marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

lordbahis

NervEase

sapanca escort

sakarya escort bayan

escort sapanca

holiganbet

grandpashabet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

betnano

şğp

jojobet

grandpashabet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

palacebet

holiganbet

marsbahis

imajbet giriş

imajbet

parmabet

piabellacasino

mislibet

piabellacasino

goldenbahis

jojobet

kulisbet giriş

pusulabet giriş

pusulabet, pusulabet giriş

betgar, betgar giriş

betcio, betcio giriş

alobet, alobet giriş

kingroyal

restbet

bets10

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

jojobet

deneme bonusu

deneme bonusu

jojobet

holiganbet

jojobet

holiganbet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

madridbet

casibom giriş

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

tipobet

Madridbet

grandpashabet giriş

Jojobet

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet

alobet

alobet giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

deneme bonusu veren siteler

istanbulbahis

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

xslot

xslot giriş

bets10

bets10 giriş

zirvebet

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

İkimisli

onwin

süperbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10

jojobet

imajbet

imajbet giriş

imajbet

imajbet giriş

imajbet güncel giriş

imajbet

perabet

perabet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

türkçe altyazılı porno izle

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

superbetin

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

teosbet

vdcasino

bets10 giriş

imajbet giriş

goldenbahis

imajbet

imajbet giriş

imajbet güncel giriş

ngsbahis

kralbet giriş

bahiscasino

สล็อตเว็บตรง

bets10

casibom giriş

jojobet

holiganbet

bets10

trust score weak 3

holiganbet

slot siteler

casino siteleri

imajbet

imajbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

casibom

netbahis

1xbet giriş

deneme bonusu veren siteler

Deneme Bonusu Veren Siteler 2026

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu veren siteler

betturkey giriş

betturkey

betsat

betsat giriş

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

grandpashabet

deneme bonusu veren siteler

primebahis

gonebet, gonebet giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

bets10

süperbetin

ilbet

ilbet giriş

deneme bonusu veren siteler

meritking

romabet

meritking

güvenli casino siteleri

bets10 güncel giriş adresi

jetbahis

jojobet

jojobet giriş

ilbet

deneme bonusu

deneme bonusu

holiganbet

Ankara escort

Marsbahis - Marsbahis Giriş

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino

mavibet

kulisbet, kulisbet giriş

grandpashabet

betoffice

norabahis

marsbahis

nesinecasino

holiganbet

mercurecasino

casinowon

Featured Kitaifa

KISHINDO OPARESHENI MAALUM ‘TOKOMEZA MIRUNGI’, HEKARI 535 ZATEKETEZWA KILIMANJARO

Written by Alex Sonna
Na DCEA – Kilimanjaro
Hekari 535 za mashamba ya mirungi zimeteketezwa katika oparesheni maalum ‘Tokomeza Mirungi’, iliyoanzia kutekelezwa ndani ya vijiji vya Rikweni, Heikondi, Tae na Mahande, WIlayani Same, Mkoa wa Kilimanjaro .
 
Oparesheni hiyo inafanywa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) ikishirikiana kwa karibu na Vyombo vingine vya Ulinzi na Usalama likiwamo Jeshi la Polisi Tanzania.
Akizungumza na waandishi wa habari, Kamishna Jenerali wa DCEA Aretas Lyimo amesema katika oparesheni hiyo jumla ya watuhumiwa saba wamekamatwa.
Amesema mirungi ni mojawapo ya dawa za kulevya zilizokatazwa nchini kwani ina athari nyingi kwa binadamu, kiuchumi, kisiasa, kijamii na kiafya.
 
“Inasababisha saratani ya koo, utumbo na uraibu, mtindio wa ubongo, kiuchumi inasababisha nchi inakosa mapato kwa sababu wengi wanaolima mirungi Kata hii na eneo hili la Same hawaingizii mapato yoyote Serikali,” amesema.
“Lakini pia tunahakikisha kwamba kwenye mikataba ya kimataifa ambayo tuliingia mwaka 1961, 1971 na 1986 inatutaka nchi yoyote iliyoingia ile mikataba ihakikishe inafanya oparesheni katika maeneo yake yote.
 
“Ili kuhakikisha kwamba inatokomeza kabisa suala la dawa za kulevya katika nchi husika, pia lazima ioneshe juhudi inazofanya katika kutokomeza dawa za kulevya kwa wananchi na jamii nzima.
 
“.., na dunia iweze kuona kuwa kazi inayofanywa na nchi husika katika kutokomeza dawa za kulevya”,amesema.
Kamishna Lyimo amesema kwa sababu hiyo ndiyo maana DCEA imepiga kambi mkoani humo kwa ajili ya oparesheni hiyo kwa kushirikiana na Vyombo vingine vya Dola.
 
Amesema hekari hizo zimeteketezwa kwa muda wa siku nane kuanzia Julai 2 hadi 9, mwaka huu.
“Kwa hiyo niwashukuru wote ambao tunashirikiana nao katika oparesheni hii, tuwaombe wananchi wote kama alivyoagiza Rais Samia Suluhu Hassan, viongozi wote wa Serikali, mkoa, wilaya, vijiji na Kata.
 
“Tushirikiane kuhakikisha tunatokomeza dawa za kulevya, mashamba yote hususan katika eneo hili la Wilaya ya Same, lakini pia tuhakikishe kwamba tunaijengea Serikali uwezo wa kuweza kufanya shughuli zake.”,amesema.
Kamishna Lyimo amesisitiza “Tumekuja eneo hili tumeona Serikali ilivyojenga miundombinu, maji yapo ya kutosha, imeweka miundombinu ya umeme, barabara inatumia kodi za watu wengine kuja kuweka miundombinu huku.
 
“Wakati huku wao wanalima mirungi na hawaingizii Serikali Pato lolote na madhara yanayopatikana kwa wananchi, kwa jamii na mtu mmoja mmoja ni mzigo kwa Serikali pia.
 
Ameongeza “Tumeona hekari nyingi imetushangaza, hatukutegemea kuna hekari kubwa kiasi hiki hadi tunachukua vikosi vya Jeshi JKT kuja kufanya oparesheni hii na kununua mashine za kuteketeza kutokana na ukubwa wa hili eneo.
 
Amesema , kesho (Jumatatu}, tutakuwa na mkutano mkubwa ili kuwaelimisha wananchi juu ya madhara ya kilimo cha mirungi, ili waweze kuacha kilimo hiki na kwenda kulima kilimo mbadala.
 
Ameiasa jamii yote kwa ujumla, viongozi wa dini, kimila, Serikali kuanzia ngazi ya vitongoji, vijiji, kata na mkoa wote kushirikiana na DCEA kutokomeza biashara ya dawa za kulevya.
“Tanzania inawezekana kuwa salama kwa kutokuwa na dawa za kulevya, Sheria pia imetutaka kwamba ukishakamata shamba limelima dawa za kulevya inaruhusu kutaifisha shamba hilo,.
 
“Tuiombe jamii tukishaanza kutaifisha mashamba yao, watakosa hata maeneo ya kulima, kuanzia sasa tutaanza kuitekeleza, tukikuta shamba lako limelima bangi, mirungi tunataifisha.
 
“.., na mali zote zilizopatikana kwa kilimo hicho zinataifishwa kwa hiyo tuwaombe wananchi wasije wakaingia kwenye wimbi la umaskini, waachane kabisa na dawa za kulevya,” ametoa rai.

About the author

Alex Sonna