Kishapu mkoani Shinyanga akizungumza baada ya hafla ya ugawaji majiko ya gesi
 
 
Na Sumai Salum – Kishapu
 
Chama Cha Walimu (CWT) wilayani Kishapu mkoani Shinyanga kimetoa msaada wa mitungi 161 ya gesi yenye thamani ya shilingi ya shilingi Milioni 7.2 kwenye shule zote za msingi na sekondari wilayani humo ikiwa ni sehemu ya motisha  kwa walimu na uhamasishaji utunzaji mazingira wilayani humo.
 
 
Hafla fupi ya makabidhiano ya mitungi hiyo ya gesi imefanyika leo Julai 20,2023 kwenye viwanja vya ofisi za CWT zilizoko Mhunze wilayani Kishapu.
 
 
Katibu wa CWT Wilaya ya Kishapu Mwl. Luhende Lyongoma amesema lengo utoaji wa mitungi kwa kila shule ni kuwapa motisha walimu ili wapate muda mwingi wa kuwa shuleni na kuwafundisha wanafunzi kwa makini ili waongeze ufaulu kwa Wilaya.
 
 
“Tunatambua hii ni sekta nyeti ambayo imebeba dhamana ya wataalamu mbalimbali kwenye taifa na ulimwengu huu hivyo walimu wanapokuwa kwenye maeneo yao ya kazi watakuwa wakiandaa wenyewe kifungua kinywa na pia ikiwezekana kuandaa chakula ambapo serikali kupitia halmashauri yetu sikivu tunashauri kuwa ni vema pia kama likitengwa fungu kwa ajili ya kuwajazia gesi pindi inapoisha”, ameongeza Mwl. Lyongoma.
 
 
 
 
Akizungumza kwenye hafla hiyo mgeni rasmi Mkuu wa Wilaya ya Kishapu Mhe. Joseph Mkude licha ya kuwapongeza kwa jambo zuri walilolifanya amesema kuwa msaada huo utaendana na dhima ya serikali ya awamu ya sita ya utunzaji wa mazingira ambapo sasa nishati hiyo nzuri na itasaidia utunzaji wa mazingira kwa kutokata miti hovyo.
 
 
“Kwa kweli hatujuwahi kusikia wala kufikiria kama CWT inaweza kufanya jambo kubwa kama hili, kwa sababu walimu ni kioo cha jamii hivyo muende kuwa mabalozi wa matumizi ya nishati ya gasi na si kuni wala mkaa. Kama tunavyojua Wilaya yetu hii miti inatumia muda mrefu kukua na kwa gharama kubwa hivyo wanafunzi, wazazi na walezi wakiona kwanza nyie mnatumia gesi itakuwa chachu ya wao na familia zao kuiga mfano huu mzuri na tukafikia mahali serikali inataka tufike”, amesema Mkude.
 
 
Mkude ameleleza kuwa serikali inayonia njema kwenye sekta ya elimu ndiyo maana hadi sasa wilaya imepokea fedha kutoka serikali kuu na tayari imejenga katika kijiji cha Mwamala kilichopo kata ya Itilima nyumba ya walimu mbili kwa moja (2) na kiasi cha sh. Milioni 600 za ujenzi wa shule Mwaweja na nyumba za walimu.
 
 
 
 
Kwa upande wake Katibu wa mbunge wa Jimbo la Kishapu Bw. Godfrey Mbussa amesema walimu wanayo nafasi kubwa ya mchango wa maendeleo kwa taifa na ofIsi ya mbunge inao wajibu wa kuishauri serikali kuhusu mapungufu na uhitaji wa walimu kwani walimu wakinyong’onyea taaluma itashuka hivyo amewashauri kuwa ofisi ya mbunge ipo kwa ajili yao.
 
 
Nao baadhi ya Walimu kutoka shule mbalimbali wamesema kuwa nishati hiyo itawasaidia kuokoa muda kwani shule nyingi zipo mbali na maeneo ya kupata chakula hivyo hutumia muda mrefu kutembea wakitafuta chakula jambo ambalo limekuwa likiwafanya kupoteza muda mwingi na kutotimiza majukumu yao ya ufundiahaji kwa weledi.
 
 
“Yaani hii itatusaidia sana sisi tulioko vijijini kwa sababu tutapata chakula kwa uhakika kabisa kwani tutaandaa wenyewe kulikoni unaweza kutoka kwenda migahawani kula kisha baada ya hapo unaanza kusikia vibaya hali ya afya ya tumbo na kushindwa kutimiza wajibu na pia itasaidia kuongeza tija ya ufundishaji na kuongeza ufaulu” amesema Mwl. George Gailanga mwalimu wa Mwabusiga shule msingi.

About the author

Alex Sonna