Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

https://www.newstrendline.com/bilgi-kutusu/

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

dedektör

vdcasino giriş

holiganbet

betsalvador

mavibet

mavibet giriş

jojobet

bets10 sorunsuz

grandpashabet güncel giriş

https://www.newstrendline.com/

palacebet

ultrabet giriş

lunabet

mavibet

setrabet

jojobet giriş

betebet

gonebet

jojobet

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino giriş

millibahis

vipslot

festwin

parmabet

celtabet

kulisbet giriş

mavibet

holiganbet güncel giriş

mavibet giriş

piabellacasino giriş

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

mavibet giriş

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino

deneme bonusları veren siteler

deneme bonusu veren siteler

marsbahis giriş

festwin

doeda

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

jojobet güncel giriş

jojobet güncel giriş

casibom güncel giriş

casibom giriş

casibom

grandpashabet giriş

cratosroyalbet, cratosroyalbet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

sahabet

portobet

dinamobet giriş

casibom

casibom

casibom

casibom

jojobet

casibom

casibom

casibom

casibom

casibom

Hacklink panel

betturkey

betnano

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

casibom giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

kralbet giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

deneme bonusu

spyhackerz

jojobet

uyuşturucu satın al

jojobet güncel giriş

İmajbet

royalbet

imajbet

betgross

biabet

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

pokerklas

perabet

betsat

bets10

vdcasino

jojobet

Jojobet

matbet

redwin

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

starzbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

holiganbet giriş

holiganbet

grandpashabet

girne escort

magusa escort

dedebet

holiganbet

tubidy

kralbet

Girne Escort

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

Featured Kitaifa

SHEHENA ZA MIZIGO ZAONGEZEKA BANDARI YA TANGA

Written by Alex Sonna
Mkurugenzi wa Huduma za Usafiri kutoka Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi-Sekta ya Uchukuzi Mha Aron Kisaka akisisitiza jambo kwa wadau mbalimbali wa huduma za Bandari Nchini ( hawapo pichani) wakati akifungua mkutano wa kamati ya maboresho ya huduma za bandari kwa bandari ya Tanga, kilichofanyika Tarehe 10 Julai,2023 Mkoani humo
Kaimu Meneja wa Bandari ya Tanga Bw. Peter Milanzi akitoa hoja kwa wadau mbalimbali wa Bandari Nchini (hawapo pichani) wakati wa mkutano wa kamati ya maboresho ya huduma za bandari kwa bandari ya Tanga kilichofanyika Tarehe 10 Julai,2023 Mkoani humo

 

 
Na Mwandishi wetu-Tanga
 
Shehena za Mizigo zinazohudumiwa kupitia Bandari ya Tanga kwenda maeneo mbalimbali ndani na nje ya nchi zimeongezeka kwa zaidi ya asilimia 8.2 kwa kipindi cha miezi sita kuanzia January mpaka Juni, 2023
 
 
Akizungumza wakati akifungua Mkutano wa Kamati ya Maboresho ya Huduma za Bandari kwa bandari ya Tanga mkoani humo kwa niaba ya Katibu Mkuu, Mkurugenzi wa Huduma za Usafiri kutoka Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi-Sekta ya Uchukuzi Mhandisi Aron Kisaka amesema Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ilitoa fedha kwa ajili ya kufanya maboresho makubwa kwenye Bandari ya Tanga ikiwemo kuongeza kina,magati na miundombinu ya Reli inayoingia Bandarini hapo ,kufungwa kwa mitambo mipya ya kupakia na kupakua makasha ambavyo vimechangia kuongeza shehena za mizigo kwa kuanza kuhudumiwa Meli kubwa kwenye Bandari hiyo.
 
 
Mha Kisaka amesema kwa kipindi cha miezi sita kuanzia mwezi Januari mpaka Juni, 2023 Bandari ya Tanga imeweza kuhudumia makasha 3,405 ya mizigo mbalimbali inayotoka na kwenda maeneo mbalimbali ya ndani na nje ya nchi yakiwemo makasha 141 ya shaba.
 
 
“Maboresho yaliyofanyika katika bandari hii yamechangia sana kuongeza uhudumiaji wa shehena za mizigo kwani yamesababisha muda wa meli kukaa bandarini kupungua kutoka siku 3 mpaka siku 0.8 hivyo kupunguza gharama za uendeshaji kwa watumiaji na kuvutia watumiaji zaidi na Meli kubwa kuanza kutia nanga bqandarini hapa” amesisitiza Mhandisi Kisaka
 
 
Kwa upande wake Kaimu Meneja wa Bandari ya Tanga Bw. Peter Milanzi amesema Serikali ya Awamu ya sita inayoongozwa na Rais Dkt Samia Suluhu Hassan imepanga kuongeza gati mpya mbili kwa ajili ya kuendelea kuboresha huduma kwenye bandari ya Tanga ambapo gati ya kuhudumia makasha itajengwa upande wa mashariki mwa bandari na gati kwa ajili ya kuhudumia abiria wa kawaida pamoja na watalii wanaokuja kutembelea maeneo mbalimbali ya vivutio vilivyomo mkoani Tanga litajengwa upande wa Magharibi ambapo utekelezaji wake utaanza mwaka huu wa fedha 2023-2024.
 
 
Naye Mdau wa Bandari nchini Bi Lilian Mbwambo kutoka Tanga Modern Clearing and Forwading company amesema mikutano ya aina hii inayowakutanisha wadau wa bandari imekuwa na tija kubwa kwa watumiaji kwani inajenga uelewa wa pamoja na kujadili changamoto mbalimbali zinazowakabili watumiaji na kupatiwa ufumbuzi na hii imekuwa ikivutia wawekezaji zaidi nchini na kupelekea uongezekaji wa shehena za mizigo kwani mizigo mikubwa karibu yote husafirishwa kwa njia ya maji.
 
 
Mikutano ya Maboresho ya Huduma za Bandari inayowakutanisha wadau wa Bandari Nchini kote chini ya usimamizi wa TPA hufanyika mara moja kila mwezi kwa lengo la kujadili ubora wa huduma zinazotolewa na Bandari zetu,changamoto zinazojitokeza na kupatiwa ufumbuzi ili kuongeza ufanisi wa bandari Nchini kote na kuongeza pato la Taifa.
wadau mbalimbali wa huduma za Bandari Nchini Wakimsikiliza Mgeni rasmi Mkurugenzi wa Huduma za Usafiri kutoka Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi-Sekta ya Uchukuzi Mha Aron Kisaka (hayupo pichani) wakati akifungua mkutano wa kamati ya maboresho ya huduma za bandari kwa bandari ya Tanga kilichofanyika Tarehe 10 Julai,2023 Mkoani humo
wadau mbalimbali wa huduma za Bandari Nchini Wakimsikiliza Mgeni rasmi Mkurugenzi wa Huduma za Usafiri kutoka Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi-Sekta ya Uchukuzi Mha Aron Kisaka (hayupo pichani) wakati akifungua mkutano wa kamati ya maboresho ya huduma za bandari kwa bandari ya Tanga kilichofanyika Tarehe 10 Julai,2023 Mkoani humo
wadau mbalimbali wa huduma za Bandari Nchini Wakimsikiliza Mgeni rasmi Mkurugenzi wa Huduma za Usafiri kutoka Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi-Sekta ya Uchukuzi Mha Aron Kisaka (hayupo pichani) wakati akifungua mkutano wa kamati ya maboresho ya huduma za bandari kwa bandari ya Tanga kilichofanyika Tarehe 10 Julai,2023 Mkoani humo

 

About the author

Alex Sonna