Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

https://guinguinbali.com/

boostaro review

NervEase

vdcasino

holiganbet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

maritbet giriş

hiltonbet

pusulabet

jojobet

film izle

1xbet giriş

1xbet

jojobet

Betoffice

marsbahis

mislibet

imajbet

goldenbahis

goldenbahis giriş

betoffice

coinbar

goldenbahis

holiganbet

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

betsmove, betsmove giriş

nakitbahis, nakitbahis giriş

perabet, perabet giriş

matbet, matbet giriş

holiganbet

restbet

holiganbet

meritking

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

piabellacasino

trimology review

jojobet

jojobet

jojobet güncel

meritking

holiganbet

jojobet adres

jojobet

jojobet giriş

Nitric Boost

tarafbet

betebet

casibom, casibom giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet

flower disease

jojobet güncel giriş

jojobet güncel

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

hititbet giriş

hititbet

hititbet

hititbet giriş

ultrabet

madridbet

grandpashabet giriş

casibom

pokerklas

jojobet giriş

marsbahis

marsbahis

betturkey giriş

betturkey

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

royalbet giriş

hititbet

hititbet giriş

hititbet giriş

hititbet

betpark giriş

betixir

jojobet güncel giriş

ilbet giriş

ilbet

ilbet

ilbet giriş

bets10

bets10 giriş

bets10

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu

galabet

İkimisli

onwin

bets10

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10 giriş

bets10

holiganbet giriş

kavbet

kavbet giriş

artemisbet

goldenbahis

artemisbet

imajbet

artemisbet

imajbet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

betpark

casibom giriş

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

cratosroyalbet

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

casino siteleri

Hacklink Panel

holiganbet

vdcasino giriş

bets10 giriş

mislibet

goldenbahis giriş

kavbet

mislibet giriş

kavbet giriş

artemisbet giriş

Meritking

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

piabellacasino giriş

holiganbet

jojobet

meritking

trust score weak 3

jojobet

ikimisli giriş

tipobet

mislibet

kavbet giriş

jojobet giriş

jojobet

jojobet

pokerklas

jojobet giriş

sekabet giriş

netbahis

sapanca bungalov

mobilbahis

casibom giriş

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

betpas

1xbet

holiganbet giriş

restbet

dinamobet giriş

hackhaber

grandpashabet

dizipal

casibom

interbahis, interbahis giriş

truvabet, truvabet giriş

pokerklas, pokerklas giriş

bets10

superbetin

ilbet

ilbet giriş

jojobet giriş

onwin

piabellacasino

cratosroyalbet

betpark

bets10 güncel giriş adresi

madridbet

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

deneme bonusu

jojobet giriş

holiganbet giriş

Ankara escort

marsbahis

güvenilir bahis siteleri

dizipal

vdcasino giriş

interbahis

pokerklas, pokerklas giriş

grandpashabet

millibahis

piabet

palacebet

dental implants turkey

robinbet

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

jojobet giriş

casibom giriş

holiganbet

holiganbet

turkey dental implants

dental implants turkey

betturkey

imajbet

holiganbet

marsbahis

matbet

matbet

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino giriş

jojobet

casibom giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet giriş

pokerklas

pokerklas

meritking

meritking giriş

jojobet giriş

jojobet

marsbahis

marsbahis giriş

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

marsbahis

jojobet giriş

pokerklas

holiganbet

marsbahis

holiganbet

grandpashabet

Hacklink panel

betturkey

jojobet

grandpashabet

madridbet

jojobet

holiganbet

holiganbet

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet

holiganbet

marsbahis

jojobet

meritking

bahsegel

bahsegel giriş

betturkey

betturkey giriş

tipobet

meritking

meritking giriş

truvabet

betgaranti

betoffice

perabet

Bet365 Giriş

ilbet

ilbet giriş

turkey dental implants

roketbet 2026

vdcasino

casibom

deneme bonusu

safirbet

pokerklas

galabet

bets10

betpark

casibom

marsbahis

betpark

runtobet

runtobet giriş

Featured Kitaifa

MBUNGE AWASHUKIA WAPOTOSHAJI BANDARI

Written by Alex Sonna

 

MBUNGE wa Singida Mashariki Miraji Mtaturu amewaomba watanzania kutokubali kupotoshwa na mtu yoyote kuhusu uwekezaji unaotaka kufanyika baina ya serikali ya Tanzania nay a Dubai na kusisitiza kuwa dhamira ya Rais Samia Suluhu Hassan ni njema na kamwe hawezi kuuza nchi.

Mtaturu amesema hayo Julai 14,2023,katika viwanja vya shule ya sekondari Ikungi wakati akizindua Mashindano ya East Singida Inter School Sports 2023,ambayo inahusisha shule 19 za serikali na binafsi zilizopo katika jimbo hilo ambapo pia amegawa vifaa vya michezo vyenye thamani ya Shilingi Milioni 16.6.

Amesema yeye amekuwa kwenye kamati ya miundombinu tangu alipoingia bungeni kamati ambayo inasimamia sekta ya uchukuzi na katika kipindi chote wameona changamoto zilizopo.

“Ndugu zangu niwaombe msipotoshwe na mtu yoyote,ukiona mtu anakwambia eti ooh Rais ameuza nchi muulize kwa Sh ngapi,maana kitu chochote kinachouzwa lazima kiwe na bei ya mauziano,na kwa kuwa kazi yao ni kupotosha utaona mtaagana pale mtakunywa maji na kila mtu ataenda kulala nyumbani kwake ,”amesema.

KWA NINI TURUHUSU UWEKEZAJI.

Mtaturu amesema kuna baadhi ya wafanyabiashara wanafaidika na udhaifu wa bandari uliopo ili wao wachukue fedha wapige dili na wawanyonye watanzania.

“Leo tunaenda kumpata mtu atakayefunga mifumo yote itakayoangalia wapi wameingiza kontena ,la nani,kwa gharama kiasi gani ,awali tulikuwa tunakusanya ushuru wa forodha Sh Trilioni 7 kwa mwaka lakini baada ya uwekezaji huu tutaenda kukusanya Trilioni 26 kwa mwaka ,maana yake Trilioni 44 ya bajeti yetu tutaenda kuibeba wenyewe sawa na asilimia 62,

“Hii maana yake tukiongeza mapato yatokanayo na uboreshaji wa shughuli za bandari tutaachana na mikopo ya masharti magumu pia tozo mbalimbali zinazowaumiza wananchi,leo kuna baadhi ya watu wanaleta misaada wanatupangia tuunge mkono ushoga kwa sababu amekupa kitu ili ukubaliane na masharti yake,mama Samia amesema hapana lazima tuwekeze wenyewe tuweze kuleta maendeleo ya watanzania,”ameeleza

Mtaturu ametolea mfano uwekezaji huo kama nyumba ambapo mmiliki anaamua kupangisha baadhi ya vyumba au kuweka fremu ya maduka.

“Bandari ni kama nyumba umepangisha chumba kimoja ama viwili,mbele umefungua fremu ya maduka unaweka wapangaji ili upate kodi,hivyo bandari hii ni lango la uchumi lazima uweke mtu ambaye mwenye tija atakayewekeza nan chi ipate fedha,”ameongeza.

Ametolea mfano uwekezaji wa Kampuni ya TICTS walioongoza bandari hiyo kwa miaka 22 ,ambapo walikuwa wanatoa Sh Bilioni 300 kwa mwaka kwa gati namba 5 mpaka namba 11.

“Tulivyoenda pale tukamtathimini TICTS tukaona kweli huko nyuma tuliona hela nyingi lakini kwa sasa tumeona ni malipo kidogo, lakini pia kulikuwa na malalamiko makubwa ya wafanyabiashara kucheleweshewa kushusha mizigo yao,

“Leo hii pale Dar es salaam pamoja na uwekezaji mdogo uliowekwa meli inaweza kuchukua siku 5 mpaka siku 7 ndio iweze kushusha mzigo na kila siku inachajiwa dola 25,000 sawa na milioni 58 kwa siku moja huyu mfanyabiashara ukimlipisha yeye ataongeza bei ya bidhaa na hukuIikungi itakuwa kuwa juu maana yake serikali inachofanya sasa ni kupata mwekezaji mwenye uwezo atakayetuongezea tija atakayewafanya wafanyabiashara wengi waje washushe mizigo kwetu,”

Amesema hiyo itasaidia kuweza kupata ushuru utakaowezesha kujenga shule,barabara na taa za barabarani kama ambavyo zinawashwa kwenye Mji wetu wa Ikungi.

AWAOMBA WATANZANIA KUUNGA MKONO RAIS SAMIA.

“Nawaomba watanzania tuendelee kumuunga mkono Rais Samia,tumuombee maana kuongoza nchi sio jambo dogo,nchi hii ni kubwa ina watu zaidi ya Milioni 61,anawaongoza wananchi wenye mitazamo tofauti ,wengine wana akili timamu lakini wengine kwa makusudi tu wanataka kumkwamisha Rais wetu,niwaombe sanaa hata hili jambo la bandari mnalolisikia ni jambo la kawaida,limeshafanyika na serikali nyingine,”amesema

About the author

Alex Sonna